Forever afya kwanza

Forever afya kwanza

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Forever afya kwanza, Health/Beauty, UKONGA, BANANA, Dar es Salaam.

Ukurasa huu ni mahsusi kwaajili ya watu kujua namna ya kutatua matatizo ya kiafya kwa( uzito, kitambi, nguvu za kiume, mamivu ya mwili na mengi zaidi) kutumia virutubisho vya chakula.

Photos from Forever afya kwanza's post 23/04/2020

Welcome
Tupo Dar es salaam makumbusho Tan house karibu na sheli ya Victoria

Mawasiliano
Piga 0622732015
Whatsapp 0743737670

Photos from Forever afya kwanza's post 19/03/2020

Corona virus

Tahadhari iliyopo ni kutosha mikono ili kupungua kuenea Kwa virus vya corona.
OSHA mikono yako na Aloe Hand soap

OSHA mikono yako okoa Maisha

Aloe hand soap unahitaji
Piga 0622732015

19/03/2020

Corona virus

Tahadhari iliyopo ni kutosha mikono ili kupungua kuenea Kwa virus vya corona.
OSHA mikono yako na Aloe Hand soap

OSHA mikono yako okoa Maisha

Aloe hand soap unahitaji
Piga 0622732015

07/03/2020

MAKALA KWAAJIL YA KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UUMME

kwa wale walio na uume usiyofika inchi sita au ( 7inch ) vipo virutubisho kwaajili hyo na havina madhara yoyote kiafya kwasababu ni chakula (LISHE ).

Watu wengi wamekua wakihangaika kutafuta tiba ya kuongeza Uume bila mafanikio pia kuna watu ambao wamepata madhara baada ya kutumia dawa za kuongeza Uume na hii inatokana na matumizi ya dawa za kemikali.
Pia kuna wengine wamekata tamaa na kudhani kua hakuna tiba ni kutokujua tu. Virutubisho ni Argi Plus, Aloe vera gel na Multi Macca.
FUATANA NAMI

MWENYE TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFUWA NGUVU ZA KIUME
Piga 0622732015
Whatsapp +255 743737670

Mtu mwenye tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo;
🍉Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake

🍉Uume kusimama ukiwa legelege

🍉Kuwahi kumaliza tendo la ndoa
🍉Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili ( Mara nyingi mwanaume huyu huwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa staili moja tu ). Hapa mwanaume anakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa staili ya “ missionary” pekee. Ikibadilishwa staili, mwanaume anakuwa hana tena uwezo wa kusimamisha uume wake japo katika hali ya u lege lege
🍉Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa ama kutomaswa kwa muda mrefu.

🍉Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.

🍉Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity yoyote ya kiungo ama ogani nyingine ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa. Kwa mfano, wakati wa tendo la ndoa, ikitokea mwanaume amekohoa au kupiga chafya, uume nao unasinyaa.

🍉 Uume kusinyaa mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke ( Kwa mfano k**a unafanya tendo la ndoa, halafu uume ukatoka nje, kitendo cha kuushika kuurudisha ndani, tayari una sinyaa )

🍉Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.

🍉Kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa.

*VIASHIRIA VYA MWANAUME ASIYE NA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.*

Mwanaume asiye na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume, huonyesha ishara zifuatazo ;

🍓Hukaa kifuani kwa muda mrefu ( Wastani ni kati ya dakika 20 hadi 45 )*

🍓Huweza kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila misuli ya uume kuchoka.*

🍓Huweza kufanya tendo la ndoa kwa staili yoyote ile*

🍓Uume husimama wenyewe bila kushikwa shikwa wala kuwa stimulated kwa namna yoyote ile*

🍓Kwa ufupi anakuwa na uwezo wa kufanya na kukamilisha tendo la ndoa kwa uukamilifu mkubwa.*

🍇NOTE👇
👉🏿Fahamu kuwa mrundikano wa mafuta mwilini huathiri utendaji kazi wa moyo na mzunguko wa damu katika mishipa ya damu na kwa sababu hiyo mwanaume mwenye mafuta mengi mwilini, hapati msukumo wa kutosha wa damu katika mishipa ya Uume wake na hivyo kushindwa kusimama barabara, Uume unakuwa legelege/goi goi.*

TAHADHAR
Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na pia uwe na utaratibu wa kufanya mazoezi. Free radicals ni zile seli zilizokufa au zilizoharibiwa mwilini na huwa zina tabia ya kushambulia seli zingine zilizo hai na kusababisha magonjwa mbali mbali na hatimae mwanaume hupoteza nguvu za kiume. Free radicals huwa zinaondolewa mwilini na virutubisho (Antioxidants) mbali mbali vitokanavyo na mimea ikiwemo matunda na mbogamboga.*

🍎🍌🍉🍇🍓🍍🍆🥑🥦🥕🥔🥚🥜🥥🍏
😃Hata hivyo, unapaswa pia kula matunda na mboga mbali mbali kwa ajili ya kuweza kuondoa mwilini aina mbali mbali za sumu (free radicals) na hivyo kukufanya kuwa na afya imara. Kumbuka kuwa matunda yana rangi tofauti tofauti k**a ilivyo pia kwa mboga mboga na kila rangi ina maanisha uwezo wa kupambana au kuondoa aina fulani ya free radical/sumu kutoka mwilini. Unashauliwa kuhakikisha unakula matunda na mboga zenye rangi mbali mbali mara kwa mara. Kwa mfano: Kula matikiti maji, matango, ndizi mbivu, machungwa, maembe, malimao, nyanya, vitunguu maji, spinachi, mchicha n.k.

😃Wanaume walio na tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya kuingia katika mahusiano na wasichana ama wanawake wanao fahamiana nao kutokana na kuogopa " siri" zao kujulikana hususani pale uhusiano wao unapofika mwisho..Ikitokea mwanaume akiwa katika uhusiano na mwanamke "mcharuko" ( asiye mstaarabu ) mwanamke huyo anaweza kuanza kumvua nguo hadharani kwa kumtangazia kwa watu kuwa na uume mdogo.´´ Mwanaume utakuwa wewe!" na lugha za namna hiyo hutawala midomoni mwa wanawake hawo.... Matokeo yake sasa wanaume walio na tatizo hili huamua kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wanao fahamiana nao, na badala yake huamua kuanzisha tabia ya kuwa wanajamiiana na wanawake wanaouza miili yao ama kujihusisha na upigaji punyeto n.k. tunayo dawa safi ya asili itakayo imarisha uume wako uliosinyaa na kuukuza kwa kwango kinachoendana na urefu na uzito wako.*

◼ Iwapo wewe ni mwanamke na hupendelei uume mkubwa basi wewe ni wa ajabu.

◼ Wanawake wengi hupendelea uume mkubwa zaidi ya wanaume kupendelea matiti au makalio makubwa.

◼Kwa wastani wanaume wengi wana uume wenye urefu wa kati ya nchi 6 (CM 15) na nchi 7 (CM18) na unene kati ya (CM12) na nchi 51/2 (CM 131/2).
(4) Unapofikiria kuwa uume wako ni mdogo mara nyingi unakuwa hujakosea.

◼Wanawake wengi hujali kuhusu ukubwa wa uume unapokuwa haujasimama.

◼Wanawake wanaojua mapenzi hupendelea kushika uume wa mwanaume unapokuwa umesimama na pia pale ambapo haujasimama.

◼Wanawake wanaojua mapenzi hupendelea kunyonya uume ulio mkubwa kuliko ule ulio mdogo

◼Uume mkubwa huleta burudani zaidi kwa mwanamke zaidi ya uume mdogo kwani unagusa maeneo mengi zaidi yenye miisho mingi ya mishipa ya fahamu na unaweza kuondoa hewa yote iliomo ukeni na kutengeneza mazingira mazuri ya raha zaidi.

◼Asilimia ishirini ya wanawake wote watadumu na kuwa waaminifu kwa wapenzi wao wenye uume mkubwa sababu kubwa ni raha wanayopata na sio fedha au kitu kingine.

◼Asilimia 40 ya wanawake watadumu na mpenzi mwenye uume mdogo kwa sababu ya pesa anazofaidi.

◼Wanawake wengi wanaona kuwa ni kero kuwa na mwanaume mwenye uume mdogo japo hawasemi na kukaa kimya k**a vile hakuna shida yoyote. Na sio hilo tu bali pia inawaboa sana kufikiria juu ya mapungufu hayo.

◼Ukikutana na mwanamke anayesema kuwa hajali juu ya ukubwa wa uume ni muongo.

◼ Wanawake wengi hutamani kulala na mwanaume mwenye uume mkubwa zaidi ya ule wa mpenzi wake japo kwa siku moja tu katika historia ya maisha yake.

◼ Wanawake wanaweza kumvumilia zaidi mwanaume mwenye uume mkubwa kupita kiasi kuliko kumvumilia mwenye uume mdogo.

💣Wanaume wenye uume mdogo huachwa na wanawake kwa urahisi zaidi kuliko wale wenye uume mkubwa. Na wanaoachwa kwa sababu ya uume mdogo ni wengi zaidi ukilinganisha na wale wenye uume mkubwa.

Virutubisho ambavyo utatumia ni Argi Plus, ALOEVERA GEL na Multi Macca

Mawasiliano,
Piga 0622732015
Whatsapp +255743737670

Dar es salaam unaletewa ulipo mikoan unaagiziwa kwa bus

06/03/2020

TATIZO LA MAUMIVU WAKATI WA HEDHI

Tafiti mbalimbali zimethibitisha kuwa maumivu wakati wa hedhi yanahusiana na kushuka kwa Zinc, Calcium na Magnesium na uzalishaji mwingi wa homoni ya Prolactin.

Aloe vera gel, Multi Macca na Vitolize
1. Kumaliza maumivu ya hedhi
2. Kuimarisha mood yako wakati wa hedhi
3. Kuifanya kalenda yako kuwa stable
4. Pia ni msaada kwa ajili ya kuzuia magonjwa mengi ya mfumo wa uzazi wa mwanamke mfano: Uvimbe wa kizazi, Saratani ya kizazi, PID n.k.

WASILIANA NASI
Call /sms 0622732015
Whatsapp +255 743737670

Photos from Forever afya kwanza's post 06/03/2020

Mtoto wako asikuumize kichwa kwa kukosa hamu ya kula. Ukimpa hii atakula bila kumsimamia wala kumk**ata kana kwamba anataka kuchomwa sindano
😃 Itamwongezea kinga ya mwili
😃 Ataimarika sana kiafya kwasababu ya virutubisho vilivyomo

Ongeza_hamu_ya_kula_kwa_mtoto_wako

WASILIANA NASI
Call /sms 0622732015
Whatsapp +255 743737670

06/03/2020

*TUFAHAMU KUHUSU TATIZO LA MIFUPA NA MAUMIVU KATIKA MAUNGIO*

Habari yako ndugu !
Leo nakukaribisha katika makala hii kuhusu afya ya mifupa na maungio.

*ARTHRITIS*
Arthritis ni nini?
Ni ugonjwa unaofanya viungo vyako kukauka na kuwa vigumu kuvisongesha kwani ukifanya hivyo, utasikia uchungu.

Hali hii imegawanyika katika Makundi mawili,

*Osteoarthritis*
Haya ni maumivu na ukavu ambao hujitokeza zaidi katika viungo vya mwili hasa katika sehemu za maungio.

*Rheumatoid Arthritis*
Hii ni ile hali ambayo inaathiri mwili mzima na kuufanya uvimbe ama kuleta mwasho viungoni. Mara nyingi, ugonjwa huu huwa haujitokezi bayana hadi pale ambapo mtu hufikia miaka arobaini au zaidi. Mara nyingi huwa na dalili za kuvimba katika maungio ya mikono,miguu nk.

Ni nini dalili za ugonjwa huu.
(Osteoarthritis)
Maumivu ya viungo baada ya mtu kufanya mazoezi ama shughuli za kutumia nguvu
Ugumu kwenye mikono, magoti, nyonga ama mgongo baada ya mtu kukaa kwa muda bila kusonga.

Viungo kuvimba na kuwa vidhaifu na vyororo.

Viungo kugongana na kutoa sauti mtu anapojaribu kutembeatembea

Dalili za Rheumatoid Arthritis

Viungo vyenye maumivu makali vyenye kukauka
Viungo kuwa na joto, vyekundu na kuvimba.

Mtu kuwa na joto
Kuhisi mchovu na mdhoofu

Kukosa hamu ya chakula

*Je unawezaje kujitibia katika mazingira ya nyumbani!?*

Kwa mtu mwenye matatizo haya hasa katika mazingira ya nyumbani basi waweza kufuata mambo yafuatayo:

Epuka matumizi ya nyama nyekundu mara kwa mara. Nyama nyekundu zinakiwango kikubwa cha tindikali za mafuta ambazo mara nyingi huathiri viungo vya mwili. Hivyo matumizi ya nyama nyekundu huongeza kiwango cha tindikali hizi ambazo huleta madhara katika viungo.

Epuka matumizi ya pombe kali,sigara na vitu vinginevyo ambavyo huchangia ongezeko la sumu mwilini,kwani sumu zikiwa nyingi katika mwili huongeza athari katika viungo.
Punguza matumizi ya vyakula ambavyo huongeza athari za mtu kupata mzio, vyakula k**a vile: ngano, pilipili,nyanya,sukari n.k.

Epuka / Punguza matumizi ya vyakula vya kusindikwa.
Tumia mara kwa mara mafuta ya samaki, k**a vile Omega 3, Omega 6 na Omega 9. Lakini pia matumizi ya Olive Oil hulinda joints.

Matumizi ya matunda aina ya Berries husaidia kusafisha sumu mwilini na pia hushauriwa sana kwa watu wenye changamoto za gout.
Matumizi ya vyakula vyenye madini ya selenium, Vitamin E , Zinc, Vitamin C, magnesium na matumizi ya Chia.

Matumizi ya machungwa husaidia katika kuongeza Vitamin C

Punguza matumizi ya chumvi na ngano

Ongeza matumizi ya maziwa ambayo husaidia katika kuongeza kiwango cha madini ya Calcium.

Pata kwa wingi, Vitamins A, B1, B12, C & E pamoja na kiwango kikubwa cha madini ya Selenium, Manganese na Calcium

Fanya mazoezi k**a aeeobic ambayo husaidia sana katika joint na kuvifanya viungo viwe flexible.

SULUHISHO KWA NJIA YA VIRUTUBISHO

Katika kutatua changamoto hizi, k**a kampuni tumeandaa dose maalumu ambazo sio dawa bali ni virutubisho ambavyo utumiapo huenda kufanyika k**a tiba katika sehemu zote za mwili zenye upungufu.

• Matumizi ya Omega 3
Husaidia katika kuondoa maumivu na inflamation ambazo mgonjwa huzipata kutokana na uzalishwaji wa tindikali katika mwili na katika viungo.

•Matumizi ya Vitamin C, E , Beta Carotene na Selenium
Hutumika k**a kiondosha sumu, kuondoa infections na kuongeza uzalishaji wa tissue na pia huongeza kiwango cha madini muhimu katika joints

Kwa ujumla faida za virutubisho hivi:

Kuongeza kiwango cha uzalishaji ute ute laini katika viungo.

Kuondoa maumivu makali katika viungo

Kuondoa vimbe katika viungo n.k.

Upataji wake:
Kabla hujapata virutubisho hivi ni vyema tukaweza kuzungumza ana kwa ana k**a upo Dar es salaam na kwa Simu k**a upo mkoani ili niweze kufahamu ukubwa wa tatizo lako au udogo wa tatizo lako.

Ofisi zetu:

Zipo hapa Victoria, Karibu na Njiapanda ya Kwenda Kairuki Hospital (Makumbusho)

NB: Bidhaa hizi sio mitishamba, ni virutubisho ambavyo vinazalishwa na Kampuni kutoka Nchini Marekani ya Virutubisho vya Afya na Muonekano. Vipo katika mfumo wa Vidonge,maji na unga ambavyo vimeidhinishwa na taasisi zote za Vyakula na Dawa Duniani.

KARIBU K**A UNA SWALI USHAURI AU CHANGAMOTO YOYOTE UPATE MWONGOZO ZAIDI.

WASILIANA NASI
WhatsApp +255 743737670
call text or sms +255 622732015

04/03/2020

MADHARA YA MATUMIZI YA KISASA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

✅1️⃣MADHARA YA SINDANO ZA KUZIA MIMBA
(1) Usumbufu wa hedhi
(2) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(3) Kizunguzungu
(4) Kichefuchefu
(5) Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
(6) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
(7) Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi

✅2️⃣MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA
(1) Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
(2) Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
(3) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(4) Kupata kichefuchefu
(5) Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
(6) Kubadilisha mwenendo wa damu
(7) Huathiri ini taratibu
(8) Kupata kisukari
(9) Kupata ugonjwa wa moyo
(10) Kupooza upande mmoja wa mwili.
(11) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

✅3️⃣MADHARA YA KITANZI
(1) Kutokwa damu ovyo
(2)Kutoboka mfuko wa uzazi
(3) Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
(4) Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
(5) Kuondoa hamu tendo la ndoa

✅4️⃣MADHARA YA KIJITI
(1) Husababisha kansa
(2) Kuvurugika kwa akili
(3) Shinikizo la damu
(4) Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
(5) Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
(6) Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa

❌CHUKUA TAHADHARI EWE MWANAMKE UNAATHIRIKA BILA KUJUA
Madawa haya yanasababisha ugumba

Kwa Wale Wote Ambao Tayari Wameshaathirika na matumizi haya Wasiliana Nasi Tuna Bidhaa Zisizo Na Athari Za Kikemikali Za Kuondoa ATHARI HIZO

Mawasiliano👇

Call 0622732015 or Whatsapp 0743737670
Tunapatikana Dar es salaam

04/03/2020

TAMBUA UMUHIMU WA KUNYWA MAJI KATIKA MWILI WA BINADAMU PAMOJA NA MATUMIZI YAKE YA KILA SIKU

MATUMIZI NA UMUHIMU WAKE
---kunywa maji wakati wa asubuhi unapoamka husaidia kufanya organs za mwili Kufanya kazi zake vizuri maana maji ya asubuhi ni k**a kichocheo kinachopelekea ufanisi mzuri wa organs kufanya kazi zake.

---kunywa glasi moja ya maji kabla ya kula husaidia mmeng'enyo wa chakula kufanyia sawia na kwa kiwango cha hali ya juu.

---kunywa maji kabla ya kwenda kuoga husaidia kuzuia msukumo wa damu kuwa mkubwa mapigo ya moyo kuwa juu hivyo ufanya mwili kuwa vizuri.

---kunywa maji kabla ya kulala husaidia kupunguza magonjwa ya moyo na kupooza au kiharusi.

KWA USHAURI PIGA 0622732015

04/03/2020

*MADHARA YA KUJICHUA KWA WANAWAKE NA WANAUME..*

Punyeto ni kitendo cha kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.

*Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua au kufanya punyeto;*

1. Inaharibu kizazi

2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara

3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo

4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu

5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto

6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.

7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada.

8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu.

9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara

10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.

*Hay ni baadhi ya madhara ya kupiga punyeto kwa wanaume*

1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.

2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili.

3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)

4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara

5. Huleta uchomvu sugu na kwa haraka zaidi, mara nyingi utahitaji kulala usingizi hata nyakati za mchana

6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia

7. Huleta matatizo ya kisaikolojia, hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu nafsi mara baada ya kumaliza kujichua

8. Punyeto haifanyiki kirahisi, unahitaji akili yako iwaze au itazame picha mbaya au chafu au kumfikiria kimapenzi mtu asiyekuwepo hapo ulipo. Hili ni jambo baya zaidi kwa afya kwani picha hizo hazikuondoki haraka kichwani mwako tofauti na ukishiriki tendo la ndoa na binadamu mwenzio moja kwa moja.

9. Punyeto inakupelekea kufanya makutano haramu kwakuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila mara itakupelekea kuanza kutafuta vijarida au picha za ngono jambo ambalo ni baya zaidi kwa afya yako ya mwili na roho

10. Punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni kuwahi kufika kileleni utakaposhiriki tendo la ndoa na mwenza wako, hii itakuletea shida kwenye mahusiano yako wewe mwenyewe na hata kwa mwenza wako.

11. Punyeto inapunguza uwingi wa mbegu (reduces your s***m count) k**a matokeo yake mwanaume hataweza kumpa mwanamke ujauzito. Hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha ugumba kwa wanaume na ni matokeo ya kupiga punyeto mara kwa mara.

12. Kimaadili kabisa punyeto au kujichua ni jambo baya, unamuwaza fulani na kujikuta ukishiriki tendo la ndoa peke yako. Hii inapunguza thamani yako na nidhamu kwa wengine. Unaweza kuwa mzuri kwenye maeneo mengine mengi lakini utaishia kuwa na matatizo k**a hutaiacha tabia hii haraka.

*Je ufanye nini ili kuacha punyeto au usishiriki mchezo huu mchafu?*

K**a muda na umri haukuruhusu kuwa na mke au mchumba, basi fanya yafuatayo:

•K**a bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.

•Jishughulishe na mazoezi ya viungo kila siku. Hii itauchosha mwili wako na hivyo hutapata muda tena wa kujichosha zaidi kwa kujichua kwani tayari utakuwa na uwezo wa kupata usingizi mtulivu sababu ya mazoezi

•Usikae peke yako muda mrefu bila kuwa bize na shughuli yoyote. Kichwa kitupu ni nyumba ya maasi mengi.

•Epuka vyakula vyenye mafuta mengi

•Tumia muda ambao huna kazi kwa kulala na hivyo utakuwa unaipumzisha pia akili yako

•Usikae muda mrefu maeneo k**a ya bafuni au chooni

•Usipende kujishikashika na mkono wako sehemu zako za siri wakati wowote.

•Futa picha zozote chafu iwe kwenye simu au computer yako na usitembelee blog au tovuti yoyote yenye picha hizo, k**a upo kwenye magroup ya namna hiyo kwenye mitandao ya kijamii basi jiondowe haraka iwezekanavyo.

TUNAKUSAIDIAJE...
Kwa wale ambao mmekuwa affected na Punyeto, kuna uwezo wa wa kuponywa tatizo lako...
Tutakusaidia ,bidhaa zetu zenye ubora wa hali ya juu ..yenye virurubisho kutoka kwa vitu vya asili..matunda ,mimea,mbogamboga na madini na protini...
Unaezo wa kutengamaa na kuwa mzima tena.

VIRUTUBISHO ni ALOEVERAGEL na Multi Macca &Argi Plus
Kwa maelekezo jinsi ya kupata tiba piga simu 0622731015 au WhatsApp +255 743737670

Photos from Forever afya kwanza's post 08/02/2020

DID YOU ALOE TODAY?
🍃🍃🍃🍃🍃🍃🍃

Ijue ALOEVERA GEL, kinywaji bora cha afya chenye aloe vera nyingi,( 97%).
Kinywaji hiki siyo dawa bali ni chakula chenye utajiri wa Virutubisho (75), Vitamini (14) na Madini (20)mbalimbali.

FAIDA ZAKE KWA AJIRI YA AFYA YAKO
1. Kuondoa sumu mwilini zitokanazo na hewa chafu, vumbi, vyakula vilivyolimwa na mbolea na dawa zenye kemikali, sumu, madawa, vyakula, pombe na vileo, nk.
2. Kuondoa na kuepusha vimbe sehemu yoyote mwilini, mfano mji wa mimba, shingoni, nk.
3. Kuepusha magonjwa na kuua vijidudu k**a virusi. bacteria na fangasi.
4. Kusafisha utumbo mkubwa wa chakula na:
~kuondoa mafuta yanayoganda,
~kuzuia na kusaidia gesi tumboni,
~kupata choo vizuri na kuzuia constipation, ~kusaidia mmeng'enyo wa chakula,
~ Kusaidia vidonda vya ndani (ulcers) na nje ya tumbo.
5. Kuongeza kinga mwilini.
6. Inasaidia maumivu ya viungo k**a miguu na mgongo.
8. Kusaidia kuboresha matatizo mbalimbali ya ngozi km;
~kuifanya iwe nzuri na ya kuvutia,
~kuifanya iwe nyevunyevu,
~kuiondoa ukavu na mikunjokunjo,
~kutengeneza seli mpya na kuondoa seli zilizokufa.
~Kusaidia matatizo mbalimbali ya ngozi km;aleji, muwasho, chunusi, vinundu vidogodogo vyeusi, makovu, mkanda wa jeshi na upele,
9. Kusaidia kupooza
10. Inasafisha mzunguko wa damu, inaimarisha mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda.
11. Inasaidia kutibu harufu mbaya mdomoni kwa kuua bacteria wabaya wanaokaa kwenye utumbo wa chakula na kuleta harufu mbaya mdomoni.
12. Ni chakula, ina vitamini, madini, amino acids, (protini), na inasaidia ukuaji wa mwili.
13. Husaidia uchovu sugu, kutopata usingizi vizuri (insomnia), hangover, msongo wa mawazo, (Stress), na mfumo wa fahamu na neva (nervous system).
14. Inaondoa baridi na ganzi kwenye viungo vya mwili, mfano miguu, mikono na vidole.
~Hufaa kwa watu wote,
KUNYWA KWA AFYA, (USISUBIRI UUGUE), JAPO KOPO 2 KWA MWEZI

Watsap +255743737670
Call or Text/+255622732015

30/01/2020

IMARISHA AFYA YA UZZAZI NA TENDO LA NDOA. ARGI+ & ALOE_JUICE . JE Umekuwa ukishindwa ku-perform show za kibabe mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kukutana na mweenzi wako kwa kuogopa kurudia makosa yale yale ya KUWAHI KUFIKA KILELEENI, KUSHINDWA KURUDIA TEENDO, DHAKAARI KUWA LLEGEVU, KUTOA KIWANGO KIDOGO SANA CHA MBEGU au MBEGU KUWA NYEPESI SANA n.k? Tumia ARGI+ leo, itakuondolea kabisa uoga na changamoto zote unazo kutana nazo wakati wa faragha, usikubali matatizo madogo k**a hayo yavunje/kuyumbisha mahusiano yako. . FAIDA YA FOREVER ARGI+ (PLUS) KIAFYA. . . . 🍎Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kileeleni . . 🍎Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance . . 🍎Husaidia kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai kiurahisi. . . 🍎Husaidia kurekebisha na kuweka sawa kiwango cha mzunguko wa damu BP ( Blood Pressure). . . 🍎Husaidia kupunguza mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu (Cholesterol ) . 🍎Husaidia kuupa mwili nguvu na stamina wakati wa tenndo . . 🍎Husaidia kurekebisha Insulin mwilini kwa utunzaji wa sukari kwenye damu ili kuepusha au kupunguza madhara ya ugonjwa wa kisukari. . 🍎Huimarisha misuli ya dhakaari legevu kutoka na kujiichua. . . 🍎Husaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye mishipa sehemu zote za mwili, kutokana na uwepo wa Nitric oxide huzalisha oxygen ya kutosha kwenye damu. Hivyo huupa mwili nguvu na stamina wakati wote wa teendo. ALOEVERA GEL -Ni kinywaji bora cha afya chenye aloe vera nyingi,( 97%). Kinywaji hiki siyo dawa bali ni chakula chenye utajiri wa Virutubisho (75), Vitamini (14) na Madini (20)mbalimbali. FAIDA ZAKE KWA AJIRI YA AFYA YAKO - Kuondoa sumu mwilini zitokanazo na hewa chafu, vumbi, vyakula vilivyolimwa na mbolea na dawa zenye kemikali, sumu, madawa, vyakula, pombe na vileo, n.k - Kuepusha magonjwa na kuua vijidudu k**a virusi, bacteriaa na fangasi n.k - Kusafisha utuumbo mkubwa wa chakula na: - kuondoa mafuta yanayoganda - Kuongeza kingaa mwilini, n.k NI VIRUUTUBISHO SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, HAViNA MADHARA YOYOTE, VIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI. Call me 0622732015 Whatsup +255 743737670

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


UKONGA, BANANA
Dar Es Salaam