Via Rich Afya

Via Rich Afya

Share

Afya njema ndio msingi wa mafanikio karibu kwa tiba na ushauri

29/12/2024

Dalili 4 Hatari za Homa ya Ini:

1. Kuchoka Kupindukia: Mgonjwa hupoteza nguvu na hisia ya kuchoka inakuwa ya kudumu.

2. Kujitokeza kwa Ngozi ya Njano (Jaundice): Ini linalofanya kazi vibaya husababisha rangi ya njano kwenye ngozi na macho.

3. Mkojo wa Rangi Nyeusi: Hii ni dalili ya sumu kujikusanya mwilini kutokana na kushindwa kwa ini kusafisha damu.

4. Maumivu Makali Kwenye Tumbo: Maumivu haya hasa hutokea upande wa juu kulia wa tumbo, ambapo ini lipo.

Madhara 4 ya Homa ya Ini:

1. Uvimbaji wa Ini (fibrosis): Ini linaposhindwa kufanya kazi, mwili hupata uvimbe na maambukizi ya kudumu.

2. Kukosa Utulivu wa Homoni: Homa ya ini inaweza kuathiri usawa wa homoni mwilini, kusababisha matatizo mengine ya kiafya.

3. Hatari ya Saratani ya Ini: Uharibifu wa muda mrefu wa ini huongeza hatari ya kupata saratani ya ini.

4. Kushindwa kwa Ini (Liver Failure): Hili ni janga kubwa ambapo ini linapoteza uwezo wa kufanya kazi kabisa. Mawasiliano 0764956290

28/12/2024

Dalili za homa ya ini kwa matibabu +255764956290

Homa ya ini (hepatitis) ni ugonjwa unaoathiri ini, na dalili zake zinaweza kutofautiana kulingana na aina ya homa ya ini (A, B, C, D, au E). Dalili za kawaida za homa ya ini ni:

Dalili za awali:

1. Uchovu wa kupitiliza

2. Kuhisi kichefuchefu au kutapika

3. Homa ya mwili

4. Maumivu ya misuli au viungo

5. Kupoteza hamu ya kula

6. Maumivu au usumbufu kwenye tumbo, hasa upande wa juu wa kulia

Dalili zinazoendelea:

7. Njano kwenye macho na ngozi (jaundice)

8. Mkojo wa rangi ya giza (rangi ya kahawia au coke)

9. Kinyesi chenye rangi isiyo ya kawaida (k**a rangi ya udongo au kilicho changavu)

10. Kuvimba kwa tumbo kutokana na maji kujaa

11. Kuwashwa mwili

Dalili zinaweza kujitokeza polepole au ghafla, na si wote wenye homa ya ini hupata dalili, hasa katika hatua za mwanzoni
https://chat.whatsapp.com/DlDP9HTIC3LL9m6mbd6OIc

06/12/2024

*Kanuni muhimu sana ambazo ukizitumia zitakupa matokeo makubwa sana*



🍎Ondoa wasiwasi:

Hebu lifikirie tendo hili k**a njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu nje.

🍷Relax, Pumua vizuri, usikaze mwili wako, Anza taratibu tu k**a unavohitaji kula chakula kizuri usiwe na papara.

🍷Ona tendo la ndoa ni Jambo la kawaida tu, yani usiwe na mzuka kupitiliza, anza k**a kiuvivu flani hivi, k**a unataka lakini hutaki vile... ,

🍷Jione unaweza kumridhisha, mwanamke anaposubiri kwa hamu Sana uchomeke, wewe ona kawaida tu kwako siyo jambo la kukusimua kivilee..

🍎 Fanya taratibu:

🍷Picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka k**a unaharaka ya jambo flani HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mkeo kileleni na wewe kuchelewa kufika kileleni. Kwahiyo wote mnardhika.

🍎 Badilisha style:

Ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uume hivyo itakufanya ufike haraka sana.

🍎 Hamisha mawazo kwamba unafanya mapenzi

Hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi nk wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika. Unaweza kufikiria jambo falani, Usiogope kwamba uume utazima hapana 😄ukiona Kuna dalili hizo unarudisha tena mawazo hapo.

Ushauri Zaidi
Contact 📞 0764956290

10/09/2024

🔴 HYPERCALCEMIA NI tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha Calcium kwenye damu.
🔴Uwingi wa Calcium husababisha Calcium ijikusanye kwenye misuli na tissue na kusababisha misuli kushiba (cramps).
🔴Husababisha Mifupa itoe (release Calcium) nyingi kwenye misuli na Kuacha Mifupa kuwa dhaifu ( *osteoporosis* )
🔴 Calcium ikiwa nyingi kwenye damu Hufanya Mifupa kuwa dhaifu ( *weaken bones* ) na kusababisha Mawe kwenye Figo ( *kidney stones)*

🔴Pia Huathiri Moyo *(heart)* na Ubongo ( *brain* )

Photos from Via Rich Afya's post 03/05/2024

Mawe kwenye figo au kwenye njia ya mkojo yanaweza kuzuia mkojo kutoka na kusababisha figo kupanuka (dilatation) .Figo ikipanuka kwa muda mrefu huishia kuharibika.

Ni vema kufanya utambuzi wa mawe kwenye mfumo wa mkojo na Uchunguzi wa kina ufanywe ili kutambua uwepo wa mawe, matatizo yanayoambatana na hali hii na pia kujua chanzo cha kuwepo kwa mawe haya.

Photos from Via Rich Afya's post 02/05/2024

Jiwe la figo ni k**a kitu kigumu kinachofanana na jiwe kilicho ndani ya sehemu za mfumo wa mkojo(njia za mkojo na kibofu)au kwenye figo.mawe haya hutokana na chembe za calcium, na madini mengine kwenye mkojo.Mamilioni ya chembe hizi hujikusanya na huendelea kukua na mwishowe huwa k**a jiwe.

Kwa kawaida ,mkojo huwa na kitu kinachozuia chembe kugandamana na kitu hiki kinapopungua ndipo mawe hutokea.Ni muhimu kuelewa kuwa mawe ya figo ni tofauti na yale ya kibofu cha mkojo, na ni tofauti na mawe ya ini.

30/04/2024

KAZI ya Figo ni usawazisha maji na madini k**a sodiamu,potassium, calcium,fosferas na biocarbonate mwilini.

Kwa wagonjwa wanougua ugonjwa sugu wa figo (CKD), udhibiti wa maji na elektrolaiti unaweza kuvurugika. Kwa sababu hii, hata unywaji wa kawaida wa maji, chumvi ya kawaida au potassium inaweza kusababisha usumbufu mkubwa wa usawazishaji wa maji na elektrolaiti.

Ili kupunguza mzigo kwenye figo iliyodhohofika na kuzuia usumbufu wa usawazishaji wa maji na elektrolaiti, wagonjwa wenye ugonjwa sugu wa figo wanafaa kurekebisha lishe yao kulingana na maelekezo ya daktari au mtaalamu wa lishe. Hakuna lishe maalumu kwa wagonjwa wa CKD. Kila mgonjwa hupewa ushauri tofauti wa lishe kulingana na hali yake ya afya, na hatua ya hitilafu ya figo au shida nyingine za kiafya. Ushauri wa lishe unaweza kubadilishwa hata kwa mgonjwa yule yule kwa wakati tofauti.

27/02/2024

🔺Mgonjwa mwenye figo moja amwone daktari mapema endapo atapatwa na dalili hizi

📌Kukosa kabisa mkojo kwa ghafla.
📌Figo yake pekee kujeruhiwa.
📌Anapohitaji kutumia dawa za maumivu au za x ray katika kipimo fulani.
📌Anapohisi Homa,au kuwashwa mwili.

26/02/2024

🔺Kasoro za kuzaliwa na  magonjwa yanayopatikana katika familia, k**a vile ugonjwa wa polycystic kidney desease ndio visababishi vya kawaida vya CKD kwa watoto.​

🔺Maambukizi kwenye njia ya mkojo inaweza kusababisha CKD ikiwa itatokea mara kwa mara ,hivyo basi (UTIs) kwa watoto inapaswa kutibiwa mara moja na Kwa haraka zaidi.

25/02/2024

🔺Kazi kubwa ya figo ni kutoa uchafu na kusafisha damu.

🔺Pamoja na kazi hii, figo huwa na wajibu wa kutoa maji ya ziada , madini na kemikali na husawazisha maji na madini k**a sodiamu,potassium,kalsiamu,fosfera na biocarbonate mwilini.

🔺Kwa wagonjwa wanougua ugonjwa sugu wa figo (CKD), udhibiti wa maji na elektrolaiti unaweza kuvurugika. Kwa sababu hii, hata unywaji wa kawaida wa maji, chumvi ya kawaida au potassium inaweza kusababisha usumbufu mkubwa wa usawazishaji wa maji na elektrolaiti.

🔺Ili kupunguza mzigo kwenye figo iliyodhohofika na kuzuia usumbufu wa usawazishaji wa maji na elektrolaiti, wagonjwa wenye ugonjwa sugu wa figo wanafaa kurekebisha lishe yao kulingana na maelekezo ya daktari au mtaalamu wa lishe.

🔺 Hakuna lishe maalumu kwa wagonjwa wa CKD. Kila mgonjwa hupewa ushauri tofauti wa lishe kulingana na hali yake ya afya, na hatua ya hitilafu ya figo au shida nyingine za kiafya.

🔺Ushauri wa lishe unaweza kubadilishwa hata kwa mgonjwa yule yule kwa wakati tofauti.

25/02/2024

🔺Kawaida Mwili wa binadamu huzalisha sumu au taka mwili (free Radicals) kila mara kunapofanyika mmeng'enyo wa chakula mwilini mwako.

🔺Taka hizi hutolewa ndani ya mwili kupitia njia mbalimbali ikiwemo haja kubwa, mkojo pamoja na jasho.

🔺Mwili wa binadamu unaweza kupatwa na Sumu au takataka zisizohitajika kwa namna mbili, kupitia mazingira tunayoishi k**a vile viwanda, migodi na maeneo mengine hatarishi.

🔺Ama kupitia vyakula tunavyokula, na vinywaji ambavyo tunavitumia kila siku.

🔺Vilevile sumu au takamwili, zinaweza kuingia mwilini kupitia dawa mbalimbali hasa tunazotumia kutibu magonjwa mbalimbali yanayotupata.

🔺Mwili unapoingiwa na Sumu au takataka zisizohitajika na zikazidi mwilini unaweza ukapata madhara mbalimbali ya kiafya k**a vile;
Uchovu Sugu,Maumivu Ya Viungo,Kuumwa Kichwa kila mara,tumbo kujaa gesi.
Kuwa kwenye Hatari ya kupata kansa ya utumbo,
Tatizo sugu la kupata choo (Constipation) au kupata choo kigumu,Kuishiwa nguvu,Msongo wa mawazo (Stress), Hormonal imbalance, pamoja na matatizo mbalimbali ya ngozi ikiwemo chunusi,nk.

🔺Ili miili yetu iweze kufanya kazi vizuri na tuendelee kuwa na afya njema inabidi tuilinde kwa kutoa sumu kila mara,k**a tunavyofanyia service magari yetu, au machine

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mlimanicity
Dar Es Salaam
1371