Dr Koba
Natatua changamoto za viungo na mifupa
Pesa,nyumba za kifahari,magari ya kifahari nguo nzuri na mapambo,huwa na thamani pindi unapokuwa na afya njema,ukitaka kuamini hilo wahudhurie wagonjwa mahospitalini ndipo utabaini ukweli kwenye hili.
Eeemola uwape nafuu uliowapa mtihani wa maradhi.
Habari wadau wangu wa nguvu
Leo najaribu kuwashauri jambo kuhusu afya,
.tuepuke kula mlo wa aina moja mara zote
.kujitengenezea ratiba za mazoezi
.tuizoeshe tabia za kuziangalia afya zetu
.tupendelee kula mlo kamili
.mwisho wa yote tunapopata changamoto lazima tujifunze kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.
Kwa ushauri
Na. Tiba
0716846478
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
225