Nywele Asili
Tunauza bidhaa mbali mbali za zinazotumika kutunza nywele asilia pamoja na kutoa maelekezo ya utunzaji wa nywele kwa wanawake, wanaume na watoto.
08/02/2023
JINSI YA KUANDAA 'PROTEIN TREATMENT NYUMBANI
Mahitaji📌
1. Parachichi (1) lililoiva vizuri
2. N**i iliyokomaa vizuri
3. Mafuta ya maji
4. Asali
JINSI YA KUANDAA
1. Kuna/Blend n**i kisha tengeneza tui zito
2. Changanya tui na parachichi halafu blend upate uji mzito.
3. Kwenyw mchanganyiko wako ongeza asali na mafuta kijiko kimoja kimoja
Mchanganyiko upo tayari kwa matumizi
4. Weka kwenye nywele zako safi (Unaweza osha na maji ya vuguvugu kwanza), pakaa kwenye nywele kuanzia kwenye shina/ngozi ya kichwa halafu acha kwa dk 30.
5. Baada ya hapo osha kwa maji ya baridi.
Kuna msemo unaosema “Ukitaka kupata mazao mazuri basi andaa ardhi yako vizuri”, vivyo hivyo kwenye nywele ukitaka kuwa na nywele nzuri zenye afya huna budi kuandaa ngozi yako ya kichwa vizuri.
Hakikisha ngozi yako ya kichwa ukijikuna kucha haziwi chafu/Nyeusi📌📌
Ondoa uchafu na build ups mara kwa mara ili kuipa ngozi yako ya kichwa afya.
❤️❤️
30/01/2023
Kwa mahitaji ya bidhaa zote kwa ajili ya kutunza nywele tupigie au whatsApp: 0672765929
Kusoma post nzima: Tembelea blog yetu
26/01/2023
🧚♂️Juice ya limao
Mahitaji
2 tbsp maji/juice ya tangawizi
3 tbsp mtindi
1 tbsp maji ya limao/ndimu
Jinsi ya kuandaa
Changanya mahitaji yako yote.
Paka mchanganyiko huu kwenye ngozi ya kichwa.
Uache mchanganyiko kwa dakika 10 hadi 15
Osha nywele na shampoo
Rudia process hii at least mara 1-2 kwa wiki.
🧚♂️Tea trea oil
Tea trea oil ina tabia za kuzuia kuvimba na maambukizi yoyote (anti-inflammatory and antimicrobial properties) ambazo husaidia kutibu na kuzuia kupata mba.
Mahitaji:
Matone 2-3 ya mafuta ya maji
Jinsi ya kuandaa
Changanya tea tree oil na mafuta ya maji.
Lowanisha pamba kwa kutumia mchanganyiko huo halafu paka kwenye ngozi ya kichwa.
Rudia process hii angalau mara 3-4 kwa wiki.
🧚♂️Mafuta ya maji
Hapa ni muhimu kutumia mafuta ambayo ni mepesi (yana Low molecular weight), haya yatasaidia kunourish na kucondition nywele zako pia yataongeza unyevu kwenye nywele na ngozi ya kichwa hivyo kuondoa ukavu ambao unaweza kupelekea kupata mba.
Mahitaji
2 tbsp mafuta ya maji
Jinsi ya kuandaa
Massage mafuta yako ya maji kwenye ngozi ya kichwa
Acha kwa nusu saa hadi lisaa
Osha nywele na shampoo isiyo na viambata sumu
Rudia process hii walau mara 2 kwa wiki
🧚♂️Aloe vera
Aloe vera ina tabia za kuzuia kuvimba na maambukizi yoyote (anti-inflammatory and antimicrobial properties) ambazo husaidia kutibu na kuzuia kupata mba.
Mahitaji
Aloe vera gel
Jinsi ya kuandaa
Massage aloevera gel kwenye ngozi ya kichwa hadi ipotee kabisa
Acha nywele zako kwa lisaa, halafu osha.
Rudia process hii walau mara 2 kwa wiki
🧚♂️Apple Cider Vinegar
Apple cider vinegar huwa ina acetic acid ambayo inasaidia kubalance pH level ya ngozi ya kichwa, Hii husaidia kuzuia ngozi ya kichwa kupoteza unyevu na kukauka sana hali ambayo hupelekea mtu kupata mba.
Mahitaji
1 tbsp ya raw apple cider vinegar (ACV).
3 tbsp ya maji masafi.
Jinsi ya kuandaa
Changanya raw apple cider vinegar na maji.
Paka mchanganyiko huu kwenye ngozi ya kichwa.
Uache mchanganyiko kwa dakika 10 hadi 15
Osha nywele na shampoo
Rudia process hii at least mara 1-2 kwa wiki.
🧚♂️Juice ya Kitunguu maji
Kitunguu pia kina anti-fungal properties ambayo huzuia ukuaji wa malassazia furfur.
Mahitaji
Kitunguu maji kimoja kikubwa
Maji masafi
Jinsi ya kuandaa
Blend kitunguu na upate juice yake
Changanya juice na mafuta ya maji kidogo
Paka mchanganyiko kwenye ngozi ya kichwa
Acha mchanganyiko kwa dk 45 hadi lisaa
Osha nywele zako vizuri
Rudia hii walau mara mbili kwa wiki.
UKIHITAJI MAFUTA YA MAJI MAZURI TUPIGIE AU WHATSAPP: 0672 765 929
22/11/2022
JINSI YA KUONDOA MIWASHO NA MBA, KUZUIA KUKATIKA NA KUKUZA NYWELE
Unaweza kutumia Mafuta ya kukuza nywele k**a NATURAL BLISS HAIR GROWTH OIL ambayo pia yanaondoa mba na miwasho, yanazuia kukatika kwa nywele za asili pamoja na zenye dawa.
☘️Haya ni mafuta ambayo mtu yeyote anayejali nywele zake anayahitaji
☘️Ni mbadala wa mafuta yoyote yale unayoweza kutumia kwa ajili ya nywele zako.
☘️Baada ya kuosha nywele zako na shampoo isiyo na viambata sumu paka shea butter (Hair cream) halafu baada ya hapo paka haya mafuta; Utasahau kabisa matatizo ya mba na nywele kukatika.
🧚♂️Mafuta yanazuia nywele kukatika na kuwa kavu sana.
🧚♂️Ni muhimu kupaka mafuta mwishoni ili kurudisha mafuta ya asili ya nywele yaliyoondolewa na shampoo wakati wa kuosha nywele.
☘️Halafu zingatia kuzipa unyevu nywele zako mara kwa mara
☘️Usichane nywele zikiwa kavu
☘️Fanya steaming mara kwa mara ili kuzipa nywele zako chakula na kuzifanya zinawiri zaidi.
Kupata mafuta haya "NATURAL BLISS HAIR GROWTH OIL" pamoja na SHEA BUTTER
Tupigie au WhatsApp Namba: 0672 765 929
Tunauza kwa bei nafuu sana.
Mafuta madogo (125 ml) ni Tsh 7000/- tu
Mafuta makubwa (250 ml) ni Tsh 12,000/-
Shea butter (150g) ni Tsh 20,000/-
Tupo DSM-KIMARA MWISHO, kw Dar tunafanya delivery na mikoani tunatuma kwa gharama nafuu sana.
Unaweza kufanya steaming nyumbani bila usumbufu wowote. Steaming ni k**a chakula kwenye nywele kadri unavozilisha nywele zako ndivyo zinavyonawiri.
Hakikisha hukosi steaming cap (Kofia kwa ajili ya kuzipa nywele zako joto la kutosha), ni muhimu sana.
Baada ya kupaka steaming kwenye nywele unavaa steaming cap kwa dk 30 halafu unaosha nywele zako. Jaribu uwahadithie na wenzio🧚♂️🧚♂️
Zipo kwa Tshs 25,000/=
📞WhatsApp/Call 0672765929
17/10/2022
Leo tuongelee 'PROTEIN TREATMENT', Je wewe huwa un**ifanyia protein treatment nywele zako baada ya muda gani? Unafahamu aina za protein treatments na umuhimu wake??
K**a un**ipenda nywele zako hakikisha hukosi kuzifanyia nywele zako protein treatment angalau mara 1 kwa mwezi.
23/08/2022
Hello lovies
Kutokana na post iliyopita, nimegundua kuna changamoto kadha wa kadha juu ya utunzaji wa nywele, Hivyo tutakua tunachambua changamoto moja baada ya nyingine.
Kuwa na nywele nzuri ni Matunzo tu, hakuna short cut😍
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Kimara Mwisho, Matangini
Dar Es Salaam
16