Roe Health Product

Roe Health Product

Share

Nawasaidia watu wenye changamoto mbalimbali za kiafya, kwa kuwapatia tiba itakayo wasaidia kutibu matatizo yao na kua na afya bora.

15/04/2021

Je? Wajua faida Saba za choleduz ambayo Ina viambata vya asili K**a vile mafuta ya samaki, Omega.3na 50% ya DHA ambayo inasaidi ubongo kupata nutriet na kuzibua misipa ya damu inayo peleka damu kwenye ubongo hivyo kuzuia kwa kiwango kikubwa matatizo ya kuwa na pressure ya juuu damu na pia kuupa moyo afya njema ili ufanye kazi K**a iliyokuwa ikitarajiwa so K**a unasumbuliwa na mahonjwa k**a
1. Pressure ya kupanda
2. Sukali iliyo juuu kwenye damu
3. Pressure ya macho (kupoteza uwezo was kuona Kalibu au mbali )
4. Kushidwa kupumua ( asthma)
5. Kuchelewa kupata mtoto asa wakati ukiwa teali kwenye ndo na umejalibu mara kathaaa bila kupata ujauzito au ukipata ujauzito unahalibika bila kufikisha mda wa miezi 9
6. Kupoteza kumbukumbu haswa kwa wazeee kuanzia miaka 50 nakuendelea
Na mengine MENGI maana tafiti zinasema magonjwa K**a haya leo yanaongezeka kwa kiwango kikubwa kwa sababu ya kutokupata chakula kinachohitajika ili mwili uweze kufanya kazi yake vyema hivyooo suluhisho kubwa Ni kupata chakula Bora kwa mpangilio marumu na kutumia food supplement maana ndani yake inakuwa imewekwa vilutubisho vyote binavyo hitajika. Tukumbuke afya ndo msingi mkubwa was mafanikio yoyote Yale.

Roe Health Product. 11/04/2021

Unakaribishwa katika jukwaa la elimu buree kabsa whatsap kujifunza kuhusu afya.
K**a ungependa kujifunza nasi bofya link bureee.

Roe Health Product. WhatsApp Group Invite

11/04/2021

COMPLETE PHYTO ENERGIZER ni moja ya kirutubisho lishe chenye uwezo wa kutibu magonjwa zaidi ya 100, Ina mchanganyiko wa nutrients yaani virutubisho zaidi ya 16000.
Matumizi ya mara kwa mara ya complete phyto energizer husaidia katika kulinda moyo ,na kuilinda seli ambayo ndio msingi mkuu wa uhai wa mwili.

Je COMPLETE PHYTO ENERGIZER IMEBEBA NINI?
 Aina 29 za vitamins pamoja na aina 29 za madini chuma
 Aina 12 tofauti tofauti za matunda na
 Aina 12 tofauti tofauti za mboga za majani
 Aina 12 za uyoga yaani mushroom
 Aina 12 za vimengenya chakula yaani digestive enzymes
 10 Mafuta muhimu yaani essential fatty acid
 Aina 18 zote za amino acid yaani vijenzi mwili vilivyo ndani ya protini

MANUFAA KIAFYA.
Kwanini nitumie COMPLETE PHYTO ENERGIZER?
 Huondoa kiwango cha mafuta mabaya mwilini yaani cholesterol level
 Inasaidia kurefusha maisha kwa kuipa seli ya mwili afya
 Inalinda zidi ya magonjwa ya moyo na changamoto zake yaani heart complications
 Husaidia kuzuia magonjwa ya kansa ya aina yoyote ile
 Husaidia kucontrol shinikizo la damu yaani High blood pressue BP
 Kubalansi kiwango cha sukari mwilini yaani kuzuia kisukari
 Hutibu kabisa vidonda vya tumbo vya stage yoyote ile
 Huupa mwili kinga imara pia usaidia kwa wale wenye changamoto za kutoshika mimba kwa wanawake na kutoweza zalisha kwa wanaume .

KUMBUKA KIRUTUBISHO HIKI CHA COMPLETE PHYTO ENERGIZER SIO DAWA, KWA LUGHA NYINGINE NI CHAKULA HIVYO MTU YEYOTE ANASHAURIWA KUTUMIA SIO TUU PALE ANAPOKUWA NA TATIZO LA KIAFYA NA UNAPOTUMIA HII NI PAMOJA NA ULINZI DHIDI YA MAGONJWA YANAYOTOKEA BILA TAARIFA YOYOTE K**A KISUKARI, KANSA, VIDONDA VYA TUMBO NA MAGONJWA MENGINE SUGU.

KUMBUKA AFYA NZURI INATOKANA NA MMENGENYO MZURI WA CHAKULA NA ULAJI BORA PAMOJA NA MAZOEZI.

KWA MAELEZO ZAIDI NAMNA YA KUPATA WASILIANA NASI KWA NAMBA 0653263574 Jukwaa la Afya . ASANTE .

02/04/2021

Fahamu zaidi kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo na tiba.
Ni miongoni mwa magonjwa ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula katika mwili wa binadamu. Hivi ni vidonda ambavyo vinapatikana ndani ya tumbo la binadamu na huwapata sanasana watu wazima kuliko watoto wadogo. Vidonda vya tumbo husababishwa na tindikali inayopatikana ndani ya tumbo.
Tindikali hiyo humwagika kwa muda ambao tumbo limezoea kupokea chakula. Mtu anapokaa muda mrefu bila ya kula chakula tindikali hii humwagika na kukuta tumbo likiwa halina chakula, hivyo huanza kuchubua ukuta wa tumbo. Jambo hili linapotokea mara kwa mara michubuko hiyo huongezeka ukubwa na mwisho huwa vidonda.
Vidonda vya tumbo mara nyingi husababishwa na kutokula chakula kwa wakati unaostahili pamoja na msongo mkali wa mawazo.
Baadhi ya dalili za ugonjwa huo ni kuwa na maumivu ya tumbo hasa mara ya kula chakula, kuumwa tumbo baada ya kula baadhi ya vyakula k**a dagaa, mimea jamii ya mikunde hasa maharagwe, pia pilipili.
Ugonjwa huu unapozidi kushamiri husababisha pia kupata haja kubwa iliyochanganyika na damu pia kukosa hamu ya kula chakula.
Athari kuu ya vidonda vya tumbo vinaposhamiri ni kuwa husababisha kifo. Licha ya athari hiyo, athari nyingine ni kuwa na maumivu makali ya tumbo.
Ili kupata tiba na maelezo zaidi juu ya ugonjwa huu, wasiliana nasi kwa namba zifuatazo: 0653263574

01/04/2021

UTANGULIZI – UJUE UGONJWA WA U.T.I (URINARY TRACT INFECTION)

U.T.I ni maambukizi kwa njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi, wadudu huathiri sana kibofu na urethra. Jina U.T.I ni kifupi cha URINARY TRACT INFECTION (Neno la kingereza) watu wengi huzoea kuita hivyo wakijua ni jina la kiswahili, imeshazoeleka hivyo. Jinsia ya k**e wana hatari kubwa kuliko jinsia ya kiume. Maambukizi yakwenye kibofu huleta maumivu makali, madhara makubwa hutokea maambukizi yakifika mpaka kwenye figo. U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo.

U.T.I hutibika haraka kwa mtu ambaye atatumia dawa na pia yaweza kuleta madhara makubwa isipotibika huweza kuathiri mfumo wa uzazi, kibofu, na sehemu mbalimbali, tunashauri mtu mwenye U.T.I inatakiwa awe msafi na kubadili mienendo iliyo hatarini.



MGAWANYO WA U.T.I

Kuna mgawanyo wa aina mbili za U.T.I

Maambukizi ya Upande wa juu – Hii hujumuisha Figo na Ureta

Maambukizi ya Upande wa chini – Hii hujumuisha Kibofu na Urethra

CHANZO CHA MAAMBUKIZI YA U.T.I

U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo, vitu vifuatavyo vinaweza kukuingiza kwenye hatari ya kupata U.T.I;

Kinga ya mwili kuto kuwa imara

Kutumia Vifaa au Dawa za kuzuia mimba

Kwa wa k**e; Kupungua kwa homoni ya estrogeni

Mtu mwenye kisukari

Kutumia choo kichafu na kutumia idadi kubwa ya watu

Kuwa na tatizo la mmeng’enyo na tatizo la choo.
Kukaa kwa mda mrefu bila kutembeatembea
DALILI ZA MTU MWENYE U.T.I
Dalili za mtu mwenye tatizo la U.T.I hutokea tofauti kulingana na umri, jinsia na sehemu iliyoathiriwa. Hizo dalili ni k**a;
Kujihisi mchovu na kutokujisikia vizuri.
Kukojoa kwa shida na kujilazimisha
Maumivu wakati wa kukojoa.
Kukojoa kiasi kidogo na mara kwa mara.
Ili kuepukana na tatizo hili wasliana nasi: 0653263574

31/03/2021

Nawasaidia watu kuondokana na changamoto za kiafya.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam