Violeth beauty

Violeth beauty

Share

KARIBUNI SANA KWA USHAURI ,TIBA YA AFYA YAKO. NIPIGIE 0677303941/ 0785118765

05/07/2024

🍒🍍UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU?👇🫒🥝

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;

☎️☎️Dawa Ninayo Mimi- Call,SMS,Wasap- 0677 303 941
1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizi tunayo tiba inaitwa FEMICARE kwa ajili ya wanawake ambayo itakusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri.

☎️☎️Kwa Tiba Na Ushauri Njoo WhatsApp,Call
📞 0677 303 941

https://chat.whatsapp.com/CC9ZJFW8A2OCk1GZTeuSRJ

05/07/2024

Tumia Dr. Ts toothpaste
Kwa changamoto ya kinywa na meno
Utaipata kwa bei ya offa kabisa
20k
Karibuni sana

29/04/2024

⛔ *BAADHI YA DALILI ZA UTI**
📞 0677 303 941

🔵Kujisikia kukojoa muda wote
🔵kuchoka sanaa
🔵Mkojo kutoa harufu
🔵Mkojo wa rangi
🔵Homa Kali
🔵kichefuchefu
🔵kutapika

*⛔BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI*

▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

*⛔BAADHI YA DALILI ZA P.I.D*

⏩Kutokwa na uchafu mzito ukeni
⏩Uchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano
⏩Uke kutoa harufu mbaya
⏩Kuwashwa sehemu za siri
⏩maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
⏩Uke kuwa mlaini sana
⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa
⏩Kuvurugikwa kwa hedhi
⏩Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
⏩Maumivu wakati wa kukojoa
⏩Homa/uchovu na kuchoka
⏩kizungu zungu na n.k

🌹🌹 *TIBA YA KUONDOA MATATIZO YOTE TULIYOTAJA HAPO JUU NI RYE,* *FEMI9 NA ZAMI9, WASILIANA NASI UWEZE KUANZA TIBA UPONE MOJA KWA MOJA* 📞 0677 303 941

07/02/2024

🍒🍍UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU?👇🫒🥝

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;

☎️☎️Dawa Ninayo Mimi- Call,SMS,Wasap- 0677 303 941
1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizi tunayo tiba inaitwa FEMICARE kwa ajili ya wanawake ambayo itakusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri.

☎️☎️Kwa Tiba Na Ushauri Njoo WhatsApp,Call
📞 0677 303 941

05/02/2024

Mawe kwenye figo, au calculi ya figo, husababishwa na uwepo wa chumvi na madini fulani katika mkojo ambayo hujikusanya na kuunda mawe. Kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia katika kuundwa kwa mawe kwenye figo:

1. Utaratibu wa kiafya: Iwapo mkojo una viwango vya juu cha chumvi na madini k**a vile kalsiamu, oxalate, au asidi ya uric, basi hatari ya kuunda mawe kwenye figo huongezeka. Hali hii inaweza kusababishwa na sababu za urithi, mabadiliko katika mlo, au matatizo ya kimetaboliki.

2. Upungufu wa maji mwilini: Kunywa maji kidogo sana au upungufu wa maji mwilini kunaweza kusababisha mkojo kuwa mkolezi na kuongeza uwezekano wa kuundwa kwa mawe kwenye figo.

3. Maambukizo ya mkojo: Maambukizo katika njia ya mkojo yanaweza kuongeza hatari ya kuundwa kwa mawe kwenye figo. Bakteria wanaoshambulia figo yanaweza kubadilisha muundo wa kemikali katika mkojo na kuwa sehemu ya kuanzisha mawe.

4. Matatizo ya kimaumbile: Baadhi ya watu wanaweza kuwa na kasoro za maumbile ambazo zinaweza kuongeza hatari ya kuundwa kwa mawe kwenye figo. Hali k**a vile cystic kidney disease na hyperoxaluria ni mifano ya matatizo ya kimaumbile yanayohusishwa na mawe kwenye figo.

5. Historia ya familia: Kuwepo kwa historia ya mawe kwenye figo katika familia yako kunaweza kuongeza hatari yako ya kuwa na mawe kwenye figo. Hii inaweza kuwa kutokana na urithi wa tabia za kimetaboliki au maumbile yanayohusiana na mawe kwenye figo.

Ni muhimu kutambua kuwa sababu za kuunda mawe kwenye figo zinaweza kutofautiana kwa kila mtu. Ikiwa una wasiwasi au una dalili zinazowezekana za mawe kwenye figo, ni muhimu kushauriana na daktari wako ili kupata uchunguzi na ushauri sahihi.

Kwa maelezo zaidi usisite kututafuta kwenda Namba 0677 303 941
K**a tayari ni mwenye changamoto za Figo weka appointment yako mapema kuonana na Mtaalam wetu uweze kupata suluhisho la kudumu…

25/01/2024

*UTI SUGU INASABISHWA NA NINI?*
Usugu wa ugonjwa ni hali ya kua na ugonjwa
kwa muda mrefu aidha umeutibia lakini
ugonjwa hauishi ,au hujautibia Moja ya sababu
za kua na UTI sugu ni:--Kutumia dawa bila
kupima au bila kupata ushauri wa
kitaalamuUnakuta mtu akihisi homa ,viuongo
kuuma,nk anajisemea hii itakua UTI anaenda
duka la dawa anasema nipe dawa flani
anatumia,Hii husababisha baadhi ya vimea vya
magonjwa kutengeza usugu kwa dawa flani.
-Kutibiwa kisha unapata maambukizi mapya kila
maraUnashauriwa kutotumia dawa kiholela ili
kuzuia wimbi la usugu wa dawa. 📞 0677 303 941

09/12/2023

*FEMICARE NI NINI* ? Hii ni bidhaa iliyotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu sana kwaajili ya afya ya mwanamke. Kutokana na maisha ya kisasa wanawake wanakutana na matatizo mengi ya kiafya hasa kwenye mifumo yao ya uzazi. Kwa kulitambuwa hilo tunakuletea suluhisho la matatizo yote yanayomuhusu mwanamke. *KIBOKO YA YOTE NI FEMICARE*

*KWANINI UTUMIE FEMICARE? FAIDA ZAKE KWA MWANAMKE*
♥️ Inaondoa harufu mbaya ya uke.
♥️ Husaidia kutibu maradhi ya njia ya mkoji au U.T.I SUGU.
♥️ Huweka uke kuwa msafi na Salama.
♥️ Husaidia kusafisha na kutibu mirija ya uzazi.
♥️ Husaidia kurudisha kuta za uke zilizolegea.
♥️ Husaidia kupunguza maumivu wakati wa hedhi.
♥️ Inatibu P.I.D, endapo ikitumika pamoja na vidonge vya refined.
♥️ Husaidia kurudisha uteute kwa wenye shida ya uke kuwa mkavu.
EWE MWANAMKE INUNUE HII DAWA LEO KWANI FAIDA ZAKE NI NYINGI SANA KWAKO.
Mawasiliano:watsaph 0712593910

0677 303 941
http://wa.me/+255677303941

14/11/2023

💊𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈 ,(𝐇𝐎𝐑𝐌𝐎𝐍𝐄 𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐀𝐍𝐂𝐄 🩺💊).
Call 📞
🔘Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%

𝐕𝐘𝐀𝐍𝐙𝐎 𝐕𝐘𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
⏺️Uwepo wa sumu mwilini
⏺️Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha).
⏺️Umri ukienda sana Kukoma kwa hedhi
⏺️Uzito mkubwa.
⏺️Mabadiliko ya mazingira
⏺️Msongo wa mawazo
⏺️Upungufu wa lishe mwilini.
⏺️Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.
⏺️Utoaji wa mimba
⏺️Ongezeko la homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)

𝐃𝐀𝐋𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
▶️Uke kuwa mkavu
▶️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
▶️Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
▶️Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
▶️Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
▶️Uchovu wa mara kwa mara.
▶️Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara.
▶️Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
▶️Ongezeko la tumbo na nyama uzembe.
▶️Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k).
▶️Kupata hedhi wakati wa ujauzito
▶️Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi.
▶️Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐈𝐍𝐈
➡️Kupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara
➡️Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
➡️Mimba kuharibika mara kwa mara
➡️Kukosa mtoto au Ugumba.
➡️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
➡️Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
➡️UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
➡️Kuziba kwa mirija ya uzazi.
➡️kupatwa na saratani ya kizazi
➡️Uvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovariancysts).

𝐒𝐔𝐋𝐔𝐇𝐈𝐒𝐇𝐎/𝐌𝐀𝐓𝐈𝐁𝐀𝐁

➡️Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda
mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na
wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
➡️Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida.
Lakini hupelekea madhara k**a: Kuongeza uwezekano wa shinikizo la damu,Madhara katika mfumo wa uzazi,Saratani na mengineyo.
➡️Mvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo; vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, n.k.

🔘Namna nzuri yakutibu tatizo la homoni ni kutumia virutubisho lishe ,,𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄. 📞 0677 303 941

13/11/2023

Ondoa aibu na femicare na yunhzi

Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0677 303 941

11/11/2023

*UPUNGUFU WA NGUVU ZA K**E UKOJE?*

Ukisikia mwanamke ana upungufu wa
nguvu za k**e inajumuisha mambo k**a

-Mwanamke kutotamani tendo-Mwingine
anatamani ile wakati wa pa pa pa yeye
hapati raha yoyote-Maumivu wakati wa
tendo-uke una kua mkavu-kupata hamu
kidogo kisha hamu inakata na utamu
unapotea tena, -hufiki kileleni n.k
uTamu unapotea

Utofauti wao na wanaume ni kwamba
wanaumei ili ashiriki tendo ni hadi uume
usimame.

lla mwanamke yeye hata k**a
hajisikii hamu au hasikii utamu yeye anaweza
kutenga mzigo tu kukuridhisha ujipigie zako
uache kubweka😂😂😂🙈

Lakini mwanamke asiposema ndo hivo tena
huwezi jua, hata wengine huigiza k**a vile
wanafika kileleni ila kumbe wapi hata mlima
wenyewe hajui ulipo

USHAURI: Wanawake ambao mna shida hiyo
msikae kimya wala msifiche, muone doctor sbuu
atakusaidia maana maswala haya yanatibika
kitaalamu
kwahiyo usikate tamaa hata k**a uliwahi
kutafuta suluhisho na jambo likawa halikwenda
vizuri. Niipigie Kwa ushauri 📞 0677 303 941

11/11/2023

*UREMBO WA ASILI KWA MWANAMKE* Siri ya mwanamke kuonekana mrembo na kijana kuondoa chunusi, mabaka, makunyanzi ya usoni na ung'arisha ngozi kwa njia ya Asili. *FEMINERGY CAPSULES* Imetengenezwa kiasili na kwa kiwango cha hali juu cha mbegu za zabibu ambazo hujulikana kuwa na kiwango kikubwa kinachopambana ba uzee kinachoitwa PROANTHOCY ANIDISM(OPC) *_Kazi ya feminergy_* ➡Huondoa makunyanzi. ➡Huondoa makovu yaliyo achwa na chunusi. ➡Hung'arisha ngozi na kuondoa mabakaa yasiotakiwa. ➡Huifadhi unyevu wa ngozi. ➡Huzuia magonjwa yaletwayo na umri k**a kansa, kisukari, Magonjwa ya moyo, Macho na Alzheimer's (Watu wazima kupoteza kumbukumbu) Huifanya Organi zako kufanya kazi bila kuzeeka mapema. *_Faida za feminergy_* °Husaidia mishipa ya damu itanuke na kusinya hivyo kuiwezesha presha ya damu. °Husaidia madhara ya mionzi ya jua, simu, Tv na mionzi mingine mwilini mwako. °Husaidia kupambana na Allegy, Athma na mwili kukosa Nguvu. **Kwa nini uchague feminergy** --->Ni ya Asili. Imetengenezwa na mbegu

📞 0677 303 941

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam