AFYA ZAIDI
jipatie dawa ilio tngenezwa kwa mimea tiba na matumda lishe,yenye kutibu magonjwa mengi na kukinga kwaaradhi mengi.
31/03/2021
UFAHAMU UGONJWA WA TEZI DUME
0656517625
Tezi dume ni nini?
Ni tezi inayopatikana kwa mwanaume tu, inapatikana chini kidogo ya kibofu cha mkojo (ni kati ya kibofu na uume).
Tezi dume huwa tatizo pale tezi hizi zinapovimba na kuziba mirija ambayo kwaasili ni njia ambayo husafirisha mkojo au manii (mbegu za kiume).
Uvimbe huo hutokana na seli za mwili kuchoka na hivyo kushindwa kufanya kazi vema.
Kwa matibabu ya hospitali, hulazimu mtu kufanyiwa upasuaji ili kuondoa uvimbe ambapo operesheni hiyo baadae inaweza kusababisha matatizo mengine k**a daktari anaefanya upasuaji husika hatokuwa makini. Matatizo hayo yanaweza kuwa: kukosa nguvu za kiume, kutokwa haja ndogo kwa muda wote n.k.
Hata hivyo, mgonjwa wa tezi dume hulazimika kuvaa pampas kwa muda wa wiki 4 hadi 12 itategemea na namna upasuaji ulivyofanyika.
Mara nyingi tatizo hili huwapata watu wenye umri kati ya miaka 40 na kuendelea. Hata hivyo wapo vijana ambao hupatwa na tatizo hili.
Tatizo hili pia linaweza kuwa la kurithi. Hata hivyo, watu wanaofanya kazi katika viwanda hasa vya rangi wana hatari kubwa sana ya kupata tatizo hili.
Hata hivyo, kufanya mapenzi kupindukia (Excessive sexing) husababisha tatizo hili.
Kwanini?
'Excessive sexing' inasababisha tezi ichoke. Tezi inapochoka hushindwa kutengeneza hisia na kuziongoza (control), hushindwa pia kutengeneza shahawa (semen) pamoja na chakula cha mbegu.
Yeyote mwenye tezi dume basi nguvu za kiume hupungua na k**a ikizidi basis nguvu za kiume hukosekana kabisa.
Mtu mwenye tatizo la tezi dume hupata dalili zifuatazo.👇
1. Kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku. Mara Tatu au Zaidi
2. Unapobanwa na mkojo huwezi kusubiri, unatamani kukojoa papo hapo.
3. Ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani halafu pia unapokojoa unapatwa na maumivu.
4. Unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
5. Unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6. Baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
7. Unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya ndani unajishangaa umelowana.
UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo La Tezi Dume.
Sasa KUNA SULUHUSHO..
LA bidhaa ya asili inayosaidia watu wengi sana, haina kemikali, imetengenezwa kwa mimea asilia.
Kwa maelezo Zaidi, ushauri na tiba tutumie ujumbe au tupigie simu kwa:
0656517625
Afya Yako, Tumaini Lako. Tunaboresha afya yako na uchumi wako..
31/03/2021
UNAFAHAMU NINI KUHUSU UGONJWA WA KISUKARI ?
Kisukari (Diabetic)ni ugonjwa unaonyesha viwango vikubwa vya Glukosi katika damu sababu yake ni uhaba wa Hormone ya Insuline mwilini Au upungufu wa uwezo wa mwili wa kukabiliana na Insuline
🗨️VIASHIRIA VYA UGONJWA WA KISUKARI
🖼️Unene uliozidi kiribatumbo
🖼️Ulaji mbaya wa chakula
🖼️Baadhi ya madawa
🖼️Msongo wa mawazo
🖼️kutofanya mazoezi
🖼️Magonjwa yanayoharibu kongosho
🖼️Utumiaji wa pombe uliozidi na utumiaji wa sigara
🖼️Historia ya Ugonjwa wa kisukari kwenye familia
🖼️Umri zaidi ya miaka arobaini kadiri tunavyozeeka na kongosho letu linapunguza uwezo wa kuzalisha Insuline.
🗨️DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI
🖼️Kiu ya mara kwa mara
🖼️Kupunguza uziyo licha ya kula vizuri
🖼️Njaa kali haswa mara kwa mara
🖼️Macho kupunguza uwezo wa kuona
🖼️kukojoa kupita kiasi cha kawaida
🖼️kidonda kisicho pona haraka
🗨️MADHARA YA KISUKARI ENDAPO UTAPUUZA
🖼️Magonja ya moyo
🖼️Kiharusi/kupooza
🖼️Kupunguza nguvu za kiume
🖼️Figo kushindwa kufanya kazi
⚠️Wasiliana na mimi sasa, sukari inatibika
0656517625
31/03/2021
UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA MATIBABU YAKE
*Nini maana ya shinikizo la damu*?
👉 Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu.
*Shinikizo la damu husababishwa na nini?*
✍️Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu
- Uvutaji sigara
- Unene na uzito kupita kiasi
- Unywaji wa pombe
- Upungufu wa madini ya potassium
- Upungufu wa vitamin D
- Umri mkubwa
- Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
- Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin
*Uanishaji wa shinikizo la damu
- Presha ya kawaida
31/03/2021
MADHARA YA MAGONJWA YA MOYO YASIPOTIBIWA MAPEMA
✍🏻 Ugonjwa wa Moyo usipotiwa mapema huathiri organ nyingine na kusababisha;
👉🏿Moyo kufeli
👉🏿Kiharusi/Stroke baada ya kupungua kwa usambazaji wa damu ya kutosha Na hewa kwenye ubongo Na kupeleka kupasuka Na kuvujisha damu kwenye Ubongo
👉🏿Vifo vya Ghafla
👉🏿 Kusinyaa, kuharibika Na kudhoofika kwà mishipa ya damu na valve za moyo (Rheumatic Heart Disease)
👉🏿Kufeli kwa ini na figo
👉🏿Upungufu Au kukosa kabisa nguvu za Kiume kwà Wanaume
👉🏿 Ugonjwa wa Kisukari
👉🏿Kupoteza fahamu
⚠️Badilika mtanzania, usione tatizo dogo kumbe ndo linaanza Kukua. Epuka madhara, anza tiba zetu Za uhakika ndani ya siku 90-120 utapona 100%.
⚠️Tuma taarifa zako ikiwemo jina Kamili, umri, tatizo, na muda wa tatizo kupitia WhatsApp 0656517625
KINGA NI BORA KULIKO TIBA
31/03/2021
FAHAMU UGONJWA HATARI
WA
BAWASIRI AU
KUOTA KINYAMA SEHEMU YA
HAJA
KUBWA NA NAMNA YA
KUEPUKA NA
UGONJWA HUU. NA TIBA
BILA KUKATWA KINYAMA
~watu wengi wanasumbuliwa
na tatizo hili
ambalo huwafanya kuwa na
uoga na aibu
wa kuelezea na kushindwa
hata kwenda
hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/
HEMORRHOIDS NI
NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na
kuathirika
kwa mishipa ya damu ya
ndani na nnje ya
sehemu ya haja kubwa na
wakati
mwingine mishipa hiyo
huweza kupasuka/
kuteleza na kuvuja damu
kwenye njia ya
haja kubwa na kasababisha
kutoka
kinyama au uvimbe
~ugonjwa huu wa bawasiri
kwa lugha ya
kitaalamu tunauita
HEMORRHOIDS ilhali
kwa lugha ya kingereza
unafahamika k**a
piles
~tatizo hili huwaathiri watu
wote ila zaidi
huwaathiri watu wazima
kuliko watoto na
inakadiriwa kuwa karibu 50%
ya watu
wote wako katika hatari ya
kupata tatizo
hili katika umri wa miaka 30_
50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea
ndani ya
mfereji wa haja kubwa huwa
haiambatani
na maumivu na wengi huwa
hawajitambui
kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na
kuvimba na
kuharibika kwa mshipa wa
artery za ndani
ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika
katika madaraja
manne
(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni
bawasiri
ambayo haitoki mahal pale
panapohusika
(2)DARAJA LA PILI ~hii
hutokea wakati wa
haja na kurudi yenyew ndani
baada ya
kujisaidia
(3)DARAJA LA TATU :hii
hutokea wakati
wa haja kubwa na mtu
kuweza kurudisha
ndani yeye mwenywe
(4)DARAJA LA NNE :hii ni
bawasiri
inayotoka na huwa ngumu
kurudi
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea
katika eneo
la mwisho kabisa la mfereji
wa haja kubwa
na huambatana na maumivu
makali na
kuwashwa kwa ngozi katika
eneo la tundu
Hilo pia husababisha mishipa
ya damu
(vena) kupasuka na damu
kuganda na
kasababisha Aina ya bawasiri
iitwayo
THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa
huu
hakijapatikana ila Kuna vitu
ambavyo
huwa chanzo cha kupata
ugonjwa wa
bawasiri ambayo ni ÷
KUFANYA MAPENZI KINYUME
NA
MAUMBILE
KUHARISHA KWA MUDA
MREFU
TATIZO LA KUTOPATA CHOO
MATATIZO YA UMRI
KUKAA KITAKO KWA MUDA
MREFU
UZITO KUPITA KIASI
MATUMIZI YA VYOO VYA
KUKAA KWA
MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
Ngozi kuwasha katika eneo la
tundu la
haja kubwa
kupata maumivu makali
wakati wa
kujisaidia
kutokea uvimbe katika eneo
la tundu
la haja kubwa
kujitokeza kwa kinyama
katika eneo la
tundu Hilo
kinyesi kuwa na damu na
kunuka
harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA
KUEPUKA TATIZO
LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri
hutegemea na
Aina ya bawasiri pia tiba
iliyozoeleka ni
kukatwa kinyama na
kuendelea na lishe
ya chakula hata hvyo tiba hii
si nzuri
kwasababu huwa haitibu
chanzo cha tatizo
hivyo huwa rahisi kujirudia
~Pamoja na hayo bawasiri ni
ugonjwa
unaoweza kuepukika kwa
kuzingatia
KULA MBOGAMBOGA ZA
MAJANI,
MATUNDA, NA NAFAKA
ZSZOKOBOLEWA
KUNYWA MAJI MENGI
ANGALAU
GRASS 6/12 Kwa siku
EPUKA KUKAA CHOONI KWA
MUDA
MREFU
MADHARA YA TATIZO LA
BAWASIRI
kupata upungufu wa damu
(anemia)
Kupata tatizo la kutokuweza
kuhimil
choo
hupunguza nguvu za kiume
na
kuondoa hamu ya tendo la
ndoa kwa
wanawake
kuathirika kisaikolojia
kukosa moral ya kufanya Kaz
kutokana
na maumivu makali.
KWA TIBA NA KINGA YA
BAWASIRI;-
Tunayo dawa ya miti
shamba, inaitwa "
FARAJA "
Hii dawa ina nguvu na uwezo
mkubwa
sana wa kutibu na kuondoa
kabisa tatizo
la ugonjwa wa BAWASIRI,
Dawa ya faraja inatibu na
kuondoa hili
tatizo ndani ya siku ( 3 )
Dozi kamili ya dawa ya faraja
ni siku ( 7 )
tu
Dawa inatibu na kukinga hilo
tatizo
kutojirudia tena.
Mfumo wa dawa ni unga
unga na mizizi.
Kwa mawasiliano
0656517625
Tunatuma mikoani na kwa dar es salaam tunakufikishia ulipo
31/03/2021
*SULUHISHO LA KUDUMU LA VIDONDA VYA TUMBO* 👇👇👇👇👇👇👇
0656517625
*VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS)*
Ni vidonda vilivyo wazi ambavyo⁶ hutokea katika kuta za tumbo,sehemu ya juu ya utumbo mdogo au kwenye kuta za koromeo kutokana na bacteria waitwao H.pylori na asid inayozalishwa kwenye kuta za tumbo.
Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito. nk
*AINA YA VIDONDA VYA TUMBO* .
Kuna aina tatu ya vidonda vya tumbo
* GASTRIC ULCERS
Hivi ni vidonda ambavyo hutokea ndani ya tumbo,kwenye kuta za tumbo.
* ESOPHAGEAL ULCERS
Hivi ni vidonda ambavyo hutokea ndani ya koo la chakula,kwenye kuta za koo la chakula.
* DUODENAL ULCERS
Ni vidonda ambavyo katika sehemu ya juu ya utumbo mdogo uitwao DUODENUM.
**CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;
Ø Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
Ø Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin(bayer), (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
Ø Msongo mawazo (stress)
Ø Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
Ø Kunywa pombe na vinywaji vikali kupitiliza.
Ø Uvutaji wa sigara.
Ø Kuto kula mlo kwa mpangilio maalumu
Ø Kansa ya tumbo
*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na kuendelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vina dalili k**a;
Ø Kupata maumivu ya tumbo ya kuwaka moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
Ø Kupatwa na kiungulia(heartburn) karibu na chembe ya moyo
Ø Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
Ø Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
Ø Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi cheenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
Ø Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
Ø Kushindwa kupumua vizuri
*JINSI YA KUEPUKANA NA VIDONDA VYA TUMBO*
Ø Kunywa maji mengi
Ø Punguza mawazo, fanya mazoezi yatakupunguza na mawazo
Ø Punguza (balance) kiwango cha lehemu (choresterol) mwilini
Ø Usivute sigara
Ø Punguza au acha kunywa pombe
Ø Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
Ø Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9
MATIBABU
Kwa matatizo ya vidonda vya tumbo,watu wengi wamekuwa hakihangaika sana kupata matibabu sahihi na badala yake wamekuwa wakitumia dawa za kutuliza matatizo ya vidonda vya tumbo na si kutibu tatizo moja kwa moja.
*BASI WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0656517625, KUPATA SULUHISHO LA KUDUMU*
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Lufungira
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 02:00 - 17:00 |
| Tuesday | 02:00 - 17:00 |
| Wednesday | 02:00 - 17:00 |
| Thursday | 02:00 - 17:00 |
| Friday | 02:00 - 17:00 |
| Saturday | 02:00 - 14:00 |