binturembo

binturembo

Share

Tunawasaidia wanawake k**a wewe kuondokana na Chunusi kwa kukushauri namna sahihi ya kutunza ngozi y

23/06/2026

Unajua chunusi zinatia sana huzuni, Yani ata kukaa na watu unagopa!

Unaogopa kwenda harusini, kwenye parties, kwenye mialiko na mitoko mbali mbali!

Wakati mwengine unasuka nywele zijae hadi usoni ili tu ufiche chunusi!

Darling, Unaweza kujipa miezi 9 ya kutumia sabuni, serum na sunscreen kutoka kwetu, mfululizo asubuhi na Jioni na utasahau kuhusu hayo yote...

K**a unavyoona feedback za wateja wetu, na wewe utafurahia muonekano wa ngozi yako...

Bei zetu Nunua:
Sabuni: 10,000/=
Serum: 19,000/=
Sunscreen: 30,000/=

Tunapatikana Tandale Chama ndani ya Oylimpic Petrol Station, Tunafungua Jumatatu hadi Jumapili.
Saa 4:00 Asubuhi hadi Saa 12:00 Jioni.

Tupigie au WhatsApp kwa namba: +255688420201 Tukusaidie na wewe.

23/06/2026

Feedback zetu ni za kweli, Fatisha masharti, fatisha maelekezo, na haya sio matokeo ya wiki 1...

Hapana, Miezi 3 hadi miezi 9

Huku matokeo uhakika, wewe tu na utayari wako!

Njoo tukusaidie, na wewe ukipona ukikubali tukupost tunakupost alafu wanaokujua watakuwa wanakuuliza sasa na wewe utaishia kucheka tu.😂

K**a hutuamini haya, Endelea kuteseka na chunusi.ðŸĪŠ
Tupigie au WhatsApp 0688420201

23/06/2026

Fikiria tu huyu mteja wetu angekata tamaa? Mpaka leo angekuwa bado ana chunusi na madoa ya chunusi...

K**a unahangaika na chunusi njoo tukusaidie na wewe utapona. Call/WhatsApp 0688420201

23/06/2026

Hii serum inasaidia kuondoa changamoto ya chunusi, madoa ya chunusi, na rashes usoni...

Bei yake ni 19,000/= na kubwa yake ni 59,000/=

Wasiliana nas kwa namba 0688420201 kuagiza Dar delivery ipo na Mkoani tunatuma...

Photos from binturembo's post 23/06/2026

Feedback ya wateja swipe kuona zaidi...

Dar delivery ipo na Mkoani tunatuma...

Tupigie simu au WhatsApp kwa namba 0688420201

Photos from binturembo's post 22/06/2026

Mpaka sasa k**a huna chunusi na huna madoa ya chunusi na huna rashes na unataka kutumia product kutoka kwetu, Tunakushauri utumie Sunscreen peke yake...

Tafadhali kwa wewe mteja mpya, usinunue hizi k**a huna chunusi, huna madoa ya chunusi, huna rashes hazikufai...

Tunashukuru kwa kutuamini tukijaaliwa kupata product kwa ajili yako tutakufahamisha kwa sasa zipo hizi tulizonazo...

Umefahamu au Bado?

Tutumie message WhatsApp tukusaidie na wewe upone chunusi, madoa ya chunusi na Rashes namba hii 0688420201

22/06/2026

Suluhisho la chunusi na madoa ya chunusi tunayouza hapa itakupa matokeo ya uhakika, Unatakiwa utumie kwa miezi 3 hadi miezi 9 usiache, usikatishe, usiishie njiani, usiseme nimechoka, usiseme leo nafanya kesho sifanyi sijisikii Hapana...

Ukiamua kununua tafadhali tumia kwa usahihi, Fatisha maelekezo, uwe na mwendelezo na utumie kila siku asubuhi na jioni iwe unajiskia au hujiskii. Kwa nini? Kwa sababu wateja waliopata matokeo ndio wamefanya kwa bidii k**a hio ndio na wao washasahau kuhusu chunusi na madoa ya chunusi...

Na wewe kwa sababu unataka kuondokana na tabu za chunusi na madoa ya chunusi, Tafadhali zingatia ushauri huu...

Call/WhatsApp tukusaidie na wewe: +255688420201

20/06/2026

Umechoka na chunusi na madoa ya chunusi? Unataka utoe shuhuda k**a wanazotoa wateja wetu?

Wasiliana nasi 0688420201

Dukani ni Tandale Chama na tunafungua kila siku saa 4:00 Asubuhi hadi Saa 12:00 Jioni.

Wasiliana nasi Call/WhatsApp tukusaidie na wewe 0688420201

19/06/2026

Clock it.👌

Na wewe unataka kupata matokeo? Call/WhatsApp +255688420201

Photos from binturembo's post 19/06/2026

Sio kila chunusi sababu yake ni mafuta...

Hakikisha unalala vizuri usipate chunusi kwenye komwe...

Ukiweza mafuta yako ya nywele yasifike kwenye komwe k**a hio inakuletea chunusi...

Na stress Jamani, zinaleta chunusi balaa punguza ok Darling.

WhatsApp me nikusaidie chunusi ziishe: Call/WhatsApp +255688420201

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
255