flaviana_yusuph

flaviana_yusuph

Share

AFYA NI MAISHA

Photos from flaviana_yusuph's post 07/08/2023

*VIDONDA VYA TUMBO*

-Hili ni tatizo la mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ambtalo husababisha kumwagika kwa tindikali (Acid) iliopo katika kuta za tumbo.

*SABABU*
-Kukaa na njaa kwa mda mrefu.
-Ulevi uliokithiri.
-Utumiaji wa dawa za maumivu [panadol, Vivian n.k] uliokithiri.
-Msongo mkali wa mawazo

*DALILI*
-Tumbo kujaa gesi.
-Tumbo kuuma.
-Kuharibika mimba kwa wanawake.
-Kichomi.
-Tumbo kuwaka moto.
-Kichefuchefu na kutapika.
-Maumivu ya mgongo.
-Kizunguzungu.
-Kufunga choo.
-Kupata cho chenye damu.

*MADHARA*
-Maumivu makali ya tumbo.
-Kisukari.
-Matatizo ya moyo na Figo.
-Ugumba.
- Na mwisho inaweza kubadilika kua saratani
https://wa.me/message/G7NILTHFD6PBI1
Ukiona dalili hizo usizichukulie kawaida.... njoo inbox nkusaidie. https://wa.me/message/G7NILTHFD6PBI1

Photos from flaviana_yusuph's post 06/08/2023

*VIDONDA VYA TUMBO*

-Hili ni tatizo la mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ambtalo husababisha kumwagika kwa tindikali (Acid) iliopo katika kuta za tumbo.

*SABABU*
-Kukaa na njaa kwa mda mrefu.
-Ulevi uliokithiri.
-Utumiaji wa dawa za maumivu [panadol, Vivian n.k] uliokithiri.
-Msongo mkali wa mawazo

*DALILI*
-Tumbo kujaa gesi.
-Tumbo kuuma.
-Kuharibika mimba kwa wanawake.
-Kichomi.
-Tumbo kuwaka moto.
-Kichefuchefu na kutapika.
-Maumivu ya mgongo.
-Kizunguzungu.
-Kufunga choo.
-Kupata cho chenye damu.

*MADHARA*
-Maumivu makali ya tumbo.
-Kisukari.
-Matatizo ya moyo na Figo.
-Ugumba.
- Na mwisho inaweza kubadilika kua saratani
https://wa.me/message/G7NILTHFD6PBI1
Ukiona dalili hizo usizichukulie kawaida.... njoo inbox nkusaidie

24/04/2021

JINSI Mr Johnson ALIVYOPONA TATIZO LA KISUKARI KWA KUTIBIWA KONGOSHO TU Bila kutumia Dawa
Johnson Patrick Ni mkazi wa mbeya aliehangaika na tatizo la kisukari kwa takribani miaka 6 sasa anafurahia Maisha kwa kuondokana na Tatizo Hilo.
KWANINI
Kisukari jina la kitaalamu hujulikana k**a diabetes mellitus ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya sukari katika damu.

Ugonjwa wa kisukari ni mlolongo wa matatizo mwilini ya mda mrefu na mfupi kutokana na upungufu au kutoweza kutumika vizuri kwa kichocheo kinachoitwa insulin.

Insulin hutengenezwa na chembechembe zilizopo ndani ya kiungo cha kongosho. Miili yetu inahitaji insulin ili kuweza kutumia sukari tuliyonayo mwilini.

Sukari inatokana na chakula tunachokula kila siku na hutumika kwa kuupa nguvu mwilini.

Kwa kawaida sukari ikizidi, ile ziada inahifadhiwa katika ini k**a mafuta. Mafuta hayo hubadilishwa kuwa sukari na kutumika wakati tukiwa na njaa kwa mda mrefu. Endapo kuna matatizo ya kutengeneza au kutumika kwa insulin, sukari mwilini huongezeka haraka na inamaanisha ugonjwa wa kisukari upo na dalili kuanza kuonekana k**a zifuatazo.

1. Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.

2. Kwenda haja ndogo mara kwa mara.

3. Watoto kukojoa kitandani.

4. Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.

5. Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.

6. Kusikia njaa kila wakati na kula sana.

7. Wanawake kuwashwa ukeni.

8. Kutoona vizuri. Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.

9. Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidoleMiguu kuoza na hata kupata gangrini.

10. Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.

11. Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.

12. Kukojoa mkojo ambao mara baada ya dakika chache hujaliwa na sisimizi.

KWANINI TATIZO HILI LINAKUWA SUGU?
Kuna kiungo kinachosimamia masuala ya Sukari mwilini ambacho ni Kongosho. Kongosho kazi yake kubwa ni kuhakikisha insulin inazalishwa mwilini . Insulin kazi yake kubwa ni kuhakikisha Sukari inawianishwa mwilini.
Tatizo linakuja pale Kongosho inapishindwa kuzalisha Insulin ndani ya mwili. Kwamaana kwamba mwili unaanza kuzidiwa na Sukari hapo ndipo Tatizo na ongezeko la Sukari hutokea mwilini.
Kwahiyo Mara nyingi watu wenye kugundulika Wana tatizo hili huanza kuenda clinic maalum Kwa ajili ya kupewa doze maalum ya kuwianisha Sukari aidha ishushwe au ipandishwe. Kwakufanya hivyo ugonjwa unaanza kuwa sugu kwani Kongosho husimamishwa Kabisa.
Suluhisho ni lipi?
Kwakuwa tatizo linaanzia katika Kongosho kushindwa kuzalisha Insulin Ambayo insulin kazi kubwa ni kuwianisha Sukari. Basi matibabu sahihi lazima yaanze katika kulitibu Kongosho Na kuhakikisha linafanya kazi ipasavyo.
Ushauri wangu,
Mara uonapo dalili hizi wahi mapema hospitali kupima ugonjwa wa Kisukari kwa ni miongoni mwa magonjwa yanayochukua muda mrefu kutibika endapo mgonjwa atachelewa kupata matibabu, pia ni miongoni mwa magonjwa ambayo huua kwa kasi zaidi nchini.

Kuna nmana tofauti ya kujizuia kupata ugonjwa wa kisukari, ikiwemo kufanya mazoezi, kula vyakula vyenye afya k**a matunda, mboga za majani na kula vyakula vyenye virutubisho vyote, na mwisho kujitahidi kupima kiwango chako cha sukari mwilini ili kujua k**a kuna uwezekano wa kupata ugonjwa huo ili hatua zaidi zichukuliwe.

Maelezo zaidi na msaada namna ya kujitibu tatizo hili ukiwa kwako kwa mtiririko maalum wa vyakula kwa huduma Ya Kwanza na matibabu unaweza kuongea na assistance wangu kwa kupiga simu namba zifuatazo

0689589849
0678747581/0744652986

Kisukari Sio UGONJWA bali ni Mfumo mbovu tu ulaji wa kila siku.

Ni hatari Sana kwa watu wanene na wenye uzito mkubwa

09/06/2020

*UGONJWA WA KISUKARI*
Ugonjwa wa kisukari ni nini?
Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Ugonjwa wa kisukari hutokana na kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu kuliko inavyotakiwa.

DALILI
Dalili za ugonjwa wa kisukari
1.Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
2.Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
3.Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.
4.Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
5.Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
6.Wanawake kuwashwa ukeni.
7.Kutoona vizuri.
8.Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake
9.Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu na vidole.
10.Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
12.Vidonda au majeraha kutopona haraka.
13. Majipu mwilini.
Wenye dalili hizi wanashauriwa kupima sukari ili kubaini k**a wana kisukari. Kumbuka: Watu 9 kwa kila 100 ya Watanzania wenye umri wa miaka 25 na kuendelea wana ugonjwa wa kisukari. Hata hivyo kati ya hao 9 ni wawili tu wanaojijua kuwa wana kisukari.

*MADHARA YA KISUKARI*
Sukari ikizidi kwa muda mrefu husababisha madhara mengi mwilini. Athari za ugonjwa wa kisukari
 Magonjwa ya moyo huwa mara mbili zaidi ya watu wasio na kisukari
 Shinikizo la damu na kiharusi
 Kuharibika mishipa ya damu na mishipa ya fahamu husababisha ganzi, vidonda
na hata gangrini ya miguu: kisukari ni sababu moja kubwa ya watu kukatwa
miguu
 Kuharibika figo: duniani kote kisukari ndio sababu kubwa ya figo kushindwa
kufanya kazi
 Kuharibika macho: duniani kote kisukari ni sababu kubwa ya upofu kwa watu
wazima
 Kupungua nguvu za kupambana na maambukizo: maambukizo ya fizi, ngozi, njia
ya mkojo na ukeni na kifua kikuu huwa zaidi ya mara mbili kuliko watu wasio na
kisukari.
 Kupungua nguvu za kufanya kazi.
 Kupungua nguvu za kiume na hivyo kuharibu mahusiano ya ndani: karibu robo ya
wanaume wote huwa na tatizo hili wakishindwa kudhibiti kisukari.
 Kuathiri uchumi kutokana na matibabu ya muda mrefu: tiba ya kisukari ni ya maisha. Mahitaji ya dawa peke yake hayapungui shilingi za Tanzania laki nne
kwa mwaka kwa mgonjwa anayehitaji insulini.

*TIBA YA UGONJWA WA KISUKARI
*
WASAILIANA na wataalam kupata msaada zaidi. 0787991339

Dawa hizi au products hizi * Husaidia Kusafisha Sukari inayoingia Mwilini kupitia Chakula, Huponyesha Beta Cell za kwenye Kongosho, Husaidia uzalishwaji wa Insulini.

Kusafisha Mfumo Wa Damu na Kuusaidia Mfumo wote wa Damu kwa Kuondoa Sumu na Moyo, INI Figo kufanya kazi Sawasawa.
Broken

KWA MFANO PRODUCT YA GANODERMA...........................

*• Broken GANODERMA:* Kuisaidia Kinga ya Mwili Kupambana na Magonjwa, Kuupa Mwili Nguvu Na Kuponya Matatizo Sugu, pia Huondoa Sumu Mwilini na Kuponya haraka Vidonda Vinavyosababishwa na Magonjwa K**a KISUKARI.

NB :Dozi ya dawa hizi zinatumiwa Pamoja...Ni dozi iliyokamilika kwa mtu mwenye tatizo la sukari

Hata sukari yako iwe kubwa kiasi gani itashuka tu...na kurudi katika hali yako ya kawaida....

*Kwa Maelekezo Na Ushauri zaidi na Kupata huduma hii wasiliana nami kwa

Whatsapp 0787991339 /0678747581 nashukuru kwa ushirikiano wako barikiwa Sana

08/06/2020

JINSI Mr Johnson ALIVYOPONA TATIZO LA KISUKARI KWA KUTIBIWA KONGOSHO TU Bila kutumia Dawa
Johnson Patrick Ni mkazi wa mbeya aliehangaika na tatizo la kisukari kwa takribani miaka 6 sasa anafurahia Maisha kwa kuondokana na Tatizo Hilo.
KWANINI
Kisukari jina la kitaalamu hujulikana k**a diabetes mellitus ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya sukari katika damu.

Ugonjwa wa kisukari ni mlolongo wa matatizo mwilini ya mda mrefu na mfupi kutokana na upungufu au kutoweza kutumika vizuri kwa kichocheo kinachoitwa insulin.

Insulin hutengenezwa na chembechembe zilizopo ndani ya kiungo cha kongosho. Miili yetu inahitaji insulin ili kuweza kutumia sukari tuliyonayo mwilini.

Sukari inatokana na chakula tunachokula kila siku na hutumika kwa kuupa nguvu mwilini.

Kwa kawaida sukari ikizidi, ile ziada inahifadhiwa katika ini k**a mafuta. Mafuta hayo hubadilishwa kuwa sukari na kutumika wakati tukiwa na njaa kwa mda mrefu. Endapo kuna matatizo ya kutengeneza au kutumika kwa insulin, sukari mwilini huongezeka haraka na inamaanisha ugonjwa wa kisukari upo na dalili kuanza kuonekana k**a zifuatazo.

1. Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.

2. Kwenda haja ndogo mara kwa mara.

3. Watoto kukojoa kitandani.

4. Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.

5. Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.

6. Kusikia njaa kila wakati na kula sana.

7. Wanawake kuwashwa ukeni.

8. Kutoona vizuri. Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.

9. Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidoleMiguu kuoza na hata kupata gangrini.

10. Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.

11. Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.

12. Kukojoa mkojo ambao mara baada ya dakika chache hujaliwa na sisimizi.

KWANINI TATIZO HILI LINAKUWA SUGU?
Kuna kiungo kinachosimamia masuala ya Sukari mwilini ambacho ni Kongosho. Kongosho kazi yake kubwa ni kuhakikisha insulin inazalishwa mwilini . Insulin kazi yake kubwa ni kuhakikisha Sukari inawianishwa mwilini.
Tatizo linakuja pale Kongosho inapishindwa kuzalisha Insulin ndani ya mwili. Kwamaana kwamba mwili unaanza kuzidiwa na Sukari hapo ndipo Tatizo na ongezeko la Sukari hutokea mwilini.
Kwahiyo Mara nyingi watu wenye kugundulika Wana tatizo hili huanza kuenda clinic maalum Kwa ajili ya kupewa doze maalum ya kuwianisha Sukari aidha ishushwe au ipandishwe. Kwakufanya hivyo ugonjwa unaanza kuwa sugu kwani Kongosho husimamishwa Kabisa.
Suluhisho ni lipi?
Kwakuwa tatizo linaanzia katika Kongosho kushindwa kuzalisha Insulin Ambayo insulin kazi kubwa ni kuwianisha Sukari. Basi matibabu sahihi lazima yaanze katika kulitibu Kongosho Na kuhakikisha linafanya kazi ipasavyo.
Ushauri wangu,
Mara uonapo dalili hizi wahi mapema hospitali kupima ugonjwa wa Kisukari kwa ni miongoni mwa magonjwa yanayochukua muda mrefu kutibika endapo mgonjwa atachelewa kupata matibabu, pia ni miongoni mwa magonjwa ambayo huua kwa kasi zaidi nchini.

Kuna nmana tofauti ya kujizuia kupata ugonjwa wa kisukari, ikiwemo kufanya mazoezi, kula vyakula vyenye afya k**a matunda, mboga za majani na kula vyakula vyenye virutubisho vyote, na mwisho kujitahidi kupima kiwango chako cha sukari mwilini ili kujua k**a kuna uwezekano wa kupata ugonjwa huo ili hatua zaidi zichukuliwe.

Maelezo zaidi na msaada namna ya kujitibu tatizo hili ukiwa kwako kwa mtiririko maalum wa vyakula kwa huduma Ya Kwanza na matibabu unaweza kuongea na assistance wangu kwa kupiga simu namba zifuatazo

0787991339
0678747581

Kisukari Sio UGONJWA bali ni Mfumo mbovu tu ulaji wa kila siku.

Ni hatari Sana kwa watu wanene na wenye uzito mkubwa

29/05/2020
29/05/2020

You are most welcome

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam