Changamoto ZA UZAZI Wanawake
�Mshauri wa Afya/Tiba wa Changamoto za Uzazi kwa wanawake. Utajifunza kuhusu afya yako kila siku.
Km unachangamoto nicheck whatsup nikupe ushauri na ujitibie leo
Whatsapp namba 0712 807 243
30/08/2023
*Habari ya asubuhi wapendwa, siku imeanzaje??? Nimewamiss*🙋🏼♀️🙋🏼♀️
*NAWAKUMBUSHA*
📌Matumizi holela ya madawa hasa ya antibiotic k**a wengi walivyozoea kujinywea sio mazuri kwa afya yako hasa *Afya ya uzazi*
📌Antibiotic zinaua bakteria wabaya na vilevile zinaua bakteria wazuri na walinzi katika uke wako,
📌Yaani inaamaniisha unapomaliza kutumia antibiotic yoyote, unakua katika hatari ya kupata maambukizi kuliko hata kabla hujaanza dozi,*kitaalamu inachukua hadi miezi sita kurudisha jamii ya bakteria wazuri katika mwili mf katika matumbo, uke n. K baada ya matumizi ya dozi moja ya antibiotic, wengine hupata hata tatizo la choo kigumu wakiwa katika dozi hizi, ni kwa ajili mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na bakteria wake unaathiriwa na madawa haya🤔🤔* je k**a umekua ukitumia kwa miezi hadi miaka mfululizo uko kwenye hali gani??🤔🤔
📌 *Inachukua jitihada za ziada na umakini wa kujikinga, kula mbogamboga na matunda kwa wingi, kunywa mtindi kwa wingi na chai za mchaichai na tangawizi ukiwa ndani ya dozi na baada ya kumaliza ili kuridisha kabila ya bakteria walinzi katika uke wako usipate maambukizi tena kirahisi*
📌 Na ndo maana tunashauri k**a umekua katika maambukizi sugu kwa mda mrefu miezi kadhaa hadi mwaka na zaidi na umekua katika matumizi ya madawa mda wote huo *HIO NI HATARI KWA AFYA YAKO YA UZAZI*, geukia tiba mbadala yaani tibalishe kupitia package yetu ya Afya ya uzazi itaondoa maambukizi bila madhara huku ikiimarisha kinga yako ya mwili ikiwemo ya uzazi kuongeza nafasi yako ya kushika ujauzito bila kuhangaika.
Wasiliana nami
Wa.me 0712 807 243
04/08/2023
BAADHI YA DALILI ZA UTI
🔵Kujisikia kukojoa muda wote
🔵kuchoka sanaa
🔵Mkojo kutoa harufu
🔵Mkojo wa rangi
🔵Homa Kali
🔵kichefuchefu
🔵kutapika
BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI
▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu
BAADHI YA DALILI ZA PID
⏩Kutokwa na uchafu mzito ukeni
⏩Uchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano
⏩Uke kutoa harufu mbaya
⏩Kuwashwa sehemu za siri
⏩maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
⏩Uke kuwa mlaini sana
⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa
⏩Kuvurugikwa kwa hedhi
⏩Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
⏩Maumivu wakati wa kukojoa
⏩Homa/uchovu na kuchoka
⏩kizungu zungu na n.k
BAADHI YA DALILI ZA FIBROIDS AU UVIMBE KWENYE KIZAZI
🔴Kutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
🔴Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni
🔴Kutokwa na uchafu mwingi na mweupe ukeni
🔴Maumivu makali ya kiuno wakati wa hedhi
🔴Tumbo kuuma sanaa chini ya kitovu
🔴Hedhi isiyokuwa na mpangilio
🔴Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔴Maumivu makali wakati wa hedhi
🔴kukosa hamu ya tendo la ndoa na n.k
BAADHI YA DALILI ZA HORMONE IMBALANCE (mvurugiko wa vichocheo)
🔵ukavu ukeni
🔵Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔵Kutoa jasho jingi usiku
🔵Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
🔵Kukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa
🔵Hedhi isiyo na mpangilio na n.k
BAADHI YA DALILI ZA UGUMBA
🔷Kutoshika ujauzito wakati unakutana na mwanaume
🔷Kutoingia kwenye siku za hatari
🔷Kukosa ute wa siku za hatari
🔷Zaidi ya mwaka bila kupata ujauzito huku ukishiriki tendo la ndoa na mwenzio
🔥K**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa
🔴Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa
🔴Kwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?
🔴Kwa ushauri au kapata huduma zetu tupigie/whatsup 0712807243
27/07/2023
E! WAJUA SABABU KUU ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA?
Vyanzo vikubwa vinavyoweza kusababisha kuharibika kwa mimba
{miscarriage} ni
k**a vifuatavyo;
1.Chromosome abnormalities,
>mimba nyingi ambazo huharibika hadi
wiki ya ishirini husababishwa na tatizo hili
la chromosomes, na chromosomes huwa
zinabeba genes ambazo huyatambulisha
maumbile ya mwanadamu kwa nje, yaani
jinsia yake, ngozi yake itakuaje, macho yake
na vitu vingine vingi nisingependa tuingie
ndani sana lakini matatizo haya ya
chromosomes huchangia sana kuharibika
kwa mimba.
2.Maambukizi katika mji wa uzazi wa
mwanamke {Infections},
>>kuna kitu kinaitwa Pelvic Inflammatory
Diseases {PID} yaani kuvimba kwa kuta za
mji wa mimba au kuvimba kwa mirija ya
uzazi nayo pia huchangia sana kuharibika
kwa
mimba kwa mwanamke, lakini pia Candida
au
fangasi nazo pia huchangia sana kuharibika
kwa mimba.
3.Chanzo kingine kikubwa ni utoaji wa
mimba za mara kwa mara, wanawake au
wasichana
wenye tabia ya kutoa mimba moja au mbili
au
tatu basi nao pia hukutwa na tatizo .
Wasiliana nami kwa ushauri na huduma
Wa. me 0712 807 243
23/07/2023
*NINI CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?*
*Uke mkavu;* ni tatizo ambalo husababishwa na *upungufu wa homoni au kutokua na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo upelekea misuli ya uke kusinyaa na kukosa vilainishi* .
🩸Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na Raha ya tendo.
🩸 Ute huo ukizidi Sana au kua pungufu Sana nalo ni tatizo.
*VISABABISHI VYA UKE MKAVU.*
-Utumiaji mafuta yenye kemikali (cosmetics)
-Magonjwa ya zinaa na fangasi
-Matumizi ya sabuni za antibiotics kwa kuoshea uke
-Upungufu wa homoni
-Uoga na wasiwasi
*DALILI ZA UKE MKAVU*
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kupungua hamu ya tendo la ndoa
-Kua na ngozi kavu
-Maumivu ya mifupa na viungo
-Msongo wa mawazo
-Mzunguko wa hedhi Kubadilika badilika
-Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na Maumivu.
*MATIBABU YA UKE MKAVU*
Kuna tiba imetengenezwa kwa kuzingatia tiba lishe na Ni Bora Zaidi kwa afya
Kwa maelezo zaidi Wa . me 0712 807 243
18/07/2023
*IFAHAMU P. I. D*
Ugonjwa wa pid ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke. Maambukizi haya kutokea ikiwa bakteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye Uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus), mirija ya uzazi (Fallopian tubes) na kwenye O***y (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana).
Pid Inasababishwa Na Nini?
Ugonjwa wa pid husababishwa na magonjwa ya zinaa k**a vile kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia).Mwili wa mwanamke unapokuwa na afya njema, mlango wa kizazi huwa na uwezo mkubwa wa kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni.
Hata hivyo wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa kuingia hasa kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia), mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake na hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi.
Soma pia hii makala: Zijue Dawa Za Asili Za Fangasi Ukeni Ambazo Hakuna Mtaalamu Wa Afya Atathubutu Kukwambia.
Jinsi Mwanamke Anavyo Ambukizwa Ugonjwa Wa Pid:
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa ugonjwa wa pid.Njia hizo ni pamoja na;
A) K**a Una Ugonjwa Wa Zinaa Na Hujatibiwa.
😎 Kufanya Ngono Zembe Isiyosalama (Yaani Kulala Na Wanaume Tofauti Tofauti).
C) Kuwa Na Mpenzi Ambaye Ana Wanawake Wengi Nje.
D) K**a Umeshawai Kuwa Na Historia Ya Kuugua Pid Kabla.
E) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Mara Baada Ya Kutoa Mimba Kwa Njia Zisizo Salama (Post Abortion) Au Mara Baada Ya Mimba Kutoka (Miscarriage).
F) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Hasa Kipindi Mara Baada Ya Kujifungua (Postpartum Period).
G) Kutumia Vipandikizi Vya Ndani Ya Mfuko Wa Uzazi (IUCD) K**a Njia Mojawapo Ya Uzazi Wa Mpango.
H) Kuambukizwa Kupitia Damu Iliyo Na Vimelea Vya Pid.
I) Kutuma Sana Vidole Wakati Wa Kusafisha Uke (Excess Vaginal Douching).
Dalili Za Pid:
*Zipo dalili kadhaa za ugonjwa wa pid, miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na;*
A) Mwanamke Kuhisi Maumivu Ya Tumbo Hasa Maeneo Ya Chini Ya Kitovu.
😎 Kupata Maumivu Ya Mgongo.
C) Mwanamke Kupata Utoko Mchafu Sehemu Za Siri, Utoko Huu Huambatana Na Harufu Mbaya.
D) Kuhisi Maumivu Wakati Wa Kukojoa.
E) Kupata Maumivu/Kutokwa Na Damu Wakati Wa Tendo La Ndoa.
F) Kutokwa Damu Bila Mpangilio Wakati Wa Hedhi.
G) Kupata Homa.
H) Kupata Damu Nje Ya Siku Zako Za Kawaida Kupata Damu Ya Hedhi.
I) Wakati Fulani Kuhisi Kichefuchefu K**a Mwanamke Mjamzito Na kutapika.Usisite wasiliana nami 0712 807 243 whatsup
11/07/2023
DALILI ZA FUNGUS kuna Dalili Nyingi Sana K**a Zifuatavyo; ~Muwasho Sehemu Za Siri ~Vipele Vidogo Vidogo Ukeni ~Kutokwa Uchafu Mweupe Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya ~Vdonda Au Michubuko Ukeni ~Kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni ~Kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa ~Kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke ~Kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke Ushauri na tiba 0712807243
Pid inatibika wasiliana nami nikusaidie usikae na tatizo muda mrefu likaleta infection kwenye kizazi
Wa.me 0712 807 243
P.I.D INATIBIKA ANZA DOZI YA P.I.D NDANI YA WIKI HII YA OFFER, DOZI NZIMA YA P.I.D UTAIPATA KWA OFFA KUWA WAKWANZA KUTUMIA, PIA KUWA WAKWANZA KUPONA
Wa.me 0712 807 243
04/07/2023
Shida kubwa ya PID ni uchafu ule unaotoka huu uchafu unatoka na vimelea vya ugonjwa.
Hivyo vimelea vinabaki kwe mazingira yako ... .
Mazingira k**a chupi , mataulo, night dress, kanga, choo,au Kitu chochote unachotumia kujifuta au kilichogusa huo uchafu n.k...
Kwahiyo hospitali unapewa dawa lakini chanzo cha maambukizi yapo nyumban.... .
So unapewa dawa unapona baada ya mda ugonjwa unaludi tena.. .
Kibaya zaidi hivi vimelea haviwezi kufa kwa sabuni za kawaida tunazotumia nyumbani . Kwa iyo ugonjwa utapotea, unaludi, utpotea unaludi...huku ukizid kukuteketeza.
Nakusababisha matatizo chungu nzima 1.uvimbe 2. hormoneIMBALANCES 3.mirijakuziba 4.mirijakujaamaji 5.viuvimbemajikwenye o***y 6.canceryakizazi 7.ugumba .
Ukipata tatizo lolote kati ya haya inakuwa changamoto mnooo mimba kuingia.
Wa.me 0712 807 243
27/06/2023
https://chat.whatsapp.com/F2ZQtvw5fwl34Dd9QIZ9pu
CHANGAMOTO ZA UZAZI WANAWAKE TU1️⃣ WhatsApp Group Invite
24/06/2023
*UVIMBE KWENYE MFUKO WA MAYAI WA MWANAMKE.*
*VYANZO VYA TATIZO HILI.*
✅kuwa na mzunguko wa hedhi usioeleweka (IRREGULAR MENSTRUATION CYCLE).
✅kuwa na mafuta mengi tumboni.
✅kukosekana kwa uwiano wa vichocheo mwilini (hormone imbalance).
✅kuvunja ungo mapema (katika umri wa miaka 11_kushuka chini).
✅kutumia dawa za matibabu ya saratani ya matiti (tamoxifen).
✅ugumba.
*DALILI NA VIASHIRIA VYA TATIZO HILI.*
✅kupata maumivu makali ambayo huchoma katika nyonga, uke, tumbo, mapajani, mgongoni N.K.
✅kuhisi tumbo kuwa zito limejaa au kuvimba.
✅kupata maumivu katika matiti.
✅kutopata hedhi katika mpangilio.
✅kuvimbiwa mara kwa mara.
✅kuongezeka uzito haraka.
✅kupata maumivu katika mbavu.
✅nywele kukua haraka kila wakati.
✅kupata maumivu makali wakati wa hedhi.
✅kuhisi kichefuchefu.
✅kupata maumivu ya nyonga kila unapofanya mapenzi, mazoezi na Kazi ngumu.
✅kuhisi uchovu kila wakati.
✅kutokwa na matone ya damu.
✅kutoshika mimba.
✅mabadiliko katika upatikanaji wa haja
ndogo kutoka Bila kujielewa.
✅haja kubwa kuwa ngumu.
*Kwa matibabu ya uhakika wasiliana na mshauri wa afya ya uzazi kwa wanawake.*
Wa.me 0712 807 243
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwenge TGB
Dar Es Salaam
P.OBOX,MWENGETGB