Mwigulu afya

Mwigulu afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwigulu afya, Health/Beauty, Ilala boma, Dar es Salaam.

23/07/2024

Binti mmoja aliiba PESA kwa WAZAZI wake Ili ampe mchumba Wake Wafungue BIASHARA...

Ili siku wakioana wawe MATAJIRI, siku kijana alipotajirika kijana akakataa KUMUOA BINTI...

AKASEMA......! Siwezi KUOA Mwizi😂.

Achana na huyo Sasa.

Mwingine alimfungulia DUKA mchumba Wake, WATEJA Wakamuoa.

Hiki sio KIFO Jamani, K**a hutakufa Basi utaua Wewe ukafie JELA ni suala la TIMING TU.

Mwingine alijinyima akamsomesha Mchumba Wake na kumnunulia IPHONE 14, Mchumba alipomaliza masomo akaolewa na wasomi WENZAKE.

NB: Mahali unapowekeza nguvu zako, muda Wako, Pesa yako hapo panaweza Kuwa chanzo Cha FURAHA Yako au HUZUNI YAKO.

Before You Invest, just Investigate......!

TO DARE IS TO DO

10/01/2023

.

BAWASIRI,Ni kinyama au kivimbe kinachotokea katika sehemu yahaja kubwa

BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2.BAWASIRI YA NDANI

Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.

HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda

HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia 0759410881

10/01/2023

TATUA CHANGAMOTO YA TEZIDUME BILA MADHARA 0767041396
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwenye jinsia hiyo kiume anakuwa naloKazi yake ni kutengeneza majimaji yanayobeba beba mbegu,

ZIFUATAZO NI DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI
1; Kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku kuanzia mara 5_10
2; Kutokuishiwa hamu ya kukojoa
3; Kukojoa mkojo usioruka mbali na kuwa na pressure ndogo
4; Kupata U.T.I za mara kwa mara
5; Kupata maumivu makali wakati wa kukojoa

FAHAMU MADHARA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME

1; Kupata saratani ya tezi dume
2; Kupata mawe kwenye Figo
3; Kuharibika kwa kibofu cha mkojo
4; Kuziba kwa njia ya mkojo
5; Kuota majipu kwenye tezi

TUMIA VIRUTUBISHO LISHE KUTATUA CHANGAMOTO YA KUVIMBA KWA TEZI BILA MADHARA

Wasiliana nasi kupitia namba 0767041396

Mwigulu afya Habari njema na za kufurahisha zinapatikana hapa😽

10/01/2023

TATUA CHANGAMOTO YA TEZIDUME BILA MADHARA 0767041396
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwenye jinsia hiyo kiume anakuwa naloKazi yake ni kutengeneza majimaji yanayobeba beba mbegu,

ZIFUATAZO NI DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI
1; Kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku kuanzia mara 5_10
2; Kutokuishiwa hamu ya kukojoa
3; Kukojoa mkojo usioruka mbali na kuwa na pressure ndogo
4; Kupata U.T.I za mara kwa mara
5; Kupata maumivu makali wakati wa kukojoa

FAHAMU MADHARA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME

1; Kupata saratani ya tezi dume
2; Kupata mawe kwenye Figo
3; Kuharibika kwa kibofu cha mkojo
4; Kuziba kwa njia ya mkojo
5; Kuota majipu kwenye tezi

TUMIA VIRUTUBISHO LISHE KUTATUA CHANGAMOTO YA KUVIMBA KWA TEZI BILA MADHARA

Wasiliana nasi kupitia namba 0767041396

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Website

Address


Ilala Boma
Dar Es Salaam
@8899@@@