Charles Anajali Afya

Charles Anajali Afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Charles Anajali Afya, Health/Beauty, Seminari, Dar es Salaam.

Karibuni sana kwa wale mnao sumbuliwa na Vidonda vya tumbo, Tezi Dume, Matatizo ya mifupa, Ukosefu wa nguvu za kiume, UTI, PID na matatizo mengineyo
Karibuni sana, Tupigie kwa No:0788 688 010��
KARIBUNI SANA.

25/12/2023

🤣🤣🤣

25/10/2023

UNAWEZAJE KUMALIZA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO NA TUMBO KUJAA GESI KWA KUTUMIA NJIA TATU??

Vidonda vya tumbo ni michubuko au makovu yanayotokea ndani katika kuta za tumbo au katika kuta za utumbo mdogo. Vidonda hivi husababishwa na bacteria anayeitwa Helicobactor pylori (H-pylori) ambaye huharibu utando unaokinga kuta za utumbo kutokuharibiwa na tindikali. Hivyo husababisha ukuta wa utumbo kuharibiwa na tindikali na kupeleka vidonda katika kuta hizo za tumbo.
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
Kuna aina zipatazo mbili za vidonda vya tumbo:
🥒 Vidonda vya tumbo kubwa: Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa.
🥒 Vidonda vya tumbo ndogo: Hivi ni vidonda vya tumbo ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)
SABABU ZINAZOPELEKEA VIDONDA VYA TUMBO
zipo sababu nyingi lakini zilizo kuu ni hizi mbili:
🍒 Bacteria anayeitwa Helicobactor pylori (H-pylori)
🍒 Tumbo kuunguzwa na kemikali.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Kiungulia au maumivu makali k**a kuungua katikati ya kifua
2. Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
3. Kupata maumivu makali ya tumbo yanayokuwa k**a moto mkali
4. Kutapika damu
5. Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana

MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO
1. Kupata saratani ya tumbo
2. Kuziba kwa njia ya chakula
3. Kuathiri ini na kongosho
4. Kusababisha tundu katika tumbo na kusababish tumbo kutoboka kwa ukuta wa tumbo

SULUHISHO
Zifuatazo ni njia tatu za kuondoa na kumaliza kabisa tatizo la vidonda vya tumbo ndani ya siku 90 kwa kutumia tibalishe pekee:
1. Kuondoa makali ya 34side tumboni
2. Kuongeza ulinzi kwenye tumbo na kuondoa bacteria wabaya.
3. Kuongeza kinga ya mwili na kuponyesha vidonda haraka.

Kwa maelezo zaidi juu ya njia hizi tafadhali wasiliana nasi kwa
Call 0788 688 010/ Whatsapp +255 763 554 221

KUMBUKA
Hizi ni njia za uhakika za kumaliza tatizo la vidonda vya tumbo kwa miezi mitatu tu. Tunazo shuhuda hai kwa waliotumia njia hizi na hatimaye kuondokana na tatizo hili. Amua leo na ahirisha kifo chako mapema kwani vidonda vya tumbo vimegharimu uhai wa wapendwa na ndugu zetu wengi sana.

17/10/2023

Follow back 🔙 My Instagram account.
Charles Seven Force

19/08/2023

Happy Sabbath day

Photos from Charles Anajali Afya's post 11/08/2023

KARIBU UJIPATIE MASHATI MAPYA ORIGINAL KWA BEI YA JUNLA KUANZIA PISI MOJA KWA Shs. 15,000/= tuu

MZIGO UNAKARIBIA KUISHA WAHI MAPEMA.
☎️Airtel ➡️ +255 788 688 010
☎️Tigo ➡️ +255 656 688 010
Whatsapp No +255 763 554 221 call Whatsapp/sms

Location📍Dar Es Salaam.

WATEJA WETU WA MIKOANI KARIBUNI PIA MTUPATIE ODA

ZENU. TUNATUMA MZIGO MKOANI KWA UAMINIFU KABISA.
HAPA KAZI TUU 💪

Karibu sana.

Photos from Charles Anajali Afya's post 16/04/2023

Call @0788688010

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Seminari
Dar Es Salaam