Dr. Kijazi

Dr. Kijazi

Share

Jenga afya yako kwa kufata mfumo bora wa maisha

11/04/2023
11/04/2023

Namna jinsi Disc Herniation inavyotokea na hii ni kitokana sababu k**a vile
1. Umri mkubwa
2. Uzito mkubwa
3. Shuhuli ngumu
4. Ajali
5. Ukosaji wa virutubisho vya msingi

11/04/2023

Mara nyingi nimekuwa nikizungumzia mboga moja iitwayo BROCCOLI, kuwa ni nzuri sana katika afya ya mifupa. Hivyo leo tujaribu kuona faida zake za kiafya k**a ifuatavyo
Kwanza BROCOLI ni mboga ambayo ina virutubisho vingi sana k**a vile

+Vitamin A, B9, C na K
+ Madini ya Calcium, Zinc, Selenium, Phosphorus na Palotassim
+ Fibers
+ Glucoraphanin

FAIDA ZA BRUCCOLI

1. HUSAIDIA KUPUNGUZA CHANGAMOTO ZA MIFUPA
Uwepo wa calcium na vitamin K, ndiyo virutubisho vya msingi kabisa katika kuimarisha afya ya mifupa, lakini pia uwepo wa Zinc, Phosphorus, vitamin A na C pia vina msaada mkubwa sana katika afya ya mifupa.

2. HUSAIDIA KINGA YA MWILI NA KUPAMBANA NA SARATANI
Kilingana na uwepo wa kirutubisho cha GLUCORAPHANIN ambacho ni muhimu sana katika kusaidia seli zisizurike, hivyo basi kinasaidia kuweka kinga vizuri na kukuepusha na baadhi ya aina za saratani k**a vile saratani ya matiti, tezi dume, figo na kibofu.

3. HUSAIDIA KUPUNGUZA MWAKO WA TISHU ZA MWILI
Tunapozungumzia MWAKO ni ile hali ya kuhisi maumivu, kupata joto na kuvimba kwa baadhi ya sehemu za mwili. Hivyo basi kutokana na muunganiko wa virutubisho hivyo mwilini husaidia kupambana na hiyo hali.

4. HUSAIDIA KUWEKA SAWA KIWANGO CHA SUKARI MWILINI
Utumiaji wa BROCCOLI pia husaidia kuweka sawa kiwango cha sukari mwilini kwa wale walio athirika na kisukari hususani wenye kisukari type 2. Lakini pia ina msaada mkubwa kuzuia kudhurika kwa seli za kongosho. Vile vile uwepo wa FIBERS husaidia kuweka kiwango sawa.

5. KUPUNGUZA CHOO KIGUMU

6. HUSAIDIA KWA WATU WENYE MATATIZO YA MOYO

7. NI NZURI KWA MAMA WAJA WAZITO

+255715880746

05/04/2023

Lishe ni kitu cha msingi sana juu ya afya yako.
Kwa kuzingatia changamoto ya mifupa, vipo vyakula vya muhimu kabisa unapswa kuvizingatia ikiwemo korosho, karanga, mbegu za maboga, samaki jamii ya salmon, kutumia matunda na kuepuka vyakula vya wanga

0715880746

05/04/2023

SEPTIC ATHRITIS

K**a mguu wako au kiungo chochote kimevimba kwa hii style, inaitwa septic arthritis..

Goti limevamiwa na bacteria ambao wanasababisha goti kuvimba na kuuma sana. Dalili zake ni homa, wekundu na joto kwenye joint, kuchoka, kuvimba.

0715880746

01/04/2023

Tatizo la DISC BULGE
Tatizo la hili linatokana na kutuna kwa disc ambalo husababishwa na vitu k**a
1. uzito mkubwa
2. Umri mkubwa
3. Ajali
4. Ubebaji wa vitu vizito

Kwa mawasiliano 0715880746

24/03/2023

*TATIZO LA GANZI YA MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)
Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote

NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI
🔷UMRI Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea

🔷KISUKARI Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu hali hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi

🔷DAMU NZITO Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi*
🔷ujauzito
🔷unene/uzito mkubwa
Matibabu ni

Bidhaa bora za tiba lishe ndio zimethibitishwa kuwa tiba kamili ya tatizo hili kiafya na magonjwa mengineyo.
0715880746

23/03/2023

Ni vipi uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe kuna hatarisha AFYA ya mifupa?
Moja wapo ya changamoto ya mifupa huitwa RHEUMATOID, hii ni Ile hali ambapo Kinga ya mwili huasi na huanza kushambulia tabaka flani linalofunika mifupa, na kupelekea viungo vya mifupa kuvimba, kuwaka moto, kubadilika rangi na maumivu makali Sana.
Hivyo basi kutoka na kemikali zitokanazo na moshi wa sigara pamoja pombe, huweza huathiri seli za tabaka lifunikalo mifupa na ndo hapo Kinga ya mwili huasi na kushambulia hilo tabaka na kupelekea RHEUMATOID.

21/03/2023

KULIKA KWA GEGEDU KUNA TIBIKA HATA KABLA HUJAPATA WAZO LA UPASUAJI

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam