afya ya mifupa
tunatoa huduma za afya tupigie 0674769934
HOMA YA INI (hepatitis) inatibika k**a bado hujaathiriwa na madhara yake.
Kwanza Tumtangulize "MUNGU" na kuwa na imani ya kupona Homa ya ini na kuisha kabisa 🙏🙏
➡️Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi wenye changamoto ya hepatitis kupitia tiba asilia.
Hasa kwa wale ambao hawajapata bado madhara makubwa na hata wale ambao Tayar wameshaanza kupata madhara ya Homa ya ini k**a vile :
1. Kuvimba miguu
2. Kuvimba tumbo
3. Unjano wa macho au ngozi
4. Ngozi kuwasha
5. kubadilika rangi ya kinyesi
6. Kupata saratani ya ini
7. kuchoka sana au maumivu ya mwili
Kwa kushughulikia zaidi na:
1. Kupandisha (kuboost) kinga za mwili
2. Kumaliza viruses wa Homa ya ini mwilini
3. Kuondoa sumu mwilini, kulinda utendaji kazi wa ini na kusafisha mwili kwa ujumla yaani detoxification.
📌k**a una Homa ya ini au una dalili zake Homa ya ini (hepatitis)
Basi unaweza kuwasiliana nasi kupata msaada wa haraka kupitia
0624359934
Lakin pia unaweza kunitumia ujumbe mfupi wa neno DAKTARI nitakupigia. Karibu sana
20/03/2024
Ifanye iwe marufuku kwako kutumia antibiotics.
Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu ni moja sababu zinazosababisha matatizo makubwa ya ini.
Na k**a unachangamoto ya ini tumia tu pale ambapo unadhani unaona kuna umhimu wa kutumia dawa hizi.
Jaribu kuziacha kabisaaa, ukianza kutumia dawa hata ukisikia maumivu ya upande wa kulia usijifariji kwa kutumia dawa hizo, heri uendelee kusikia hayo maumivu kuliko kutumia dawa za kutuliza maumivu, kwa watu wenye hii changamoto niko hapa kukwambia kwamba zitakuumiza mara mbili ya hayo maumivu uliyonayo.
Tumia pale kunapokua na ulazima wa kufanya hivyo.
Faraja utakayo jisikia kwa mda mfupi baada ya kutumia hizo dawa inakutengenezea kuzitegemea kwahiyo utajikuta unakua mtumwa, na wakati huo huo ni hatari zaidi kwa afya ya ini lako.
Ifanye iwe MARUFUKU kwako kutumia dawa alafu bila ushauri wa Daktari, kichwa kikiuma tu chwaaaaaaa panadol, Meloxicam. Big noooooooooo.
Ndio maana hua nashauri ukishakua na hili tatizo basi tafuta Daktari wako mmoja wa uhakika awe anaijua vizuri hepatitis maana kuna wengine yani utaogopeshwa huko mpka ushangae, huyo daktari kikiuma kichwa ongea nae, kidole ongea nae, sikio ongea nae, shingo ongea nae yaani huyo hata kucha ikiuma usitumie dawa mpigie kwanza ongea nae atajua nini cha kufanya eeeeeh.
Ukiwa unamtumia tumia na hela ya vocha kila mda mbona utasikilizwa sana tu na hatakuona msumbufu, nakwambia hivi kwasababu madaktari si wote wanawito wa kukusikiliza kumwambia kucha inauma na akakusikiliza.
Na k**a uko na uwezo wa kua na specialist wa hematology (hematologist) ni vizuri zaidi.
14/03/2024
Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini ..
Aina ya magonjwa ya ngozi huwashambulia watu wengi wanaposhindwa kubaini chanzo cha tatizo
tujipende ni muhimu kubaini chanzo cha tatizo kisha suluhisho la kudumu.
Usipuuze dalili, karibu WhatsApp kupata usaidizi. +255692202979
29/02/2024
K**a utapata ugonjwa kwa sababu ya mtindo mbaya wa Maisha, huo ugonjwa utapona kwa kufuata mtindo Mzuri wa Maisha..
Magonjwa k**a presha, mvurugiko wa homoni, Upungufu wa nguvu za kiume, kisukari uzito mkubwa..nk
19/02/2024
Ujumbe kwa wanaume
K**a una Fanya ma********on
K**a una kisukari
K**a una pressure
Najua changamoto ya tendo inakusumbua
Tupo dar es salaam kimara stopover nipigie 0692202979
Kwa USHAURI na TIBA
18/02/2024
Hizi ni baadhi ya mionekano ya haja kubwa, Kupata choo kigumu au kukosa choo (Constipation) ni Janga kwa watu wengi.. Je unapata muda wa kuhoji kwanini unapata choo kigumu? Karibu WhatsApp kupata usaidizi 0692202979
Tunapatikana dar es salaam kimara stopover
18/02/2024
Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini ..
Aina ya magonjwa ya ngozi huwashambulia watu wengi wanaposhindwa kubaini chanzo cha tatizo
tujipende ni muhimu kubaini chanzo cha tatizo kisha suluhisho la kudumu.
Usipuuze dalili, karibu WhatsApp kupata usaidizi.
18/02/2024
Rheumatoid arthritis is an autoimmune condition, which means it's caused by the immune system attacking healthy body tissue. However, it's not yet known what triggers this. Your immune system normally makes antibodies that attack bacteria and viruses, helping to fight infection.
15/02/2024
Kujamiiana ni moja ya mahitaji makubwa ya mwanadamu anapotimiza umri wa miaka 18 na zaidi, lakini wakati mwingine huja na changamoto.
•
Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha vikwazo hivi, lakini baadhi ya sababu zinahusishwa na aina sita ya dawa.
•
1.)Dawa ya kutuliza maumivu.
2.)Dawa ya kutibu kuganda kwa damu,
3.)Dawa ya kuzuia wasiwasi.
•
•
14/02/2024
WANAUME MPO
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam