suluhisho.afya07

suluhisho.afya07

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from suluhisho.afya07, Health/Beauty, kigamboni dar es salaam, Dar es Salaam.

05/10/2023

Uzazi wa Sasa NI tofaut na zamani changamoto ni nyingi zinazomfanya mwanamke ashindwe kubeba mimba K**a
💥 Homoni imbance
💥PID sugu
💥 Mirija kuziba
💥 Uvimbe kwenye kizazi
💥Mayai kutokupevuka
💥Kukosa Ute wa Uzazi
Basi Uzazi tupo kwa ajili yako njoo upate ushauri n suluhusho juu ya changamoto yako my dear
Kwa ushauri Zaid nipigie/wasp no
#0679624326

20/06/2023

Mwanamke angalia video hii itakusaidia Sana kujua n kuweza kujua kipi ufaye
Usilidhike na Hali my dear hiyo Hali inatibika
Inbox me
#0626250736

Send a message to learn more

20/06/2023

Ute wa uzazi ni muhimu Sana K**a uoni huu Ute inbox me...
#0626250736

Send a message to learn more

Photos from suluhisho.afya07's post 20/06/2023

Njoo upate suluhisho usisubili mpk uanze kuwashwa Sana na kuharibu kizazi chako my dear inatibika. .
#0626250736

20/06/2023

PID, inatibika chukua hatua my dear.....
#0626250736

20/06/2023

Njoo ujipatie suluhisho leo.....
#0626250736

20/06/2023

Je wajua UTI,fungusi na pid ni hatari kiasi Gani usilidhike my dear njoo upate suluhisho.....
#0626250736

20/06/2023

Njoo upate suluhisho....
#0626250736

Send a message to learn more

20/06/2023

Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na haya matatizo, hii huduma ipo hapa kwa ajili ya kukusaidia.

Call/ Whatsapp #0626250736

20/06/2023

U.T.I ni Track Urine Infection, maambukizi kwenye mfumo wa mkojo. Maambukizi haya humfanya mwanamke kupata mkojo kidogo kidogo lakini pia kupata maumivu wakati wa kukojoa na athari kubwa ya U.T.I ni kupelekea FIGO kushindwa kufanya kazi vizuri.

P.I.D ni Pelvic Inflammatory Disease, maambukizi kwenye mfumo wa via vya uzazi vya mwanamke. Maambukizi haya hushambulia zaidi mirija ya uzazi, shingo ya kizazi, mji wa mimba (uterus) n.k sababu kubwa ya P.I.D ni hizi; U.T.I na fangasi sugu zinazowasumbua wanawake, lakini pia utoaji wa mimba mara kwa mara, kuharibika kwa mimba n.k....Athari zake ni nyingi k**a vile kupelekea ugumba kwa wanawake wengi, kuharibu via vha uzazi, hormone imbalance, mimba kuharibika mara kwa mara n.k.

Hivyo U.T.I inaweza kusababisha P.I.D na hapa ndipo wanawake wengi huipata P.I.D kwa wingi .

-Karibu inbox upate sulubisho la hayo yote.

Piga/ Whatsapp #0626250736

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Website

Address


Kigamboni Dar Es Salaam
Dar Es Salaam