Irene na afya bora
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Irene na afya bora, Health/Beauty, KIGAMBONI, Dar es Salaam.
17/09/2023
*TOKOMEZA/ SAWAZISHA KISUKARI.*
K**a una dalili hizo apo chini chukua hatua haraka kabla hujachelewa ukashindwa kupona kabisa๐๐๐.
Dalili za kushuka kwa kiwango cha sukari katika damu
Moyo kwenda mbio
Mwili kutetemeka
Kusikia njaa
Kusikia kizunguzungu
Kuona mbali (double vision)
Kuchanganyikiwa
Kutokwa jasho kwa wingi
Kuchoka sana
Hali hii ikizidi mgonjwa huweza kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a hatapata matibabu mapema.
K**a mgonjwa akipatwa na hali hii asipewe kitu chenye sukari, ikiwemo glukosi, soda au juisi.
Kumbuka
Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe kinywaji au chakula
Anaweza kuwekewa glukosi kidogo kati ya shavu na fizi
Awahishwe katika kituo cha huduma za afya haraka iwezekanavyo
Kupanda kwa kiwango cha sukari katika damu
Hali hii hutokea pale kiwango cha sukari kinapokuwa juu kuliko kawaida. Hii inaweza kutokea wakati mgonjwa anapoacha kutumia dawa, asipotunza dawa vizuri, asipotumia dawa kwa usahihi, anapoacha kufuata masharti ya ulaji unaotakiwa, anapopata maabukizo au maradhi mfano malaria, flu, nimonia nk
Dalili za kupanda kiwango cha sukari katika damu
Kupumua haraka haraka
Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
Kua na kiu au kukauka koo
Kunywa maji mengi
Kutoona vizur (ukungu)
Kuchoka bila sababu
Miguu na mikono kuchoma
Kizunguzungu
Kuongezeka mapigo ya moyo au moyo kwenda mbio
Kuchanganyikiwa
Kupungukiwa na maji mwilini
Kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a mgonjwa hatapata matibabu mapema
Kumbuka
Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe chochote bali awahishwe katika kituo cha kutoa huduma za afya haraka sana
Madhara ya muda mrefu
*Upofu
*Maradhi ya figo
*Maradhi ya moyo
*Vidonda kutopona upesi na hatari ya kukatwa mguu
*Kufa ganzi na kupoteza hisia za mikono na miguu
*Kiharusi.
K**A UNASUMBULIWA NA HILI TATIZO NICHEK TSUP๐๐๐
11/09/2023
FURSA FURSA๐๐.
Je unahitaji biashara ambayo itakupatia kipato endelevu ata k**a utafika hatua ya kutokuweza kutumia nguvu zako???
Je unahitaji kutumia muda wako wote au muda wako wa ziada kupata 100,000- 300,000 kwa mwezi????
Kampuni yetu ya kiafya ya BRIGHT FUTURE kutoka marekani inakupa hyo fursa na inalipa kila Mwezi mara baada ya kujiunga nao kutokana na jinsi unavyozidi kufanya kazi kipato ni endelevu na kinazidi kutokana na uchapaji wako wa kazi.
WANAHITAJIKA WATU WANAOJUA KUSOMA NA KUANDIKA, WALIO SERIOUS KWELI NA MAFANIKIO, WENYE MTAJI, WATAKAO KUBALI KUJIFUNZA HII BIASHARA NA WACHAPAKAZI.
Nicheki kwa Whatsapp button apo chini๐๐
11/09/2023
Dalili za kushuka kwa kiwango cha sukari katika damu
Moyo kwenda mbio
Mwili kutetemeka
Kusikia njaa
Kusikia kizunguzungu
Kuona mbali (double vision)
Kuchanganyikiwa
Kutokwa jasho kwa wingi
Kuchoka sana
Hali hii ikizidi mgonjwa huweza kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a hatapata matibabu mapema.
K**a mgonjwa akipatwa na hali hii asipewe kitu chenye sukari, ikiwemo glukosi, soda au juisi.
Kumbuka
Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe kinywaji au chakula
Anaweza kuwekewa glukosi kidogo kati ya shavu na fizi
Awahishwe katika kituo cha huduma za afya haraka iwezekanavyo
Kupanda kwa kiwango cha sukari katika damu
Hali hii hutokea pale kiwango cha sukari kinapokuwa juu kuliko kawaida. Hii inaweza kutokea wakati mgonjwa anapoacha kutumia dawa, asipotunza dawa vizuri, asipotumia dawa kwa usahihi, anapoacha kufuata masharti ya ulaji unaotakiwa, anapopata maabukizo au maradhi mfano malaria, flu, nimonia nk
Dalili za kupanda kiwango cha sukari katika damu
Kupumua haraka haraka
Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
Kua na kiu au kukauka koo
Kunywa maji mengi
Kutoona vizur (ukungu)
Kuchoka bila sababu
Miguu na mikono kuchoma
Kizunguzungu
Kuongezeka mapigo ya moyo au moyo kwenda mbio
Kuchanganyikiwa
Kupungukiwa na maji mwilini
Kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a mgonjwa hatapata matibabu mapema
Kumbuka
Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe chochote bali awahishwe katika kituo cha kutoa huduma za afya haraka sana
Madhara ya muda mrefu
Upofu
Maradhi ya figo
Maradhi ya moyo
Vidonda kutopona upesi na hatari ya kukatwa mguu
Kufa ganzi na kupoteza hisia za mikono na miguu
Kiharusi.
JE UNA MOJA YA DALILI HIZO ZA AWALI??? AU JE UNA MOJA YA MADHARA AYO YA MDA MREFU YATOKANAYO NA KISUKARI?? NICHEKI WHATSAPP MATIBABU YETU NI HAKIKA NA NAFUU KWA MATOKEO BORA ZAIDI๐๐
11/08/2023
Ujumbe muhimu kwa watu wenye changamoto ya kisukari.
Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa huu wa kisukari.
K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.
Kwa jina naitwa Dr.Irene.
Ninawasaidia watu wote kutatua tatizo la kisukari bila ya kutumia dawa za hospitalini kupitia virutubisho lishe na mpangilio wa chakula.
Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua tatizo la kisukari likaisha kabisaa.
K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ubonyeze kitufe chenye alama ya Whatsapp hapa chini.
Au nitumie ujumbe wa watsapp kwenda namba 0623064619.
Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia wewe pamoja na wenzako darasa bure kabisa kupitia group la watsapp.
Comment namba yako hapa chini mara moja kabla ya group letu kujaa.
Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,
Dr.Irene
Mkurugenzi, [Mtaalamu wa mfumo wa damu]
Karibuni sana
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
KIGAMBONI
Dar Es Salaam