Irene na afya bora

Irene na afya bora

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Irene na afya bora, Health/Beauty, KIGAMBONI, Dar es Salaam.

17/09/2023

*TOKOMEZA/ SAWAZISHA KISUKARI.*
K**a una dalili hizo apo chini chukua hatua haraka kabla hujachelewa ukashindwa kupona kabisa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡.
Dalili za kushuka kwa kiwango cha sukari katika damu

Moyo kwenda mbio

Mwili kutetemeka

Kusikia njaa

Kusikia kizunguzungu

Kuona mbali (double vision)

Kuchanganyikiwa

Kutokwa jasho kwa wingi

Kuchoka sana

Hali hii ikizidi mgonjwa huweza kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a hatapata matibabu mapema.

K**a mgonjwa akipatwa na hali hii asipewe kitu chenye sukari, ikiwemo glukosi, soda au juisi.

Kumbuka



Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe kinywaji au chakula

Anaweza kuwekewa glukosi kidogo kati ya shavu na fizi

Awahishwe katika kituo cha huduma za afya haraka iwezekanavyo





Kupanda kwa kiwango cha sukari katika damu

Hali hii hutokea pale kiwango cha sukari kinapokuwa juu kuliko kawaida. Hii inaweza kutokea wakati mgonjwa anapoacha kutumia dawa, asipotunza dawa vizuri, asipotumia dawa kwa usahihi, anapoacha kufuata masharti ya ulaji unaotakiwa, anapopata maabukizo au maradhi mfano malaria, flu, nimonia nk

Dalili za kupanda kiwango cha sukari katika damu

Kupumua haraka haraka

Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku

Kua na kiu au kukauka koo

Kunywa maji mengi

Kutoona vizur (ukungu)

Kuchoka bila sababu

Miguu na mikono kuchoma

Kizunguzungu

Kuongezeka mapigo ya moyo au moyo kwenda mbio

Kuchanganyikiwa

Kupungukiwa na maji mwilini

Kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a mgonjwa hatapata matibabu mapema

Kumbuka

Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe chochote bali awahishwe katika kituo cha kutoa huduma za afya haraka sana

Madhara ya muda mrefu
*Upofu
*Maradhi ya figo
*Maradhi ya moyo
*Vidonda kutopona upesi na hatari ya kukatwa mguu
*Kufa ganzi na kupoteza hisia za mikono na miguu
*Kiharusi.
K**A UNASUMBULIWA NA HILI TATIZO NICHEK TSUP๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

11/09/2023

FURSA FURSA๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡.
Je unahitaji biashara ambayo itakupatia kipato endelevu ata k**a utafika hatua ya kutokuweza kutumia nguvu zako???

Je unahitaji kutumia muda wako wote au muda wako wa ziada kupata 100,000- 300,000 kwa mwezi????

Kampuni yetu ya kiafya ya BRIGHT FUTURE kutoka marekani inakupa hyo fursa na inalipa kila Mwezi mara baada ya kujiunga nao kutokana na jinsi unavyozidi kufanya kazi kipato ni endelevu na kinazidi kutokana na uchapaji wako wa kazi.
WANAHITAJIKA WATU WANAOJUA KUSOMA NA KUANDIKA, WALIO SERIOUS KWELI NA MAFANIKIO, WENYE MTAJI, WATAKAO KUBALI KUJIFUNZA HII BIASHARA NA WACHAPAKAZI.

Nicheki kwa Whatsapp button apo chini๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

11/09/2023

Dalili za kushuka kwa kiwango cha sukari katika damu

Moyo kwenda mbio

Mwili kutetemeka

Kusikia njaa

Kusikia kizunguzungu

Kuona mbali (double vision)

Kuchanganyikiwa

Kutokwa jasho kwa wingi

Kuchoka sana

Hali hii ikizidi mgonjwa huweza kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a hatapata matibabu mapema.

K**a mgonjwa akipatwa na hali hii asipewe kitu chenye sukari, ikiwemo glukosi, soda au juisi.

Kumbuka



Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe kinywaji au chakula

Anaweza kuwekewa glukosi kidogo kati ya shavu na fizi

Awahishwe katika kituo cha huduma za afya haraka iwezekanavyo





Kupanda kwa kiwango cha sukari katika damu

Hali hii hutokea pale kiwango cha sukari kinapokuwa juu kuliko kawaida. Hii inaweza kutokea wakati mgonjwa anapoacha kutumia dawa, asipotunza dawa vizuri, asipotumia dawa kwa usahihi, anapoacha kufuata masharti ya ulaji unaotakiwa, anapopata maabukizo au maradhi mfano malaria, flu, nimonia nk

Dalili za kupanda kiwango cha sukari katika damu

Kupumua haraka haraka

Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku

Kua na kiu au kukauka koo

Kunywa maji mengi

Kutoona vizur (ukungu)

Kuchoka bila sababu

Miguu na mikono kuchoma

Kizunguzungu

Kuongezeka mapigo ya moyo au moyo kwenda mbio

Kuchanganyikiwa

Kupungukiwa na maji mwilini

Kupoteza fahamu na hatimaye kupoteza maisha k**a mgonjwa hatapata matibabu mapema

Kumbuka

Mgonjwa aliyepoteza fahamu asipewe chochote bali awahishwe katika kituo cha kutoa huduma za afya haraka sana

Madhara ya muda mrefu

Upofu

Maradhi ya figo

Maradhi ya moyo

Vidonda kutopona upesi na hatari ya kukatwa mguu

Kufa ganzi na kupoteza hisia za mikono na miguu

Kiharusi.

JE UNA MOJA YA DALILI HIZO ZA AWALI??? AU JE UNA MOJA YA MADHARA AYO YA MDA MREFU YATOKANAYO NA KISUKARI?? NICHEKI WHATSAPP MATIBABU YETU NI HAKIKA NA NAFUU KWA MATOKEO BORA ZAIDI๐Ÿ™๐Ÿ™

11/08/2023

Ujumbe muhimu kwa watu wenye changamoto ya kisukari.

Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa huu wa kisukari.

K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.

Kwa jina naitwa Dr.Irene.

Ninawasaidia watu wote kutatua tatizo la kisukari bila ya kutumia dawa za hospitalini kupitia virutubisho lishe na mpangilio wa chakula.

Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua tatizo la kisukari likaisha kabisaa.

K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ubonyeze kitufe chenye alama ya Whatsapp hapa chini.

Au nitumie ujumbe wa watsapp kwenda namba 0623064619.

Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia wewe pamoja na wenzako darasa bure kabisa kupitia group la watsapp.

Comment namba yako hapa chini mara moja kabla ya group letu kujaa.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

Dr.Irene

Mkurugenzi, [Mtaalamu wa mfumo wa damu]

09/08/2023

Karibuni sana

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


KIGAMBONI
Dar Es Salaam