ROSE Health Care
Pata tiba kamili ya magonjwa yote kwa kutumia seli shina ambayo inatibu chanzo cha tatizo
01/05/2023
Namshukuru MUNGU mme wangu amepona kiharusi, kateseka na changamoto ya kiharusi zaidi mwaka mmoja na nusu ikimtesa, tulitumia kila aina ya njia kumsaidia ili aweze kurejea katika afya yake bila mafanikio badala yake tuliishia kupoteza pesa tu.
Nikiwa mtandaoni nliona tangazo la SELI SHINA kwamtu alie kuwa katumia SELI SHINA akisema amepona nikataka kujua zaidi juu ya njia hii k**a inaweza msaidia mme wangu pia nikawa nimewapigia kujua nmna gani inamaliza tatizo hili
Dr ROSEMISTIKA alinieleza kuwa seli shina inaondoa chanzo cha tatzo kwa maana kumaliza presha ambayo ndo chanzo kikuu cha kiharusi, kuzibua seli za fahamu zilizo ziba kwenye mfumo wa ubongo na kukarabati seli ya fahamu k**a ilipasuka baada ya presha kupanda au damu kuvilia kwenye mishipa ya fahamu ambapo ndo hupelekea kiharusi
Namshukuru sana DR ROSEMISTIKA alinipatia robo ya wiki tatu atumie mme wangu skuamini kwa mabadriko makubwa alio yapata alikua anajisaidia bila kujua ila baada ya kutumia seli shina akawa akibanwa hata haja ndogo ananiita,sasa miezi miwili kaimarika na anatembea mwenyewe na kufanya mazoezi
Ningependa pia kuwashauri wenzangu wenye wagonjwa wa namna hii watumie SELI SHINA kwa kuwasiliana na mtaalam 0768 319 762
01/05/2023
Jinsi ya kutofautisha Ute kwa wanawake.
Kila mwanamke katika maisha yake kuna muda anatokwa na ute katika viungo vyake vya uzazi,ute huu unaweza kuwa wa kawaida au ute unasababishwa na magonjwa.
Ute wa kawaida ni ule ute unaotokea kwa sababu ya mifumo mbali mbali mwilini(physiological processes) Mara nyingi ute wa kawaida huwa hauambatani na muwasho sehemu za siri.
Ute unaosababishwa na magonjwa huu mara nyingi huambatana na muwasho sehemu za siri na saa nyingine harufu kali,japo yapo magonjwa mengine yanayopelekea kutokwa na ute usioambatana na muwasho.
Asilimia kubwa ya wanawake hawajui jinsi ya kupambanua ute upi ni wa kawaida na upi ni sababu ya magonjwa.Leo nitazungumzia kuhusu ute wa kawaida.
UTE USIOKUWA NA MUWASHO UNAWEZA KUWA SABABU YA MIFUMO YA UTENDAJI KAZI WA MWILI AU UNAWEZA KUWA SABABU YA MAGONJWA
UTE WA KAWAIDA
K**a tunavyojua uke ni k**a njia inayounganisha kati ya viungo vya ndani vya uzazi mfano mji wa mimba na viungo vya nje. Kuta za uke huwa zinazalisha ute ute au majimaji,kuna kipindi maji haya yanaweza kutoka nje ya uke hali inayowafanya watu wasiojua kupambanua aina ya ute kuhisi labda ni wagonjwa nk.
Ute huu unaozalishwa na kuta za uke unasaidia kuondoa au kutoa nje wadudu waletao magonjwa, Kuufanya uke kuwa na unyevunyevu muda wote,kufanya kiwango cha asidi au tindikali(PH) kuwa katika kiwango ambacho mbegu za kiume zinaweza kuvumilia endapo zitaingia zisife. Kikawaida PH ya uke ni ACIDIC ili kuzuia wadudu waletao magonjwa wasiweze kuingia na hali hii inasababishwa na wadudu wenye faida(normal flora) wanopatikana ndani ya uke kwa kila mwanamke.wadudu hawa ni k**a Lactobacilli na candida albicans.
Ute huu ndani yake unakua pia na majimaji ya tishu, seli zilizokufa,protini na seli nyeupe za damu.
Ute huu wa kawaida unakua k**a maji,hauna rangi na saa nyingine unaweza kuwa na k**a mawingu(cloudy),ute huu ubadilika na kuwa na rangi inayoelekea kuwa k**a njano pale unapokauka. Wingi wa ute huu huwa sio sana,unakua katika kiasi cha kulowanisha sehemu ya nje ya uke na kidogo nguo ya ndani na hauna harufu kali.
Ute huweza kuongezeka kwa kipindi fulani.Unaweza kuzalishwa kwa wingi katika hali zifatazo.
1.Siku za hatari ya kupata mimba(ovulation)
Kipindi hiki ndipo yai huachiliwa kutoka kwenye mfuko wa yai(ovary),kipindi hiki hormone ya estrogen inayozalishwa hufanya tezi zilizoko kwenye uke kuzalisha ute mwingi kwa lengo la kusaidia mbegu za kiume zinapoingia ziweze kusafiri kwa urahisi kulifata yai lililoachiliwa.Ute huu unakua hauna rangi,mzito na unaovutika,uko k**a ute wa yai bichi.
KARIBIA NA HEDHI
Siku mbili au moja kabla ya kuanza bleed (Hedhi) wanawake hupata ute ambao unakua mzito kidogo na rangi yake inakua Inaelekea kuwa k**a ya damu ya mzee(Brown), Siku unapoanza kupata kupata ute wa rangi hii ndo inakua siku ya kwanza kwenye mzunguko wako.
Hivyo unopata ute wenye rangi ya Brown siku unapokalibia siku za bleed ni kawaida.
WAKATI WA UJAUZITO
Kipindi cha ujauzito pia hormone ya estrogen inazalishwa kwa wingi ili kuimarisha mji wa mimba,hormone hii inafanya tezi za kuta za uke kuzalisha ute ute mwingi.ute wa kipindi hiki unakua hauna rangi au unakua na rangi k**a mawingu na hauna harufu kali.ute huu huzalishwa kwa wingi kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito
WAKATI WA TENDO LA NDOA
Wakati wa ashiki ya tendo la ndoa uke huzalisha ute mwepesi ulio k**a maji na unakua hauna harufu kali.
WAKATI WA BAREHE
Kipindi binti anavunja ungo anapata ute mwingi,kutokana na kuongezeka kwa uzalishwaji wa hormone za uzazi hasa hormone ya estrogen.
DAWA ZA UZAZI WA MPANGO
Pia matumizi ya dawa za uzazi wa mpango,hasa vidonge husababisha kuzalishwa kwa wingi ute.Ila unakua hauna rangi,harufu wala muwasho.
Bila shaka umeelewa jinsi gani ute wa kawaida unakuwa.
Ute wowote unaoambatana na muwasho sehemu za siri na harufu kali ni dalili ya ugonjwa,upatapo hali hiyo vyema ukawahi hospitali ili kufanyiwa vipimo na kupata matibabu mapema.Jinsi ya kutofautisha Ute kwa wanawake.
Kila mwanamke katika maisha yake kuna muda anatokwa na ute katika viungo vyake vya uzazi,ute huu unaweza kuwa wa kawaida au ute unasababishwa na magonjwa.
Ute wa kawaida ni ule ute unaotokea kwa sababu ya mifumo mbali mbali mwilini(physiological processes) Mara nyingi ute wa kawaida huwa hauambatani na muwasho sehemu za siri.
Ute unaosababishwa na magonjwa huu mara nyingi huambatana na muwasho sehemu za siri na saa nyingine harufu kali,japo yapo magonjwa mengine yanayopelekea kutokwa na ute usioambatana na muwasho.
Asilimia kubwa ya wanawake hawajui jinsi ya kupambanua ute upi ni wa kawaida na upi ni sababu ya magonjwa.Leo nitazungumzia kuhusu ute wa kawaida.
UTE USIOKUWA NA MUWASHO UNAWEZA KUWA SABABU YA MIFUMO YA UTENDAJI KAZI WA MWILI AU UNAWEZA KUWA SABABU YA MAGONJWA
UTE WA KAWAIDA
K**a tunavyojua uke ni k**a njia inayounganisha kati ya viungo vya ndani vya uzazi mfano mji wa mimba na viungo vya nje. Kuta za uke huwa zinazalisha ute ute au majimaji,kuna kipindi maji haya yanaweza kutoka nje ya uke hali inayowafanya watu wasiojua kupambanua aina ya ute kuhisi labda ni wagonjwa nk.
Ute huu unaozalishwa na kuta za uke unasaidia kuondoa au kutoa nje wadudu waletao magonjwa, Kuufanya uke kuwa na unyevunyevu muda wote,kufanya kiwango cha asidi au tindikali(PH) kuwa katika kiwango ambacho mbegu za kiume zinaweza kuvumilia endapo zitaingia zisife. Kikawaida PH ya uke ni ACIDIC ili kuzuia wadudu waletao magonjwa wasiweze kuingia na hali hii inasababishwa na wadudu wenye faida(normal flora) wanopatikana ndani ya uke kwa kila mwanamke.wadudu hawa ni k**a Lactobacilli na candida albicans.
Ute huu ndani yake unakua pia na majimaji ya tishu, seli zilizokufa,protini na seli nyeupe za damu.
Ute huu wa kawaida unakua k**a maji,hauna rangi na saa nyingine unaweza kuwa na k**a mawingu(cloudy),ute huu ubadilika na kuwa na rangi inayoelekea kuwa k**a njano pale unapokauka. Wingi wa ute huu huwa sio sana,unakua katika kiasi cha kulowanisha sehemu ya nje ya uke na kidogo nguo ya ndani na hauna harufu kali.
Ute huweza kuongezeka kwa kipindi fulani.Unaweza kuzalishwa kwa wingi katika hali zifatazo.
1.Siku za hatari ya kupata mimba(ovulation)
Kipindi hiki ndipo yai huachiliwa kutoka kwenye mfuko wa yai(ovary),kipindi hiki hormone ya estrogen inayozalishwa hufanya tezi zilizoko kwenye uke kuzalisha ute mwingi kwa lengo la kusaidia mbegu za kiume zinapoingia ziweze kusafiri kwa urahisi kulifata yai lililoachiliwa.Ute huu unakua hauna rangi,mzito na unaovutika,uko k**a ute wa yai bichi.
KARIBIA NA HEDHI
Siku mbili au moja kabla ya kuanza bleed (Hedhi) wanawake hupata ute ambao unakua mzito kidogo na rangi yake inakua Inaelekea kuwa k**a ya damu ya mzee(Brown), Siku unapoanza kupata kupata ute wa rangi hii ndo inakua siku ya kwanza kwenye mzunguko wako.
Hivyo unopata ute wenye rangi ya Brown siku unapokalibia siku za bleed ni kawaida.
WAKATI WA UJAUZITO
Kipindi cha ujauzito pia hormone ya estrogen inazalishwa kwa wingi ili kuimarisha mji wa mimba,hormone hii inafanya tezi za kuta za uke kuzalisha ute ute mwingi.ute wa kipindi hiki unakua hauna rangi au unakua na rangi k**a mawingu na hauna harufu kali.ute huu huzalishwa kwa wingi kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito
WAKATI WA TENDO LA NDOA
Wakati wa ashiki ya tendo la ndoa uke huzalisha ute mwepesi ulio k**a maji na unakua hauna harufu kali.
WAKATI WA BAREHE
Kipindi binti anavunja ungo anapata ute mwingi,kutokana na kuongezeka kwa uzalishwaji wa hormone za uzazi hasa hormone ya estrogen.
DAWA ZA UZAZI WA MPANGO
Pia matumizi ya dawa za uzazi wa mpango,hasa vidonge husababisha kuzalishwa kwa wingi ute.Ila unakua hauna rangi,harufu wala muwasho.
Bila shaka umeelewa jinsi gani ute wa kawaida unakuwa.
Ute wowote unaoambatana na muwasho sehemu za siri na harufu kali ni dalili ya ugonjwa,upatapo hali hiyo vyema ukawahi hospitali ili kufanyiwa vipimo na kupata matibabu mapema.
01/05/2023
Vitu 10 vinavyoweza kusababisha upate watoto mapacha
Tafiti zinaonyesha kwamba uwezekano wa mwanamke mmoja kubeba mimba ya mapacha ni aslimia 3 na kuna njia mbalimbali zinaweza kuongeza uwezekano huu mpaka asilimia tano au kumi na tutaziona hapo chini.
Japokuwa watoto mapacha wanapendeza sana na kufurahisha nyumba sio wanawake wote wanapenda watoto mapacha na mapacha hubeba hatari kubwa kipindi cha ujauzito kwani sio rahisi kuwazaa kwa njia ya kawaida huku wakiongeza dalili za ujauzito kua kali zaidi k**a kutapika sana, kuchoka sana nk.
Watoto mapacha wanatokea vipi kwenye kizazi?
Kuna aina mbili za watoto mapacha.
a) Mapacha wa kufanana au identical twins
Hawa ni mapacha ambao hutokea pale yai moja la mwanamke lililorutubishwa na na mbegu ya mwanaume linapogawanyika na kutengeneza watoto wawili.
Watoto hawa hufanana kwa kila kitu yaani sura, tabia mpaka jinsia na hua ni vigumu sana kuwatofautisha kwa macho.
b) Mapacha wasiofanana au non identical twins
Mapacha hawa hutokea pale mayai mawili ya mama yanavyorutubishwa na kujishikiza tofauti kwenye mfuko wa uzazi.
Mapacha hawa hua wako tofauti kwa sura, jinsia na hata tabia.
Hawa ni k**a ndugu waliofuatana tu.
je unawezaje kupata watoto mapacha?
Kusema ukweli hakuna njia ya moja kwa moja inayojulikana wazi ya kupata watoto mapacha.
Hata hivyo kuna baadhi ya sababu zinaongeza nafasi kubwa ya kubeba mimba ya watoto mapacha na tafiti nyingi zimeonyesha kwamba matumizi ya njia hizo yanaongeza nafasi kubwa sana ya kubeba watoto mapacha.
Watoto mapacha wapatao milioni 1.6 wanazaliwa kila mwaka duniani kote, katika watoto 100 wanaozaliwa kuna mapacha 6 kati yake.
Kuchelewa kuzaa na teknolojia za kitabibu k**a vile IVF zimeongeza idadi ya mapacha kuzaliwa kwa asilimia mpaka 70 tangu miaka ya 1980.
Vitu 10 vinavyoweza kusababisha upate watoto mapacha
je unawezaje kupata watoto mapacha?
1: Kutumia dawa za kupata ujauzito
Kuna dawa ambazo hutumiwa na wanawake ambao wanashindwa kubeba mimba, dawa hizi hufanya yai zaidi ya moja kuachiwa kutoka kwenye mirija ya uzazi na hii huongeza uwezekano mkubwa wa kubeba mapacha, na wanawake wanaotumia dawa hizi hujikuta wanabeba mapacha.
2. Umri
Mwanamke mwenye umri wa miaka 30 na kuendelea ana uwezekano mkubwa wa kupata ujauzito wa mapacha.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba homoni ijulikanayo k**a Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ huongezeka mwilini mwa mwanamke kadri anavyozidi kuwa na umri mkubwa.
Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ ndiyo inahusika na ukuaji na afya ya mayai kwenye mirija ya mayai ya uzazi kabla hayo mayai hayajatolewa tayari kwa kurutubishwa.
Kadri umri unavyoongezeka ndivyo na homoni hii inavyohitajika kwa wingi sababu mayai ya uzazi yanakuwa yanahitaji kusiisimuliwa zaidi ili yaweze kukua kuliko kwa wasichana wadogo.
Hili linaweza lisieleweke kirahisi kwa sababu kwa kawaida Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ huwa inaongezeka kwa mwanamke anayekuwa hana uwezo wa kupata ujauzito kirahisi na ana dalili za kuwa mgumba
Hata hivyo kuna nyakati vijishimoyai (follicles) vinapigana na kuongezeka kwa Follicle-stimulating hormone (F.S.H)’ na matokeo mayai mawili au zaidi hutolewa na hivyo mimba ya mapacha inatungwa
3. Historia
Ikiwa kwenye familia yenu kuna historia ya kuwepo watoto mapacha basi kuna uwezekano na wewe ukapata.
K**a mama yako mzazi amewahi kupata mapacha kuna uwezekano na wewe ukapata mapacha
K**a mama yako au hata baba yako wote wawili kwenye familia zao kumewahi kutokea mapacha basi na wewe unaweza kupata mapacha
Hili siyo la lazima lakini kuna asilimia fulani ya ukweli japo siyo kwa asilimia mia moja
4. Uzito
Mwanamke mwenye uzito mkubwa anao uwezekano mkubwa wa kupata ujauzito wa watoto mapacha kuliko mwanamke mwembamba na mwenye uzito mdogo
Mafuta yanapozidi kidogo mwilini yanapelekea kuongezeka kwa usawa wa homoni iitwayo estrogen. Homoni hii inapoongezeka inasababisha msisimko uliozidi kwenye mirija ya mayai.
Kwahiyo badala ya yai moja kutolewa, msisimko unapoongezeka ndani ya mirija ya mayai basi kunaweza kutolewa mayai mawili au zaidi ili kutungishwa mimba na mapacha wanatokea
Hapa napo pana miujiza ya Mungu kwa sababu kwa baadhi ya wanawake uzito mkubwa unaweza kuwa ndiyo chanzo cha wao kutopata ujauzito na hata kuwa wagumba
5. Urefu wa mwanamke
Wanawake warefu zaidi kuliko kawaida wana uwezekano mkubwa wa kupata mimba ya mapacha kuliko wanawake wafupi kwa kimo.
ukiwa na urefu wa futi 5 kwenda juu k**a mwanamke unayo bahati ya kuweza kupata watoto mapacha.
Hili halina ufafanuzi wa kueleweka kisayansi kwanini linatokea hata hivyo wanasayansi wanahisi kwamba mwanamke anapokuwa mrefu basi kuna uwezekano mkubwa akawa na afya nzuri na viinilishe vya kutosha mwilini mwake na hivyo kupelekea kupata mimba ya mapacha
6. Aina ya chakula
Jamii ambazo chakula chao kikuu ni viazi vikuu, zimeonyesha kua na mapacha wengi kuliko jamii zingine, tafiti zinasema kwamba viazi hivyo vina kiasi kikubwa sana cha homoni za oestrogen ambazo zinasababisha mama kutoa mayai mengi kitaalamu hujulikana k**a ‘hyperovulation’.
7. Kupata ujauzito ukiwa bado unanyonyesha
Kuendelea kunyonyesha mtoto wako kwa muda mrefu; kuna homoni moja inaitwa prolactin ambayo inahusika na kutoa maziwa kipindi mama ananyonyesha, sasa kuendelea kuwepo kwa homoni hii kwa kiasi kikubwa wakati mama ameanza kushiriki tendo la ndoa kuna muongezea nafasi kubwa ya kupata mapacha akibeba mimba.
8. Matumizi ya folic acid
Dawa za folic acid hutumika na wajawazito wote ili kuzuia uwezekano wa kuzaa mtoto mwenye matatizo ya kimaumbile hasa kwenye mishipa ya fahamu, lakini matumizi ya dawa hizi mwezi mmoja kabla ya kubeba mimba yanaongeza uwezekano mkubwa wa kubeba mimba za mapacha.
9. Kuwa na watoto tayari
Wanawake ambao wamezaa mtoto mmoja au wawili kabla wana nafasi kubwa sana ya kuzaa mapacha kuliko wale ambao hawajawahi kuzaa kabisa, ukifuatilia mapacha wengi hua hawazaliwi mimba ya kwanza ila kwanzia mimba ya pili kwenda mbele.
10. Kupata mimba ukiwa kwenye dawa za uzazi wa mpango
japokua sio rahisi sana lakini tafiti zinaonyesha kwamba mimba zinazoingia kwa bahati mbaya mwanamke akiwa anatumia dawa za uzazi wa mpango hutengeneza mapacha lakini pia mimba zinazoingia muda mfupi baada ya kuacha dawa za uzazi wa mpango pia huwa zinaleta watoto mapacha.
01/05/2023
*UKAVU UKENI*
Kwa kawaida uke wa mwanamke unapaswa uwe au ute ambao huongezeka wakati wa tendo la ndoa lakini kwa baadhi ya wanawake wamekua wakikosa raha wakati wa tendo la ndoa kutokana na uke kuwa mkavu. Sababu kubwa ya ukavu ukeni ni kushuka kwa kiwango cha homoni ya k**e ya ostrojeni ambayo ndio ina kazi ya kufanya uke uwe na ute na laini wakati wote.
*SABABU ZA UKE KUWA MKAVU:*
• Ukomo wa hedhi.
Hii ndio sababu kuu ya uke kukosa unyevu nyevu kutokana na kushuka kwa kiwango cha homoni ya ostrojeni mwilini. Wengi hudhani tatizo litaisha baada ya mda lakini ukweli ni kwamba tatizo huongezeka siku zinavyozidi kwenda k**a halijatafutiwa ufumbuzi.
• Kujifungua na kunyonyesha kutokana na kushuka kwa kiwango cha ostrojeni
• Ukosefu wa maandalizi ya kutosha kabla ya tendo la ndoa
• Msongo wa mawazo, hofu, historia mbaya ya ngono na shida nyingine za kisaikolojia
• Matibabu ya vimbe kwenye uzazi, saratani, allergy
• Uvutaji wa sigara
• Upasuaji kuondoa mifuko ya mayai
• Sabuni, lotion, manukato yatumikayo ukeni
• Kukosa hamu ya kufanya mapenzi husababisha ukavu na ukavu husababisha kukosa hamu
*UKAVU UKENI HUAMBATANNA NA DALILI NYINGINE K**A:*
• Maumivu na kuungua hasa wakati wa tendo la ndoa
• Michubuko, miwasho, kuungua sehem ya ukeni
• Kutokwa matone ya dam baada ya tendo
• Kupungua kwa hamu ya tendo
*MATOKEO MABAYA AU MADHARA YA UKE KUWA MKAVU*
• Michubuko ukeni
• Hatari ya maambukizi ya bacteria au fungus
• UTI (maambukizi kwenye njia ya mkojo) zinazojirudia
• Kutokufika kileleni na kutokufurahia mapenzi
• Kutokujiamini
*TIBA ASILIA YA UKE MKAVU* *Pata dose asili zenye kurekebisha homoni za k**e yan oestrogen ili ziweze kurejesha Ute Ute wa kutosha Ukeni na kuondoa maambukizi mengine yanayosababisha uke kuwa mkavu
Tumia MAMA FERTILITY KIT Kumaliza tatzo
01/05/2023
NJIA RAHISI YA KUTUNGISHA MIMBA.
Utajuaje k**a yai limetolewa kwenye mfuko wa mayai?
Njia ya kwanza ni kuhesabu mpangilio wako wa hedhi kuanzia siku ya kwanza kupata hedhi kwenye mwezi husika. Tumia kalenda kufatilia siku zako. Angalia mzunguko wako k**a unachukua siku 28 basi yai hutolewa siku ya 14.
Kumbuka siyo kila mwanamke anapata yai siku ya 14, wengine huwa na mzunguko mrefu zaidi. Kwa kesi hiyo angalia dalili zingine za kutolewa kwa yai k**a hizi
Kubadilika kwa ute: ute huwa mzito na mweupe k**a eneo jeupe la yai.
Kupanda kwa joto la mwili (Basal body temperature): Joto la mwili huongezeka taratibu baada ya ovulation. Unaweza kupima mabadiliko ya joto la mwili kwa kutumia kipima joto asubuhi baada tu ya kutoka kitandani. Ili kujipa uhakika fatilia mizunguko mingi ya hedhi upate siku sahihi ambayo yai hutolewa.
Ovulation kit: unaweza kutembelea duka la dawa kupata vifaa ambavyo hupima mkojo kujua mabadiliko ya homoni kwenye kipindi hiki cha ovulation.
Staili gani ni Nzuri ili Kushika Ujauzito haraka?
Kumbuka lengo ni kufanikisha mbegu nyingi ziingie kwenye uke na zifikie yai ili mimba iweze kutungwa. Baadhi ya mikao ya kufanya ngono huongeza wingi wa mbegu zinazoingia kwenye uke kuelekea kwenye yai.
Mikao k**a kuchuma mboga (mwanaume kukaa kwa nyuma) na kifo cha mende (mwanaume kukaa juu) husaidia uume kupenya zaidi kiurahisi na hivo kurahisisha mbegu kufika kwenye mlango wa kizazi.
Mbegu za kiume ni waogeleaji wazuri, zinaweza kuogelea mpaka kwenye mlango wa kizazi ndani ya dakika 15. Kuweka mto chini ya mgongo wakati huo unafanya tendo husaidia mbegu kuogelea kwenda kwenye uelekeo sahihi
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwenge Mpakani Center
Dar Es Salaam