Jesca heathcare

Jesca heathcare

Share

Tunajali Na Kuthamini Afya Yako.

11/06/2024

MADHARA:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
-kukojoa mkojo wenye damu
-Kutiririka mkojo muda wote bila kwisha kwenye kibofu.
- Kibofu cha mkojo kuuma : hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
-Kifo cha mapema

KWA MAELEZO ZAIDI NA MSAADA PIGA SIMU
0755954266

Jesca heathcare Tunajali Na Kuthamini Afya Yako.

04/06/2024

MADHARA:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
-kukojoa mkojo wenye damu
-Kutiririka mkojo muda wote bila kwisha kwenye kibofu.
- Kibofu cha mkojo kuuma : hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
-Kifo cha mapema

04/06/2024

Wapendwa nawasalimu tena asb ya leo,hebu tushiriki pamoja kuona mambo kadhaa yanayopelekea mwanaume kupatwana ugonjwa wa tezi dume: VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jami kuhusu afya bora na Virutubisho.

Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na upungufu wa Virutubisho muhimu mwilini,wanaume wengi hula ili mradi tumbo lijae kukosekana hasa vyakula vyenye wingi wa protein
- Uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini hasa katika mishipa na ogani za uzazi eg Chips na aina zake
- Kutokufanya mazoezi
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)
- Msongo wa mawazo (Stress )
- Magonjwa ya zinaa,Acha kuokota okota wanawake usiokuwa na historia zao
- Umri mkubwa,wanaume wazee wengi wanapatwa na changamoto hii
- Upasuwaji wa korodani,matatizo ya kimaumbile ya Korodani
- Historia ya Familia (Kurithi)
- Mazingira (Ethnicity)n.k
Wewe baba usiogope tunakuja na suluhisho kwa tatizo hili Dawa zetu hutibu tezi dume,hurejesha afya ya tezi dume,hubalance homoni ya kiume,huongeza kinga za mwili,huzalisha seli na kuondoa uvimbe bila upasuaji. usisite kuwasiliana na Dr Jesca kwa no 0755954266.

29/05/2024

K**a utahitaji kufika ofisini kwetu karibu Kigamboni Ferry jingo la orofa kwa Scaba Scuba

29/05/2024

RFAHAMU KUHUSU TEZI DUME NA NJIA SAHIHI YA KUEPUKANA NAYO.

KARIBUNI. 0755954366
Dr JESCA
Kila mwanaume anazaliwa na Tezi ya kiume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.

Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.

Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.

UKUAJI WA TEZI DUME.

Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume.
Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.
Takwimu kutoka kwenye shirika la CHRP (Centre for Human Right Promotion), zinaonesha kwamba kiujumla kila mwanaume katika maisha yake ana 16% za kugundulika na saratani ya Tezi Dume, mtu 1 kati ya watu 6 analo hili tatizo; Na 3% (1 kati 33) wanakufa kwasababu ya Saratani ya Tezi Dume.
Saratani hii inaua mwanaume mmoja kila baada ya dakika 13.

29/05/2024

Asalaam aleikum,Bwana Yesu apewe sifa marafiki mnaofuatilia page yetu,karibuni tujifunze zaidi

24/12/2023
27/11/2023

Leo naomba niongee nawe magonjwa yanayshambulia wanaume kwa sasa:
(1)Tezi dume/Prostate
(2)Kisukari/ Pressure
(3)Ngiri
(4)Upungufu wa nguvu za kiume
(5) U.T.I
(6)Mifupa na maungio
haya ndio mangonjwa 6 common kwa wanaume leo.
Naomba nizungumze nawe juu ya ugonjwa wa 4 leo
-Upungufu wa nguvu za kiume,nini chanzo chake.
Upungufu wa nguvu za kiume ni nini??
Ni hali ya mwanaume kutoweza kusimamisha na kushindwa kabisa kufanya tendo la ndoa kwa mkewe,mishipa ya uume kusinyaa na kutokuwa na nguvu ya kupokea damu sawasawa na kupeleka taarifa kwenye ubongo na hiyo hupelekea kutoweza kusimamisha sawasawa na hili laweza kuwa tatizo kubwa kwa mwanaume na huharibu kabisa saikolojia yake
Vyanzo vya tatizo la nguvu za kiume:
-Ugonjwa wa tezi dume hupelekea tatizo hili mara baada ya upasuaji mwanaume hupoteza uwezo huo kwa 50% au kwisha kabisa
-Ugonjwa wa kisukari na pressure maana wengi wanaougua kisukari hupelekana na ugonjwa wa pressure
-Umri mkubwa hasa kuanzia 45 yrs hawa huathilika na tatizo la nguvu za kiume
-Vyakula hasa vyenye wanga mwingi(vilivyokobolewa)matumizi ya sukari na mafuta kwa wingi.
-wanandoa kutoaminiana hasa mwanaume kutomwamini mkewe ni hatari sana
-matumizi ya madawa hasa drugs yenye sumu nyingi
-mwanaume kujichua hupelekea mishipa ya uume kusinyaa
-kufanya ngono kinyume na maumbile(hormo sexuality) huua nguvu za kiume
-Unene uliokithiri(obesity) uume husinyaa na kuwa mdogo

USHAURI:
-Usipendelee madawa ya sumu badala yake tumia Virutubishi zaidi
-Usile vyakula vyilivyokobolewa,jiepushe na vyakula vyenye mafuta,chumvi na sukari kwa wingi pia vyakula vilivyokaangwa kwa mafuta(snacks)jitahidi sana kutovipendelea badala yake kula michemsho na wakati mwingine vibichi bichi
-kula vyakula vyenye proteins kwa wingi na matunda
-achana na vyakula k**a nguruwe,nyama nyekundu punguza(eat white meat ) pombe kali pia ni hatari
-fanya mazoezi madogo madogo kila wakati
☆Mpende Muumba wako mengi atakurahisishia na amini ahadi zake za ulinzi na kuponya.
☆Penda kunywa vinywaji k**a maji,juice za matunda og achana na juice za viwandani zina wingi wa sukari.

Naomba nikutakie mchana mwema na mlo mwema tunapoelekea mida hiyo ya muhimu kwa afya zetu.Ubarikiwe sana rafiki

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kigamboni Ferry
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00