belam na afya bora
afya bora
22/09/2023
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA
KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA:
0693544263
Dr Aika
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles .
Katika hatua yake ya kuonekana wazi ugonjwa hujitokeza k**a uvimbe au vivimbe kadhaa kwenye maeneo ya tundu la haja kubwa.
Karibu katika kila watu wanne watu watatu kati yao wanasumbuliwa na ugonjwa huu. Ni ugonjwa wa pili kati ya magonjwa yanayosumbuwa watu wengi zaidi duniani baada ya U.T.I
Kutokana na sehemu au mahali hasa ugonjwa wenyewe unapojitokeza umepelekea watu wengi kuwa na aibu kujisema kwamba wanaumwa ugonjwa huu.
Tatizo la bawasiri linaonekana kuwawapata kirahisi zaidi wanawake kuliko wanaume.
Bawasiri ni ishara inayokuambia kwenye mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula kuna kitu hakipo sawa.
Bawasiri ni tatizo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50.
❗ *MADHARA YA UGONJWA HUU:*
Hebu tupitie angalau kwa uchache madhara ya bawasiri, ili upate sababu za msingi za KUCHUKUA TAHADHARI NA HATUA YA KULISHUGHULIKIA MAPEMA:
1: Kupata *maumivu makali wakati wa kujisaidia* haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa.
2: Kuna uwezekano mkubwa wa kupata *saratani ya utumbo (Cancer)* kwa sababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda.
3:. *Kutopata hamu ya tendo la ndoa* _kwa jinsia zote._
4: Kushuka kwa ubora wa mbegu za mwanaume.
5. *Upungufu wa nguvu za kiume* kwa mwanamume , ikiwemo *uume kushindwa kusimama kwa muda unaotakiwa* hivyo kupelekea kupotea kwa heshima ya ndoa.
6:Kuathirika kisaikolojia.
7: *Kutojiamini/kutokuwa na amani katika hadhara ya watu* kutokana na adha zake ikiwemo ile ya kujikuna kutokanako na kuwasha kwa ngozi ya eneo la tundu la haja kubwa (puru).
KUNA MFUMO MAALUM SASA WAKUTIBU HUU UGONJWA BILA HATA YAKUFANYIWA UPASUAJI. WASILIANA NASI TUPO MIKOA YOTE TANZANIA NZIMA .
0693544263
22/09/2023
*JE! KWANI BAWASILI NI NINI?*
dr Aika
0693544263
Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa.
Ugonjwa huu umekuwa ni ugonjwa hatari sana kutokana na tabia za wagonjwa wenyewe walioathirika na tatizo hili kuficha. Hii ni kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kuwatazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.
Ugonjwa huu unajulikana kwa kitalaamu k**a ‘Haemorrhoids.’
Ugonjwa huu unaweza kusababisha mwasho, maumivu na damu au k**asi kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa ingawa wakati mwingine hauna dalili.
*Aina Za Bawasiri:*
Kuna aina kuu mbili za bawasiri ambazo ni pamoja na;
1) *Bawasiri ya ndani.*
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili. Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa.
Aina hii ya bawasiri hujulikana kwa kitalaamu k**a internal hemorrhoids.
Internal hemorrhoids
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne ambayo ni;
i *) Daraja la kwanza* .
Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika.
*ii) Daraja la pili* .
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.
*iii) Daraja la tatu* .
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenyewe.
*iv) Daraja la nne* .
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi.
Four grades of internal hemorrhoids (atua nne za bawasir ya ndan)
2) *Bawasiri Ya Nje.*
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu. Pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha aina ya bawasiri iitwayo thrombosed hemorrhoids.
Aina hii ya bawasili hujulikana kwa kitaalamu k**a external hemorrhoids.
Bawasiri Husababishwa Na Nini?
Bawasiri hutokea pindi mishipa inayozunguka sehemu ya kutolea haja kubwa kwa ndani kwenye kuta zake kuumia au kukandamizwa kwa kushuka chini na kuvimba.
*Mambo yanayochangia kupata Bawasiri* :
Yafuatayo ni mambo yanayomuweka mtu katika hatari ya kupata bawasiri ambayo ni pamoja na;
1) *Kufunga choo (Constipation).*
Kutoa kinyesi kikubwa au kujikamua kwa nguvu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Hii huongeza msukumo ndani na kuzunguka veni za kwenye tundu la haja kubwa. Hii inaonekana kuwa ni sababu kubwa ya bawasiri kutokea.
2) *Mimba.*
Ni kawaida kabisa bawasiri kujitokeza wakati wa uja uzito. Hii hutokea kutokana na msukumo (pressure) unaotokea juu ya re**um na a**s kwa kutokana na mtoto kulalia juu ya maeneo hayo.
Pia kutokana na mabadiliko ya homoni wakati wa uja uzito ambayo huchangia mama mjamzito kupata choo kigumu (constipation).
3) *Kuzeeka.*
Tishu zinazozunguka ndani ya mkundu zinaweza kupoteza nguvu zake kadri umri unavyokuwa mkubwa na hivyo kumuweka mtu katika hatari ya kupata bawasiri.
5) *Kurithi.*
Watu wengine wanaweza kurithi udhaifu wa kuta za veini za kwenye eneo la tundu la haja kubwa kutoka kwenye familia zao na hivyo kuwa katika hatari ya kupata bawasiri.
Kumbuka: Sababu zingine hatarishi zinazoweza kupelekea mtu kupata ugonjwa huu ni pamoja na: Kuwa mnene kupita kiasi (obesity), kutokula vyakula vyenye nyuzinyuzi (low fibres diet), kunyanyua vitu vizito mara kwa mara (regular heavy lifting), kufanya mapenzi kinyume na maumbile (a**l s*x in*******se), matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu, kuharisha kwa muda mrefu.
*Dalili Za Bawasiri* :
Kwa kawaida dalili za ugonjwa wa bawasiri hutegemea aina ya bawasiri;
A) *Bawasiri Ya Nje.*
*Dalili za bawasiri ya nje ni pamoja na;*
1) Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa.
2) Kupata uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
3) Kutokwa na kinyama baada ya kwenda haja.
4) Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa.
5) Kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana.
*B) Bawasiri Ya Ndani.*
*Dalili za bawasiri ya ndani ni pamoja na;*
1) Kutoa haja kubwa/kinyesi chenye damu na maumivu yasiyo makali. Unaweza kuona kiasi kidogo cha damu nyekundu kwenye haja kubwa yako.
2) Maumivu na muwasho sehemu ya haja kubwa.
matibabu au kuwasiliana
0693544263
dr Aika
18/09/2023
*🩺 DONDOO ZA AFYA 🩺*
*IJUE SABABU YA KUTOKUPONA VIDONDA VYA TUMBO HIYO HAPO CHINI👇*
Uzalishwaji wa ACID nyingi tumboni ndyo sababu kubwa ,ndyo maana Kuna watu unawajua wamepona vidonda lakini wewe hauponi kwasababu vidonda vyake ni tofauti na vyako,WASILIANA na DOCTOR upate ufafanuzi
*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux*
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🖇️Kichefuchefu na kutapika
*HIYO NDIO SABABU YA KUTIBIWA NA KUTOKUPONA KABISA VIDONDA VYA TUMBO*
UKIWA NA ACID TUMBONI HAUWEZI KUTIBU VIDONDA PEKEAKE UKAPONA HATA UNGETIBIWA NA DAWA YA KUTOKA SEHEMU GANI MAANA ACID NI KICHOCHEZI CHA KUONGEZEKA KWA VIDONDA VYA TUMBO AU KUTONESHWA VIDONDA VINAVYOTIBIWA AU KUJIRUDIA KWA VIDONDA VYA TUMBO MAANA INASABABISHA VIDONDA VYA TUMBO PIA.
Kuna mfumo maalumu tunautumia kwakutibu moja kwa moja huu ugonjwa . Parkage yake inahusisha dawa za Aina tatu ambapo Kuna dawa ya kukausha vidonda, kuua BACTERIA wabaya tumboni ikiwemo H PYROL, na dawa ya kurekebisha mmeng'enyo wa chakula yaani kuondoa Hali ya choo kigumu, tumbo kujaa gesi , kuungua kifuani na kutapika au kuharisha damu pia kuondoa Hali ya vichomi na maumivu ya tumbo.
K**A UNAONA DALILI HAPO UNAYO BASI TUPIGIE SIMU TUTAKUSAIDIA . OFISI ZIPO MIKOA YOTE . HAKUNA ULLAZIMA WA KUTUMA DAWA KWA MAGARI YAANI UTAPATA HUDUMA HUKOHUKO ULIKO.
0733883199
habari zenu ndugu zangu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kigamboni
Dar Es Salaam