Afya ya Mwanaume
Tunasaidia kutatua changamoto zote zinazohusiana na afya ya uzazi kwa mwanaume
28/03/2023
UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.
Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia tibalishe na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.
Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyoKuvuta sigala na unywaji wa pombeUzito kupita kiasi na unene uliozidi ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi Kisukari kuwa na mawazo na wasiwasi Matumizi ya madawa mbalimbaliya kuboost nguvu za kiume kwa lugha rahisi kuongeza nguvu za kiume za mda mfupi mri hasa wazee Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili Kuwa na tatizo la kibofuTabia za kujichua kwa mda mrefu
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;
Kuwahi kufika kilelen ,Kukosa hamu ya mapenzi, kushindwa kurudia tendo la ndoa, uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha kabisa, Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa sikuKula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingiTibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na menginePunguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidiBalansi usito wakoUsivute sigaraPunguza au acha kunywa pombePunguza mawazoKula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikaliLala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi kunywa maji ya kutosha
TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu
Tuna tiba lishe ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Tiba lishe hizi hizi hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa
LEO TUJIFUNZE KIDOGO MADHARA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kutofanya mapenzi kikamilifu na kushidwa kusimamisha uume balabala k**a inavyo takiwa kwa mwanaume
shughuli ya tendo la ndoa (kufanya mapenzi) mara nyingi mwamzi wa tendo la ndoa huwa ni mwanaume ili tendo la ndoa liwe Zuli inatemeana na mwanaume kushiriki vizuri au kikamilifu
Mwanaume anaposhindwa kushiriki kikamilifu katika tendo la ndoa hii huwa na madhara makubwa sana kwenye mahusiano au kwenye ndoa na hupelekea ndoa au mahusiano kuvunjika na kuachana kabisa
Na hii huwafanya wanaume wengi wawe na msongo mkubwa wa mawazo na kutojiamini na hupelekea kuwa na magonjwa yanayo tokana na msongo wa mawazo
Unaweza kuwa na hela nyingi lakn bila kuwa na nguvu za kiume bado hujakamilika kuwa mwanaume ulie kamili .
kiujumla madhara ni makubwa sana hivyo usikubali kukaa na tatizo wala kuficha tatizo
23/03/2023
VYAKULA VINAVYO ONGEZA MBEGU ZA KIUME KWA HARAKA
Mwanaume akiwa anatumia vyakula hivi kwa wingi au mara kwa mara vinaweza kuongeza mbegu nyingi za kiume na zenye afya Kwan vyakula hivi vina uwezo mkubwa sana wa kuongeza mbegu za kiume
22/03/2023
matikiti maji ni tunda muhimu sana kwa kulinda afya ya mwanaume inatakiwa walau kwa siku upate vipande viwili au vitatu na sasa yapo kwa wingi ushindwe wewe na ni muhimu ukala na mbegu zake.
22/03/2023
Vitunguu swaumu
Kitunguu saumu kina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam