Fitness and self determination
This page provides articles and knowledge on healthy and well being essesntials
25/10/2019
MADHARA YA KUWA NA UZITO ULIOPITILIZA
Watu wengi Sasa wana uzito uliowazidi Yani (Overweight/obesity) lakini kwa bahati mbaya tunashangilia tukidhani maisha kwao yamenyooka pasipo kujua wanatengeneza mazingira hatarishi kwa afya zao.
Na hii inatokana na Maisha yetu ya Sasa yalivo (sedentary lifestyle), Ulaji wetu, Kutokufanya mazoezi n.k
Kutoka na hayo madhara yafuatayo yamekuwa dhahiri kwa watu wanene kupindukia
1. Magonjwa ya Pressure na kisukari(type 2 diabetes)
2. Magonjwa ya moyo yanayopelekea Stroke au moyo kufeli
3. Matatizo ya uzazi.
Hapa nitaeleza kidogo. Akina baba wengi Sasa hivi wanahangaika na upungufu wa Nguvu za kiume ,tatizo hili liko sambamba na unene uliopitiliza kwa sababu mafuta yakizidi mwilini yanaziba mishipa ya damu na kufanya mzunguko wa damu usiwe mzuri hivo kupelekea damu kushindwa kufika katika viungo vidogo k**a sehemu ya uzazi ya mwanaume(uume) vilevile kuwa na mvurugiko wa hormones matokeo yake unaanza kuona mabadiliko katika utendani wako bila kujua shida ipo kwenye mzunguko wa damu na mfumo wa hormones hauko sawa. Vilevile kwa akina mama, Uzito uliopitiliza usababisha mvurugiko wa hormones na hii ndo upelekea kina mama kuwa wakavu Sana, kuwa na period zisizoeleweka, vimbe ,kutokushika mimba, mirija ya uzazi kuziba na mwisho wa siku unapoteza hisia kabisa.
, .
4.Kuchafuka Ngozi na KUANZA kuwa na mapele au chunusi zisizokoma.
5. Matatizo ya miguu na joints (viungio) na hasa kwa akina mama na watu wazima kidogo.
Yote haya yanaweza kuepukika K**a
1. Tutabadili style zetu za maisha.
2. Kuwa na tabia na kupenda kufanya mazoezi Mara kwa Mara
3. Kuwa makini na vyakula vyetu. Kutokula wanga Sana, kupunguza vinywaji K**a soda, juice za viwandani n.k na badala yake kula vitu asilia.
4. Kula vyakula vya nyongeza (Virutubisho au supplements). Na hapa wengi hatupaelewi na kwa sababu hatuelewi Basi tunapotezea. Hii ni ya muhimu Sana katika kuuhaikikishia mwili unapata Kila kinachohitajika ili ufanye kazi vizuri.Kwani mfumo wa maisha ya Leo umefanya tuwe na upungufu wa Virutubisho kutokana mifumo ya ulimaji, utunzaji,uandaaji na pia miili yetu kushindwa kumeng'enya chakula inavostahili.
HIVO BASI
**a huelewi kuhusu virutubisho na ni jinsi gani waweza vipata husisite kuuliza usaidike.
KWA USHAURI ZAIDI PIGA +255767933449
08/10/2019
Je,ungependa kufahamu yamewezekana vipi haya??
Tuma neno kwenye namba hiiπ
+255(0)767 933 449
.
Pia unaweza kutembelea page Yetu ya Instagram
MABADILIKO YANAWEZEKANA UKIAMUA.
18/02/2019
π / +255767933449 Au weka number yako ya simu mwenye Comments.
β‘K**a utapenda kujifunza na kuendesha biashara ambayo mtaji wake ni mdogo na faida yake ni kubwa, haikuhitaji kuacha shughuli zako ulizonazo kwa sasa kwani unaweza kufanyika kwa mda wa ziada na ikakuingizia kipato kizuri sana basi wasiliana nasi kupitia njia zilioneshwa hapo juuπ.
β‘Hii ni kwa watu wanaopenda kumiliki biashara, Wenye nia Kubwa ya Kufanikiwa, Wenye Bidii, Wapo tayari kubadili Mtazamo Kuhusu Maisha, wanaopenda kujifunza na wenye ndoto kubwa Sana.
Katika Picha ni baadhi ya watu utakaoshirikiana nao kutoka Tanzania na Africa Mashariki k**a utafanikiwa Kufanya biashara na sisi.
NOTE.
SIMU ZINAPOKELEWA MWISHO SAA KUMI NA MBILI JIONI (12:00), MESSAGE TUMA MDA WOWOTE LAKINI UTAJIBIWA MDA WA KAZI.
KARIBUNI SANA.
12/02/2019
Kupungua si kuifanya diet tu na mazoezi. Kila kitu kina msingi wake hivo msingi wa kupungua ni kuondosha gaka mwili kwanza na baada ya hapo mwili utajiset tu na utapungua k**a utakavyo.
Karibu tukuoneshe namna ya kuondosha hizo yaka mwili k**a tulivowaonesha wengine na matokeo ndo k**a haya.πππππππππππππππππππππππ
WAUME KWA WAKE, WEUSI KWA WEUPE
KARIBUNI WOTE KWANI C9 NDIYO SULUHISHO SAHIHI.
π or WhatsApp +255767 933449
05/02/2019
JE UNASUMBULIWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?? 0767 933 449
Rekebisha tatizo la Kuwahi kufika kilelen, kuchoka haraka, misuli kulegea na kukosa hamu ya tendo sasa .
Zaid ya asilimia 70 ya wanaume wengi duniani wanakubwa na UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. Huku wengine wakiwa hawana uwezo kabisa wa tendo la ndoa
Tatzo limesababisha ndoa nying kuyumba na zingine kuvunjika kabsa.
NINI CHANZO CHAKE??
Wataalam wa afya kupitia tafiti tofaut inaonekana;
1.Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatzo.
2.Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.
3.Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima
4.Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao n.k
5. Umri kuongezeka ambapo tezi hupunguza uwezo asilia wa kuzalisha mbegu zenye Uzito sahihi, misuli hushindwa kutanuka Vena hivyo kushindwa kusukuma damu vizur
Hizi ni bidhaa maalum na teule kurudisha HESHIMA NA UANAUME WAKO, kutoka kampuni yetu zilizothibitishwa kuwa za asili na kutokuwa na kemikali hatarishi za aina yoyote.
ARGI+
Ni ungaunga utokanao na matunda mengi aina ya komamanga,zabibu Ina L-arginine ambayo ni protin nyingi katika mfumo wa Amino Acid
Husaidia mishipa ya Damu kufunguka na Kutoa uchafu ulio ndani (cholesterol) na kusaidia damu kusafiri vizuri
Na hii husababisha:
1. Ufanisi wa kazi za moyo
2. Kusafisha na kuondoa sumu
3. Kuboresha HAMU ya tendo la NDOA na NGUVU za KUME
4. Kurekebisha na kujengeka Kwa mifupa na kazi za misuli
5.Kupunguza kasi ya uzee.
Kwa maelezo zaid kuhus Arg bonyeza hyo link inakupeleka moja kwa moja you tube kuisikiliza
https://youtu.be/01TOxc-KFYo
2.POLLEN
Bidhaa imetokana Na nyuki ambayo inavirutubisho 22 ambazo ndan yake kuna vitamin Na madini muhimu ambazo inalisha na kutunza tezi Dume
Na inasaidia kuimarisha mbegu Za kiume Na uwezo wa tendo la ndoa
kumbuka tu, hizi siyo dawa. Japo hufanya kazi zaidi ya dawa.
04/02/2019
JE, UMEHANGAIKA SANA KUPUNGUA BILA MAFANIKIO? / HAVE YOU STRUGGLED TO LOOSE WEIGHT WITH NO RESULTSπππ
Ni Lazima safari ianze kwa kuondoa taka mwili ( sumu) na kupungua huja k**a matokeo ya zoelzi hilo. K**a unatamani kufuata katika safari hii nipigie 0767933449
************************************************
It must start by DETOXING and Losing weight will be a Result. Do you want to be next? Just call me 0767933449
+
02/02/2019
Je,,Unatamani Kupunguza uzito na umehangaika bila mafanikio???? . C9 ndiyo Kiboko yao. Sogeza kushoto kuangalia baadhi ya matokeo ya C9...................................................
C9 ni nini?
Ni program maalum inayokupa msingi wa kupungua. Kikawaida kabla ya kuanza kufanya mazoezi na kujinyima kula SCience inashauri kufanya DETOXING (KUONDOA TAKA MWILI) ili kuuandaa mwili kuweza kuunguza mafuta bila madhara ya kiafya.
:
Hivo C9 (Clean 9) ni maalum kwa ajili ya kuondosha hizo taka mwili na matokeo yake ni kupungua uzito kuanzia kilo 3-7.
Tutakushauri na kukuongoza ndani ya hizo siku Tisa kwa kukuonesha aina ya na ili upate matokeo mazuri.
Karibu 0767933449
, , , ,
30/11/2018
OFFER OFFER OFFER OFFER OFFER
Pata C9 Leo upate offer ya bidhaa mbili zenye faida ya sh 40,000.
Wahi mapema kabla hatujafunga office.
0767933449
26/11/2018
Want to know how? πππ
Try our nutritional weight management program to Cleanse your body and help you shed down some kilos in just 9 Days.
Get more information by:
DM /Call or WhatsApp +255 767933449
# #
23/11/2018
It must start by DETOXING and Losing weight will be a Result. Do you want to be next? Just call me 0767933449
Lazima safari ianze kwa kuondoa taka mwili ( sumu) na kupungua huja k**a matokeo ya zoelzi hilo. K**a unatamani kufuata katika safari hii nipigie 0767933449
+
Fitness and self determination This page provides articles and knowledge on healthy and well being essesntials
15/11/2018
Every Change begins in your Mind. Be aware that being overweight can cause you death at any time.
She discovered that OBESITY was almost killing her and because she survived that day, then it was the end of her Night sufferings, hard breathing etc
She is not where she wants to be yet but she has made a very big step. Progress matters in everything.
You just need to get tired of yourself, think of your family and decide to renew yourself for its very Possible with C9+F15.
Let me know if you want to be next to her.
+F15
Proud of you dear and much Congrats. Keep on the spirit
15/11/2018
The global challenge is done and here feedbacks flowing in.
You can still start now if you missed the challenge.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam