Asha Afya
PATA SULUHISHO ZA MAGOJWA K**A
P,,I,D PUMU, FANGASI,
UZITO, MKUBWA,PRESHA,KISUKARI , MOYO,KANSA NK.
11/10/2024
Nichek 0782 801955
11/10/2024
0782 801955
20/06/2024
wanawake Dalili Za Uvimbe Kwenye Kizazi:
Zifuatazo ni dalili zinazojitokeza kwa wanawake wengi zaidi wenye uvimbe kwenye kizazi;
1) Kupata hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia siku 7 na zaidi (Prolonged menstrual bleeding).
2) Kupata hedhi nzito (Heavy menstrual bleeding).
3) Kujiskia umeshiba muda mwingi (Abdominal fullness).
4) Maumivu ya nyonga.
5) Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
6) Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.
7) Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
8) Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
9) Madhara mbalimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba kutoka.pambana mapema kujitibu
unaweza ukanipigia Kwa USHAURI na tiba.
KARIBU 0782 801955🙏🙏
27/05/2024
OVARIAN CYST NI NINI?
Ovarian cyst ni kifuko cha majimaji au kiinimaji kinachojitokeza kwenye ovari (via vya uzazi vya mwanamke). Kuna aina tofauti za ovarian cysts, ikiwa ni pamoja na cysts za folikali, cysts za corpus luteum, na cysts za endometriosis, kati ya nyingine. Mara nyingi, cysts hizi ni za asili na zinaweza kutokea wakati wa mzunguko wa kawaida wa hedhi. Katika hali nyingine, cysts zinaweza kusababisha maumivu au matatizo ya afya, na zinaweza kuhitaji matibabu. Ni muhimu kushauriana na daktari ikiwa una wasiwasi kuhusu ovarian cyst au dalili zinazoambatana nayo.
Wasiliana nasi kwa no 0782 801955 kwa msaada zaidi
17/05/2024
SABABU ZA MIRIJA KUJAA MAJI
Kwa kawaida, mirija ya uzazi hujulikana k**a mirija ya fallopian (mirija ya uzazi ya k**e) au mirija ya vas (mirija ya uzazi ya kiume). Kujaa maji katika mirija ya uzazi kunaweza kuwa dalili ya hali kadhaa tofauti kwa wanaume na wanawake:
Kwa wanawake, hali ya kujaa maji katika mirija ya fallopian inajulikana k**a "Hydrosalpinx." Sababu ya Hydrosalpinx inaweza kuwa ni:
1. Maambukizo: K**a vile maambukizo katika mirija ya uzazi au viungo vingine vya uzazi.
2. Kupitia kwa ugonjwa wa Chlamydia au Gonorrhea: Hivi ni baadhi ya magonjwa ya zinaa yanayoweza kusababisha maambukizo ya mirija ya fallopian.
3. Endometriosis: Hali ambapo tishu k**a zile za utando wa ndani wa kizazi hukua nje ya uterasi na kusababisha matatizo ya uzazi na uchochezi katika viungo vya uzazi.
4. Vizuizi vya asili: Baadhi ya wanawake wanaweza kuwa na mirija ya fallopian iliyoziba au kuzibwa kwa sababu ya matatizo ya kuzaliwa nayo au kupitia kwa michakato mingine ya maumbile. 0782 801955
17/05/2024
Fertility booster ni packe inayo pambana na ugumba Sanaa
0782 801955
13/05/2024
uzazi_wanawake_na_wanaume Piga simu au tuma sms kwa whatsup yangu kwa ushauri na dawa 0782 801955
13/05/2024
Fibroid ni uvimbe wa tishu za misuli ndani ya mfuko wa uzazi wa mwanamke. Sababu za kutokea kwa fibroid bado hazijaeleweka kabisa, lakini zinaweza kuhusishwa na mambo k**a jenetiki, mabadiliko ya homoni, na lishe. Madhara ya fibroid yanaweza kuwa:
1. Maumivu ya tumbo chini.
2. Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi.
3. Kuharibika kwa mfumo wa uzazi na kusababisha ugumba.
4. Kupata mimba katika sehemu zisizo sahihi.
5. Kuvimba kwa tumbo.
6. Matatizo wakati wa kujifungua.
Ni muhimu una wasiwasi kuhusu fibroid au una dalili zake ili kujadili chaguzi za matibabu au usimamizi wa hali hiyo 0782 801955
Kwa mawasiliano zaidi.
13/05/2024
Uti,pid fungus usipojitibia uke unalegea..na kuna mtu amekubaliana na hii hali mbaya zaid anatafuta vitu vya kuweka ukeni kila siku pasipo kujua ndo anazidi kuharibu...
Suluhisho ni kujitibia nichek ☎️ 0782 801955
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam