Afya Na Usafi
Karibu kwenye ukurasa huu kujifunza namna ya kuwa msafi kiafya na kulinda usafi wako mwanamke kiasili
Mwanamke K**a Unataka Kumaliza Tatizo La Fangasi Sugu Ukeni, Miwasho Isiyokoma Ukeni Na Harufu Mbaya Sana Inayotoka Ukeni Fanya Hiviiii.....
15/08/2023
[MWANAMKE SOMA UJUMBE HUU MUHIMU SANA KWAKO]>>>>>>>>>>JINSI YA KUJIKINGA NA FANGASI ZA SEHEMU ZA SIRI.
Fangasi zinaweza kuzuiliwa kwa kiasi kikubwa na ni endapo tu mtu mwenyewe ukiamua kujilinda.
Fanya yafuatayo ili kujiepusha na fangasi
1) ACHA KUPIGA UKE DEKI: nawakumbusheni tena kinadada mnafikiri kwamba ili kujiweka safi sehemu za siri ni lazima
USIINGIZE KIDOLE UKENI. Mimi nawaambia ukweli na naomba mnielewe kwamba UKE unajisafishaga wenyewe na huna haja kupiga deki kwani ukipiga deki utakua umeharibu ulinzi Wa uke wako na ukishaharibu ulinzi huo unakua rahisi kupata fangasi na ndo kwanza utanuka uke k**a ulikua hujui. Na tunavyosema kupiga deki uke tuba maanisha uache kuingize madude ukeni acha cjui limao,nyanya ,unapulizia perfume,unatumi sabuni zenye kemikali ukeni
2) Acha matumizi ya madawa kiholela hasa dawa za UTI, kikohozi tumbo nk , dawa hizo ni k**a flagly, amoksilini,cipro nk.matumizi holela ya dawa hizi husababisha uharibifu Wa ulinzi Wa uke ambapo kunawaachia mwanya fangasi kushamiri.
3) usivae nguo za ndani ambazo ni mbichi au haziakauka vizuri.
Nguo za ndani zianikwe nje na zipasiwe vizuri.
4) Acha kutumia sexy toys ya aina yeyote K**a dudu ,acha kupiga punyeto kwa ndizi, karoti, biringanya nk
5) Punguza unene. punguza kilo zako angalau kwa asilimia 30%
6) Acha ngono zembe
7) acha kushea nguo za ndani MUHIMU K**A UNAPATA FANGASI ZA MARA MARA NAKUOMBA PIMA YAFUATAYO
1) KISUKARI
2) HIV
3) FIGO NK
Ikumbukwe pia fangasi wakati Wa ujauzito inaweza kusababisha mimba kutoka au kujifungua kabla ya muda.
LIKE & SHARE ujumbe huu ufikie wengine
Bado unasumbuliwa na fangasi, miwasho sugu na uchafu wenye harufu mbaya ukeni? Wasiliana na mimi ujipatie pantyliners itakayokutibu fangasi kabisa, miwasho yote ukeni na kukuepusha na harufu mbaya inayotoka ukeni kwa thamani ndogo ya tsh 39,000 tu.
Dr. Mshamu
0744660345
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Majumbasita
Dar Es Salaam