Afya bora platform
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya bora platform, Health/Beauty, dar es salaam, Dar es Salaam.
25/02/2024
TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?
MSHAURI: 0743 430 909
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti
Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.
Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)
1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.
MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;
1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,+255743430909 au tutumie ujumbe whatsap
TIBA THABITI YA CHANGAMOTO YA TEZI DUME BILA UPASUAJI
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.
Ipo wapi?
Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.
Saratani ya tezi dume ni nini?
Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume
1)Umri Mkubwa kuanzia miaka 50
2)Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii
3)Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu
4)Unene uliokithiri
5)Ukosefu wa mazoezi
6)Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.
7)Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume
Dalili zake ni zipi?
1)Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
2)Kwenda kukojoa mara kwa mara.
3)Damu ndani ya mkojo.
4)Kushindwa kukojoa.
5)Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
*Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
madhara
1) upungufu wa nguvu za kiume
2) Maumivu ya Mara kwa mara wakati wa haja ndogo
3)kushindwa kushiriki tendo la ndoa
4)kifo
Tiba sahihi ya Tezi dume ni👇🏻👇🏻
👉🏻 ipo tiba sahihi ambayo itarejesha tezi dume katika hali ya kawaida na kuuwa seli zote za kansa dawa hii ni yenye virutubisho lishe visivyo na kemikali kabisa
👉🏻kwa maelezo na maswali binafsi ushauri binafsi na uhitaji wa dawa piga namba....+255742344825 au tutumie ujumbe whatsapp https://wa.me/255742344825
BAWASIRI INATIBIKA BILA UPASUAJI
BAWASIRI NI NINI?
- Ni ile hali ya mishipa ya vein iliyopo katika njia ya haja kubwa kutanuka na kujaa damu na kupelekea kupasuka na kusababisha kuvimba vinyama sehemu ya haja kubwa.
Bawasili ni ugonjwa mojawapo ambao unamfanya muathilika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.
Usisite wasiliana nami 0713921474
KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI
1.BAWASIRI YA NJE: hii ni bawasili ambayo hutokeza nje ya eneo la haja kubwa yaan kinyama kuvimba katika eneo la haja kubwa
2.BAWASIRI YA NDANI: hii ni bawasili ambayo haionekani nje lakini hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na kuweza kutoka ukiwa unajisaidia na kurudi baada ya kumaliza au kutoka ukiwa unajisaidia na hairudi mpaka uirudishe kwa mkono.
SABABU ZA BAWASIRI
-Kukosa choo kwa muda mrefu na kupata choo kigumu
-Kuharisha muda mrefu
-Kufanya kazi ngumu
-Kuwa na uzito mkubwa
-Kuwa mjamzito
-Ngono ya njia kubwa
-Umri mkubwa
-Mmen'genyo wa chakula kutokuwa mzuri
DALILI ZA BAWASIRI
1;kinyesi kuchanganyika na damu
2;kuota vinyama njia ya haja kubwa
3;kupata miwasho sehemu ya haja kubwa
4;kutoka vinyama wakati wa kujisaidia
MADHARA YA BAWASIRI
:upungufu wa damu mwilini
:kupata kansa ya utumbo
:kinyesi kutoka bila kujitambua
:kuathirika kisaikolojia na kukosa raha
:kukosa hamu ya tendo la ndoa
:kupungukiwa nguvu za kiume
:mwanamke kushindwa kujifungua salama (mjamzito)
BAWASILI INATIBIKA TENA BILA UPASUAJI... KWA MAELEZO ZAIDI NA KUPATA MATIBABU TUWASILIANE KUPlTIA NO +255713921474 AU TUTUMIE UJUMBE WHATSAP...https://wa.me/message/4M2UIKM6YUKVF1
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam