Happy Life & Body Fitness
Health with money should be balance,its more worth to have enough money while your poor in health learn more in our page Happy life&bodyfitness
03/01/2025
Baada Ya Kutapeliwa na Kupoteza Muda Mwingi (Business Risk)
Ndipo nilipoelewa thamani ya Biashara ninayoifanya hasa linapokuja swala la Business Risk..
Wewe unaependa biashara na unahitaji kujisimamia mwenyewe huku ukikuza uwezo wako wa Kuitafuta financial Freedom , pengine kwasababu haupendi kutumwa k**a Mimi..
Basi hata siku Moja usije kuanza biashara kwasababu ni rahisi kufanya, kumbuka kutengeneza Pesa kwa kutatua matatizo ya watu wengine ndio njia ya uhakika kupata hela nyingi lakini sio rahisi kwasababu unatakiwa kujua Namna ya kupata hao watu na Cha kuwaeleza ili wakuone wewe ni mtatuzi kwao.. sasa urahisi upo wapi hapo.
Ziko njia nyingi za kutengeneza Pesa lakini hii ya leverage itakupa mafanikio na muda wa kufanya unavyovitaka....
K**a wewe unapenda kujifunza na unataka biashara ya kweli yenye kutatua matatizo ya watu, yenye kukufanya uwe special kwao na zaidi ya asilimia 85% ufanyie kwenye internet yaani home business while you make money
Please contact me via WhatsApp no 0764116130
Njoo na maswali Yako yote kinacho kuogopesha kwenye biashara huku ukiwa unajua biashara ndio inakupa mafanikio nasio vinginevyo
Andika neno biashara WhatsApp text 0764116130
22/08/2024
Always in your struggle don't stop doing from what you believe, no matter what even there is no result keep going. Always remember once you are doing the right things the results will come keep believing , don't compare with anyone else focus with your exams
09/06/2024
Je Wewe Ni Mgonjwa Wa Kisukari...?
Je Una hofu kubwa juu ya Tatizo lako la Kisukari?...
K**a majibu ni ndio basi Nina habari mbaya na habari nzuri kuhusu kisukari.
Habari mbaya ni kwamba Clinic zote za kisukari na hospitali kauli mbiu ni Moja kisukari hakiponi na idadi ya wagonjwa inaongezeka kwa Kasi sana Kila mwaka...
Kwahiyo mateso ya kuangaika na kisukari pamoja na athari za kisukari ni kubwa mno,na hii ni kwasababu hakuna wa kukusaidia kwasababu tayari fikra iliopo tatizo la kisukari haliwezekani.
Habari nzuri ni kuwa,unaweza kabisa kutatua tatizo la kisukari Bila Kutumia dawa za hospitalini na kuzuia madhara yote yaletwayo na kisukari mwilini,kwa kuacha mazoea yaliopo mpaka sasa ...
Hivyo basi ni Bora kuamua kuchukua hatima ya afya Yako kwasababu ipo mikononi mwako
Kumbuka daktari wa kwanza wa afya Yako ni wewe mwenyewe mwenye kisukari.
Dr Helfrid Gama nawasaidia wanaume wenye kuangaika na tatizo hili la kisukari,na kustop athari zote za kisukari kwa kutumia HIGH BENEFICIAL FOOD na kuweza kuachana kabisa na madawa ya Kila siku.
Bofya neno WhatsApp hapa chini ili niweze kukuunga kwenye group kwaajili ya Darasa Buree namna ya kutatua kisukari Bila madawa ya kila siku.
Wahi sasa hivi Darasa lipo tayari kuanza. Join WhatsApp kupitia 0764116130 au gusa neno WhatsApp au link
29/05/2024
"Hii Ndio Sabababu Ya Kutokufanikiwa Kumaliza Tatizo la Sukari na Pressure" *Siku 9 Detox Pack*
Ninauhakika hapa Ambae mtaanza na hii Plan kabla mwezi huu kuisha basi mwezi ujao Kuna watu mtarudi hapa...
*Kisukari kwishaaaa.. yaani normal*
*Dalili za pressure kuwa juu hakuna Tena*
*Mkojo unatoka vizuri sio Tena k**a sasa kwa kuamka mala nyingi usiku*
*Nguvu za Kiume kuanza kuimarika tofauti na sasa*
*Mwili kuwa mwepesi na uzito kuanza kupungua na nguvu kuwa vizuri ya mwili na kulala usingizi k**a mtoto usiku*
K**a unataka kuwa sehemu ya shuhuda wa hili basi akikisha unalipia package Yako sasa na uwe umeipata kabla ya Jumatano ili tuweze kwenda pamoja.
My guarantee...*K**a hautopata matokeo kati ya haya nilioyaeleza hapa kuhusu SIKU 9 Detox PLAN basi nitakupa package yeyote utakayohitaji baada ya kufanya Detox,kwa nusu bei ya bei husika iwe ya kisukari, n.k endapo tu hautapata matokeo kwenye hii detox. Nahii ni kwa watakao lipia ndani ya siku Tano tu kuanzia Leo kwangu maana yake upo serious na afya Yako*
Malipo ni Mpesa kupitia
0764116130
Helfrid Gama
Mpesa
Huduma hii ya siku Tano hutolipia gharama za usafiri nje ya mkoa k**a utaratibu uliozoeleka. Karibu.
22/05/2024
My friend if you want to chase a poverty in your family, have a plan start to think about a business, don't live in a slave for so long, No matter how high salary you get in your job just know your family has nothing to do with that once you are not, or even the risk of being removed is just only a second.
To start a business is hard I know but you will get a freedom you want and your kid will take care of it once you are not there, and that is the only way you can make a true SUCCESS.
It's not easy to get an good idea for you to start a business without to affect what your doing right now , but if you are interested message me and I will guide you here is my WhatsApp contact +255764116130 hit me there.
21/05/2024
Dhibiti Tatizo Lako LA Kisukari Bila kumeza Dawa za Hospital Kilasiku...
21/05/2024
If you want to impress poor people, out-spend them.
If you want to impress rich people, out-work them.
29/04/2024
Biashara ya Network(NM) Marketing ni mfumo ambao unaweza kukupa mafanikio makubwa na ya uhakika kwasababu unafanya kazi na Team.
Ukitaka kwenda haraka nenda peke Yako ila ukitaka kwenda mbali Fanya kazi na Team.
Kwa bahati mbaya watu wanazidi kufanya makosa kwenye biashara hii na kuishia kujuta Kila siku, NM ni mfumo wa biashara lakini ZIPO kampuni nyingi ambazo ndio chombo kinachokuwezesha wewe kutumia huu mfumo wa NM kufanya biashara sasa ni wajibu wako kujua ni chombo kipi utakitumia kufanya hii biashara ya mfumo huu wa NM.
Biashara hii sio rahisi kwasababu chochote kinachoweza kukupa mafanikio kwenye maisha haijawahi kuwa rahisi, kwasababu unadili na watu lakini pia inahitaji uwekezaji, misimamo, ujuzi, maarifa na ubunifu pia, kabla ya kupata matokeo Kuna kufeli kwanza tena sio chini ya mala Moja kwasababu lazima ukosee kosee kabla ya kuweza, na ngumu zaidi ni kusemwa vibaya.
Lakini k**a unapenda kusaidia maisha ya watu wengine kupitia huu mfumo unaweza kufanikiwa vizuri sana, utashindwa hii biashara mapema sana k**a utaanza kwaajili ya pesa, Pesa ni zawadi baada ya kutatua matatizo ya wengine.
Wengi wanaingia na kushindwa kwasababu wanafikiri hii ni biashara ya kushawishi UKWELI ni hapana mafanikio hayashawishwi yanatengenezwa na mtu mwenye kuyataka na kuwa tayari kuyapambania hayo mafanikio. Yeyote anaweza kufanikiwa kwenye NM lakini sio Kila mtu.
Unapotaka kutengeneza team kumbuka usajili wa team za Mpira, usahili wa kazi kwenye ajira husika uwezo na vigezo pamoja na utayari wa mtu vinazingatiwa sana, nasio tu shule, au mtu kujua Mpira ndio asajiliwe.
Tazama wote wanaoshindwa Leo kwenye hii biashara sababu kubwa Huwa walijua rahisi, hawakuwaza kufeli, waliwaza pesa na mafanikio ya haraka k**a inavyoonyeshwa kwenye mikutano na social media.
Ukiniuliza Leo una ndoto lakini huoni ukiitimiza, una malengo lakini huoni yakienda kutokea JE ufanye kitu Gani ili ufanikiwe binafsi nitakuambia uanze NM lakini kwa mtu na chombo sahihi, na JE k**a uliwahi kufanya na ukashindwa huyu ndie itakuwa kazi ndogo tu kwasababu utagundua mapema sana kwanini haikuwezekana mwanzo na utakuwa kwa haraka kibiashara.
WhatsApp me via +255764116130 for more learning
02/04/2024
Kisukari kinaendelea kuwa tishio zaidi kwasababu tu ya ukosefu wa elimu ya uelewa mzuri juu ya hili tatizo.
Huwezi kufanikiwa na kisukari eti kwa kununua tu suluhisho, ndio maana wako wengi wanasema wametapeliwa lakini wako wengi wanasema wamefanikiwa na huo ndio UKWELI.
Ukishaelewa kuwa hakuna maisha k**a sukari itabaki zero kwenye damu Yako basi kazi Yako ni Moja tu kuelewa kwanini tatizo la kisukari kwako.
Sio Kila mwenye tatizo la sukari shida ni kongosho ndio maana unahitaji kuelewa zaidi, hali ilivyo kwasasa kwa mgonjwa wa kisukari MASHARTI yamekuwa mengi zaidi kuliko uhalisia juu ya hayo MASHARTI.
Ukitaka kufanikiwa kwenye kisukari zisaidie cells zako kuwa vizuri tena.
Ndio nikweli unahitaji uelewa ili kumaliza tatizo hili. Gusa neno WhatsApp hapo ili uje nikuunge kwenye group ambayo utayajua mengi kuhusu kisukari na mwisho utatue kabisa tatizo Hilo kwako na Kwa unao wapenda .
Unaweza pia kusave number hii na kunitumia ujumbe wa whatssap ili nikuunge kwa group . 0764116130.nafasi nichache wahi ili usikose elimu hii ya Bure kwaajili ya afya Yako binafsi.
29/03/2024
In month April I will be taking 3 new students who are really serious to make massive changes in their lives.if you are the one hit me on my whatsApp by clicking the link below https://wa.me/255764116130
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam