Tesha Herbal Clinic
Taasisi Inayotoa Huduma Za Kimatibabu Kwa Kutumia Virutubisho Asilia Iliyosajiliwa Chini Ya Wizara Ya
15/10/2023
FAIDA ZA KUTUMIA BAMIA
1. Huongeza kinga ya mwili kwa kuzitafuna zikiwa mbichi au kuzichemsha.
2. Kurekebisha mfumo wa kumeng’enya chakula na kuondoa tatizo la kukosa choo.
3. Kuweka sawa mfumo wa sukari mwilini.
4. Huondoa hatari kwa mama mjamzito
kujifungua mtoto mwenye tatizo la mgongo wazi.
5. Huzuia magonjwa ya moyo kwa kusaidia
mishipa ya damu kufanya kazi vizuri.
15/09/2023
Chango la uzazi linatibika
Wasiliana nasi Sasa tuweze kukusaidia.
13/09/2023
Je unatumia mdalasini?
Unajua umuhimu wa Kutumia mdalasani?
Mdalasini unaondoa sukari mwilini na kuboresha mfumo wa Kinga mwilini .
Unahitaji usharudi zaidi? Au una changamoto yoyote ya kiafya ?
Wasiliana nasi Sasa ili tuweze kukusaidia uondokane na hizo changamoto zako.
09/09/2023
Lishe bora kwa Afya bora
08/09/2023
Umeshakumbwa na tatizo hili?
Au umeangaika sana bila kupata Tiba kamili?
Tembelea kituo chetu Sasa uweze kutibiwa kwa haraka .
07/09/2023
Una changamoto yoyote ya kiafya?
Tupigie simu sasahivi tuko tayari kukuhudumia,
Uondokane na tatizo lako.
04/09/2023
Leo tutazungumzie faida za mmea wa aloe vera.
Aloe vera ni mmea mzuri kwa afya ya ngozi na ina uwezo wa kuponya majeraha.
Na kwa wale wenye chunusi usoni, aloe vera ni suruhisho tosha endapo itatumika kwa usahihi
Je, umewahi kutumia aloe vera? Tugawane uzoefu wako! 🌿
04/09/2023
Je unasumbuliwa na PID sugu?
Tesha herbal Clinic tupo kwa ajili ya kutatua tatizo lako.
Wasiliqna nasi Sasa upate matibabu.
04/09/2023
04/09/2023
Je wajua juice ya bamia ni Tiba?
Jitibie mwenyewe nyumbani kwako kwa kufuata mwongozo huu
04/09/2023
Unahisi tatizo lako ni kubwa zaidi??
Usisite kupiga simu kuuliza, Tesha Herbal Clinic tuko tayari kukuhudumia mpaka upone.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam