Kidney Health Tanzania

Kidney Health Tanzania

Share

Few tips you missed, its your body

02/05/2026
14/04/2026

Chumvi nyingi. Sukari nyingi.
Mwisho wake: gharama kubwa za matibabu đź’¸
K**a milioni 2 ni ngumu kupata, basi kinga ndiyo suluhisho.

14/04/2026

Avoid too much salt and sugar.
Non-communicable diseases are real—and treatment is expensive.
If your family cannot raise even 2 million TZS, managing these conditions becomes a serious burden.
Prevention is always cheaper than treatment.

11/04/2026

Regardless of the challenges, embrace your life.

Photos from Strongdadymedics's post 07/07/2025
14/09/2022

Instagram

25/03/2019

Mafua pia yanajulikana k**a nasopharyngitis. Ni ugonjwa unaombukiza kirahisi sehemu ya juu ya mfumo wa kupumua ambao huathiri zaidi pua. Dalili ni pamoja kikohozi, koo, ana mafua (rhinorrhea), na homa. Dalili kwa kawaida hupotea baada ya siku saba hadi kumi. Ingawa baadhi ya dalili zake zinaweza zikakaa hadi wiki tatu. Kuna zaidi ya virusi mia mbili zinazoweza kusababisha mafua ya kawaida. Virusi jamii ya rhinovirus ndio vinasababishi vikuu

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


65000
Dar Es Salaam
SINZA