TUNZA AFYA YAKO.
Pata elimu kuhusu magonjwa mbalimbali, ushauri ni bure. Afya yangu jukumu langu.
03/09/2024
๐ ๐ช๐๐๐ ๐๐จ๐ช๐๐๐ ๐ ๐ข๐ง๐ข, ๐ก๐ ๐๐๐๐จ๐ ๐๐จ๐๐๐ก๐ ๐ ๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐.
Dalili ambazo huwachukiza Wagonjwa wa Kisukari ni mwili kuwaka moto na Kusikia baridi kwa ndani, Ganzi na k**a shoti za Umeme zinazojongea mwilini, Kuvuja jasho la Mpito (Unavuja kwa muda jasho mpaka nguo zinalowana) baada ya muda linakata, Uchuvu sugu, Joint kuuma huwezi hata kuzikutanisha,Kifua kubana na wengine huanza Kutumia dawa za Asthma (Pumu), Mafua yasiyokoma, kuwashwa koo, ngozi Kubabuka babuka nk
Ukipima sukari Unakuta sukari Haiko Vibaya inasoma Vizuri. Sasa huwachanganya wagonjwa wanaumwa nini? Mbona mwili Mchungu sana?.
Ukikutana na Mgonjwa wa kisukari anabanwa kifua na ana Dalili zote nilizotaja hapo juu k**a ukikosa maradhi mengine yote k**a Pneumonia, Matatizo ya moyo nk Basi Ujue Ugonjwa wa Kisukari Umeathiri njia za hewa na Mishipa ya damu.
Tafiti zina onesha kwamba Mwili ukidumu katika kiwango cha sukari ambacho sio salama kwa muda mrefu mwili huumizwa na kuanza kuwaka moto kwa ndani.
Mwili Huzalisha mabaki ya oksijeni yaani Free radicals nyingi ukiwa na ugonjwa wa Kisukari. Free radicals zinapozalishwa nyingi na Kuulemea mwili uwezo wa Kusafisha free radicals unaingia kwenye msongo wa Free radicals tunaita OXIDATIVE STRESS.
Free radicals ni Mabaki ya Oksijeni ambayo huzalishwa na mwili unapokuwa kwenye msongo wa Sukari nyingi kwa miaka mingi. Lakini pia tunapata kutoka kwenye aina ya vyakula tunavyokula hasa vilivyo kaangwa kwenye mafuta dhaifu kwenye moto yaitwayo Polyunsatuted Fatty Acids mafuta ya mbegu za mimea k**a alizeti Pamba soya mahindi na Margarine
Mwili huwa una Viondoa free radicals ambazo huitwa Ant Oxidants k**a Vitamin A D E K2, Magnesium Selenium, Glutathione nk. Endapo uzalishaji wa Free radicals ni Mkubwa Mgonjwa anaingia kwenye OXIDATIVE STRESS kwa sababu Vipoza mwili Ant Oxidants ZINAZIDIWA UWEZO WA KU DETOXIFY.
Vitamin C haina msaada Mkubwa k**a Ilivyo Vitamin D, E Carotenoid, Magnesium, CoQ10, DHA na EPA. Vinapoza mwili KWA HARAKA na Kuupa mwili nafuu ya haraka.
Dozi ya Vipoza mwili yaani Ant Oxidants Hutemea na Ukubwa wa Tatizo baada ya Vipimo. Huwa mara nyingi tunapima k**a mwili upo kwenye Oxidative stress kwa kuangalia ishara ya mwili Kuumia na Kuvimba kwa ndani tunaita CHRONIC INFLAMMATORY MARKERS k**a Vile High sensitivity C Reactive Protein na IL1 na IL 6. Mara nyingi wagonjwa wa kisukari wenye hali mbaya unakuta hs-CRP inasoma zaidi ya 3mg/L mpaka 10mg/L ila baadhi Unakuta Hadi mashine Inagoma kabisa Kusoma na Maumivu anayopitia ni makali sana (Mashine kusoma zaidi ya 10mg/L).
Na endapo mashine Ikisoma zaidi ya 10mg/L ina ashiria Uhatari mkubwa wa Kubanwa kifua sana Dalili k**a za Asthma (Unakua unavuta Pumzi inakata njiani) wengine hadi Hutoa sauti km mwenye Pumu. Unakuwa hatarini kupata shambulio la Moyo na Kiharusi (Stroke). Mtu yeyote aliyepatwa na Kiharusi na Shambulio la moyo na Pumu kali gafla Ukimpima hs CRP kuna uwezekano mkubwa Ukaikuta Iko juu sana. Kipimo Hiki kinarukwa sana inapokuja kwenye Uchunguzi wa damu. Wengi huomba kupima CRP kipimo ambacho sio sawa na hs CRP. (Kwani CRP ni Acute Marker na hsCRP ni Chronic Marker).
Hivyo Dozi ya Vipoza Mwili Inategemea na Kipimo kimesemaje na Makusudio ya Daktari ni Yapi ili aweze kukunusuru na Majanga makubwa ya Kiafya.
Watu walio katika Hali mbaya ya Oxidative stress, hsCRP zaidi ya 3 mg/L au zaidi ya 10.00mg/L wanapopata maambukizi Mapya k**a Virusi na bakteria Huwa ni maambukizi MAKALI SANA KULIKO MTU AMBAYE HAYUKO KWENYE OXIDATIVE STRESS.
๐๐ช๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ ๐ง๐จ๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ ๐๐จ๐ฃ๐๐ง๐๐ ๐ช๐๐๐ง๐ฆ๐๐ฃ๐ฃ ๐ฌ๐ฒ๐ฑ๐ฏ๐ฏ๐ฌ๐ณ๐ฒ๐ณ๐ด ๐๐จ ๐ฃ๐๐๐ ๐ฌ๐ณ๐ฒ๐ฌ๐ฎ๐ต๐ญ๐ณ๐ฒ๐ฐ.
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER.
02/09/2024
๐๐ฒ ๐ช๐ฎ๐ท๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐บ๐๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ ๐ฏ๐ถ๐ป๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐บ๐ ๐๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ป๐ฎ๐ผ๐ป๐ฒ๐๐ต๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐๐บ๐ฒ๐๐ถ๐ฑ๐ถ๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐ฎ๐ป๐ด๐ผ ๐ธ๐ถ๐ป๐ด๐ถ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ข๐บ๐ฒ๐ด๐ฎ ๐ฒ ๐๐ธ๐ถ๐น๐ถ๐ป๐ด๐ฎ๐ป๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ข๐บ๐ฒ๐ด๐ฎ ๐ฏ? Hali hii inaweza Kukuibulia Matatizo kiafya k**a Kitambi,๐๐ถ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ,Presha,Pumu,Ugumba,Magonjwa ya ngozi,Nguvu za kiume,Uchovu wa kudumu nk
๐๐ฒ ๐ก๐ถ๐ป๐ถ ๐ ๐ฎ๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ต๐ฎ๐น๐ถ๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ข๐บ๐ฒ๐ด๐ฎ ๐ฏ ๐ป๐ฎ ๐ข๐บ๐ฒ๐ด๐ฎ ๐ฒ ?
Haya ni Mafuta mazuri ambayo mwili huwa hauna uwezo wa kutengeneza bali chanzo chake kikubwa unatakiwa ukipate kupitia Chakula unachokula. Ila Onyo ni kwamba unapokula mafuta haya yanatakiwa kwenye Mwili yawe katika Uwiano wa 1:1 au karibia na Hilo labda 1:2, 1:3 nk
Vitabu vya Kisayansi Vinatuambia kwamba Kabla ya mwongozo wa Lishe 1977 kutolewa na Amerika mnamo miaka ya 1920s uwiano wa Omega 3 na 6 ulikuwa 1:2 hadi 1:3 Lakini baada ya miaka takribani 50 tukiwa tumebadilisha mfumo wa lishe yetu kwa kufuata mwongozo huo Uwiano sasa tafiti zinasema tumefikia 1:16.7 hadi 1:30 tafiti zingine , Kwa lugha nyingine Tumezidisha matumizi ya Omega 6 zaidi ya Mara 16.7 hadi 30.
๐ฆ๐๐ฎ๐น๐ถ la Kujiuliza Kwa nini Tumefikia hapa Wakati nyuma tulikuwa tunaenda vizuri kabisa na magonjwa hayakuwa yameshamiri hivi?
๐๐ถ๐ฏ๐; Tizama Chakula chetu cha kila siku cha kimagharibi, Baada tu ya Mwongozo wa Lishe na elimu yake ilipoanza kutiliwa mkazo Uwiano ukaanza kupanda kwa kasi sana.
๐จ๐ธ๐ถ๐๐ถ๐๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฉ๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐๐ป๐ฎ๐๐๐ผ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐๐ถ๐ธ๐ ๐ฉ๐๐ฎ๐ป๐๐ผ ๐๐ถ๐ธ๐๐ ๐๐๐ฎ ๐ข๐บ๐ฒ๐ด๐ฎ ๐ฒ ๐ป๐ถ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ฉ๐ถ๐ณ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐๐ผ:-
1. Mafuta Ya alizeti,Pamba,Mahindi,Soya, Yote yenye jina la Seeds oils au jina la Biashara Vegitable oils, Nasema Jina la biashara kwa sababu kiuhalisia yanatakiwa yaitwe Seeds oils lakini yanaitwa vegitable oils, Usifikirie yanatokana na Kabeji,Sukuma wiki,Kisamvu Hapana! Yanatokana na Mbegu za Mimea, Ambazo huwa zina shehena kubwa ya Omega 6 kuliko omega 3. Ulapo Unauzidishia mwili haraka sana Omega 6.
Hapo zamani za Kale Haya Mafuta hayakutumika, Mafuta ya Enzi na enzi yalikuwa Samli (Pure butter ghee), Yalikuwa Siagi (Butter) Na Yalikuwa N**i nk Ambayo sio chanzo Kizuri cha Omega 6.
2. Nyakati za sasa Mataifa Mengi Yanakula nyama za Ngโombe ambao hawali nyasi, wao ni kulishwa mashudu ya nafaka na Nafaka zenyewe huku wakinenepeshwa na madawa mbalimbali. Ngโombe anayekula nafaka tu nyama yake huwa inashehena kubwa ya Omega 6 kuliko ngโombe anayechunga nyasi, Huwa ina kiwango kingi sana cha Omega 3 kuliko Omega 6. Sambamba na hilo baada ya kuambiwa nyama ni mbaya uhitaji wa kuku ukawa mkubwa sana duniani, Kukaibuka na uzalishaji wa kuku wa kisasa wanaokuzwa ndani ya muda mfupi kwa nafaka mbalimbali na dawa. Kuku hawa nyama yake huwa ina kiwango kingi cha Omega 6 kuliko kuku anayejichunga yaani kuku wa kienyeji.
Ndio maana Huwa nawaambia Wanafunzi wangu, Kuna Tafiti niliyosoma ilijaribu kuangalia uhusiano kati ya Marisho ya mnyama na ubora wa nyama yake, Nyama ya Ngโombe anayechungwa kwa kula nyasi, Nyama yake ina kiwango kingi cha Omega 3 kuzidi nyama Ya Kuku wakienyeji. Rudia Vizuri kusoma k**a unaona nimekuchanganya.
Ukitizama aina zote za nyama duniani tunazokula mara kwa mara, Nyama Ya Samaki inaongoza kuwa na kiwango kingi cha Omega 3 ndio maana virutubisho vingi hutumia mafuta ya samaki, Nyama inayofuata ni nyama ya ngโombe anayechunga nyasi, ndipo zinafuata aina zingine k**a kuku wa kienyeji nk, Hivyo Nyama ya ngโombe ni nzuri zaidi ya Kuku katika Wingo wa Omega 3 na hata vigezo vingine kiafya.
3. Mafuta Ya Mimea ya Mgando, K**a Prestige,Margarine. Mafuta haya Mengine unaweza ukayakuta yanajieleza wazi kwamba yana Kiwango kingi cha Omega 6 na Omega 3. Kuwa makini sana sio tu kwamba yana shehena kubwa ya Omega 6 lakini yamesheheni viangamiza mwili yaani Free Radicals.
Mafuta haya Hayakuwepo ,Tangu lini Alizeti ikaganda katika uasili wake? Tangu lini mafuta ya soya yakaganda? Tangu lini mafuta ya Pamba yakaganda? Ni mafuta ya Mgando ambayo hutengenezwa na Binadamu sio k**a yalivyo mafuta mengine ambayo huganda katika uasili wake k**a Siagi, Ghee au samli.
Mafuta haya ndio hupitia mlolongo mrefu sana kiwandani katika joto kali sana kuweza kupata mafuta ya mgando kutoka kwenye Kimiminika. Kwa lugha nyingine Kitalamu husema kitendo hicho mafuta yanafanyiwa hydrogenation. Ingia google andika โHydrogenation of vegitable oilsโ Halafu utajifunza Hatua au steps za Kupata Mafuta hayo mabayo leo hii mnayaita Samli ya Mimea, Mimi huwa nasema SAMLI YA KILEO, ILE YA ASILI TUMEITEGEA KISOGO.
Kwa nini Sasa Sayansi Imejikita sana Katika Hili uwiano wa Omega 3 na Omega 6 zamani kwani hawakujua kwamba huu mwongozo wa kwamba mafuta mazuri ni Vegitable oils na kuchakachua kuku,Ngโombe katika ufugaji hawajua tutafikia huku?
Ni Yale Yale niliyo Yaandika kwa kina katika Kitabu changu cha Sayansi Ya Mapishi, Kwamba John Yudkin mwasisi wa Kitengo cha Lishe Queen Elizabeth College mwandishi wa kitabu kiitwacho โPure white and Deadly, Why sugar is Killing Youโ Baada ya Tafiti yake iliyohusianisha Sukari na wanga na Kisukari,kitambi,gauti, kukataliwa na kutupiliwa mbali na Jopo la Uundaji wa Mwongozo wa lishe na Hatimaye Kutoka Mwongozo rasmi unaovishushia hadhi vyakula vya Mafuta kwamba โMafuta huleta magonjwa ya Moyo kwa kuongeza Cholestrolโ Hivyo Cholestrol ndio kikawa ni chanzo na adui aliyetambulika husababisha magonjwa ya moyo. Ancel Benjamin Keys alionekana ni Mwasisi na Mgunduzi wa Adui halisi kwa nini watu wanakufa na magonjwa ya Moyo. Watu wakaanza kuambiwa โUsile vyakula vya mafuta ya Ngโombe mbuzi kondoo , huongeza cholestrol, Kunywa dawa za Kushusha Cholestrol yaani statinsโ Huo mchezo ulionekana UTAKUWA MSAADA MKUBWA KWA JAMII , Chakushangaza Kila Kukicha watu wanaendelea kupukutika na Magonjwa ya Moyo.
Mstuko Unakuja kwamba โKwa nini zaidi ya Nusu ya watu wanaoshambuliwa na Magonjwa ya moyo, Kiwango cha cholestrol au lehemu kipo kawaida sio kingi? Kwa nini tuendelee kusema cholestrol Huleta magonjwa ya Moyo na kumsababishia mtu shambulio la Moyo?โ
Tutamkumbuka Nabii ambaye huwa namwita Prof John Yudkin alisema โKwa sababu mmetupilia mbali tafiti yangu, Na kibaya zaidi hayo mliyo yapokea kuwa mafuta huongeza cholestrol na hamjayafanyia majaribio makubwa kisayansi mmeyapeleka moja kwa moja, Baada ya miaka 40 Jamii nzima itakuwa imelemewa magonjwa ya Mwili kutostahimili sukari na wangaโ Leo hii tunaona athari za Wote Tulipo amuriwa kula vyakula vya wanga hadi asilimia 55-60 bila Kujali unastahimili au hapana. Lishe Moja kwa watu wote, Kwa sababu asilimia 95 hatustahimili wanga na sukari kwa kiwango kikubwa usishangae kwa nini Jamii asilimia kubwa inateseka na Kitambi, Kisukari Presha nk.
Turudi kwenye Mjadala Kwa nini Uwiano wa Omega 3 na Omega 6?
Hadi sasa Magonjwa ya Moyo sio magonjwa ya Cholestrol hata siku moja, Tafiti zinaonesha kwamba nadharia hio imeshindwa kupunguza na kuponyabwatu wanaoteseka na magonjwa ya moyo, Mbali na watu kulemewa na dawa za Kushusha cholestrol na dawa hizo kuonekana ni dawa pekee ambazo zina mauzo makubwa duniani kuliko aina zingine za dawa maana yake zinanyweka sana na watu bado magonjwa hayapungui. Pia Tafiti zinasema kwamba hakuna faida yoyote kiafya ya dawa za kushusha cholestrol kwa mtu ambaye hajawahi kupata shambulio la moyo, Ila zimeonesha msaada kidogo tu kwa mtu ambaye tayari amepata shambulio la moyo Kumzuia asipate tena.
Kosa ni โPale alipohusianisha na kutaka kuonekana nadharia yake ni kweli, Kwamba mafuta yanayoganda hubadilishwa kuwa Cholestrol, Hakuna sehemu yoyote kwenye vitabu vya Rejea vinavyo onesha mafuta yanayoganda hubadilishwa kibaolojia kuwa Cholestrol. Hakuna Biochemistry Ya hivyoโ Hayo aliyafikiria tu na akayafanyia kazi kuyahakiki ingawaje Tafiti yake imekuwa na utata sana aliyesema uhusiano huo โSoma Seven Countries studyโ
Sasa Mataifa Mengine Yamerudi kuangalia Viashiria vya Magonjwa Mengine ya Moyo,
โMagonjwa ya Moyo ni matokeo ya mishipa ya damu kupata majeraha na kuvimba, na mrundikano wa lehemu wowote hauwezi ukatokea k**a hakuna majeraha katika mishipa ya damuโ
Kwa maana hio โUnaweza Ukawa na Kiwango Normal Cha cholestrol na Ukapata shambulio la Moyo endapo usipowajuwa maadui wanaoleta majeraha mwiliniโ
Ndio Maana WHO shirika la afya Duniani linashauri TUPUNGUZE OMEGA 6 NA TUONGEZE OMEGA 3.
Ndio maana Utakutana na VIDONGE VYA OMEGA 3 VINAUZWA LAKINI HUWEZI KUTANA NA VIDONGE VYA OMEGA 6 VINAUZWA K**A VIRUTUBISHO, Vya nini sasa Wakati Mwili Wetu Umezidiwa?
Nini Madhara ya Omega 6 Kuwa nyingi Kuliko Omega 3?
Omega 6 katika kinga ya mwili hutumika kuzuia kusambaa kwa maambukizi yoyote kwa kuvimbisha sehemu ya mwili. Mfano Umepata jibu,Umejiumiza panavimba kwa sababu ya kazi ya Omega 6. Kwa hio basi Omega 6 inavimbisha kwa malengo mazuri kuzuia k**a kuna maambukizi hapo yasisambae.
Kitalamu Omega 6 tunasema ni Pro inflammatory yaani huleta majeraha na kuvimba kwa mwili, Omega 3 ni Ant inflammatory yaani Hutibu majeraha na Kunyausha kubimba kwa mwili au mishipa ya damu. Rudia Tena na Tena aya hii unielewe vizuri kabla hujaendelea.
Sasa Basi Mwili wako unapolemewa na kiwango kingi cha Omega 6 unaanza Kupata majeraha na unavimba, Kuvimba huko hakuna dalili k**a zile ukijigonga kidole na jiwe. Hapana! Bali hutasikia maumivu yoyote hilo ni zoezi na kimya kimya yaani ni โCool Processโ Kitalamu tunaita hali hio ni LOW GRADE CHRONIC INFLAMMATIONโ
Sasa Basi unapofikia hali hio Mwili wako Umepata majeraha mengi, Umevimba sana unaanza kupata Magonjwa yasababishwayo na Mwili kuvimba yaani Inflammatory Diseases ikiwepo Magonjwa ya Moyo, Kitambi,Kisukari,Pumu ya kifua na ngozi,Mzunguko mbovu wa hedhi kwa sababu Low grade chronic inflammation huleta mstuko mwilini, Magonjwa mengi sana yatakukabili naomba ingia sehemu hata google andika โInflammatory Diseasesโ Utaletewa magonjwa Mengi sana.
๐๐ฒ ๐๐๐ป๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐๐๐ถ๐ฏ๐ ๐๐๐๐ถ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐๐๐ธ๐ผ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐๐ถ๐น๐ถ? Yaani Low Grade chronic systemic inflammation?
Hadi sasa Hakuna Kidonge Chochote kilicho kugunduliwa na Huwezi kutumia Diclofenac, Asprini nk kwa sababu Kuvimba huko hakufanani na kule unapopondwa kidole na jiwe. Tiba yake ni KUPUNGUZA MAADUI WANAOLETA MAJERAHA NDANI YA MWILI WAKO NA KUONGEZA VITU VINAVYO TIBU MAJERAHA MWILINI MWAKO.
๐ฉ๐๐ฎ๐ป๐๐ผ ๐ฉ๐๐ฎ ๐ข๐บ๐ฒ๐ด๐ฎ ๐ฏ ๐ ๐๐ถ๐น๐ถ๐ป๐ถ ๐ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ:
1. Mafuta Ya Samaki
2. Samaki na Dagaa
3. Mayai kiini Chake
4. Nyama ya mfugo anayechunga nyasi
5. Almonds
6. Chia seeds
7. Flaxseeds nk
Kiafya unashauriwa Tutoke kwenye Uwiano wa Omega 3 na Omega 6 , 1:16.7 hadi tufikie 1:3-4 utakuwa umepunguza uwezekano wa kupata maradhi hayo kwa zaidi ya Asilimia 50.
Je Umejifunza Kitu kipya? Nipe Maoni yako Ili nikuandikie makala ijayo!
HUDUMA ZETU ZAIDI: 0653 307 678 AU ๐ฌ๐ณ๐ฒ๐ฌ๐ฎ๐ต๐ฒ๐ฐ๐ญ๐ณ
02/09/2024
๐๐ฃ๐จ๐๐ ๐ฉ๐ฌ๐๐๐จ๐๐ ๐๐๐ฉ๐ ๐๐๐๐ช๐ ๐จ๐ก๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐
Matibabu ya ugonjwa wa kisukari yanagharimu fedha nyingi. Kwa hiyo ni ๐บ๐๐ต๐ถ๐บ๐ kuzuia na kudhibiti athari za kisukari ๐บ๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐บ๐ฎ. Ili kudhibiti ugonjwa wa kisukari mgonjwa anapaswa kupatiwa matibabu sahihi, kufuatilia na kupima hali yake ya afya mara kwa mara pamoja na kuzingatia mtindo bora wa maisha na taratibu zinazofaa za ulaji wa chakula.
๐ญ๐ถ๐ณ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ผ ๐ป๐ถ ๐ธ๐ฎ๐ป๐๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐๐น๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ป๐ฎ๐ผ๐ณ๐ฎ๐ฎ ๐๐ถ๐ป๐ฎ๐๐ผ๐ฝ๐ฎ๐๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ถ๐ป๐ด๐ฎ๐๐ถ๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐บ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ:
๐ญ.Kula mlo kamili (angalau mara 3 kwa siku) kwa kuzingatia muda mahususi aliojipangia kwani ๐ต๐ฎ๐๐ต๐ฎ๐๐ฟ๐ถ๐๐ถ kukaa na njaa kwa muda mrefu.
๐ฎ.Dhibiti kiasi cha nishati โ lishe (wanga) katika chakula ili kisizidi mahitaji ya mwili. Kiasi kitegemee mahitaji ya mtu binafsi.
๐ฏ.Ongeza ulaji wa vyakula vyenye makapi โ mlo kwa wingi. Kiasi kikubwa cha nishati-lishe kitokane na vyakula vya asili ya nafaka ๐ถ๐๐ถ๐๐ผ๐ธ๐ผ๐ฏ๐ผ๐น๐ฒ๐๐ฎ, mizizi na ndizi za kupika. Sukari inayotoka katika vyakula hivi hufyonzwa kwa taratibu na hivyo kupunguza kasi ya ongezeko la sukari katika damu.
๐ฐ.Punguza kiasi cha vyakula vinavyozalisha nishati lishe kwa wingi hususani vyakula vyenye mafuta kwa wingi, vyakula vinavyo pikwa kwa kaangwa kwenye mafuta mengi.
๐ฑ.Panga utaratibu wa kula chakula na matumizi ya dawa. Iwapo unatumia insulin au dawa za kushusha kiwango cha sukari katika damu unapaswa kujipangia muda wa kula chakula na kumeza dawa ili kuzuia kupungua kwa sukari katika damu. Epuka kukaa kwa muda mrefu bila kula chakula.
๐ฒ.Kula mbogamboga kwa wingi katika kila mlo.
๐ณ.Kula tunda katika kila mlo:- Parachichi, Tufaa.
๐ด.Epuka kunywa pombe.
๐ต.Epuka ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi k**a soda, keki, biskuti, p**i, tende na asali.
๐ฉ๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ๐๐๐ผ ๐๐ป๐ฎ๐ฝ๐ฎ๐๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฒ๐ฝ๐๐ธ๐ฎ ๐ธ๐ถ๐น๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐ป๐ถ ๐ฝ๐ฎ๐บ๐ผ๐ท๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ธ๐ผ๐ฝ๐ผ, ๐ป๐ฑ๐ถ๐๐ถ, ๐บ๐ฎ๐ฒ๐บ๐ฏ๐ฒ, ๐ฝ๐ฎ๐ฝ๐ฎ๐ถ, ๐๐ถ๐ธ๐ถ๐๐ถ ๐บ๐ฎ๐ท๐ถ, ๐๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ, ๐ฎ๐๐ฎ๐น๐ถ ๐ป๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ธ๐ผ๐ฝ๐ผ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ผ๐๐ฎ๐น๐ถ๐๐ต๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ๐ป๐ถ,"
๐๐๐ฎ๐น๐ถ ๐ป๐ฎ ๐๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ zinasemekana kutothaminiwa na watu wenye kisukari, lakini ni vyakula hatari ambavyo havipaswi kuliwa na watu wenye kisukari.
"Kitu cha kawaida tunachokiona kwa wagonjwa ni tende na asali ambayo wanaamini ni ya asili na haimdhuru mtu. Asali na tende ni hatari zaidi kuliko vyakula vya kawaida."
๐๐ฎ๐ป๐๐ป๐ถ ๐ป๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ๐ป๐ฒ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ถ๐ป๐ด๐ฎ๐๐ถ๐ฎ ๐ป๐ถ:
๐ญ.Punguza uzito iwapo una uzito uliozidi - au dhibiti uzito wa mwili ili usifikie uzito uliozidi. Ni muhimu kuwa na uwiano sahihi wa uzito wa mwili kulingana na urefu wako.
๐ฎ.Zingatia usafi na usalama wa chakula
Wasiliana nasi kwa namba ๐ฌ๐ฒ๐ฑ๐ฏ ๐ฏ๐ฌ๐ณ ๐ฒ๐ณ๐ด au ๐ฌ๐ณ๐ฒ๐ฌ๐ฎ๐ต๐ฒ๐ฐ๐ญ๐ณ.
Tunapatikana Dar es salaam, Kimara Stop Over.
Karibu Tukuhudumie.
30/08/2024
โ ๏ธ ๐๐๐ก๐ฆ๐ ๐ฌ๐ ๐๐จ๐๐ฃ๐จ๐๐ ๐จ๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐...
Yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili kujikinga na ugonjwa wa kisukari;
โ
Kula mlo kamili angalau mara tatu kwa siku.
โ
Epuka kula chakula kingi kupita kiasi.
โ
Epuka kula chakula chenye mafuta mengi au sukari nyingi.
โ
Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara.
โ
Pima sukari katika damu mara kwa mara, angalau mara moja kwa mwaka.
โ
Epuka matumizi ya pombe za aina zote.
โ
Epuka matumizi ya sigara , bidhaa nyingine za tumbaku na madawa ya kulevya.
_๐๐ถ๐ป๐๐ถ ๐ฌ๐ฎ ๐๐๐ถ๐๐ต๐ถ ๐ก๐ฎ ๐๐๐๐ถ๐ฏ๐ ๐จ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐ช๐ฎ ๐๐ถ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ:_
Ili kuishi na kutibu ugonjwa wa kisukari, mgonjwa anashauriwa kufanya mambo yafuatayo;
a) _Dhibiti Ulaji Wako._
1) Kula mlo kamili uliotayarishwa kutokana na angalau chakula kimoja kutoka katika kila kundi la vyakula.
2) Kula mboga mboga kwa wingi kwa mfano mchicha, matembele, karoti, majani ya maboga, kisamvu, mlenda nk.
3) Kula kiasi kidogo cha vyakula vya nafaka, mizizi na ndizi katika mlo.
4) Kula matunda kwa kiasi mfano parachichi na tango.
5) Kunywa maji katika mpangilio maalumu.
6) Epuka ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi k**a jamu, asali, chokoleti, p**i, bazooka, aiskrimu, na juisi bandia.
7) Epuka ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi.
8) Epuka unywaji wa pombe.
b) _Fanya Mazoezi Mara Kwa Mara Angalau Nusu Saa Kwa Siku._
c) _Tunza Miguu Yako Kwa Makini._
- Epuka kuvaa viatu au soksi zinazo bana.
- Epuka kuvaa viatu vyenye kisigino kirefu ambacho huweza kusababisha kuanguka na kuumia.
- Osha miguu yako kwa maji safi na kausha vizuri hususan katikati ya vidole.
- Usitembee bila kuvaa viatu.
d) _Epuka Msongo Wa Mawazo._
_๐๐ฎ๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐๐๐ผ,_
kwa usaidizi na elimu, watu wengi hujifunza kumudu viwango vyao vya sukari kwenye damu.
Watu wasiodhibiti viwango vyao vya sukari huweza kupata madhara zaidi..
Madhara haya hujumuisha kupoteza uwezo wa kuona, uharibifu wa neva kwenye mikono na miguu pamoja na ugonjwa wa moyo.
Wasiliana nasi..๐ฒ ๐ฌ๐ฒ๐ฑ๐ฏ ๐ฏ๐ฌ๐ณ ๐ฒ๐ณ๐ด
Wako,
๐๐ฟ.๐๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ฟ๐ฎ๐ต
30/07/2024
๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐๐จ๐ฆ๐๐๐๐๐๐ฆ๐๐ ๐ ๐๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐ข๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐ ๐๐ฆ๐๐๐ฃ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ ๐จ
โฃUgonjwa wa kisukari ๐๐๐ถ๐ฝ๐ผ ๐๐ถ๐ฏ๐ถ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐บ๐ฎ huathiri utendaji kazi wa Mfumo wa mzunguko wa damu. Hivyo kusababisha Magonjwa ya Moyo na Magonjwa ya Mishipa ya damu.
โฃMfumo wa mzunguko wa damu umeundwa na vitu vikuu vitatu; ๐ ๐ผ๐๐ผ, ๐ ๐ถ๐๐ต๐ถ๐ฝ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐บ๐ ๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐บ๐ ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ๐๐ฒ. Kwahiyo damu inapokuwa na kiwango kikubwa cha Sukari kuliko kawaida, huathiri utendaji kazi wa mfumo mzima wa mzunguko wa damu yani Moyo pamoja na
Mishipa ya damu.
โฃHatari ya kupata Magonjwa ya Moyo kwa watu ๐๐ฎ๐น๐ถ๐ผ na ugonjwa wa kisukari ni kubwa zaidi ikilinganishwa na wale ๐๐ฎ๐๐ถ๐ผ na ugonjwa wa kisukari.
โฃUgonjwa wa kisukari unaweza kusababisha ugonjwa wa Moyo kwa kiasi kikubwa ikiwa Mgonjwa tayari ana ugonjwa wa Shinikizo la juu la damu yani ๐๐๐ฝ๐ฒ๐ฟ๐๐ฒ๐ป๐๐ถ๐ผ๐ป au ๐ฃ๐ฟ๐ฒ๐๐ต๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ. Pia ikiwa ana kiwango kiwango kikubwa cha cholesterol mwilini anakuwa katika hatari ya kupata Magonjwa ya Moyo.
โฃViwango vya juu vya Sukari kwenye damu vinaweza kuharibu utando wa mishipa ya damu na kuifanya iwe rahisi zaidi ๐ฎ๐๐ต๐ฒ๐ฟ๐ผ๐๐ฐ๐น๐ฒ๐ฟ๐ผ๐๐ถ๐ na kupungua. Hali hiyo huzuia mtiririko wa damu kwenda kwenye Moyo na Viungo vingine na kuongeza hatari ya shambulio la Moyo yani ๐๐ฒ๐ฎ๐ฟ๐ ๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฐ๐ธ na kiharusi yani ๐ฆ๐๐ฟ๐ผ๐ธ๐ฒ au ๐๐๐ฝ๐ผ๐ผ๐๐ฎ.
โฃ๐ฎ๐๐ต๐ฒ๐ฟ๐ผ๐๐ฐ๐น๐ฒ๐ฟ๐ผ๐๐ถ๐; Ni hali ambayo mishipa ya damu hasa mishipa ya ateri, inakuwa myembamba na migumu kwasabababu ya uwepo wa vitu ambavyo hubaki au kuganda ndani ya kuta za mishipa ya damu. Hivyo kuathiri au kuzuia upitaji wa damu ndani ya mishipa ya damu. Wingi wa Sukari katika damu unaweza kusababisha tatizo hili. Viungo ambavyo huathirika ni Moyo, Ubongo, Miguuu na Figo.
โฃ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐๐ถ ๐ป๐ฎ ๐ ๐ถ๐ด๐๐ ๐๐๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ ๐ผ๐๐ผ; Kwa Mgonjwa wa kisukari husababishwa na Hali ya
๐ฎ๐๐ต๐ฒ๐ฟ๐ผ๐๐ฐ๐น๐ฒ๐ฟ๐ผ๐๐ถ๐ ambayo huchangiwa kwa kiasi kikubwa na wingi wa cholesterol mwilini, Shinikizo la juu la damu, uvutaji wa sigara, Kisukari, Uzito Mkubwa kupita kiasi, Lishe mbaya, Kutokufanya mazoezi n.k
โฃWingi wa sukari kwenye damu huchangia kutengenezwa kwa damu kuganda au kusinyaa kwa mishipa iliyopo sehemu ya Ubongo hivyo husababisha ๐๐ถ๐ต๐ฎ๐ฟ๐๐๐ถ.
โฃKatika aina ya 2 ya ugonjwa wa kisukari, mwili huwa sugu kwa athari za upinzani wa insulini au ๐๐ป๐๐๐น๐ถ๐ป๐ฒ ๐ฟ๐ฒ๐๐ถ๐๐๐ฎ๐ป๐ฐ๐ฒ na kusababisha viwango vya juu vya sukari ya damu. Upinzani wa insulini unahusishwa na hatari ya kuongezeka kwa ugonjwa wa Moyo na Mishipa ya damu.
KWA USHAURI NA MATIBABU TUWASILIANE KUPITIA WHATSAPP
0653 307 678
AU PIGA +255653307678
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER, KARIBU TUKUHUDUMIE.
29/07/2024
๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐จ๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐
Kisukari, ikiwa hakitadhibitiwa vizuri, kinaweza kusababisha madhara makubwa kwa afya. Hapa kuna baadhi ya madhara makubwa ya kisukari:
1.๐ ๐ฎ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ ๐ผ๐๐ผ ๐ป๐ฎ ๐ ๐ถ๐๐ต๐ถ๐ฝ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐บ๐
Watu wenye kisukari wako katika hatari kubwa ya kupata magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, na kiharusi.
2. ๐จ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ฏ๐ถ๐ณ๐ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐ด๐ผ (๐ก๐ฒ๐ฝ๐ต๐ฟ๐ผ๐ฝ๐ฎ๐๐ต๐):
Kisukari kinaweza kuharibu figo na kusababisha kushindwa kwa figo, hali inayoweza kuhitaji matibabu k**a vile kusafisha damu (dialysis) au upandikizaji wa figo.
3. ๐จ๐ต๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ฏ๐ถ๐ณ๐ ๐๐ฎ ๐ ๐ถ๐๐ต๐ถ๐ฝ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ต๐ฎ๐บ๐ (๐ก๐ฒ๐๐ฟ๐ผ๐ฝ๐ฎ๐๐ต๐):Kisukari kinaweza kuharibu mishipa ya fahamu, hali inayosababisha maumivu, ganzi, au kufa ganzi, hasa kwenye miguu na mikono.
4. ๐ ๐ฎ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ ๐ฎ๐ฐ๐ต๐ผ (๐ฅ๐ฒ๐๐ถ๐ป๐ผ๐ฝ๐ฎ๐๐ต๐): Kisukari kinaweza kuharibu mishipa ya damu ya retina, na kusababisha upofu au matatizo mengine ya macho k**a vile jicho la kisukari (diabetic retinopathy).
5. ๐ฉ๐ถ๐ฑ๐ผ๐ป๐ฑ๐ฎ ๐๐๐ฎ ๐ ๐ด๐๐:Uharibifu wa mishipa ya damu na mishipa ya fahamu unaweza kusababisha vidonda vya mguu ambavyo vinaweza kupona polepole na kuhitaji kukatwa k**a vidonda hivyo vitazidi kuwa sugu.
6. ๐ ๐ฎ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ก๐ด๐ผ๐๐ถ: Mgonjwa wa kisukari anaweza kupata kwa urahisi maambukizi ya ngozi, maambukizi ya fangasi, na matatizo mengine ya ngozi.
7. ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐๐๐๐ถ๐ธ๐ถ๐ฎ: Uharibifu wa mishipa ya damu na mishipa ya fahamu unaweza pia kuathiri uwezo wa kusikia.
8. ๐จ๐ด๐๐บ๐ฏ๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐๐ผ ๐๐ฎ ๐จ๐๐ฎ๐๐ถ:Wanawake wenye kisukari wanaweza kupata matatizo wakati wa ujauzito na wakati mwingine wanakuwa na ugumu wa kupata ujauzito.
9. ๐ ๐ฎ๐ด๐ผ๐ป๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ ๐ฒ๐ป๐ผ ๐ป๐ฎ ๐๐ถ๐๐ถ: Watu wenye kisukari wanaweza kuwa na hatari kubwa ya kupata magonjwa ya fizi na kupoteza meno.
Kudhibiti viwango vya sukari kwenye damu, kuzingatia lishe bora, kufanya mazoezi, na kufuata ushauri wa daktari kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya kupata madhara haya.
29/07/2024
๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐ ๐๐ช๐๐๐ ๐๐ช๐ ๐ ๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐
Dalili za kisukari (diabetes) zinaweza kuwa tofauti kulingana na aina ya kisukari na hatua ya ugonjwa huo. Hapa kuna baadhi ya dalili za kawaida:
1. Kiu isiyokwisha. Mgonjwa huwa na kiu ya maji mara kwa mara.
2. Kukojoa mara kwa mara: Hasa wakati wa usiku.
3. Kuchoka: Uchovu wa mwili bila sababu ya msingi.
4. Kupungua uzito bila sababu: Hata bila kufanya mabadiliko yoyote kwenye lishe au mazoezi.
5. Kuhisi njaa mara kwa mara: Hata baada ya kula.
6. Maono hafifu: Kuona ukungu au kushindwa kuona vizuri.
7. Vidonda vinavyochelewa kupona: Vidonda au majeraha yanayopona polepole.
8. Maambukizi ya mara kwa mara: Hasa kwenye fizi, ngozi, na sehemu za siri.
9. Ganzi au kufa ganzi mikononi na miguuni: Hasa kwa kisukari cha muda mrefu.
Ikiwa unahisi dalili hizi, karibu upate ushauri na matibabu ya uhakika. Tupigie au tumwa ujumbe mfupi WhatsApp
0653 307 678
29/07/2024
๐จ๐๐๐๐๐ ๐จ ๐จ๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐๐๐ง๐๐ฅ๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐.
๐๐๐๐๐๐, ๐ฆ๐๐๐๐๐จ, ๐ก๐ ๐จ๐ง๐๐ ๐๐จ๐ญ๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐.
Ugonjwa wa kisukari ni hali ya kiafya ya muda mrefu na ya kudumu ambayo huathiri jinsi mwili unavyogeuza chakula kuwa nishati na kusababisha viwango vya juu vya sukari kwenye damu.
Hii hutokea wakati mwili hautoi insulini ya kutosha au hautumii insulini inayozalishwa kwa ufanisi inavyopaswa. Sukari nyingi katika damu hubakia kwenye mfumo wa damu kunapokuwa na insulini ya kutosha au seli zinapoacha kuitikia insulini na kunaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya k**a vile kupoteza uwezo wa kuona, ugonjwa wa moyo, na ugonjwa wa figo baada ya muda.
Kuchukua dawa za kisukari inapohitajika, kupokea elimu ya kujisimamia na usaidizi wa ugonjwa wa kisukari, na kuweka miadi ya utunzaji wa afya kunaweza kusaidia kupunguza athari za ugonjwa wa kisukari katika maisha yako.
๐๐๐ก๐ ๐ญ๐ ๐จ๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ช๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐
Kuna aina tatu kuu za kisukari:
aina ya 1, aina ya 2, na kisukari cha ujauzito (kisukari wakati wa ujauzito).
๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐ญ
Aina ya 1 ya kisukari husababishwa na mmenyuko wa kingamwili (mwili hujishambulia wenyewe kwa bahati mbaya) ambao huzuia mwili kutoa insulini. Aina ya 1 ya kisukari huathiri takriban 5-10% ya wagonjwa wote wa kisukari.
๐๐ฎ๐น๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ฎ๐ถ๐ป๐ฎ ๐๐ฎ ๐ญ mara nyingi huonekana haraka. Hii mara nyingi hugunduliwa kwa watoto, vijana na vijana.
๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐ฎ
Aina ya 2 Kisukari: Kwa ugonjwa wa kisukari cha aina ya 2, mwili hautumii insulini vizuri na hauwezi kudumisha viwango vya kawaida vya sukari ya damu. Inachukua miaka kuendeleza na mara nyingi hugunduliwa kwa watu wazima. Kwa sababu dalili hazionekani, ni muhimu kupima sukari ya damu. Aina ya 2 ya kisukari inaweza kuepukwa au kucheleweshwa kwa kufuata mabadiliko ya mtindo wa maisha k**a vile kupunguza uzito, kula vyakula vyenye lishe, na kufanya mazoezi mara kwa mara.
๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐๐๐ ๐จ๐๐๐จ๐ญ๐๐ง๐ข
Kisukari cha ujauzito: Wanawake wajawazito ambao hawajawahi kuwa na ugonjwa wa kisukari wanaweza kuendeleza kisukari cha ujauzito. Mtoto anaweza kuwa katika hatari zaidi ya matatizo ya afya ikiwa mama ana kisukari wakati wa ujauzito. Kisukari wakati wa ujauzito kwa kawaida huisha baada ya mtoto kuzaliwa, lakini huongeza hatari ya kupata kisukari cha aina ya pili baadaye. Mtoto ana nafasi kubwa ya kuwa mnene akiwa mtoto au kijana mwenye kisukari cha aina ya 2 baadaye maishani.
๐ง๐จ๐ก๐๐ฃ๐๐ง๐๐๐๐ก๐ ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐ง๐ข๐ฃ ๐ข๐ฉ๐๐ฅ
๐๐ช๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ ๐ง๐จ๐ช๐๐ฆ๐๐๐๐๐ก๐ ๐๐จ๐ฃ๐๐ง๐๐ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐๐ฝ๐ฝ
0653 307 678 AU
๐ฃ๐๐๐ +255653307678
29/07/2024
๐ฃ๐๐ง๐ ๐ฆ๐จ๐๐จ๐๐๐ฆ๐๐ข ๐๐ ๐๐จ๐๐จ๐ ๐จ, ๐ง๐๐๐จ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐๐ช๐ ๐ ๐จ๐๐ ๐ช๐ ๐ช๐๐๐ ๐ญ๐ฎ ๐๐จ๐ ๐๐๐๐ญ๐ ๐ง๐๐ง๐๐ญ๐ข:
Je, wewe ni muhanga wa kisukari unahangaika kupata suruhisho la kudumu?
Hivi unajua kwamba 90% ya wahanga wa kisukari hawaponi kisukari kwasababu hawajui ni nini hasa wanachotakiwa kukitibu?
Ni k**a bahati kwako kwamba NJIA hii PEKEE itakusaidia kupona kabisa.
๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐๐ง๐ข๐๐๐ก๐๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐.
โก Kupoteza viungo cya mwili k**a mguu,mkono na vidole.
โก Kupata presha.
โก Kukosa nguvu za kiume kwa mwanaume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke.
โก Kusikia ganzi kwenye vidole vya miguuni na mikononi.
โก Kupata madhara kwenye figo na moyo kupanuka.
โก Kuathirika mishipa ya damu na neva za fahamu.
Karibu nikusaidie kuondokana na changamoto hiyo..
๐๐๐ฅ๐๐๐จ ๐ง๐จ๐๐จ๐๐จ๐๐จ๐ ๐๐ ๐๐ช๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ.
๐ง๐จ๐ก๐๐ฃ๐๐ง๐๐๐๐ก๐ ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐ง๐ข๐ฃ ๐ข๐ฉ๐๐ฅ.
๐๐๐ฅ๐๐๐จ ๐ฆ๐๐ก๐..
Unaweza kuwasiliana nasi kwakupiga simu au kupitia WhatsApp
0653 307 678
+255653307678
15/07/2024
MATATIZO YA VIUNGO NA MIFUPA
Osteoarthritis :
-Ni tatizo linalotokana na kinga ya mwili kutafuna gegedu (cartilage)
-Tatizo hili linaathiri viungo badae huathiri mifupa
-Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia ute ute kuisha
-Huathiri viungo mbali mbali k**a vile pingili za uti wa mugongo, nyonga na magoti nk...
SABABU KUU INAYOPELEKEA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS :
-Umri mtu akifikisha miaka 40 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vy kutengeneza gegedu(cartilage)
-Uzito uliopindukia
-Historia ya familia
-Ajali
-Kutumika kwa viungo kupita kiasi wana mazoezi mfano
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.MAGOTIMaumivu kwenye magoti Magoti kushindwa kujikunja Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi Milio ya mifupa kugusana kwenye magoti
2.MGONGO/UTI WA MGONGO Maumivu kwenye mgongo Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
kusikia ganzi mapajani au miguuni Kushindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.
Wasiliana nasi utatuliwe tatizo lako kwa urahisi
WhatsApp 0653 307 678.
15/07/2024
TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS
Kutokana na sababu Mbalimbali,Watu wa jinsia zote Hupata Matatizo ya Mifupa Maungio na kadiri umri unavyozidi kwenda ndio watu hupata udhaifu wa mifupa na viungo kupelekea shida k**a gauti,arthritis,Osteoporosis n.k
DALILI ZA TATIZO
โKupata Maumivu Ya mgongo,Kiuno,Mabega,Magoti Au Shingoni
โMagoti Kupiga Kelele Ukinyoosha mguu Au Kutembea
โKushindwa Kutembea Kawaida Mpaka Upate Sapoti
โJoints Kuvimba Na Kuuma,Miguu Kufa ganzi
โKushindwa Kutembea Au Kufanya shughuli Zako Za Kila Siku
SABABU ZA TATIZO
โ Kukosa ute ute(synovial fluid)kwenye joints kutokana kuwa na Uric Acid nyingi
โ Kuwa Na Uzani mkubwa kupelekea tishu K**a Sponji zinazoitwa gegedu(cartilage kuzidiwa hivyo kupelekea mifupa kusagika
โ Upungufu wa madini muhimu Calcium Ambayo hupelekea mifupa Kuwa na Uzani Mdogo
โ Kukoma Kwa Hedhi Kwa Akina Mama
โ Kufanya Mazoezi Ya Viungo Bila Kuzingatia Lishe Nzuri
โ Umri Mkubwa,Kupata Majeraha,Kurithi
Tuwasiliane 0653307678.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Kimara Stopover
Dar Es Salaam