NIPE SIKIO NA MACHO
Nipe sikio na macho nikuhabarishe.
08/12/2025
๐๐๐๐
Zamani tulizoea kwamba ili mtu afanye biashara ni lazima awe na fremu/kibanda/duka...
Surprisingly, kwa sasa unaweza kufanya biashara bila kuwa navyo vyote hivyo!
Kwanini? Ni kwa sababu ya digital revolutions (Ukuaji na mapinduzi ya kijigitali), unachohitaji ni bidhaa, simu/Laptop/ desktop pamoja na Internet ili kuwafikia wateja wako.
Namba kubwa ya wateja inapatikana Mitandaoni, huko kuna kila aina ya wateja ambao pengine sio rahisi kufika dukani moja kwa moja, lakini Internet inawaunganisha kwa urahisi.
The same case, number kubwa ya wafanyabiashara ipo social media kwani ndipo kuna wateja wengi...
Na kila mmoja anataka auze bidhaa au huduma ili kufikia malengo yake...
Nini cha kufanya? Kwakuwa wateja wana machaguo mengi, inampasa mfanyabiashara kuwa tofauti, mbunifu, available,mtatua matatizo, na mwenye ushirikiano mzuri na wateja ili kupata wateja wapya na kubakiza waliopo.
Moja ya jukumu ambalo NicoNet Jr's Center tunalifanya kati ya mengi ni kuhakiksha tunasimamia vyema akaunti za biashara mitandaoni na kukuza jina (brand) la biashara husika.
Ewe mfanyabiashara unaetamani kufikka wateja wengi
Ni muda wako huu!
Tupigie sasa 0719 042 919 au tembelea huduma zetu kwa kubonyeza๐ https://tinyurl.com/mvm8mv65
18/10/2025
Taarifa kwa umma...
Maana halisi ya yanga ya asali na maziwa๐
Nifollow kwa taarifa kemukemu za michezo na burudani.
HAUJIAMINI UNAPOKUWA MBELE ZA WATU?
Hizi hapa mbinu 5 za haraka za kujiamini mbele ya watu (ukianza kuzitumia leo utaona tofauti):
๐ 1. Fanya โpower poseโ kabla ya kukutana na watu
Kabla ya kuingia sehemu yenye watu, chukua dakika 2 ukiwa peke yako, simama kifua mbele, mikono kiunoni au juu k**a mshindi.
Hii inainua kiwango cha kujiamini (self-confidence hormones) kwenye ubongo.
๐ 2. Angalia macho ya mtu sekunde 3 kisha toa macho polepole
Ukikwepa macho sana watu wanadhani unaogopa au huna uhakika.
Kidogo kidogo jifunze kutazama macho ya mtu bila kuogopa.
๐ 3. Punguza kasi ya kuongea
Watu wanaojiamini hawakimbii maneno. Ongea kwa taratibu na pumua vizuri.
Kila ukijisikia unatetemeka, pumua kwa ndani (inhale) na toa pumzi (exhale) taratibu kabla hujaongea.
๐ 4. Kuwa na tabasamu dogo kila wakati
Tabasamu linaonyesha ujasiri na linafanya hata k**a umejawa na hofu, watu wasijue.
๐ 5. Jizoeze kujipongeza mwenyewe
Baada ya kuongea au kuwasiliana na watu, jipe pongezi (โNimeweza kuongea mbele yaoโ).
Hii itajenga moyo wa kujaribu tena na tena.
NB: Watu wengi huogopa k**a wewe, ila tofauti ni kuwa wao wanajificha na wanajilazimisha kuonekana wamejiamini. Ukiendelea kujilazimisha, inakuwa tabia yako ya kawaida.
Kwa maudhui zaidi ya kujijenga, LIKE page hii kisha Follw
05/03/2024
Weka comment yako na like yako tuhitimishe mjadala.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam