huduma za afya

huduma za afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from huduma za afya, Health/Beauty, Dar esaalam mwenge, Dar es Salaam.

23/10/2023

-ni-ugonjwa-hatari-sana😭
Ni ile hali ya kupata uvimbe kwenye njia ya haja kubwa

Hali hii inatokea kwasababu ya kupata choo kigumu kwa mda mrefu japo zipo sababu zingine nyingi

Unaweza kufaham kwamba unachangamoto hii kwakuona dalili k**a;

■Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
■Kupata miwasho kwenye njia ya haja kubwa
■Kupata choo kigumu
■kupata choo chenye dam dam
■Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

Watu wengi wamekuwa wakitibia changamoto hii bila kuona matokeo ya kudumu hii ni kwasababu ya kutozingatia kutibu kuanzia kwenye chanzo cha tatizo...

Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi sana kwa mda mrefu kutibia bawasiri bila upasuaji

Kwakuzingatia chanzo cha tatizo na tatizo lenyewe

Kwa mfumo huu kila aliyetumia dawa amepona kabisa na changamoto imepotea kabisa hairudi tena

Hivyo nawewe jenga imani na tumaini la kuondokana na hii changamoto

Nipigie; Dr onesmo 0756608261

Au njoo whatsap kwakubofya whatsap Batani

22/10/2023

Tibu tatizo la Bawasiri moja kwa moja

Bawasiri niugojwa unao tibika halaka sana endapo mtu utazingatia maelezo utayopewa na doctor

Bawasiri nihari yakuota kinyama sehemu ya njia ya haja kubwa
Tatizo hili la bawasiri kitaalamu huitwa HEMORRHOIDS

Kuana bawasiri za aina mbili
Bawasiri ya ndani na Bawasiri ya nje

Dalili za Bawasiri

➡️Kupata choo kigumu k**a choo ya mbuzi
➡️kupata miwasho sehem ya njia ya haja kubwa
➡️Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
➡️Kupata choo ilio changanyika na damu
➡️Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
➡️Kupata choo chenye k**asi k**asi

Madhala ya bawasiri
🚨Kupata saratani ya utumbo mpana
🚨Kuto pata choo mda mrefu
🚨Kupungukiwa damu
🚨Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
🚨 upungufu wa nguvu za kiume
Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake

Ikiwa unatatizo hila usiendelee kuteseka nakutumia madawa bila mafanikio njoo nikusaidie kutibu moja kwa moja

Piga simu 0756608261

18/10/2023

Tibu tatizo la Bawasiri moja kwa moja

Bawasiri niugojwa unao tibika halaka sana endapo mtu utazingatia maelezo utayopewa na doctor

Bawasiri nihari yakuota kinyama sehemu ya njia ya haja kubwa
Tatizo hili la bawasiri kitaalamu huitwa HEMORRHOIDS

Kuana bawasiri za aina mbili
Bawasiri ya ndani na Bawasiri ya nje

Dalili za Bawasiri

➡️Kupata choo kigumu k**a choo ya mbuzi
➡️kupata miwasho sehem ya njia ya haja kubwa
➡️Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
➡️Kupata choo ilio changanyika na damu
➡️Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
➡️Kupata choo chenye k**asi k**asi

Bawasiri ni ugojwa unaotokana na kuathilika kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Madhala ya bawasiri
🚨Kupata saratani ya utumbo mpana
🚨Kuto pata choo mda mrefu
🚨Kupungukiwa damu
🚨Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
🚨 upungufu wa nguvu za kiume
Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake

Ikiwa unatatizo hila usiendelee kuteseka nakutumia madawa bila mafanikio njoo nikusaidie kutibu moja kwa moja

Piga simu 0756608261

18/10/2023

Tatizo la miguu kufa ganzi huweza kutokea kwa mtu yoyote,na tatizo hili huhusisha vyanzo zaidi ya kimoja,hivo uchunguzi wa kina unahitajika kufahamu chanzo cha tatizo lako, Miguu huweza kufa ganzi kwa muda mfupi lakini pia kwa baadhi ya watu hili ni tatizo la muda mrefu ambalo hujirudia mara kwa mara au la kudumu. je chanzo cha tatizo hili la miguu kufa ganzi ni nini? soma hapa chini

CHANZO CHA TATIZO LA MIGUU KUFA GANZI NI PAMOJA NA;

1. Mtu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu, kukaa sehemu moja kwa muda mrefu huweza kuleta tatizo la miguu kufa ganzi japo ni kwa muda mfupi tu na kisha tatizo hili huisha lenyewe

2. Kukunja miguu kwa muda mrefu, mtu huweza kupata shida ya miguu kufa ganzi baada ya kuikunja kwa muda mrefu, japo tatizo hili pia sio la kudumu,huisha ndani ya muda mfupi hasa baada ya mtu kufanya mazoezi au kuanza kutembea, Kukunja miguu kwa muda mrefu huweza kusababisha pressure au mgandamizo ambao husababisha Nerves za miguuni kukosa mawasiliano mazuri na ubongo wako hivo kuleta tatizo la ganzi miguun
Hali hii kwa kitaalam hujulikana k**a PARESTHESIA, ambapo pia huweza kuambatana na matatizo mengine k**a vile mtu kuhisi kuungua moto miguuni n.
3. Sciatic Nerves ambayo hutoka sehemu ya chini mgongoni kupitia kwenye hips pamoja na matakoni kubanwa, hii huweza kusababisha tatizo la miguu kufa ganzi, Baada ya nerve hii ya SCIATIC kubanwa mtu huweza kupatwa na matatizo k**a vile; miguu kufa ganzi, maumivu ya mgongo kushuka chini miguuni, maumivu ambayo huwa makali zaidi mtu akikohoa,kupiga chafya, au kukaa kwa muda sehemu moja,misuli ya miguuni kukosa nguvu n.k.

4. Ugonjwa wa KISUKARI, ugonjwa huu huweza kusababisha tatizo la uharibifu wa nerves hali ambayo hupelekea tatizo la ganzi,ndyo maana wagonjwa wengi wa kisukari hupata tatizo la miguu kufa ganzi pamoja na viungo vingine vya mwili k**a vile mikono na vidole vyake n.k

Hali hii kwa kitaalam hujulikana k**a PERIPHERAL NEUROPATHY ambapo nerves za maeneo k**a vile ya miguuni,mikononi,kwenye vidole n.k huharibika, na hapa ndipo mgonjwa huanza kupata maumivu makali ya miguu na mikono hasa wakati wa usiku, misuli kukosa nguvu na kuwa dhaifu, Kupatwa na vidonda kwenye miguu,kupata maumivu makali ya miguu wakati ikiguswa n.k

5. Tatizo la Multiple Sclerosis, ambapo Kinga yako ya mwili ambayo inapambana na vimelea vya magonjwa mbali mbali huanza kushambulia mfumo wako mkuu wa fahamu yaani Central nerves system, kisha kusababisha matatizo k**a vile; miguu kufa ganzi, kuhisi miguu kuchoma choma k**a mtu anakuchoma na sindano, uchovu wa mwili kupita kiasi hata k**a hujafanya kazi yoyote ngumu, misuli ya mwili kuwa dhaifu,kukak**aa mara kwa mara yaani muscle spasms,mtu kupata kizunguzungu, Kupatwa na matatizo ya macho kutokuona vizuri n.k

6. Matumizi ya pombe kupita kiasi,tafiti zinaonyesha kwamba, sumu inayotokana na matumizi ya pombe huweza kuharibu mfumo wa fahamu(Nerves) kisha kusababisha matatizo mbali mbali ikiwemo hili la miguu kufa ganzi

7.Kuwa na uvimbe au Peripheral nerves tumor, kukuwa kwa uvimbe kwenye eneo la Nerves za maeneo k**a vile miguuni na mikononi huweza kusababisha tatizo la Nerves hizi kushindwa kudhibiti utendaji kazi wa misuli ya miguuni,kisha kuleta tatizo la miguu kufa ganzi,miguu kuvimba,misuli ya miguuni kuwa dhaifu au kukosa nguvu n.k

Matibabu kuna aina nyingi za matibabu ya tatizo hili
Zikiwemo dawa mbali mbali za asili na dawa zinginezo za hospitalini

Matibabu huweza kutengemea na tatizo hili limedumu kwa muda gani

Ikiwa unatatizo hili
Wasiliana nasi 0756608261

13/10/2023

Mwanamke k**a bado hujatumia FEMICARE bado hujatibu matatizo haya

>U.T.I sugu

>Fangasi sugu

>maumivu chini ya kitovu

>Maumivu wakati wa tendo la ndoa
>Uchafu mweupe k**a maziwa mzito
>Uchafu wenye harufu mbaya k**a shombo la samaki

>ukavu ukeni

>Kubana kuta za uke

>kurejesha ute wa uzazi

>kuongeza ulinzi kwenye uke na kuzuia kupata maambukizi mara kwa mara

Femicare inapatikana kwangu tu.utaipata kwabei ya ofa sh 35000..
Ni ofa ya siku tatu.

Nipigie uweze kuipata haijalishi uko wapi nipigie au njoo whatsap
0756608261

13/10/2023

Maliza tatizo la bawasiri bila upasuaji

Bawasiri ni hali yakuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
Kuna aina mbili za Bawasiri bawasiri
Ya ndani na yainje
Bawasiri kitaalamu huitwa (HEMORRHOIDS)

Dalili za Bawasiri
=Kupata choo kigumu k**a cha mbuzi
=Kuhisi miwasho kwenye njia ya haja kubwa
=Kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
=Kuharisha
=Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
=Kupata choo chenye damu
=Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
=Upungufu wa nguvu za kiume
=Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake
=Kupata Miwasho ya ngozi
=Kuhisi kitu kinakugusa sehem ya haja kubwa

Madhala ya bawasiri
=Kupungukiwa damu
=Kushindwa kufanya shuguli zako
=Mishipa ya haja kubwa kuvimba
=Kufanyiwa upasuaji na kujiludia tena

Ikiwa una dalili hizi fahamu kua unatatizo la Bawasiri
Njoo upate ushauri na matibabu utibu tatizo hili moja kwa moja

Wasiliana nasi 0756608261
Au gusa wahtsapp batani

21/09/2023

Je unasumbuliwa na tatizo ya uzazi? matatizo hayo nik**a ifuatavyo 👇

➡️ Hormone imbalance /mvurgiko wa hedhi
➡️P i d na u t i sugu
➡️Kutoshika ujauzito
➡️Kushika ujauzito na kuhalibika
➡️ Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi
➡️Milija ya uzazi kujaa maji
➡️Kukosa hamu ya tendo na kupata maumivu wakati wa tendo
➡️Kansa ya shingo la uzazi
➡️Halfu mbaya ukeni
➡️Kutokwa na uchafu mweupe mzito
➡️Kupata maumivu ya tumbo chini ya kitovu wakati wa hedhi

Endapo unasumburiwa na tatizo haya wasiliana nas tukusaidie kutatua tatizo lako kwa usahihi na halaka 0756608261

19/09/2023

Vidonda vya tumbo ni mchubuko au makovu yanayo baki katika kuta za utumbo mdogo.
Vidonda hivi husababishwa na bacteria anaeitwa helicopters pylori H.pylori) ambaye hualibu utando unaokinga kutaza utumbo kutokuhali biwa na tindikali hivyo hivyo husababisha ukuta wautumbo kuhalibiwa na tindikali na kupelekea vidonda katika kuta hizo za utumbo

*Aina za vidonda vya tumbo*

Kunaaina zipatazo mbili za vidonda vya tumbo
(1) vidonda vya tumbo kubwa hivi ni vidonda vya tumbo vinavyo tokea ndani kwenye utumbo mkubwa
(2)vidonda vya tumbo dogo hivi nividonda vinavyo tokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)

*SABABU ZINAZO PELEKEA VIDONDA VYA TUMBO*
Zipo sababu nyingi ila zilizo kuu nihizi mbili

1) bacteria anaeitwa helicopters pylori (H.pylori)
2)tumbo kuunguzwa na kemikali.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
🔸Kiungulia au maumivu makali k**a kuungua katikati ya kifua
🔸Tumbo kujaa gesi na kuvumbiwa
🔸Kupata maumivu makali ya tumbo au tumbo kuwaka moto
🔸Kutapika damu
🔸Kupata haja kubwa yenye langi ya kahawiya au au vyeusi yenye halufu mbaya

Madhara ya Vidonda vya tumbo

🚨Kupata saratani ya utumbo
🚨Kuziba kwa njia ya chakula
🚨 Kuathiri ini na kongosho
🚨Kusababisha tundu kwenye utumbo nakusababisha utumbo kutoboka kwa ukuta wautumbo

Ikiwa una tatizo hili nipigie sasa hivi nikusaidie kutibu moja kwa moja

0756608261
Dkt Onesmo

19/09/2023

Tibu tatizo la Bawasiri moja kwa moja

Bawasiri niugojwa unao tibika halaka sana endapo mtu utazingatia maelezo utayopewa na doctor

Bawasiri nihari yakuota kinyama sehemu ya njia ya haja kubwa
Tatizo hili la bawasiri kitaalamu huitwa HEMORRHOIDS

Kuana bawasiri za aina mbili
Bawasiri ya ndani na Bawasiri ya nje

Dalili za Bawasiri

➡️Kupata choo kigumu k**a choo ya mbuzi
➡️kupata miwasho sehem ya njia ya haja kubwa
➡️Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
➡️Kupata choo ilio changanyika na damu
➡️Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
➡️Kuhalisha sana
➡️Kupata choo chenye k**asi k**asi

Bawasiri ni ugojwa unaotokana na kuathilika kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Madhala ya bawasiri
🚨Kupata saratani ya utumbo mpana
🚨Kuto pata choo mda mrefu
🚨Kupungukiwa damu
🚨Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
🚨 upungufu wa nguvu za kiume
Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake

Ikiwa unatatizo hila usiendelee kuteseka nakutumia madawa bila mafanikio njoo nikusaidie kutibu moja kwa moja

Piga simu 0756608261

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Esaalam Mwenge
Dar Es Salaam