huduma za afya
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from huduma za afya, Health/Beauty, Dar esaalam mwenge, Dar es Salaam.
23/10/2023
-ni-ugonjwa-hatari-sana😭
Ni ile hali ya kupata uvimbe kwenye njia ya haja kubwa
Hali hii inatokea kwasababu ya kupata choo kigumu kwa mda mrefu japo zipo sababu zingine nyingi
Unaweza kufaham kwamba unachangamoto hii kwakuona dalili k**a;
■Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
■Kupata miwasho kwenye njia ya haja kubwa
■Kupata choo kigumu
■kupata choo chenye dam dam
■Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
Watu wengi wamekuwa wakitibia changamoto hii bila kuona matokeo ya kudumu hii ni kwasababu ya kutozingatia kutibu kuanzia kwenye chanzo cha tatizo...
Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi sana kwa mda mrefu kutibia bawasiri bila upasuaji
Kwakuzingatia chanzo cha tatizo na tatizo lenyewe
Kwa mfumo huu kila aliyetumia dawa amepona kabisa na changamoto imepotea kabisa hairudi tena
Hivyo nawewe jenga imani na tumaini la kuondokana na hii changamoto
Nipigie; Dr onesmo 0756608261
Au njoo whatsap kwakubofya whatsap Batani
22/10/2023
Tibu tatizo la Bawasiri moja kwa moja
Bawasiri niugojwa unao tibika halaka sana endapo mtu utazingatia maelezo utayopewa na doctor
Bawasiri nihari yakuota kinyama sehemu ya njia ya haja kubwa
Tatizo hili la bawasiri kitaalamu huitwa HEMORRHOIDS
Kuana bawasiri za aina mbili
Bawasiri ya ndani na Bawasiri ya nje
Dalili za Bawasiri
➡️Kupata choo kigumu k**a choo ya mbuzi
➡️kupata miwasho sehem ya njia ya haja kubwa
➡️Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
➡️Kupata choo ilio changanyika na damu
➡️Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
➡️Kupata choo chenye k**asi k**asi
Madhala ya bawasiri
🚨Kupata saratani ya utumbo mpana
🚨Kuto pata choo mda mrefu
🚨Kupungukiwa damu
🚨Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
🚨 upungufu wa nguvu za kiume
Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake
Ikiwa unatatizo hila usiendelee kuteseka nakutumia madawa bila mafanikio njoo nikusaidie kutibu moja kwa moja
Piga simu 0756608261
18/10/2023
Tibu tatizo la Bawasiri moja kwa moja
Bawasiri niugojwa unao tibika halaka sana endapo mtu utazingatia maelezo utayopewa na doctor
Bawasiri nihari yakuota kinyama sehemu ya njia ya haja kubwa
Tatizo hili la bawasiri kitaalamu huitwa HEMORRHOIDS
Kuana bawasiri za aina mbili
Bawasiri ya ndani na Bawasiri ya nje
Dalili za Bawasiri
➡️Kupata choo kigumu k**a choo ya mbuzi
➡️kupata miwasho sehem ya njia ya haja kubwa
➡️Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
➡️Kupata choo ilio changanyika na damu
➡️Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
➡️Kupata choo chenye k**asi k**asi
Bawasiri ni ugojwa unaotokana na kuathilika kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Madhala ya bawasiri
🚨Kupata saratani ya utumbo mpana
🚨Kuto pata choo mda mrefu
🚨Kupungukiwa damu
🚨Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
🚨 upungufu wa nguvu za kiume
Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake
Ikiwa unatatizo hila usiendelee kuteseka nakutumia madawa bila mafanikio njoo nikusaidie kutibu moja kwa moja
Piga simu 0756608261
18/10/2023
Tatizo la miguu kufa ganzi huweza kutokea kwa mtu yoyote,na tatizo hili huhusisha vyanzo zaidi ya kimoja,hivo uchunguzi wa kina unahitajika kufahamu chanzo cha tatizo lako, Miguu huweza kufa ganzi kwa muda mfupi lakini pia kwa baadhi ya watu hili ni tatizo la muda mrefu ambalo hujirudia mara kwa mara au la kudumu. je chanzo cha tatizo hili la miguu kufa ganzi ni nini? soma hapa chini
CHANZO CHA TATIZO LA MIGUU KUFA GANZI NI PAMOJA NA;
1. Mtu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu, kukaa sehemu moja kwa muda mrefu huweza kuleta tatizo la miguu kufa ganzi japo ni kwa muda mfupi tu na kisha tatizo hili huisha lenyewe
2. Kukunja miguu kwa muda mrefu, mtu huweza kupata shida ya miguu kufa ganzi baada ya kuikunja kwa muda mrefu, japo tatizo hili pia sio la kudumu,huisha ndani ya muda mfupi hasa baada ya mtu kufanya mazoezi au kuanza kutembea, Kukunja miguu kwa muda mrefu huweza kusababisha pressure au mgandamizo ambao husababisha Nerves za miguuni kukosa mawasiliano mazuri na ubongo wako hivo kuleta tatizo la ganzi miguun
Hali hii kwa kitaalam hujulikana k**a PARESTHESIA, ambapo pia huweza kuambatana na matatizo mengine k**a vile mtu kuhisi kuungua moto miguuni n.
3. Sciatic Nerves ambayo hutoka sehemu ya chini mgongoni kupitia kwenye hips pamoja na matakoni kubanwa, hii huweza kusababisha tatizo la miguu kufa ganzi, Baada ya nerve hii ya SCIATIC kubanwa mtu huweza kupatwa na matatizo k**a vile; miguu kufa ganzi, maumivu ya mgongo kushuka chini miguuni, maumivu ambayo huwa makali zaidi mtu akikohoa,kupiga chafya, au kukaa kwa muda sehemu moja,misuli ya miguuni kukosa nguvu n.k.
4. Ugonjwa wa KISUKARI, ugonjwa huu huweza kusababisha tatizo la uharibifu wa nerves hali ambayo hupelekea tatizo la ganzi,ndyo maana wagonjwa wengi wa kisukari hupata tatizo la miguu kufa ganzi pamoja na viungo vingine vya mwili k**a vile mikono na vidole vyake n.k
Hali hii kwa kitaalam hujulikana k**a PERIPHERAL NEUROPATHY ambapo nerves za maeneo k**a vile ya miguuni,mikononi,kwenye vidole n.k huharibika, na hapa ndipo mgonjwa huanza kupata maumivu makali ya miguu na mikono hasa wakati wa usiku, misuli kukosa nguvu na kuwa dhaifu, Kupatwa na vidonda kwenye miguu,kupata maumivu makali ya miguu wakati ikiguswa n.k
5. Tatizo la Multiple Sclerosis, ambapo Kinga yako ya mwili ambayo inapambana na vimelea vya magonjwa mbali mbali huanza kushambulia mfumo wako mkuu wa fahamu yaani Central nerves system, kisha kusababisha matatizo k**a vile; miguu kufa ganzi, kuhisi miguu kuchoma choma k**a mtu anakuchoma na sindano, uchovu wa mwili kupita kiasi hata k**a hujafanya kazi yoyote ngumu, misuli ya mwili kuwa dhaifu,kukak**aa mara kwa mara yaani muscle spasms,mtu kupata kizunguzungu, Kupatwa na matatizo ya macho kutokuona vizuri n.k
6. Matumizi ya pombe kupita kiasi,tafiti zinaonyesha kwamba, sumu inayotokana na matumizi ya pombe huweza kuharibu mfumo wa fahamu(Nerves) kisha kusababisha matatizo mbali mbali ikiwemo hili la miguu kufa ganzi
7.Kuwa na uvimbe au Peripheral nerves tumor, kukuwa kwa uvimbe kwenye eneo la Nerves za maeneo k**a vile miguuni na mikononi huweza kusababisha tatizo la Nerves hizi kushindwa kudhibiti utendaji kazi wa misuli ya miguuni,kisha kuleta tatizo la miguu kufa ganzi,miguu kuvimba,misuli ya miguuni kuwa dhaifu au kukosa nguvu n.k
Matibabu kuna aina nyingi za matibabu ya tatizo hili
Zikiwemo dawa mbali mbali za asili na dawa zinginezo za hospitalini
Matibabu huweza kutengemea na tatizo hili limedumu kwa muda gani
Ikiwa unatatizo hili
Wasiliana nasi 0756608261
13/10/2023
Mwanamke k**a bado hujatumia FEMICARE bado hujatibu matatizo haya
>U.T.I sugu
>Fangasi sugu
>maumivu chini ya kitovu
>Maumivu wakati wa tendo la ndoa
>Uchafu mweupe k**a maziwa mzito
>Uchafu wenye harufu mbaya k**a shombo la samaki
>ukavu ukeni
>Kubana kuta za uke
>kurejesha ute wa uzazi
>kuongeza ulinzi kwenye uke na kuzuia kupata maambukizi mara kwa mara
Femicare inapatikana kwangu tu.utaipata kwabei ya ofa sh 35000..
Ni ofa ya siku tatu.
Nipigie uweze kuipata haijalishi uko wapi nipigie au njoo whatsap
0756608261
13/10/2023
Maliza tatizo la bawasiri bila upasuaji
Bawasiri ni hali yakuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
Kuna aina mbili za Bawasiri bawasiri
Ya ndani na yainje
Bawasiri kitaalamu huitwa (HEMORRHOIDS)
Dalili za Bawasiri
=Kupata choo kigumu k**a cha mbuzi
=Kuhisi miwasho kwenye njia ya haja kubwa
=Kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
=Kuharisha
=Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
=Kupata choo chenye damu
=Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
=Upungufu wa nguvu za kiume
=Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake
=Kupata Miwasho ya ngozi
=Kuhisi kitu kinakugusa sehem ya haja kubwa
Madhala ya bawasiri
=Kupungukiwa damu
=Kushindwa kufanya shuguli zako
=Mishipa ya haja kubwa kuvimba
=Kufanyiwa upasuaji na kujiludia tena
Ikiwa una dalili hizi fahamu kua unatatizo la Bawasiri
Njoo upate ushauri na matibabu utibu tatizo hili moja kwa moja
Wasiliana nasi 0756608261
Au gusa wahtsapp batani
21/09/2023
Je unasumbuliwa na tatizo ya uzazi? matatizo hayo nik**a ifuatavyo 👇
➡️ Hormone imbalance /mvurgiko wa hedhi
➡️P i d na u t i sugu
➡️Kutoshika ujauzito
➡️Kushika ujauzito na kuhalibika
➡️ Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi
➡️Milija ya uzazi kujaa maji
➡️Kukosa hamu ya tendo na kupata maumivu wakati wa tendo
➡️Kansa ya shingo la uzazi
➡️Halfu mbaya ukeni
➡️Kutokwa na uchafu mweupe mzito
➡️Kupata maumivu ya tumbo chini ya kitovu wakati wa hedhi
Endapo unasumburiwa na tatizo haya wasiliana nas tukusaidie kutatua tatizo lako kwa usahihi na halaka 0756608261
19/09/2023
Vidonda vya tumbo ni mchubuko au makovu yanayo baki katika kuta za utumbo mdogo.
Vidonda hivi husababishwa na bacteria anaeitwa helicopters pylori H.pylori) ambaye hualibu utando unaokinga kutaza utumbo kutokuhali biwa na tindikali hivyo hivyo husababisha ukuta wautumbo kuhalibiwa na tindikali na kupelekea vidonda katika kuta hizo za utumbo
*Aina za vidonda vya tumbo*
Kunaaina zipatazo mbili za vidonda vya tumbo
(1) vidonda vya tumbo kubwa hivi ni vidonda vya tumbo vinavyo tokea ndani kwenye utumbo mkubwa
(2)vidonda vya tumbo dogo hivi nividonda vinavyo tokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)
*SABABU ZINAZO PELEKEA VIDONDA VYA TUMBO*
Zipo sababu nyingi ila zilizo kuu nihizi mbili
1) bacteria anaeitwa helicopters pylori (H.pylori)
2)tumbo kuunguzwa na kemikali.
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
🔸Kiungulia au maumivu makali k**a kuungua katikati ya kifua
🔸Tumbo kujaa gesi na kuvumbiwa
🔸Kupata maumivu makali ya tumbo au tumbo kuwaka moto
🔸Kutapika damu
🔸Kupata haja kubwa yenye langi ya kahawiya au au vyeusi yenye halufu mbaya
Madhara ya Vidonda vya tumbo
🚨Kupata saratani ya utumbo
🚨Kuziba kwa njia ya chakula
🚨 Kuathiri ini na kongosho
🚨Kusababisha tundu kwenye utumbo nakusababisha utumbo kutoboka kwa ukuta wautumbo
Ikiwa una tatizo hili nipigie sasa hivi nikusaidie kutibu moja kwa moja
0756608261
Dkt Onesmo
19/09/2023
Tibu tatizo la Bawasiri moja kwa moja
Bawasiri niugojwa unao tibika halaka sana endapo mtu utazingatia maelezo utayopewa na doctor
Bawasiri nihari yakuota kinyama sehemu ya njia ya haja kubwa
Tatizo hili la bawasiri kitaalamu huitwa HEMORRHOIDS
Kuana bawasiri za aina mbili
Bawasiri ya ndani na Bawasiri ya nje
Dalili za Bawasiri
➡️Kupata choo kigumu k**a choo ya mbuzi
➡️kupata miwasho sehem ya njia ya haja kubwa
➡️Kuota kinyama kwenye njia ya haja kubwa
➡️Kupata choo ilio changanyika na damu
➡️Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
➡️Kuhalisha sana
➡️Kupata choo chenye k**asi k**asi
Bawasiri ni ugojwa unaotokana na kuathilika kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Madhala ya bawasiri
🚨Kupata saratani ya utumbo mpana
🚨Kuto pata choo mda mrefu
🚨Kupungukiwa damu
🚨Kuvimba kwa mishipa ya njia ya haja kubwa
🚨 upungufu wa nguvu za kiume
Kukosa hamu ya tendo kwa wanawake
Ikiwa unatatizo hila usiendelee kuteseka nakutumia madawa bila mafanikio njoo nikusaidie kutibu moja kwa moja
Piga simu 0756608261
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Esaalam Mwenge
Dar Es Salaam