Afya yangu

Afya yangu

Share

Mshauri wa Afya na Tabibu

08/08/2024
05/03/2024

Tatizo la kulika kwa mifupa na gegedu pamoja na viungo

18/10/2023

UJUMBE HUU NI WAMUHIMU SANA KWAKO:

Rejesha afya yako na furaha.
Tokomeza P.I.D [PELIVIC INFLAMMATORY DISEASE] ndani ya mwezi mmoja.

P.I.D ni nini:- Pelivic inflammatory diseases ni ugonjwa unao
wakumba sana wanawake, ugonjwa huu husababishwa na bakteria
wabaya kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke [Via vya uzazi].

Maambukizi haya huathiri sana kibofu cha mkojo [Urethira] na mfuko wa uzazi wa mwanamke[Uteras].

Dalili za Pelivic Inflammatory Diseases[P.I.D]

-Maumivu makari ya nyonga au chini ya kitovu

-Kutokwa na maji maji ukeni yenye kuambatana na harufu mbaya

-Maumivu makari wakati wa kushiliki tendo la ndoa

-Kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya ukeni baada ya kumaliza tendo la ndoa na baada ya kuingia katika hedhi.

ATHARI ZITOKANAZO NA P.I.D

-Husababisha ugumba au Utasa

-Mimba kutoka

-Kukosa kabisa hamu ya tendo la ndoa

-Kuvurugika kwa homoni kuwa na hedhi ya muda mlefu ambayo siyo ya kawaida.

-Kuharibika kwa mfuko wa uzazi kuwa na makovu ya vidonda vikubwa vilivyo sababishwa na Bakteria

-Kuzaa mtoto mwenye hitirafu kutokana na kuzalishwa mayai yasiyo bora katika mfuko wa o***y

MATIBABU YA P.I.D

Suluhisho la P.I.D fika katika kituo chetu cha kutolea huduma

njoo upate ushauri na sahaa pamoja na matibabu kamili na sahihi

wasiliana nasi kwakupiga simu/ kupitia whatsapp namba

Phone number:
0746988720

18/10/2023

karibu kujifunza Afya zetu

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam