Dalili Chanzo Tiba
Tunatoa tiba na ushauri wa kiafya dhidi ya magonjwa zaidi ya 200 yanayoshambulia mifumo ya mwili.
03/11/2023
Detox footpatch sasa zinapatikana mikoa yote Tanzania
02/11/2023
Tumewaletea pads za kisasa zinazonyonya sumu kwenye mwili wa binadamu kupitia kwenye nyayo za miguu. Kufahamu zaidi kuhusu hizi detox footpads wasiliana nasi kupitia 0689 310 308 Calls&Whatsapp
29/10/2023
Tatizo la tumbo kujaa gesi imekuwa kubwa kwa siku za hivi karibuni. Hii inatokana nalishe mbovu tunayokula kila siku kwa kutegemea zaidi vyakula vya haraka na bei rahisi (fast foods & snacks). Vyanzo vingine vya tatizo ni msongo wa mawazo, matumizi ya vidonge mara kwa mara na mazingira yenye sumu yanayotuzunguka k**a moshi wa magari na kemikali za viwandani.
Tunafahamu jinsi inavoleta usumbufu kwa tumbo kujaa gesi. Kila mara utahitaji kwenda chooni kujisaidia na kujamba. Licha ya usumbufu huu ,tatizo la tumbo kujaa gesi inaweza kuwa ni kiashiria cha matatizo makubwa ya kiafya. Mfano fangasi kwenye mfumo wa chakula. Fangasi hawa husababisha upate alegi ya vyakula mbalimbali, magonjwa ya autoimmune na hata saratani ya tumbo.
29/10/2023
Stemcell treatment ni aina ya tiba inayotumia seli za mwili kurekebisha mifumo ya mwili. Ifahamike kuwa 98% ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanahusianishwa na kushuka kwa kinga za mwili tatizo ambalo huletwa kwa kufa au kuchakaa kwa seli za mwili. Hii maana yake ni kwamba seli za mwili zikiwa sawa kinga ya mwili nayo itakuwa sawa na hivyo mwili utakuwa na uwezo 100% kufukuza maradhi yaliyomo mwilini pamoja na kukukinga na mashambulizi ya magonjwa ambayo yangekupta hata miaka 10 ijayo. Ni product nzuri sana k**a ulikuwa hujawahi kuitumia sasa ni muda wako wa kuipata kwa bei rafiki.
28/10/2023
Ini ni kiungo laini sana na kinafanya kazi kubwa sana mwilini ya kuchuja sumu na damu na kuondoa sumu kutoka kwenye mmeng’enyo wa chakula ili kiende mwilini kufanya kazi. Ini lina uzito wa kilo 1.6 Inapimwa kwa wastani, k**a sentimita 8 kwa usawa (kote), na sentimita 6.5 kwa wima (chini), na ni sentimita 4.5 kwa unene.
Kuna aina nyingi tofauti za ugonjwa wa ini. Lakini haijalishi una aina gani, uharibifu wa ini lako unakuwa sawa kwa kuwa unaathiri ini na kulifanya lisifanye kazi yake, pia tatizo linaweza kusonga mbele kwa njia hiyo hiyo. Ikiwa ini lako limeambukizwa na virusi, imejeruhiwa na kemikali (sumu), au inashambuliwa na mfumo wako wa kinga, hatari ya msingi ni sawa kwa wote kwasababu yote huzoofisha ini – kwamba ini lako litaharibiwa sana hivyo ini haliwezi kufanya kazi ya kukuweka uhai.
27/10/2023
MADHARA YA KUJICHUA (PUNYETO) KWA WANAWAKE
Wanawake wengi leo hii wamekuwa wahanga wa tatizo hili la kujichua kwa kile wanachodai kuto ridishwa na wenza wao badala yake hutumia vidole au vitu mbalimbali kujichua na kujiridhisha wenyewe.
Kitendo hiki wengi hukifanya wakiwa wanaimani hakina madhara au watafanya kwa mda tu wataacha, lakini ukweli ninaotamani wote waujue ni kwamba yapo madhara mengi ya jambo hili,
27/10/2023
Nini Maana Ya Moyo Kutanuka?
Moyo kutanuka kwa kitaalamu cardiomegally, maana yake moyo wako umekuwa mkubwa kupita kiwango cha kawaida. Moyo unatanuka pale misuli yake inapofanya kazi kupita kiasi mapaka inapanuka na kufanya chemba za moyo nazo kutanuka.
Kumbuka tu na ufahamu hili, kwamba moyo kutanuka siyo ugonjwa. Ni dalili ya ugonjwa fulani wa moyo unaopelekea mpaka moyo ufanye kazi kupita kiasi ya kupump damu. Magonjwa haya yanweza kuwa kupanda kwa presha ya damu na pia matatizo ya valve za kwenye moyo.
Moyo uliotanuka hauwezi kusambaza damu vizuri kwenye maeneo mbalimbali ya mwili ukilinganisha na moyo mzima. Kitendo hichi kinakuweka kwenye hatari ya kupata kiharusi na hata moyo kufeli.
27/10/2023
Kundi kubwa la wanaume wamepungukiwa uwezo wa tendo la ndoa kutokana na kitendo cha kupiga punyeto. Madhara haya ni pamoja na kuwahi kufika kileleni, kushindwa kurudia tendo na jogoo kuwa legelege. Makala yetu ya leo imeeleza kwa kina tatizo hili la kupiga punyeto na huduma ya dawa kwa wanaume wanaokwama kitandani. Endelea kusoma
Punyeto ni nini?
Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k
Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba “kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu” Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni k**a tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu ⁉️
27/10/2023
Kumbuka: Katika shambulio la moyo hakuna dalili inayojitokeza hadi pale moyo unaposhindwa kufanya kazi ghafla (heart attack), au mtu anapopata kiharusi. Hata hivyo, hadi mtu anapoanza kupata dalili hizo huwa amekuwa ameishi na ugonjwa huo kwa muda mrefu. Hivyo, njia bora ya kugundua mapema dalili ya ugonjwa ni kuchunguzwa afya yako mara kwa mara kabla hujaugua.
27/10/2023
Kupunguza uwezo wa mtu wa kujua sauti, na kusababisha matatizo makubwa na mawasiliano ya matusi, kwa kawaida ulionyehsa kwa "kupoteza uwezo wa kusikia" neno katika dawa. Matatizo ya kusikia yanaweza kutambuliwa k**a watoto wazee na vijana. sawa picha ya kliniki unasababishwa na sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na matatizo ya kuzaliwa.
Kupoteza kusikia, sababu ambazo ni kuwa na athari yoyote ya nje au magonjwa ya viungo vya ndani, inaweza kutibiwa kwa msaada wa teknolojia ya kisasa ya matibabu. Katika mchakato huu, huduma ya kutosha inatolewa na tiba za watu.
Papo hapo uwezo wa kusikia hutambuliwa kwa watoto wadogo, inahitaji lazima na haraka ya matibabu, kwa kuwa miongoni mwa mambo mengine, unaweza kusababisha kuchelewa kwa maendeleo ya akili ya mtoto. Fikiria maswali haya kwa undani zaidi 🚘🏁
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Sinza Kumekucha
Dar Es Salaam
16102
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 19:00 |
| Tuesday | 09:00 - 19:00 |
| Wednesday | 09:00 - 19:00 |
| Thursday | 09:00 - 19:00 |
| Friday | 09:00 - 19:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
13/02/2024