Family Doctor Online

Family Doctor Online

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Family Doctor Online, Health/Beauty, MAKUMBUSHO, Dar es Salaam.

Mtaalamu Wa Matatizo Ya UZAZI Kwa WANAWAKE (UZAZI/PID/FUNGUS/UTI SUGU/HARUFU)
🤰UJAUZITO NDANI YA SIKU 90
TUPIGIE TUZUNGUMZE - 0713661696
WHATSAPP 👇👇

kuongea na mhusika mkuu join Whatsapp
https://wa.me/255753397912

0713661696

25/07/2025

"🌱"" I am large chested and it supports me just right without being tight. It lets my breasts sit how they feel most comfortable. "" - Julie T.
🎈 Strap-free and out of back-pain.
☁ Posture Correction & Instant Lift!
☀ incredibly comfortable all day.
🎗Don't Let Bad Bras Take Your Life!
😍Shop Now👉 https://salecouponss.com/bra-tn"

21/05/2025

FERTILITY PACK NI PACK YA UZAZI KWA WANAWAKE WOTE WENYE CHANGAMOTO YA UZAZI PAMOJA NA PID📌

Je, umekuwa ukihangaika kupata ujauzito kwa muda mrefu?⁉️🤰🤷‍♀️

✨Hii FERTILITY PACK ni suluhisho la matatizo yote ya uzazi kwa wanawake — ikiwa ni pamoja na:
✅ PID
✅ UTI sugu
✅ Hormonal imbalance
✅ Kutobeba mimba

UKIJA INBOX ULIZIA FERTILITY PACK‼️‼️‼️
MATOKEO YAKE NI UHAKIKA WASILIANA NA MHUSIKA - 0713661696

NJOO TUKUPE SULUHISHO LA KUDUMU💃💃💃💃💃💃

✨Tiba salama na imethibitishwa!✨
Tayari wamama wengi wameripoti matokeo chanya baada ya kuitumia.
Usikate tamaa! Jibu lako linaweza kuwa hapa.

Wasiliana nasi sasa:
📞 0713 661 696
Tuma neno “NATAKA” kwenye WhatsApp tukupatie maelezo kamili.

USIPUUZIE PID – LINDa UZAZI WAKO!
PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi ya viungo vya uzazi wa ndani kwa mwanamke, yakiathiri mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na mayai. Ni hali hatari lakini inaweza kutibika ikigundulika mapema.



DALILI ZA PID:
K**a una dalili hizi, chukua hatua haraka:
• Maumivu ya chini ya tumbo
• Maumivu wakati wa tendo la ndoa
• Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni
• Homa au joto la mwili kuongezeka
• Maumivu wakati wa kukojoa
• Uchovu au kizunguzungu
• Kutopata hedhi vizuri au maumivu makali ya hedhi



UKICHELEWA, PID INAWEZA KUSABABISHA:
• Ugumba (kutopata mtoto)
• Mimba za nje ya mfuko wa uzazi
• Maumivu sugu ya tumbo
• Maambukizi kuenea hadi damu (sepsis)



SULUHISHO LIPO!
Kwa msaada wa virutubisho asilia k**a:
Complete Phyto-Energizer na Alkaline Coffee, unaweza kusaidia mwili wako kupambana na maambukizi, kuondoa sumu, na kuimarisha mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Ewe mwanamke—boresha afya yako ya uzazi kabla haijachelewa!
Tafuta suluhisho sahihi, linda ndoto yako ya kuwa mama.

Tupigie sasa - 0713661696

20/05/2025

🎁2025 Best Gift Ideas Unleash the extraordinary capabilities of the 🚁2025 LATEST Drone! 4K Camera | 5G | 3-Axis Gimbal | 360° Obstacle Avoidance Technology🚀Soar to new heights, capture stunning visuals, and embrace the thrill of adventure.🌟
https://thekella.com/tndrone

19/05/2025

FERTILITY PACK NI PACK YA UZAZI KWA WANAWAKE WOTE WENYE CHANGAMOTO YA UZAZI🔥🔥🔥🔥🔥

Je, umekuwa ukihangaika kupata ujauzito kwa muda mrefu?⁉️🤰🤷‍♀️

✨Hii FERTILITY PACK ni suluhisho la matatizo yote ya uzazi kwa wanawake — ikiwa ni pamoja na:
✅ PID
✅ UTI sugu
✅ Hormonal imbalance
✅ Kutobeba mimba

UKIJA INBOX ULIZIA FERTILITY PACK‼️‼️‼️
MATOKEO NI UHAKIKA 0713661696💯💯💯

NJOO TUKUPE SULUHISHO LA KUDUMU💃💃💃💃💃💃

✨Tiba salama na imethibitishwa!✨
Tayari wamama wengi wameripoti matokeo chanya baada ya kuitumia.
Usikate tamaa! Jibu lako linaweza kuwa hapa.

Wasiliana nasi sasa:
📞 0713 661 696
Tuma neno “NATAKA” kwenye WhatsApp tukupatie maelezo kamili.

USIPUUZIE PID – LINDa UZAZI WAKO!
PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi ya viungo vya uzazi wa ndani kwa mwanamke, yakiathiri mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na mayai. Ni hali hatari lakini inaweza kutibika ikigundulika mapema.



DALILI ZA PID:
K**a una dalili hizi, chukua hatua haraka:
• Maumivu ya chini ya tumbo
• Maumivu wakati wa tendo la ndoa
• Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni
• Homa au joto la mwili kuongezeka
• Maumivu wakati wa kukojoa
• Uchovu au kizunguzungu
• Kutopata hedhi vizuri au maumivu makali ya hedhi



UKICHELEWA, PID INAWEZA KUSABABISHA:
• Ugumba (kutopata mtoto)
• Mimba za nje ya mfuko wa uzazi
• Maumivu sugu ya tumbo
• Maambukizi kuenea hadi damu (sepsis)



SULUHISHO LIPO!
Kwa msaada wa virutubisho asilia k**a:
Complete Phyto-Energizer na Alkaline Coffee, unaweza kusaidia mwili wako kupambana na maambukizi, kuondoa sumu, na kuimarisha mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Ewe mwanamke—boresha afya yako ya uzazi kabla haijachelewa!
Tafuta suluhisho sahihi, linda ndoto yako ya kuwa mama.

Tupigie sasa - 0713661696

12/05/2025

Dozi yetu ya FERTILITY IPO KARIBUNI SANA

0713661696

11/05/2025

USIPUUZIE PID – LINDa UZAZI WAKO!
PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi ya viungo vya uzazi wa ndani kwa mwanamke, yakiathiri mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na mayai. Ni hali hatari lakini inaweza kutibika ikigundulika mapema.



DALILI ZA PID:
K**a una dalili hizi, chukua hatua haraka:
• Maumivu ya chini ya tumbo
• Maumivu wakati wa tendo la ndoa
• Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni
• Homa au joto la mwili kuongezeka
• Maumivu wakati wa kukojoa
• Uchovu au kizunguzungu
• Kutopata hedhi vizuri au maumivu makali ya hedhi



UKICHELEWA, PID INAWEZA KUSABABISHA:
• Ugumba (kutopata mtoto)
• Mimba za nje ya mfuko wa uzazi
• Maumivu sugu ya tumbo
• Maambukizi kuenea hadi damu (sepsis)



SULUHISHO LIPO!
Kwa msaada wa virutubisho asilia k**a:
Complete Phyto-Energizer na Alkaline Coffee, unaweza kusaidia mwili wako kupambana na maambukizi, kuondoa sumu, na kuimarisha mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Ewe mwanamke—boresha afya yako ya uzazi kabla haijachelewa!
Tafuta suluhisho sahihi, linda ndoto yako ya kuwa mama.

Tupigie sasa - 0713661696

11/05/2025

USIPUUZIE PID – LINDA UZAZI WAKO!
PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi ya viungo vya uzazi wa ndani kwa mwanamke, yakiathiri mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na mayai. Ni hali hatari lakini inaweza kutibika ikigundulika mapema.



DALILI ZA PID:
K**a una dalili hizi, chukua hatua haraka:
• Maumivu ya chini ya tumbo
• Maumivu wakati wa tendo la ndoa
• Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni
• Homa au joto la mwili kuongezeka
• Maumivu wakati wa kukojoa
• Uchovu au kizunguzungu
• Kutopata hedhi vizuri au maumivu makali ya hedhi



UKICHELEWA, PID INAWEZA KUSABABISHA:
• Ugumba (kutopata mtoto)
• Mimba za nje ya mfuko wa uzazi
• Maumivu sugu ya tumbo
• Maambukizi kuenea hadi damu (sepsis)



SULUHISHO LIPO!
Kwa msaada wa virutubisho asilia k**a:
Complete Phyto-Energizer na Alkaline Coffee, unaweza kusaidia mwili wako kupambana na maambukizi, kuondoa sumu, na kuimarisha mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Ewe mwanamke—boresha afya yako ya uzazi kabla haijachelewa!
Tafuta suluhisho sahihi, linda ndoto yako ya kuwa mama.

Tupigie sasa - 0713661696

Photos from Family Doctor Online's post 29/11/2024

NINI MAANA YA KUHARIBIKA KWA MIMBA?
Hii ni ile hali ya mimba Kushindwa kuendelea kukua vyema mapaka hatua ya mwisho ya mtoto kutoka akiwa mzima. soma mpaka mwisho na k**a unasumbuliwa na hii changamoto au changamoto ya PID, UTI SUGU, KUSHINDWA KUBEBA MIMBA, KUTOKWA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA NA MENGINEYO YAHUSUYO MFUMO WA UZAZI NA HOMONI PAMOJA NA HEDHI TAFADHALI TUWASILIANE SULUHISHO LIPO - 0713 661 696

AINA TATU ZA MIMBA KUHARIBIKA

1. Hali ya kuharibika kwa mimba inayotokea katika miezi mitatu ya mwanzo (wiki ya 1 - 12 ya ujauzito) hufahamika k**a kuharibika kwa mimba mapema (early miscarriage).

2. Hali ya kuharibika kwa mimba inayotokea katika miezi mitatu ya pili (wakati wa wiki 13 - 20 ya ujauzito) kufahamika k**a kuharibika kwa mimba kulikochelewa (late miscarriage).

3. Hali ya kufa kwa kijusi tumboni ambayo hutokea baada ya wiki ya 20 ya ujauzito hufahamika k**a uzazimfu (stillbirth), yaani mtoto huzaliwa akiwa amekufa.

DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA
Mara nyingi dalili huwa zinaonekana kwa mhusika Ila kuna zile ambazo ni mpaka kwa kipimo cha Utra sound ndio maana ni Muhimu na hushauriwa kwa mama mjamzito kuanza cliniki kwenye kituo cha afya karibu yako mara tu anapojihisi ni mjamzito ili daktari afuatilie ujauzito wako kwa ukaribu.

DALILI ZA MIMBA KUHARIBIKA ZA KUONEKANA NI K**A
1. Maumivu ya tumbo
2. Kutokwa na damu ukeni
3. Kutokwa majimaji au chembechembe za damu ukeni
4. Kukaza kwa misuli ya tumbo (cramping)
5. Kutokuwa tena na dalili za ujauzito, k**a vile kupungua kichefuchefu au maumivu ya kichwa na matiti kuuma yakiguswa.

SABABU ZINAZOPELEKEA MIMBA KUHARIBIKA
1. UGONJWA WA PID (k**a unahisi una ugonjwa huu wahi matibabu haraka kwani ni sababu kuu ya wanawake wengi kutoshika Mimba au mimba kuharibika _ na k**a umehangaika sana bila mafanikio tuwasiliane 0713661696

2. Kuwa na umri wa zaidi ya miaka 35

3. Uvutaji wa sigara au tumbaku

3. Unywaji wa pombe

4. Kutumia zaidi ya 200 mg za kafeini kwa siku (kikombe kimoja au viwili)

5. Kuwa na uzito kupita kiasi

6. Kuwa na magonjwa fulani sugu, k**a vile kisukari au Presha

7. Kuwa na baadhi ya maambukizi ya bakteria

Kitendo cha Mimba kuharibika mfululizo hii ni kiashiria kibaya cha afya ya uzazi na k**a unasumbuliwa na hii changamoto karibu tuzungumze na tujue ni vipi tunakusaidia kwani tayari wapo wengi ambao tumeweka kuwasaidia.

KARIBU KWA MSAADA ZAIDI SULUHISHO LIPO USIKAE KINYONGE TUPO KWA AJILI YAKO

0713 661 696
Tuongee kuhusu Uzazi

27/11/2024

Ikiwa unatafuta kushika mimba, kukwepa kushika mimba isiyotarajiwa au pengine unataka tu kuelewa mwenendo wa mwili wako, kuelewa mzunguko wako ni jambo la muhimu sana. Yai kupevuka kitaalamu tunaita OVULATION. Ni kipindi kifupi sana lakini chenye matokeo makubwa kwa mwili wako.

NINI MAANA YA YAI KUPEVUKA?

Kwanza muhimu kujua ovulation ni nini? Ovulation ni kipindi katika mzunguko wa hedhi wa mwanamke ambapo yai lililokomaa linatolewa kwenye mfumo wa mayai(ovari), kwa ajili ya kufanyiwa urutubishaji na mimba ifanyike. Yai likishatolewa kwenye ovari, linaenda mpaka kwenye mrija wa uzazi, hapo yai linaweza kuishi mpaka saa 48. Endapo hakuna mbegu imerutubisha yai basi litavunjika na kutolewa nje.

JE NI LINI YAI LINAPEVUKA KWENYE MZUNGUKO WA HEDHI?

Hili ni swali zuri sana ambalo kila mwanamke huwa anajiuliza. yai linatolewa hasa baada ya siku 14 hedhi ilipoanza, kwa mzunguko wa siku 28.

Lakini muhimu ujue kwamba siyo kila mwanamke basi siku yake ya hatari ni ya 14. Wengine wana mzunguko mfupi zaidi mpaka siku 21 na wengine mizunguko mirefu mpaka siku 35.

NI ZIPI DALILI ZA KWAMBA SASA YAI LIMEPEVUKA?

1. KUTOKWA UTE MSAFI WA KUVUTIKA K**A MAJI YA YAI
2. TUMBO KUJAA
3. KUHISI KICHEFUCHEFU
4. MABADILIKO YA JOTO LA MWILI YANI MWILI KUWA WA MOTO HASWA UKE
5. MAUMIVU YA TUMBO UPANDE MMOJA AU KUTOKWA NA VITONE VYA DAMU. (Yasiwe maumivu ya kukufanya ushindwe kutekeleza shughuli zako)

Kwa changamoto zozote za mfumo wa uzazi iwe ni PID sugu au Kushindwa kushika ujauzito Basi usisite kuwasiliana nasi

0713661696

Tuongee Uzazi.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


MAKUMBUSHO
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 09:00 - 18:00
Sunday 09:00 - 17:00