MwanaumeAfya
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MwanaumeAfya, Health/Beauty, Dar es Salaam.
MACLYNE KASSIM | HEALTH CONSULTANT | MD
📞: 0764 071 8 94
✅Nasaidia kutoa elimu ya afya na kutatua changamoto za kiafya kwa kutumia taaluma yangu
✅Ushauri juu ya vipimo vya kufanya na follow up plan kwa wote
08/05/2025
Huu ndio ushuhuda wa mwanaume mmoja aliyeanza kuhisi mabadiliko yasiyoelezeka katika mwili wake. Alikuwa na kazi nzuri, familia ya kupendeza, lakini ndani ya moyo wake kulikuwa na shaka na maumivu ya kimya. Kila alipojaribu kuwa karibu na mpenzi wake, hakujisikia kamili. Nguvu zilipungua, na hali ya kujiona duni ikazidi kumtafuna.
Awali alidhani ni uchovu tu, au labda msongo wa kazi. Lakini kadri siku zilivyopita, aligundua kuwa hali yake inamnyima furaha, kujiamini na hata utulivu wa ndani. Aliishi na aibu, akajitenga, akaacha hata kugusa mada ya mahusiano. Mara nyingi alijiuliza,
“Hivi kuna kitu kibaya na mimi? Mbona siwezi kuwa k**a zamani?”
Ndipo alipoamua na kudhamiria kwa dhati kutafuta suluhisho la changamoto yake kwa kupata ushauri na suluhisho kamili.
Mabadiliko yalianza pale alipogundua Bryson Power mfumo wa kipekee wa kumjenga mwanaume kiakili, kihisia, na kimwili. Badala ya kutegemea dawa au suluhisho la muda mfupi, alianza kujifunza jinsi ya kuondoa hofu na kuanza kujiona Mwanaume WA kweli Kitandani...
Na kuwa Mshindi Wa kila Mechi ukilinganisha na hapo awali mambo yalivyokuwa yanamvuta chini. Tulimsaidia kuvunja presha ya performance, kurejesha kujiamini, na kujenga mwili wenye nguvu kwa njia ya asili na fikra chanya.
Katika wiki chache tu, alianza kuona mabadiliko. Siyo tu nguvu kurudi, bali hata mahusiano yake yakaanza kunawiri tena. Alijifunza kuwa mwanaume wa kweli si yule wa misuli pekee, bali ni yule anayejijua, anayethubutu kujiendeleza, na anayeleta amani na mvuto katika Mahusiano yake. Leo hii, anashea ushuhuda wake kwa wengine kwa sababu anajua wanaume wengi wanapitia hali hii kimya kimya.
Na wewe unaweza kuwa mmoja wa waliobadilika.
K**a unaona dalili za kupungua kwa nguvu, wasiwasi wa performance, au kutoridhika katika uhusiano – usikae kimya.
*Bryson Power* ipo kwa ajili yako. Hii ni tiba ya Kudumu ya kweli kwa mwanaume wa kisasa.
Bofya hapa👇🏽
https://wa.link/tgjwh4
Kuanza safari yako ya mabadiliko.
AU Piga +255 653 038 945
Bry-uzazi Business Account
JE, WAJUA YA KUWA K**A BABA UPO KATIKA NAFASI NZURI ZAIDI KATIKA KUHAKIKISHA MAENDELEO BORA KWA WATOTO WAKO KIAFYA NA HATA KATIKA KUFANYA VIZURI ZAIDI KWENYE MASOMO!???
JUMUIKA NASI TUWEZE KUKUSAIDIA KATIKA KUBORESHA AFYA YA WATOTO WAKO NA KUBWA ZAIDI KATIKA KUBORESHA UFAULU WAO SHULENI…..
Contacts: 0764 071894
# 👏
Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi ni suala linaloonekana kuathiri wenza wengi. Jamii imeshuhudia visa vingi vinavyosababishwa na mwenza mmoja kutoka nje ya ndoa au uhusiano kwa kisingizio cha kutoridhishwa na utendaji wa mwenzake katika suala la kujamiana. Kadhalika jambo hili limesababisha kuvurugika kwa ndoa nyingi na wakati mwingine kusababisha magonjwa au hata vifo kwa mmoja au wenza wote wawili. Ili kuweza kutambua chanzo cha tatizo hili, daktari huchukua historia ya maisha ya mhusika kwa ujumla, historia yake inayohusisha matumizi ya dawa aina mbalimbali, historia yake ya maisha ya ngono (sexual history) pamoja na kuchunguza dalili za magonjwa mbalimbali. Historia ya mgonjwa husaidia sana katika kufahamu ni vipimo na uchunguzi gani ufanyike au tiba ya aina gani itumike.
08/09/2024
WANAUME WENGI WAMEFUATISHA MUONGOZO HUU NA WAKAFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO KIAFYA…….
20/12/2023
Ugonjwa wa kisukari ni miongoni mwa sababu za ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume.
Unaweza ukajiuliza kuna uhusiano gani kati ya kisukari na ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume.
Tafiti mbalimbali za afya zinaonesha kuwa asilimia 55 ya wanaume wenye kisukari hupatwa na tatizo la nguvu za kiume.
Inajulikana kuwa endapo kiwango cha sukari kwenye damu kikawa kipo juu kuliko kawaida huweza kusababisha madhara mengi sana mwilini k**a vile shida kwenye figo, moyo, shinikizo la damu, ulemavu wa viungo na upofu.
Pia, huathiri mfumo na mishipa ya fahamu na damu na hurudisha nyuma uchumi wa nchi kwa sababu huongeza watu wenye ulemavu na katika matibabu pia ni gharama kubwa.
Kwa upande wa afya ya nguvu za kiume, lazima ubongo uwe imara na wenye afya na mishipa ya damu na fahamu iwe katika afya njema.
Mishipa na misuli ya uume lazima iwe katika afya njema na imara, kusiwe na hitilafu yoyote katika mishipa ya fahamu iliyo katika ubongo, uti wa mgongo na misuli mingine muhimu katika mfumo wa uume.
Sukari nyingi katika damu huweza kusababisha uharibifu kwenye kuta za mishipa ya damu na kisha kuta hizi kushindwa kuzalisha homoni aina ya nitrogen oxide ambayo husaidia kutanua mishipa ya damu kwa ajili ya kupitisha damu kwa urahisi.
Ikitokea hali hiyo, mishipa ya damu hushindwa kutanuka vizuri , hivyo uume hupungua uimara wake na kushindwa kufanya kazi.
Endapo kisukari kikashambulia sehemu tajwa hapo, ndipo tatizo la ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume hutokea.
Wanaume wengi wenye kisukari ambao wamepata tatizo la nguvu za kiume hukimbilia katika matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Kwa mgonjwa wa kisukari dawa hizi huweza kusababisha matatizo mengine k**a shinikizo kubwa la damu.
Inashauriwa kitaalam kuwa kwa wagonjwa wa kisukari waliokumbwa na changamoto hii ya nguvu za kiume ni vyema kutumia njia ambazo ni salama kiafya ili kuepusha kuzalisha matatizo mengine makubwa kiafya pale ambapo akatumia njia zisizo salama kiafya.
Wasiliana nasi kwa Whatsapp au piga simu namba: 0764 071894 tutakusaidia
0764 071894
08/11/2023
FAHAMU MATATIZO YA SABABISHWAYO NA UZITO ULIOZIDI
1, Shinikisho la Damu
2, Matatiyo ya moyo ( heart failure)
3, Kisukari
4, Matatizo ya ubongo ( brain strock)
5, kufeli kwa figo na kongosho
6, Kushindwa kushiriki vizuri tendo la ndoa
7,Pia kwanawake husababisha hata kupotea kwa siku zao za hedhi
Hayo nibaadi tu maana walio wanene wanayajua zaid sijui miguu kuvimba na mengine .
Je umejaribu kila njia ili upungue imeshindikana
Leo tunakuletea program ya virutubisho bora zaidi ambavyo vitakupunguza kwa mda mfupi tu
Whatsapp au piga simu : 0764 071894 tutakusaidia
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| 09:00 - 15:00 |
05/10/2024