Afya Bora

Afya Bora

Share

Tunasaidia Watu Kutatua Changamoto za Kiafya, Kwa kutumia Tiba Mbadala.

21/11/2023

Simu Nyingi Mwilini Ni Tatizo Linalosumbua watu wengi sana katika maisha ya sasa!

CHANZO CHA SUMU MWILINI.

✔️Vyakula Vyenye Kemikali.
✔️ Matumizi Ya Dawa Za kemikali Bila utaratibu maalumu.
✔️ Matumizi ya pombe na Vinywaji Vingine kupita kiasi.
✔️Uvutaji sigara Kwa muda mrefu sana.
✔️Kutofanya mazoezi, kua na Mtindo mbaya sana wa Maisha ya Kila Siku.
✔️ Mapinduzi Ya Sayansi na Teknolojia.
✔️ Matumizi Ya dawa za kemikali kwa wagonjwa wa Sukari na Presha.

MADHARA YA SUMU NYINGI MWILINI.

✔️ Mwili Kuchoka sana
✔️Kushamiri Kwa Magonjwa k**a Sukari Na presha mwilini.
✔️Ngozi kukak**aaa
✔️ Upungufu Wa Nguvu Za Kiume
✔️Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
✔️Kupata matatizo ya Figo pamoja na Ini Kushindwa Kufanya Kazi vizuri.
✔️ Maumivu Makali ya kichwa
✔️Kukosa Usingizi

Kwa Mawasiliano Zaidi, Piga 0712 126 127.

17/11/2023

𝗗𝗮𝗹𝗶𝗹𝗶 𝘇𝗮 𝗵𝗼𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗶𝗻𝗶

✔️kupata homa kali

✔️kizunguzungu na kichefuchefu
kutapika

✔️Mwili kuchoka sana

✔️Maumivu ya tumbo hasa upande wa juu kulia

✔️Kukosa hamu ya kula

✔️Maumivu ya joints

✔️Kupata mkojo wenye weusi

✔️Maumivu ya misuli

✔️Ngozi na macho kuwa ya njano(jaundice)

🚨Dalili zozote za hepatitis B zinapaswa kushughulikiwa haraka iwezekanavyo.

Ingawa watu wengi walio na hepatitis B ya muda mrefu hawajisikii wagonjwa hadi iwe kali, wengine wanaweza kupata matatizo makubwa.

Wasiliana Nasi;
0712 126 127

17/11/2023

DALILI ZA TATIZO LA TEZI DUME

Piga 0712 126 127

✔️Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
✔️ Maumivu kwenye Mfumo wa mkojo
✔️Unahisi Maumivu wakati wa kukojoa
Unahisi kibofi kimejaa wakati woote! Ukienda kukojoa mkojo hautoki na ukirudi kuketi Unahisi Tena kukojoa
✔️Kukojoa mara Kwa mara wakati wa usiku.

VIASHIRIA VYA MTU ALIEATHIRIKA NA TEZI DUME

✔️ Maumivu ya mifupa hasa chini ya mbavu na kiuno
✔️ Kushindwa kumudu tendo la ndoa
✔️ Kushindwa Kuzuia Mkojo
✔️ Tumbo Kujaa Gesi Mara Kwa Mara

MADHARA YA KUTANUKA KWA TEZI DUME.

✔️Kufunga kabisa Kwa njia ya mkojo
✔️Figo Kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
✔️ Kushindwa Kumudu Tendo La Ndoa (Hupelekea Ndoa Kuvunjika)
✔️ Ugumba (infertility)
✔️Kutokea Kwa Majipu sehemu ya Tezi Dume.
✔️Kifo.

SULUHISHO LA KUTANUKA KWA TEZI DUME.

Wasiliana Nasi Ujipatie Bidhaa Bora uipate Tiba Ya Moja Kwa Moja.

PIGA 0712 126 127.

04/11/2023

👉Menopause Ni Kukoma Hedhi Kwa Mwanamke, Tukio Hili hutokea Kwa mwanamke Kati ya kipindi Cha kuanzia miaka 45 mpaka 55.
DALILI ZA KUKOMA HEDHI

✔️ Ngozi kuchakaa na Kukosa mwonekano mzuri
✔️Kukosa Kabisa usingizi Kila wakati
✔️Kujisikia upweke na Kukosa furaha
✔️Kukosa Hamu ya tendo la ndoa
✔️Kua na tatizo la Uke mkavu
✔️Kuchoka sana hasa wakati wa usiku.

MATATIZO YANAYOAMBATANA NA MENOPAUSE.

✔️ Fangasi Sugu Sehemu za Siri
✔️ Maumivu Makali Sana wakati wa tendo la ndoa
✔️Kukosekana Kwa Ute kwenye njia za uzazi
✔️Hisia kubadilika badilika kila wakati.

SULUHISHO

Mtu ambae anasumbuliwa na tatizo la menopause, anatakiwa kupewa dose maalumu Kwa ajili ya Kuweka Sawa homone zake na kutatua kabisa Changamoto hizo.

Wasiliana Nasi Kwa Ushauri Zaidi

PIGA 0712 126 127.

02/11/2023

DALILI 10 ZA UPUNGUFU WANGUVU ZA KIUME

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

👉uume mfupi yaani kibamia inaongeza saiz ya uume uitakayo yaani unene na urefu usiopungua nchi 9 adi 12.

K**A UMEKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A YOYOTE KATI YA HIZO AU ZOTE USISITE,

MAWASILIANO
0712 126 127.

02/11/2023

Kwa muda mrefu wanawake wanasumbuliwa na changamoto k**a vile;

✔️Kutokwa na uchafu,
✔️ Harufu mbaya ukeni
✔️ Maumivu wakati wa hedhi
✔️ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
✔️Kukosa Ute wa uzazi
✔️Mimba kuharibika
✔️ Kupata vimbe kwenye mji wa uzazi
✔️Kansa kwenye kizazi
✔️Uke kutanuka na kua mkubwa hivyo kupoteza ladha ya tendo la ndoa.

Baada ya mateso ya muda mrefu, dawa hii itakusaidia;

✔️Kuzibua mirija ya uzazi
✔️Kupevusha mayai
✔️ Kuondoa vimbe
✔️Kuweka homone Sawa
✔️Kurekebisha Mfumo wa uzazi
✔️Kurejesha Ute Ute wa uzazi
✔️ Kuondoa Maumivu wakati wa tendo la ndoa
✔️ Kuondoa harufu mbaya na kufanya ufurahie tendo
✔️ Kuondoa kutanuka Kwa maumbile na kukufanya Mwenye furaha wakati woote!

Piga 0712 126 127.

02/11/2023

*Madhara Ya Pid*

PID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji yenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya uzazi ya mwanamke, vitu hivi vinaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye viungo vya uzazi. Madhara yanayoweza kutokea ni pamoja na;

*A) Mimba Nje Ya Mirija Ya Uzazi (Ectopic Pregnancy).*

PID ndiyo sababu ya mimba kutunga nje ya kizazi, mimba huweza kutunga nje ya kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya mirija ya uzazi. Mimba nje ya uzazi husababisha utokaji wa damu usiowakawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke.

*B) Ugumba.*

Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba, kushindwa kupata ujauzito. Kadri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi, kuchelewa kupata tiba ya PID kuongeza hatari ya ugumba.

*C) Maumivu Sugu Ya Nyonga.*

PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu miaka mingi. Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai hudondoshwa (ovulation).

*D) Tubo Ovarian*

Abscess.
PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi k**a tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizi hatarishi kwa maisha.

*Madhara Ya Pid Kwa Mjamzito*

*Yafuatayo ni madhara yanayoweza kutokea kwa mama mjamzito endapo atashindwa kupata tiba ya pid mapema*

1) Kujifungua kabla ya wakati au ujauzito kuharibika.

2) Kujifungua mtoto mwenye maambukizi na wakati mwingine hufariki muda mchache baada ya Kujifungua au kujifungua mtoto mfu.

PIGA 0712126127..

01/11/2023

🫐Tatizo la BAWASILI ni mojawapo ya matatizo ambayo maranyingi yanapotokea humfanya muathirika kuona aibu kuelezea au kwenda hospital ili kupata tiba kwa sababu wengi huhisi wakisema wanaweza kudhaniwa kua wamefanya mapenzi kinyume na maumbile kitu ambacho sio tija unapokua unahitaji tiba.

Bawasili husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

NINI KINASABABISHA BAWASILI?

👉Tatizo sugu la kuharisha

👉Kupata haja kubwa au kinyesi kigumu

👉Uzito kupita kiasi

👉Mapenzi kinyume na maumbile

👉Umri mkubwa

👉Kukaa kwa mda mrefu chooni bila kupata choo

DALILI ZA BAWASILI

✔️Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

✔️Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

✔️kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

✔️Kiuvimbe katika eneo la tundu (mlango wa kutolea haja kubwa)

✔️Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha

✔️Bawasili kutoka nje wakati wa kujisaidia haja kubwa

FAHAMU MADHARA YA BAWASILI

✔️Bawasili ni tatizo ambalo huanza kawaida lakini kadri linavoongezeka huleta madhara makubwa yafuatayo

👉Upungufu wa nguvu za kiume

👉Kukosa hamu ya tendo la ndoa

👉kuathirika kisaikolojia

👉Kukosa morari ya kufanya kazi kutokana na kua na maumivu makali

👉Kutoa kinyesi kinachonuka sana kutokana na damu kuvuja

NINI UFANYE KUJILINDA NA TATIZO HILI?

👉Unatakiwa kunya maji mengi kuanzia Lita 5 hadi 12 kwa siku

👉Punguza kukaa kwa muda mrefu chooni bila kupata choose

👉Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi

PIGA/TEXT WHATSAPP 0712 126 127.

01/11/2023

Habari za kwako?
Natumaini unaendelea vema kabisa na harakati za Kila Siku!
Je unamfahamu mtu yoyote ambae ana tatizo la homa ya ini au wewe mwenyewe umewahi kupata Dalili zozote za tatizo hili,
Leo niko hapa sio kukuuliza maswali tuu Bali kukueleza kua unaweza kabisa kuondokana na changamoto hii ambayo pengine imekua sugu kwako!
Nawezaje kuzitatua? Hata Mimi ningeuliza hili swali, haujakosea hata kidogo, ni swali zuri sana sana..
Okay k**a ungependa kutatua changamoto k**a hizi kwa urahisi zaidi, tafadhali piga 0712 126 127. Niweze Kukusaidia Kutatua Changamoto Zoote!!

26/10/2023

Unene Ni Hatari Sana... 😄

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam