JOXE TIBA Asilia

JOXE TIBA Asilia

Share

We deal with Health Consultation and using Natural Remedies to treat chronic diseases

18/05/2016

UMECHOSHWA NA MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI/ MATATIZO YA MIFUPA ?(OSTEOPOROSIS)

Huu ni ugonjwa ambao hutokea ambapo uimara wa mifupa unapopungua hivyo kuwa na asilimia uwezrkano mkubwa wa kuweza kupatampasuko au kuvunjika kwa urahisi na mara nyingi ugonjwa huu huambatana na maumivu makali ya mifupa. Ugonjwa huu unaweza kutokea iwapo kutakuwa na mabadiliko ya hormoni,upungufu wa madini k**a calicium au vitamin D.

Mifupa ina madini ambayo hutumika mwilini na kurejeshwa ili kuufanya mfupa uweimara na kuujenga, endapo yatatumika zaidi kuliko kurejeshwa katika mifupa,mifupa hudhoofu na hukosa uimara na hupunguza uzito.(normal peak bone mass is greater than normal bone loss)

Uzito wa mfupa kwa kawaida kwa mtu kijana huwa ni 2.5 standard deviations uzito chini ya huo mtu anaweza kupata (Osteoporosis) tatizo la mifupa. Utajua uzito huo kwa vipimo maalumu yani kwa dual energy X-ray
absorptiometry.

Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea katika uti wa mgongo (huweza kusababisha mgongo kupinda na kuuma), hutokea katika Magoti,katika nyonga na kifuani.

VITU VINAVYOWEZA KUSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OSTEOPOROSIS)

-Upungufu wa hormone za Estrogen hii huwapata sana wenye menopause.

-Ulevi

-Upasuaji wa kuondolewa ovaries

-Magonjwa ya figo

-(Hyperthyroidism) tatizo la utengenezwaji wa thyroid homoni nyingi kipita kiasi na hivyo kusababisha mwili usifanye kazi vizuri

-(Anorexia)uzito Mdogo kupita kiasi unao sababishwa na tabia ya kujinyima kula kupita kiasi,kufanya mazoezi kupita kiasi kwa kuogopa kunenepa au kutaka mtu abaki akiwa na kilo chache sana ukilinganisha na urefu wake.

-baadhi ya matibabu,madawa yenye kemikali(chemotherapy) k**a steroids,proton pump inhibitor na anti seizure medications

-Uvutaji wa sigara

-kutokufanya mazoezi ya viungo vya mwili

KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA (OSTEOPOROSIS)
~Zingatia ulaji mzuri hasa utotoni

~Epuka matibabu yenye kutumia kemikali

~Pendelea ulaji mzuri wa vyakula vya asili vyenye madini yakutosha na muhimu yanayo jenga mifupa

~acha au punguza matumizi ya pombe

~Fanya mazoezi ya kutosha na kunywa maji mengi ya kutosha

MADHARA YANAYOWEZA KUSABABISHWA NA TATIZO HILI

Maumivu makali ya mifupa katika Magoti,uti wa Mgongo,mabegani,kifuani au katika nyonga

~Kupinda Mgongo hasa wakati wa uzeeni

~Kuvunjika mifupa kwa urahisi

MATIBABU YA OSTEOPOROSIS

~Kula kwa wingi chakula chenye kiasi kikubwa cha vitamins D na chenye madini ya calcium mfano maziwa,ubuyu,moringa Oleifera leaves n.k

~Tumia Dawa asili zinazofanya homoni za estrogens kuwa sawia(kwa wanawake)
~Tumia Dawa zitakazo saidia kukupatia madini ya calicium ya kutosha na itakayo weza kuimarisha mifupa.

~Mafuta ya samaki na samaki wa maji baridi kwa wingi upate fatty acid.

Karibu ujipatie tiba ya asili itakayo ondoa matatizo yako yote ya mifupa tuwasiliane kwa namba zetu 0784670912,0759670912

Photos from JOXE TIBA Asilia's post 31/12/2015

JE? HAUNA MPANGILIO SAHIHI WA SIKU ZAKO.

JE? UNASUMBULIWA NA MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI

JE? UNAUMWA NA KICHWA WAKATI WA HEDHI

JE? UNASUMBULIWA NA MAUMIVU YA MGONGO WAKATI WA HEDHI

JE? UNASUMBULIWA NA KICHEFUCHEFU AU KIUNGULIA WAKATI WA HEDHI.

JE? UNAKOSA HAMU YA KULA WAKATI WA HEDHI.

JE? UNAKUWA NA HASIRA ZA MARA KWA MARA

JE? UNATOKWA NA MABONGE BONGE WAKATI WA HEDHI

USIENDELEE KUTESEKA TIBA ASILIA INAPATIKANA,NI TIBA AMBAYO NI BORA NA YENYE VIWANGO NA INAONDOA CHANZO CHA TATIZO KABISA TUWASILIANE KWA NAMBA ZETU 0784670912.
.......AFYA NI DHAMANA YA MAISHA YAKO...............

13/12/2015

JE WAJUA NDIZI NI MOJA YA CHAKULA MUHIMU SANA?

Ndizi ni tunda ambalo limezoeleka na watu wengi, linapatikana karibu kila mahali. Hata hivyo inawezekana ukawa hujafahamu umuhimu wa tunda hili mwilini mwako. Taarifa ifuatavyo itabadilisha mtazamo wako.

Ndizi mbivu zina sukari zinazohitajika kwenye mwili wako, sukari hizi ni zile ambazo zinafahamika kwa majina ya kitaalamu ya sucrose, fructose na glucose ambazo kwa pamoja zimechanganyikana na fibre muhimu ambazo zinalifanya tunda hili kuwa chanzo muhimu cha nishati au nguvu inayohitajika mwilini mwako.

Utafiti umeonyesha kuwa ndizi mbivu mbili zinatosha kukupa nishati ambayo utaitumia kwa mazoezi ya nguvu ya dakika tisini (90) ambazo ni sawa na saa moja na nusu.
Hii ndio sababu wanamichezo wengi hutumia ndizi mbivu kabla na baada mazoezi mazito na wakati mwingine kabla na baada ya mashindano katika mchezo husika.

Nishati si faida pekee inayopatikana kwenye ndizi mbivu, tunda hili lina faida nyingine ambayo ni kuusaidia mwili wako kupambana na kuulinda na maradhi kadhaa.

Msongo wa mawazo/mfadhaiko wa akili (stress & Depression) Kwa mujibu wa utafiti kadhaa watu wengi wanaopata mfadhaiko au msongo wa mawazo hujisikia nafuu pale wanapokula ndizi mbivu.
Hii ni kwa sababu ndizi mbivu zina virutubisho aina ya TRYPTOPHAN ambayo ni aina ya protini ambayo mwili huigeuza na kuwa SEROTONIN ambayo kazi yake ni kukufanya upate utulivu na kukurejeasha katika hali ya kawaida mpaka utakapo pata furaha na kuondokana na msongo wa mawazo.

Zaidi ya hapo ndizi mbivu huongeza vitamin B6 mwilini ambayo inasimamia usambazaji wa glucose au sukari na hivyo kusaidia kutuliza msongo wa mawazo.

UPUNGUFU WA DAMU MWILINI ( Anemia)

Ndizi zina madini ya chuma na zinasaidia uzalishaji haemoglobin ambayo ni mzalishaji mkuu wa damu mwilini mwako, hivyo huwasaidia wale wenye upungufu wa damu mwilini.

PRESHA YA DAMU

Ndizi mbivu zina madini ya potassium na una madini chumvi kwa kiwango cha chini jambo ambalo linafanya tunda hili kuwa dawa ya kupambana na matatizo ya presha.
Mamlaka ya chakula na dawa nchini Marekani imetambua uwezo wa ndizi mbivu katika hili kiasi cha kuigiza wazalishaji na viwanda vya ndizi kufanya tunda hili kuwa rasmi katika mapambano ya kupunguza vifo vitokanavyo na presha na kiharusi (stroke)

NGUVU YA UBONGO/AKILI (Brain power)

Katika utafiti uliofanywa huko Twickenham Middlesex) nchini England wanafunzi 200 walifaidika kwa kufaulu kwa mitihani yao mwaka huu kwa kula mlo wa ndizi mbivu asubuhi na mchana .
Ndizi imebainika kuwa uwezo wa kuusaidia ubongo kuongeza nguvu yake. Utafiti umeonyesha madini ya potassium yanaweza kusaidia ubongo kuwa na kasi na uwezo zaidi ya hali ya kawaida.

KUFUNGA CHOO/ CONSTIPATION

Fibre inayopatikana kwenye ndizi mbivu ina uwezo wa kuurejesha utumbo ambao umesababisha kufunga choo kufanya kazi k**a kawaida.

MADHARA YA MATUMIZI YA KILEVI/ HANGOVER

Moja ya njia ya haraka ya kurudi katika hali ya kawaida baada ya madhara ya matumizi ya kilevi hasa asubuhi unapoamka ni kutumia ndizi mbivu au bidhaa zitokanazo na ndizi mfano banana milkshake. Ndizi hituliza tumbo na kurejesha kiwango cha kawaida cha sukari mwilini huku ikirutubisha mfumo wa maji mwilini.

KIUNGULIA/ HEARTBURN

Ndizi mbivu ina uwezo wa kupambana na kemikali au acid zinazosababisha kiungulia. Jaribu kula ndizi mbivu na utakuwa shahidi Kwa hili.

Kuumwa asubuhi kwa wajawazito/ MORNING SICKNESS

Matumizi ya ndizi mbivu yamegundulika kusaidia kuepusha kuugua asubuhi ambako kunawapata kina mama wajawazito, hii ni kutokana na uwezo wa tunda hili kuweka katika ulinganifu kiwango cha sukari mwilini.

ALAMA ZA KUNG'ATWA NA MBU

Kwa wale wanaotokwa na vile vipele vidogo vyekundu baada ya kung'atwa na mbu jaribu kufuta eneo hilo lenye kipele k**a hicho kwa upande wa ndani wa ganda la ndizi ni ajabu lakini hufanya kazi kuwa hii hupunguza uvimbe na muwasho.

NEVA/NERVES

Ndizi husaidia sana kutibu mfumo wa neva (nervous system) hata kwa wale watu wenye matatizo ya uzito unaotokana na tabia zisizo salama za ulaji hasa kutokana na kukosa muda wa kula na kulazimika kula vyakula vyenye mafuta mengi vinavyopikwa haraka ndizi mbivu zinaweza kuwa msaada mkubwa

VIDONDA VYA TUMBO/ ULCERS

Ndizi zinatumika k**a chakula ambacho kinaweza kuwa msaada kwa watu wenye matatizo kwenye tumbo hii kutokana na ulaini wake na hupunguza acid ambayo husababisha vidonda tumboni na pia hupunguza maumivu kutokana na kuziba baadhi ya vidonda hivyo.

KUPUNGUZA HALI JOTO MWILINI

Ndizi ni tunda ambalo huweza kusaidia kupunguza joto. Nchini Thailand kina mama wajawazito hula ndizi ili kuhakikisha wanawazaa watoto wao katika hali ya joto pungufu.

NB. Hivyo basi ndizi mbivu ni tunda ambalo lina uwezo wa kusaidia matatizo mengi ya afya ya mwanadamu. Unapolifananisha na Apple ndizi hulizidi tunda hili kwa protini kwa angalau mara nne, madini ya wanga au carbohydrates mara mbili , madini ya phosphorus mara tatu, vitamin A, na madini chuma mara tano na mara mbili kwenye vitamin nyingine na madini ni muda wa kubadili ule misemo kuwa apple moja hukuweka mbali na daktari na kusema ndizi moja mbivu hukuweka mbali na daktari na hospitali.
UNASUMBULIWA NA MAGONJWA YASIOAMBUKIZWA USISISITE KUULIZA MF.MATATIZO YA UZAZI,MAUMIVU WAKATI WA HEDHI,MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME N.K 0759670912

Photos from JOXE TIBA Asilia's post 08/11/2015

Natumaini unaendelea vizuri ewe msomaji wa makala zangu. Leo napenda kukuletea dawa inayo tokana na mmea wa aloe Barbaden ambayo hupatikana afrika na Mwambao mwa mediterania, mmea huu una vitamini za aina nyingi na madini pia.una tatizo mojawapo kati yafuatayo:-

Je? Unasumbuliwa na mfumo wa hewa mchafu tumboni

Je? Unasumbuliwa na vidonda vya tumboni kwa mda mrefu bila mafanikio.

Je? Huna kinga ya kutosha katika mwili wako.

Je? Una dalili za ugonjwa wa ngiri.

Je? Unasumbuliwa na mpangilio wa siku zako za hedhi yaani unapata hedhi bila mpangilio maalumu.

Je? Unapata maumivu makali wakati wa hedhi au kabla ya hedhi.

Je? Ngozi yako ina makunyazi .

Je? Ngozi yako aina kinga ya magonjwa mbalimbali.

Je? Unasumbuliwa na choo kigumu au haupati kabisa kwako imekuwa historia.

Hakika leo nimekuletea habari njema ambayo itakuwa mkombozi wako katika maisha yako,ewe msomaji unayesoma ujumbe huu inawezekana ukawa huna tatizo kati ya hayo niliyo orodhesha hapo juu ila una ndugu,rafiki au jirani mfikishie habari hii njema. Huduma zetu zitakufikia popote ulipo. Tuwasiliane kwa ujumbe mfupi,whatsaapp au kupiga simu kwa namba zetu. 0784670912,0759670912

20/10/2015

FAHAMU UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE (UTERINE FIBROIDS/LEIO MYOMAS)
Habari rafiki! Natumaini mnaendelea vizuri, leo tena napenda kuzungumzia tatizo la uvimbe katika kizazi tatizo(UTERINE FIBROIDS/LEIO MYOMAS) ambalo ni common kwa wanawake wengi
FIBROIDS NI NINI??
~Ni Aina ya vivimbe vinavyoota kwenye misuli Laini ya mfuko wa uzazi
~tatizo hili huwakumba wanawake wengi ambapo huwapata kwa 5% wanawake wenye umri wa miaka 20_30 na 20% kwa wanawake wenye umri wa miaka 30_40 na zaidi ya 40% ni kwa wale wenye umri zaidi ya 40 hivyo kwa ujumla tatizo la fibroids huwapata wanawake wengi hasa katika umri wa kuzaa (reproductive age) hii inamaana kuwa kadri umri unavyokuwa mkubwa mwanamke ana nafasi kubwa ya kupata uvimbe.
~tafiti zinaonyesha kuwa tatizo hili huwapata zaidi wanawake wa kiafrika kuliko wazungu pia huwapata zaidi wanawake ambao hawajazaa kabisa au wale ambao wamekaa Muda mrefu Bila kuzaa, pia wanawake wanene, na wale waliopata hedhi mapema wapo katika hatari ya kupata ugonjwa huu
AINA KUU ZA FIBROIDS
~(1)SUBMUSOCAL FIBROIDS ~hii hutokea ndani ya kizazi
~(2)INTRAMURAL FIBROIDS ~hii hutokea ndani ya nyama ya kizazi
~(3)SUBSEROL FIBROIDS ~hii hutokea nnje kwenye ukuta wa kizazi
~uvimbe huwa na ukubwa tofauti kwani huanza mdogo na baadae kuwa mkubwa sana na hata wakati mwingine mwanamke huweza kuonekana mjamzito, kwani uvimbe huu huweza kuwa mmoja mkubwa na wakati mwingine huwa zaidi ya mmoja na kutanda katika mfuko wa kizazi
~watu wengi wamekuwa wakihisi fibroids kitu ambacho sio kweli kwasababu fibroids sio kansa Bali ni uvimbe wa kawaida ambao hukua kwa kutegemea kichocheo au hormone ya OESTROGEN na ndio maana wakati wa kupata tatizo hili huwa ni kipindi cha kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi
CHANZO CHA TATIZO
~Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijafanikiwa kuwa wazi ila Kuna sababu ambazo huweza kusababisha mwanamke kupata fibroids, sababu ambayo ni common kusababisha tatizo hili ni WINGI WA HOMONI YA OESTROGEN ambayo ipo katika mwili wa mwanamke na ndiyo hufanya Kazi ya kusababisha mwanamke kupata hedhi pia mara nyingi uvimbe huu hukua mkubwa sana kipindi cha UJAUZITO kwasababu vichocheo vya OESTROGEN huongezeka na kuwa vingi ili kulinda makuzi ya mtoto pia ni mara chache watu walio kikomo cha hedhi kupata fibroids na wakipata Kuna hatari ya kuwa kansa
DALILI ZA FIBROIDS
~dalili za uvimbe katika kizazi cha mwanamke hushindwa kuonekana iwapo uvimbe ni mdogo na pia dalili hutegemea sehemu ilipo kwenye mfuko wa kizazi pia na ukubwa wake, pamoja na hayo dalili zake mara nyingi ni zifuatazo ÷
👉KUTOKWA NA DAMU YENYE MABONGE MABONGE KWA MUDA MREFU
👉KUTOKWA DAMU KATIKATI YA MWEZI NA HEDHI KUTOKUWA NA MPANGILIO
👉KUPATA MAUMIVU YA KIUNO HASA WAKATI WA HEDHI
👉KUPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA
👉KUPATA MAUMIVU MAKALI YA MGONGO
👉HUKOJOA MARA KWA MARA
👉MIMBA KUHARIBIKA MARA KWA MARA
👉KUPUNGUKIWA NA DAMU MARA NYINGI
👉MIGUU KUVIMBA
👉MKOJO KUBAKI KWENYE KIBOFU
👉HAJA KUBWA KUWA NGUMU
👉UGUMBA
MATIBABU & VIPIMO
~matibabu ya fibroids hufanyika kwa daktari kumkagua mgonjwa kwa kutumia mikono miwili au kupima (Bimanual examination) pia anaweza kutumia kipimo cha ULTRA SOUND ya nyonga kwani ni rahis kugundua uvimbe au kipimo cha MRI,
~matibabu huweza kulenga ya kutibu dalili au kupunguza uvimbe na pia iwapo mwanamke ana tatizo hili na hamna dalili zozote basi anaweza kufuatilia tu uvimbe Bila kutumia dawa kwasababu mwanamke anapofikia menopause (kukoma hedhi) tatizo hili hutokewa
~wanawake wengi wana fibroids ndogo ndogo ambazo hazina dalili hivyo hushindwa kutambua mpaka pale wanapobeba ujauzito au kupima ndio hugundulika
~NJIA ZA KUTIBU UVIMBE MKUBWA
~(1)DAWA
~hapa mgonjwa hupewa matibabu ya dawa ambazo hurekebisha kiwango cha homoni ya OESTROGEN mfano wa dawa hizo ni DANAZOL,na Aina ya pili ni vidonge vya kutuliza maumivu ya fibroids
~(2)UPASUAJI
Upasuaji hufanyika kwa kutegemea na ukubwa wa uvimbe na wingi wa fibroids ambapo upasuaj huo ni wa Aina mbili
(A) MYCOMECTOMY ~hii ni njia ya Upasuaji hutumika kwa mgonjwa mwenye uvimbe mmoja mkubwa ulio katika sehem nzuri na Upasuaji huu ni kutoa uvimbe tu na kuacha kizazi hata hvyo Upasuaji wa njia hii uvimbe una nafasi kubwa ya kurudi
(B) TOTAL ABDOMINAL HYSTERECTOMY ~hii ni njia ya Upasuaji ambapo kizazi hutolewa na hufanyika ikiwa kizazi kina uvimbe mmoja mkubwa sana au vivimbe vikiwa vingi vingi
MADHARA MAKUBWA YA FIBROIDS
~Husababisha mimba kutoka mara kwa mara na hatimaye mtu kuwa mgumba, pia huweza kusababisha saratani ya shingo ya kizazi
NOTED :ndugu rafiki hakikisha unaenda kupima Afya yako kila mwezi ili kujua maendeleo ya Afya yako kwani wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili la fibroids
UNA SWALI NIANDIKIE KUPITIA Whatsapp/ text me kwa namba +255784670912,0759670912 KWA USHAURI NA MATIBABU
PLZ USISAHAU KUSHARE, KUKOMENT, KULIKE NA WATAG RAFIKI ZAKO

02/10/2015

BORESHA NA RUDISHA NGUVU ZA KIUME NDANI YA NDOA YAKO URUDISHE FURAHA YA NDOA!

Katika tafiti za sasa zinaonesha kuwa tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni la kawaida maana tafiti zinaonesha kwamba ni asilimia 4 tu ya watu duniani wanafurahia tendo la ndoa ipasavyo wengine huishi kwa shida kabisa bila kushiriki tendo la ndoa ya kushiriki chini ya kiwango.
Mazingira magumu ya kazi, vyakula tunavyokula, hewa tunayo vuta, changamoto za kifamilia yote haya HUPELEKEA WATU KUKOSA SHAUKU YA TENDO LA NDOA, NA USIPO LIWAHI UNAWEZA KUPATA TATIZO LA MSONGO WA MAWAZO.

SASA JIPATIE BIDHAA AMBAYO IMETENGENEZWA KWA MIMEA ASILI AINA KUU TATU NA VIUMBE WA BAHARINI WAJULIKANAO K**A PIPE FISH IKAWA DAWA MOJA ASILI YENYE VIDONGE 4 TU UTAFURAHIE RADHA YA NDOA YAKO BILA MADHARA.

1. SYNGNATHUS
Hawa ni samaki wajukikanao k**a pipe fish kutokana na umbo lao refu hupatikana baharini na upatikanaji wake ni mgumu sana kwani huogelea ndani kwa ndani hivyo kufanya bidhaa hii iqw adimu sana.
Samaki hawa tafiti zinaonesha kuwa zinasafisha figo na kuimarisha kazi ya figo na kukupa uimara wa tendo la ndoa ambao ulikuwa umedhoofika kwa kudhoofika kwa figo.

Hivyo samaki hawa huvuliwa ,husafishwa,hukaushwa na kutengenezwa katika unga kisha huchanganywa na mimea mingine kutengeneza vidonge vya asili kabisa.

2. EPIMEDIUM

Hii ni mimea ambayo ina maajabu yake na imekuwa k**a lulu nchini china na maajabu yake ni pale hata mifugo inapotumia mimea hio katika malisho imeonesha kuwa na shauku kubwa ya kufanya tendo la ndoa zizini.
Sasa mimea hii baada ya kuwekwa kwenye TAFITI MAAJABU YAKE YAMEFICHUKA KUWA NA FAIDA KUBWA SANA KATIKA MWILI WA BINADAMU KATIKA MAGONJWA HAYA.

~Inaongeza SHAUKU YA TENDO LA NDOA (LIBIDO)
~INAONGEZA MBEGU ZA KIUME (SPERMS) NA VICHOCHEO VYA KIUME YANI TESTOSTERONE
~INAONGEZA SHAUKU YA TENDO LA NDOA AMBALO UTAFURAHIA TENDO LA NDOA MUDA WOWOTE NA SEHEMU YOYOTE BILA HOFU KABISA.
~INAONGEZA UWEZO WAKO WA KUWEZA KURUDIA TENDO LA NDOA MARA NYINGI UWEZAVYO

MORINDA OFFICINALIS

Hii pia ni mimea asili ambayo imekuwa ni kipaumbele jatika tafiti mbali mbali za mimea asili kwenye kutibu nguvu za kiume.
Mimea hii imeonesha uimara wake kwenye kufanya jazi hizi

~Kutibu kabisa tatizo la kutopata mtoto
~kutibu kabisa matatizo ya uhanisi
~Kutoa mbegu za kiume nyingi kiwango cha kutosha kutungisha mimba.
~Kufika kilele HARAKA kabla ya huwezo wako na kushindwa kuendelea (pre mature ej*******on)

4. BUTEA SUPERBA

Hii pia ni mimea asili ambayo hupatikana sana katika nchi za thailand na china pia india.
Mimea hii imenesha tafiti kuwa inauwezo wa kuzuia PDE5 na kuwengeza kiwango cha damu kinacho kimbia sehemu za siri na kukupa nguvu za kutosha kuendelea kufurahia tendo la ndoa. Kumbuka bidhaa hii inafanya yote haya bila kuathiri mfumo wa fahamu k**a bidhaa zingine za kemikali zinavyo athiri wakati zinafanya kazi.

HIVYO MPENDWA MIMEA YOTE HIO IMEHIFADHIWA KATIKA KIDONGE KIMOJA TU KATIKA TECKNOLOJIA YA KISASA.

USIENDELEE KUTESEKA HUDUMA YETU ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO.TUWASILIANE 0784670912.

KUMBUKA HII NI DAWA ASILIA HAINA MADHARA KWA BINADAMU

Photos from JOXE TIBA Asilia's post 10/09/2015

MAUMIVU YA KIUNO/MGONGO/TUMBO WAKATI WA HEDHI SASA INATOSHA!

Tumbo la hedhi au maumivu wakati wa hedhi (period pains) au kitaalamu dismenorrhea, ni maumivu yanayojitokeza sehemu ya chini ya tumbo au kiunoni wakati mwanamke anapoanza kupata siku zake au kabla ya hapo. Maumivu hayo huweza kuwa madogo au ya wastani huku baadhi ya wanawake wakipata maumivu makali sana. Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi huanza pale mayai yanapotoka katika mirija (fallopian tubes) na kuteremka chini ya mirija hiyo wakati wa Ovulation.

Maumivu ya tumbo la hedhi yapo ya aina mbili. Aina ya kwanza au (Primary Dysmenorrhea) ni maumivu yasiyokuwa na sababu zozote za kimsingi za kitiba. Katika aina hii maumivu ni ya kawaida na huhisiwa sehemu ya chini ya tumbo na kiunoni. Maumivu hayo huanza siku moja au mbili kabla ya hedhi na humalizika baada ya siku mbili au nne.

Aina ya pili au (Secondary Dysmenorrhea) ni yale maumivu yanayojumuisha maumivu yanayosababishwa na sababu nyinginezo za kitiba k**a vile matatizo katika kizazi, ugonjwa wa nyonga (PID) na matatizo katika mirija ya mayai.

Karibu nusu ya wasichana na wanawake hupata maumivu wakati wa hedhi na karibu asilimia 15 wanasema kuwa hupata maumivu makali. Uchunguzi unaonyesha kuwa kuna sababu mbalimbali zinazoweza kuongeza uwezekano wa kuumwa tumbo wakati wa hedhi.

• Kuwa na umri wa chini ya miaka 20.
• Kuvunja ungo wakati wa miaka 11 au chini ya miaka hiyo.
• Kutoka na damu nyingi wakati wa hedhi. (suala hilo linaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali ya kitiba).
• Wanawake ambao hawajawahi kuzaa.

Maumivu ya Tumbo la Hedhi... Sehemu ya Pili

kukasababisha mtu kupatwa na maumivu ya tumbo la hedhi. Miongoni mwa magonjwa hayo ni:
• Endometriosis. Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuoka nje ya fuko hilo, au hta sehemu nyinginezo.
• Adenomyosis: Huu ni ugonjwa wa wanawake ambapo tezi au uvimbe (tumors) zinaoota katika mfuko wa uzazi.
• PID au Ugonjwa wa uvimbe katika nyonga.
• Magonjwa ya zinaa yanayotokana na bakteria au magonjwa ya kuambukiza ya zinaa.
• Mlango wa uzazi unapokuwa mdogo kiasi kwamba unazuia damu ya hedhi isitoke kwa urahisi.

Baada ya kujua baadhi ya matatizo ya wanawake yanayoweza kusabibisha hedhi inayoambatana na maumivu ya tumbo, hebu sasa na tuzijue tumbo la mwezi linaumaje?

1. Maumivu mara nyingi si makali.
2. Muumivu huja na kuondoka, na kwa kiwango tofauti (spasmodic).
3. Maumivu zaidi huhisiwa sehemu ya chini ya tumbo.
4. Huchanganyika na maumivu ya sehemu ya chini ya mgongoni ambayo husambaa mpaka mapajani.
5. Kujihisi kutapika, kichefuchefu na wakati mwingine hata kutokwa jasho.
6. Kupata choo kilaini au hata kuharisha.
7. Kufunga choo.
8. Tumbo kuwa kubwa au kuwa gumu.
9. Kuhisi maumivu ya kichwa.
10. Kutojihisi vizuri au kujisikia kuchoka.

Inapasa kujua kuwa, kiwango cha maumivu ya tumbo la hedhi na mchanganyiko wa dalili inategemea mtu na mtu, mtu mwingine anaweza akawa anapata karibu dalili zote nilizozitaja hapo juu na mwingine ni baadhi tu au hata dalili moja.
USIENDELEE KUTESEKA EWE MAMA,EWE DADA habari njema kwako ambaye umesumbuka kwa mda mrefu bila mafanikio,TIBA ASILIA IMEPATIKANA AMBAYO HAINA MADHARA KWA BINADAMU.DAWA ZETU ZIMETENGENEZWA KUTOKANA NA ALOE BARBADEN AMBAZO ZINA VITAMIN ZA AINA NYINGI NA MADINI PAMOJA NA UYOGA MWEKUNDU AMBAO UNAPATIKANA KATIKA MWAMBAO WA MEDITERANIA NA MILIMA YA THAILAND.DAWA ZETU ZINA VIWANGO NA ZIMEDHIBITHIBITISHWA NA SHIRIKA LA MAMLAKA YA CHAKULA YA DAWA TANZANIA NA ULIMWENGUNI.

~~~~~~~~ÃFYA BORA NA MAISHA BORA~~~~~~~~~~

Photos 06/09/2015

Habari za leo mpenzi msomaji wa makala zangu,leo napenda tujifunze kuhusu mpangilio wa aina za vyakula ambao ulithibitishwa na mashirika matatu ya chakula duniani,ambayo ni USDA,WHO na SAB,chini ni graph ambayo inaonyesha mpangilio wa vyakula ambayo tunahitajika kutumia katika maisha yetu ya kila siku,lakini kwa maisha ya sasa tumebadirisha graph na kuigeuza na kuwa chanzo kikubwa cha magonjwa tabia mfano,shinikizo la damu,kisukari,kupooza,matatizo ya uzazi kwa mwanamke na mwanamme na mengine mengi,

AFYA BORA,MAISHA BORA

Photos from JOXE TIBA Asilia's post 01/09/2015

UGONJWA WA KISUKARI

Huu ni ugonjwa ambao unasababishwa na kongosho kushindwa kuzalisha insulini au mwili kushindwa kutumia insulini ambayo inazalishwa ktk kongosho,Sukari (glucose) ikiingia ktk mwili k**a ikizidi kongosho huzalisha glucgone homoni ambayo hutumika kubadilisha glucose kwenda kwenye glycogen ambayo inahifadhiwa kwenye misuli,k**a mwili ukifikia kuwa hauna sukari ya kutosha glucagon huibadilisha glycogen kuwa glucose na kutumika ktkt mwili kwa hiyo k**a kongosho ikishindwa kuzalisha glucagon hapa ndipo chanzo cha sukari ya kushuka huanza na mtu kuugua kisukari cha kushuka.Kwasababu cell za mwili huanza kushambuliwa.

AINA ZA KISUKARI
Kuna aina mbili za kisukari.
1. KISUKARI CHA KURITHI
Hichi ni kisukari ambacho mtu hurithi kutoka kwa wazazi wake pindi tu anapozaliwa,kutoka tumboni pindi tu ambapo mfumo wa utengenezaji wa mtoto unapoanza.kisukari hichi kongosho halijitengenezei insulini ya kutosha.

2.AINA YA PILI NI KISUKARI AMBACHO SIO CHA KURITHI
Hiki ndio kisukari ambacho kinatusumbua wengi kwa sasa ktk familia zetu,jirani zetu na dunia kwa ujumla.kisukari hichi kinasemekekana hadi 2030 asilimia hamsini ya watu duniani watakuwa wanakufa na kisukari,hii husababishwa na ina ya maisha tunayoishi,vyakula vya kemikali tunavyokula na ukosefu wa kufanya mazoezi.Takwimu inaonyesha kuwa watu 347 millioni duniani wanakisukari,

VINAVYOSABABISHA KISUKARI
1.Kongosho kutofanya kazi vizuri au kutofanya kazi kabisa
2.Kula vyakula vyenye sukari nyingi
3.Kutofanya mazoezi
4.Kurithi kutoka kwenye ukoo
5.Matatizo ya figo na presha ya kupanda
6.Uzito kupita kiasi

ATHARI ZA UGONJWA WA KISUKARI
1.Kupungua uwezo wa kuona
2.Kupungua nguvu za kiume
3.Presha ya kupanda
4.Kutopona vidonda haraka

UNAWEZA KUKAA MWENYE AFYA HATA K**A MWENYE KISUKARI

1.Kula kwa afya
2.Fanya mazoezi
3.Tumia dawa ipasavyo
4.Angalia sukari yako mara kwa mara
5.Linda presha yako kila mara
6.Usivute sigara

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI
1.Uchovu mara kwa mara
2.Kukojoa mara kwa mara
3.Kupungua uzito
4.Kuhisi kiu mara kwa mara
5.Kupungua uwezo wa tendo la ndoa
6.Maumivu miguuni.

Watu wengi wamekubali kuwa kisukari hakitibiki lakini kisukari kinatibika lakini tatizo watu wengu tunapenda kutumia saana dawa zenye kemikali ndo maana kisukari kinakuwa hakitibiki,lakini pia watu wanatibiwa kisukari hali ya kuwa seli za miili yao bado haziko vizuri kwa hiyo wanapopewa dawa hazifanyi kazi ipasavyo,kwa hiyo ni vyema upewe dawa zenye kutengeneza seli zako za mwili vizuri halafu utumie dawa zisizokuwa na kemikali nakuhakikishia utapona kisukari na utarudi k**a zamani.DAWA ZETU ZIPO KATIKA MFUMO WA VIDONGE NI ZA ASILI ZINAPATIKANA KATIKA MWAMBAO WA MEDITERANIA

Photos from JOXE TIBA Asilia's post 24/08/2015

UNA FUNGUS UKENI WA MDA MREFU NA UMETUMIA DAWA BILA KUPATA TIBA?
UNASUMBULIWA NA MWASHO WAKATI WA HEDHI NA BAADA YA KUMALIZA HEDHI?
UNASUMBULIWA NA U.T.I WEWE MAMA,EWE DADA MARA KWA MARA?
SULUHISHO LIMEPATIKANA.
Njoo ujipatie dawa asilia ambazo zimetengenezwa kutokana na uyoga mwekundu pamoja na kutumia pedi zetu ambazo zimetengenezwa na anion chip ambayo hutokana na nguvu asili k**a maporomoko ya maji makali,kandokando ya mito au habari,upepo mkali.
Tupigie 0784670912,0759670912

12/08/2015

Habari ndugu msomaji wa makala zangu za afya,natumaini unaendelea vizuri na majukumu ya kila siku.

Leo ningependa tuzungumze kuhusu neno KINGA. Neno hili linamaana mbili, Ya kwanza inamaana waweza kuwa unaugua au unapata maradhi mara kwa mara kuwa sababu kinga yako ni ndogo au haiwezi kukabiliana na magonjwa nyemerezi

Ya Pili inamaanisha baadhi ya watu wanapenda kujikinga na maradhi mbali mbali hivyo wakati wote hujitahidi kuepukana na magonjwa yaani kuna hawapendi shuluba za kuumwa.

Leo nimekuletea kinga asilia msomaji mpenzi wa makala zangu kinga asilia ya magonjwa itokanayo na dawa asilia ya majani ya ajabu ambayo huota k**a uyoga,halafu huugua na kufa, kazi zake kuu ni:-

~kurekebisha mfumo wa kinga na kujenga ubora wa kuongeza viua sumu.
~kuongeza wingi wa chembechembe nyekundu na nyeupe.
~kuongeza nguvu kazi ya mwili na kuondoa vyanzo vya ubaridi na kuondoa uchovu
~kurekebisha upatikanaji wa hewa safi katika Moyo
~kurekebisha mfumo wa hewa katika kifua,mapafu na njia za hewa na kuzuia kukosa pumzi

Dawa hii itakufikia popote ulipo,mawasiliano yetu 0784670912,0759670912

Photos from JOXE TIBA Asilia's post 09/08/2015

DAWA YA KUTIBU MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME

NI DAWA YA ASILI YA MITISHAMBA ILIYOTENGENEZWA KWA MIZIZI YA MITI INAYOPATIKANA KATIKA MSITU WA THAILAND.
NI DAWA PEKEE INAYOTIBU MATATIZO YA FIGO NA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME KWA MUDA MFUPI

DAWA HII INAFANYA KAZI ZIFUATAZO:-

Husafisha na Huongeza utenda kazi wa figo,inaimarisha utendaji wa kazi wa mwili, imethibithisha kusaidia watu waliofikia hatua ya Dialysis
Husaidia damu kwenda kwenye viungo vya uzazi vizuri na sehemu mbali mbali za mwili.
Inatibu matatizo ya ugumba na upungufu wa nguvu za kiume.
Hutibu matatizo yote yanayoathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume na hivyo kumfanya mwanaume kufurahia tendo la ndoa.
Huimarisha mbegu za kiume na kufanya ziwe na afya zaidi hivyo kurahisisha urutubishaji.
Huongeza nguvu za kiume na urutubishaji
Huongeza namba ya mbegu za uzazi za kiume.
Husawazisha mzunguko wa damu kwenye uume.
Huangamiza bakteria na haina madhara kwa mwili.
Hutibu watu wenye matatizo ya kutokwa na mkojo mara kwa mara ikitumika pamoja na Lycopen humaliza matatizo ya tezi dume kabisa bila kufanyiwa operesheni.
DAWA HII HAINA MADHARA KWA MATUMIZI YA MUDA MREFU NI SALAMA NA HUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MWILI.
WASILIANA NASI 0784670912,0759670912

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam