Mtaji ni afya

Mtaji ni afya

Share

Nawasaidia watu wenye changamoto za afya Kwa kutumia virutubisho
0688507213

28/01/2024

Kwenye mkutano wa Neolife

24/12/2023

I have reached 100 followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉

15/10/2023

Nini kinakukwamisha kuitwa mama? Je ni
Magonjwa ya infections yanayojirudia mara kwa mara?
Je ni mayai yako hayapevuki?
Au mzunguko wako hauko sawasawa?
Au mumeo mbegu zake hazijakomaa?
Au uko na uvimbe hivyo kuzuia ww kushika ujauzito.
Au ujauzito unatoka mara kwa mara hivyo misuli imeshalegea tayari?
K**a kuna sababu katika hizo karibu tusaidiane kwa pamoja kuipatia ufumbuzi. Nimeshasaidia wanawake wengi sana na amini hata wew unaenda kua miongoni.
Fika ofisini kwetu au tutafte tukuhudumie kwa njia ya simu na utapata mzigo ukouko uliko.
Piga simu 0712507213

15/10/2023

Je wew ni mwanamke na umekua mhanga wakutokwa na uchafu ukeni mara Kwa mara? Karibu upate suluhisho la kudumu
0688507213

15/10/2023

UKIWA WEWE NI MWANAMKE SOMA HII MPAKA MWISHO NI MUHIMU KWAKO.

UCHAFU UKENI, MAUMIVU UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA NA HARUFU MBAYA.

Wanawake wengi huwa na uchafu ukeni, hasa siku chache baada ya kutoka bleed na siku chache kabla ya kupata siku zao za uzazi. Wakati wa hedhi kuna kuwa na uchafu wa hedhi tu na hiyo ni kawaida wala usiogope. Ogopa k**a utakuwa unatoa hedhi ya mabonge bonge na yenye kutoa harufu na ni ya mara kwa mara, na k**a pia utakuwa na bleed ya muda mrefu zaidi ya siku7. Wakati kabla hujaingia kwenye siku zako za kushika mimba pia hutokea uchafu wa k**a maziwa au mtindi hivi au majimaji ya yai. Uchafu huu pia usiuogope labda k**a uchafu huo unakuwa na rangi ya njano na pia unatoa harufu. K**a ni mweupe kawaida na hauna harufu na unatokea siku za kupata mimba basi huo ni uchafu wa kawaida kabisa. Kwa hiyo uchafu wowote unaojitokeza ukeni lazima u-utofautishe katika makundi yafuatayo
1- Je ni uchafu umetokea muda gani mfano uchafu unaotokea muda wa hedhi, mwingine utatokea muda wa siku za uzazi au mwingine unakutokea muda na siku yeyote tu.
2- Je uchafu huo una rangi gani na ukoje? Uko mweupe na mgumu k**a maziwa mtindi au maji maji k**a wa ute wa mayai? Una nuka na una rangi ya njano? K**a ndio huu ni ugonjwa.
3- Je ni uchafu wa damu kuchanganyikana na vitu vya nyuzi nyuzi vyeupe? Huuni uchafu wa hedhi au mimba

Wote huo ni uchafu lakini unatakiwa sasa ujue uchafu upi ni wa kawaida, uchafu upi ni ugonjwa na uchafu upi ni wa mimba. Na uchafu upi ni wa mabadiliko ya mwili kutokana na kuwa mjamzito (Hili somo tutakuja siku ingine Mungu jalia uzima)

Piga simu Ili upate suluhisho la kudumu na uhakika kuhusu changamoto hii
Au fika ofisini kwetu mwenge dar Es salaam
0712507213

12/10/2023

Nipo hapa kutatua changamoto zote za afya ni check in box 0688507213

07/10/2023

Tuko na suluhisho la kudumu na uhakika Kwa changamoto zote za wanawake.
Usihangaike kutibu ugonjwa ila pambana kutibu chanzo cha tatizo.

Mimi Dr Levina nmewasaidia wanawake wengi kubeba ujauzito na hata wale waliokuwa na changamoto ya hormone kumaliza kabisa matatizo yao.

Achilia mbali changamoto za fangasi,UTI sugu,miwasho ukeni,harufu mbaya,PID
Mvurugiko wa hormone na kadhalika mengi.
Chukua Leo naomba yangu Ili umalize shida Yako.
0688507213

07/10/2023

Wanawake wengi wamekua wakipitia changamoto hii yakutoka uchafu ukeni vilevile kutoa harufu mbaya lakini pia kupata miwasho inayoambatana na maumivu pia katika sehemu zao za siri, lakini kubwa zaidi hawajafanikiwa kupata njia ya uhakika ambayo itasaidia kumaliza kabisa changamoto yao na kurudi kwenye hali yao ya kawaida, k**a nawewe ni miongoni katika hao nikupe tu moyo kua changamoto yako imepata suluhisho lakudumu.niko na habari njema itayoenda kukupa faraja ulokosa.

Kwa majina naitwa dr LEVINA

📍📍Nimeandaa darasa maalumu na la bure,ambalo hili nitaenda kutoa mafunzo mbalimbali ambayo yataenda kukusaidia changamoto hii kwa asilimia mia moja, na mafunzo haya yatalenga sehemu zifuatazo:

🍀Tutajua chanzo cha tatizo, (source of disease)

🍀Aina za mbalimbali za uchafu unaotoka ukeni

🍀mazingira gani yanasababisha mwanamke kupatwa na hii changamoto.mfano vitu vinavyochangia mpka mtu apate shida hii(mode of transmission)

🍀Njia gani atatumia ili kumaliza kabisa tatzo hili(mode of treatment)

🍀Namna yakujikinga ili asipate tena awamu nyingine(how to prevent)

📍📍Najua hali hii imekufanya umepoteza kabisa hamu ya tendo la ndoa na mwenzako, lakin pia imekutolea ujasiri na kujikuta huna raha pale unapokua nae, wakti mwingine imekua ikiambatana na maumivu mengine k**a kiuno, mgongo,kukosa hisia namengine pia. Tuko tayri kukusaidia ili urudishe tabasamu lako kwa mara nyingine tena

📍📍Bonyeza kitufe kilichoandikwa whatssap itakuleta mojakwa moja inbox kwangu na utajitambulisha jina lako ili niweze kukusave tayri rasmi kwajili ya mafunzo

📍📍ZINGATIA;::hii ni ofa tu na mafunzo haya nimelenga watu kumi (10)tu wakitimia nitafunga hapo ndo uwezo wangu wa ofa utakua umefikia.kuwahi kwako ndo kujifunza pia. Karibu sana na usisite kuchukua mawasiliano hapo chini

Hakikisha umesevu namba yangu k**a dr LEVINA
Na ukisevu screenshot
0688507213

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwenge
Dar Es Salaam