kishini afya
Tunatoa ushauri,suluhisho na tiba kwa changamoto ya kiafya
03/11/2023
Ofa ofa ofa.
Leo natoa ofa kwa wanawake wake wenye changamoto ya;
☑️UTI sugu.
☑️Miwasho ukeni.
☑️Kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu mbaya.
Ipo dawa itakayomaliza changamoto yako inayokusumbua.
Jipatie dawa kwa bei ya ofa kwa shillingi elfu 20000 tu.
Kwa mawasiliano zaidi piga;
📞0747928892.
31/10/2023
PID kitaalamu ni(pelvic inflammatory disease),haya ni maambukizi kwenye via vya uzazi ambavyo husababishwa na bacteria ambao hupatikana katika mazingira tofautii.
Visababishi/mambo yanayoweza kuchangia kupata maambukizi katika via vya uzazi PID ni pamoja na:
✅UTI sugu.
✅Kutokuzingatia usafi wa choo pamoja na nguo za ndani
✅Kushiriki mapenzi na mtu zaidi ya mmoja
✅Kutoa mimba/abortion.
Ivo ni visababishi ambavyo humpelekea mwanamke kupata maambukizi katika via vya uzazi(PID).
Zipo dalili ambazo huonekana kwa mwanamke mwenye maambukizi ya PID,daili hizo ni pamoja na;
✅ Miwasho sugu ukeni.
✅Kutoka uchafu wenye harufu mbaya ukeni.
✅Kupata maumivuu makali ya kiuno pamoja na mgongo.
✅Kupata maumivuu makali wakati wa tendo.
✅Kuhisi dailili za ujauzito lakini ukipima ujauzito haupo.
Yapo madhara ambayo ukichlewaa kupata tiba ya PID unaweza kuyapata na yakakusumbua kwa maisha yako yote.
Madhara hayo ni pamoja na:
✅Kupata kansa ya kizazi.
✅Kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids).
✅Ugumba.
✅Kutolewa kizazi.
Ivo basi unapozidi kukaa na tatizo ndipo madhara yanavozidi kuwa makubwa.
Ipo package kwajili ya kuondoa changamoto yako na kurudi katika hali yako ya zamani.
Njoo nikushauri kuhusu changamoto yako, ikiwezekana nikupe suluhisho la tatizo lako.
Wasiliana nami.
📞0747928892
Nawasaidia wanawake wote wenye changamoto k**a vile;
☑️ miwasho sugu ukeni.
☑️ kutokwa ucgafu ukeni wenye harufu mbaya.
☑️UTI sugu.
☑️PID(maambukizi kwenye via vya uzazi).
☑️ uvimbe kwenye kuzazi(fibroids).
☑️ Kutokushika ujauzito au ukishika ujauzito unatoka.
☑️ uvimbe kwenye mayai(ovarian cysts).
☑️Kukosa ute wa mimba.
☑️ mvurugiko wa hedhi au kutokwa damu mabongemabonge kipindi cha hedhi.
☑️hormone imbalance.
Mwanamke k**a unachangamoto yoyote kati ya hizi nitafute nilupe ushauri ikiwezekana nikupe suluhisho la tatizo lako.
📞0747928892
28/10/2023
Unajua kwanini hubebi ujauzito?
Zipo sababu zinazoweza kupelekea wewe kushindwa kubeba ujauzito inaweza ikawa lishe mbovu au magonjwa sugu,
Ipo Fertility booster ambayo itaweza kumaliza changamoto yako.
Wasiliana nami ili nikushahuri ikiwezekana nikupe suluhisho la tatizo lako.
📞0747928892
27/10/2023
Hivi umekuwa ukikosa ute wa mimba kwa muda gani.
Ute kwa mwanamke ni muhimu sana hasa katika utungaji wa mimba maan ndio husaidia kusafirisha s***m za mwanaume kuelekea kwenye yai,k**a ukiona ute huu huwa hauupati,ni ngumu sana kwa wewe mwanamke kubeba ujauzito.
K**a unaona hupati ute huu,inabidi uanze tiba mara moja.
Kwa ushauri na huduma zaidi wasiliana nami kupitia namba.
📞0747928892
25/10/2023
Hivi kwanini uteseke na UTI sugu,miwasho sehemu za siri PID wakati dawa ipo itakayokusaidia kabisa?
Jipatie dawa hii kwa bei nafuu kabisa itakayoenda kumaliza tatizo lako lote.
Wasiliana nami;
0747928892
23/10/2023
Tatizo lako ni kutoapa pata ujauzito au ukipata ujauzito baada ya muda unatoka?
Umehangaika mara nyingi na muda mrefu kutafuta mtoto bila mafanikio?
Soma sasa.
Tatizo la kutopata mtoto au kubeba ujauzito baada ya muda unatoka kwa muda mrefu sasa limekua changamoto kubwa kwa wanawake kwa miaka ya sasa.
Na tatizo hili linasababishwa na mambo tofauti tofauti ambayo mwanamke hupitia katika kipindi cha maisha k**a vile kukosa lishe nzuri,magonjwa ya zinaa ,magonjwa ya kizazi Nk.
Zipo sababu ambazo zinapelekea mwanamke kushindwa kubeba ujauzito au unabeba ujauzito alafu unatoka kabla ya muda kufika(abortion).
Sababu hizo ni pamoja na;
✅Matatizo ya ovulation kwa mwanamke(uzalishaji mdogo wa mayai).
✅Mirija ya uzazi kuziba(fallopian tube) kutokana na magonjwa mbalimbali.
✅Kuwa na magonjwa sugu kwenye via vya uzazi na kushindwa kupata tiba k**a vile PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE),pamoja na UTI SUGU.
✅Kuwa na tumbo la chango
✅ Hormone imbalance/mvurugiko wa homoni za uzazi.
✅Kuwa na uvimbe kwenye kizazi(uterine fibroids).
✅Utumiaji wa uzazi wa mpango kwa muda mrefu hasahasa sindano.
✅Kuota tishu za uterus nje ya uterusi(Endometriosis).
✅ Ovarian cysts (uvimbe kwenye mayai)
✅Lishe mbovu.
Hivyo basi endapo mwanamke atachelewa kupata tibaa au asipopata tiba ya changamoto yoyote aliyonayo kwa hizo nilizotaja itakua ngumu sana kubeba ujauzito au ukipata ujauzito hautaweza kukaa.
Hayo yote yanaweza kuwa chanzo cha mwanamke kushindwa kubeba ujauzito au kila anapopata ujauzito haukai mda mrefu unatoka.
Basi vipo virutubisho ambavyo ukianza kutumia vitaenda kumaliza changamoto yako yote uliyonayo na kurejesha furaha kwenye familia yako,na jamii inayokuzunguka.
Jali afya yako,ipende afya yako.
K**a unahitaji ushauri ama kupata tiba ya tatizo lako wasiliana nami kwa no;
📞0747928892
22/10/2023
🎯🎯 SIPATI UJAUZITO NINI TATIZO? 🎯🎯
🥏🪀 K**a ushawahi jiuliza swali hili na ukahangaika bila kujua sababu,soma hizi sababu kwa makini upate kuelimika..!
🪀 1.MARADHI; kuna magonjwa mengi ya uzazi ambayo ukiwa nayo yanapelekea usipate ujauzito k**a huto yatibu mapema,mfano tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi,tatizo la uvimbe kwenye kizazi,uwinao mbaya wa homoni mwilini,n.k ni vema kutazama magonjwa haya unapopata tatizo hili.
🪀2.KUBADILIKA KWA HEDHI; Kwa kawaida hedhi ni sikun24,26, 28, na wachache ni siku 31, lakini hedhi hii inadum kwa siku 3 hadi 7 kiafya,chini ya siku hizo au juu ya siku hizo sio salama sana,kuvurugika kwa hedhi kunasababisha wanandoa wengi kushindwa kutambua zipi ni siku za joto au hatari ili wazitumie kutafuta mtoto,hapa ndio husbabisha ushindwe kupata ujauzito.
🪀⛳3.DAWA ZA KUZUIA MIMBA; Kutokana na afya ya mtu na mfumo wake wa homoni,kuna baadhi ya wanawake mara baada ya kuacha kutumia dawa za kuzuia mimba kila akijarbu kupata mimba hapati n kwa wengine hata hedhi hawapati kabisa,hii inahitajika upate ushaur wa kina wa mwenendo wa afya yako na aina ya dawa ulizo zitumia.
🪀4.KUTOA MIMBA; K**a umewahi kutoa mimba moja au zaidi,kwasasa ukiona hupati tena ujauzito usishangae ni matokeo ya ulichokifanya,njia zinazotumika kutoa mimba zote sio salama,hupelekea kuharibika kwa kizazi au kutoka kabisa,ni heri ukazaa mtoto akahudumiwe kwenye kituo cha kulelea yatima kwa kuwa huwezi mtunza kuliko ya kutoa mimba kwa makusudi kabisa,Dhambi ya jambo hili haitokuacha salama wewe na familia yako pia.
🪀5.UMRI; Kuna umri ukifika hedhi inakoma,na homoni zinazohusika na ukuaji wa mayai nazo zinaishiwa nguvu,hapa kupata mimba itakuwa kazi,umri mzuri wa kuzaa ni miaka 20 hadi 35, chinu ya hapo au juu ya hapoo,si salama sana kwa afya yako na mtoto pia.
🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
💥Tunatoa Huduma Ya virutubisho vya kumaliza changamoto zenu kwa usalama na uhakika.
Piga/whtsap: 0747928892
21/10/2023
FANGASI SUGU UKENI NI HATARI KWA MJAMZITO NA ANAYETARAJIA UJAUZITO
Ugonjwa unaotokana na maambukizi ya fangasi ukeni ni tatizo kubwa kwa wanawake wengi,katika kipindi fulani mwanamke amewahi kushambuliwa na fangasi ukeni na wengine ninapoandika ujumbe huu wanapitia shida hii.
Dalili za maambukizi ya fangasi ukeni ni pamoja na;
✅Kuwashwa ukeni kusikobumilika utajikuna hata mbele za watu.
✅Kutokwa na uchafu ukeni unaofanana na maziwa mtindi.
✅Kuhisi maumivuu wakati wa kujamiana.
✅ Maumivuu wakati wa kukojoa.
JE UNAJUA MADHARA UTAKAYOPATA UKIENDELEA KUKAA NA FANGASI BILA KUPATA TIBA.
Madhar ya kutopata tiba ya fangasi kwa unaetarajia kupata ujauzito au kwa wewe mwenye ujauzito.
*Maambukizi ya fangasi ukeni ni hatari kwa anayetarajia kupata ujauzito kwani huzuia mbegu na yai kukutana
*pia kwa aliye mjamzuto ukipata haya maambukizi inaweza kuwa chanzo kikubwa cha ujauzito kutoka/abortion.
SULUHISHO.
Ipo dawa ambayo ukianza kutumia ambayo itaenda kumaliza tatizo lako mara moja.
Waweza wasiliana nasi endapo utahitaji ushauri na tiba zetu kwa no;
📞0747928892
Ivi kwanini uendelee kusumbuliwa na miwasho sugu,kutoka uchafu sehemu za siri,na UTI sugu.?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mwenge
Dar Es Salaam