Madam Lidya

Madam Lidya

Share

Afya Yako Ni Yangu

04/08/2024
04/04/2024

NANI MWINGINE ANGEPENDA KUJIPATIA OFA YA UPIMAJI MWILI MZIMA NA KUHUDUMIWA KWA HARAKA..

K**a una changamoto yeyote ya kiafya, unahitaji kupata suluhisho la uhakika na kuhudumiwa kwa haraka.

Inawezekana umepoteza muda mwingi na fedha nyingi kutatua tatizo hilo lakini hakuna matokeo chanya uliyopata

Fika Katika kituo cha afya cha GCAT HEALTH CARE,
Tuna huduma ya upimaji mwili mzima kwa sh 20,000 tu na kuhudumiwa kwa haraka!

Utafanyiwa Upimaji Katika Mifumo Yote Ya Mwili Katika:
✳Mifupa.
✳Mmeng'enyo wa chakula.
✳Uzazi kwa kina mama.
✳Uzazi kwa kina baba.
✳sukari na presha
✳Tezi dume na ngili
✳Pid na uti

Tupo Dar es salaam, na mikoani pia

Tafadhali wasiliana nasi kwa namba ya sim
0783074222
P.S Thamani ya kipimo hiki ni sh 155,000 Lakini ndani ya mwezi huu utaipata kwa Ofa ya sh 20,000 Tu!

28/03/2024

SULUHISHO LA CHANGAMOTO YA KUVIMBA KWA TEZI DUME
+255 783074222

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME
1; Kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku kuanzia mara nne mpaka tisa

2; Kukojoa mkojo usioruka mbali

3;Kutokuishiwa hamu ya kukojoa

4; Kuhisi kibofu kimejaa mkojo

5; Kupata maumivu/Ugumba wakati wa kuanzisha mkojo

YAFAHAMU MADHARA YA KUVIMBA KWA TEZI DUME

1; Saratani ya tezi dume

2; Figo kufeli

3; Njia ya mkojo Kuziba kabisa

4; Kibofu cha mkojo Kuharibika

Kwa Ushauri zaidi
+255783074222

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam