swab naturals
huduma za kiafya ,k**a kutibu wanye mashetani,uchawi,upungufu wa urijali,bawasiri ni.
0674916068
13/11/2023
*NYUMBANI KWAKO NI KWA NINI HAKUNA ASALI?*
NI KWASABABU HUIJUI ASALI
Ngoja nikutajie tu baadha ya maradhi yanayo tibiwa kwa asali:
1.KUTOPATA USINGIZI.
maziwa ya motoglasi .
kijiko cha asali.
Changanya pamoja kisha Kunywa kabla ya kulala.
2. MAGONJWA YOTE YA MACHO.
Tonesha tone la asali ndani ya jicho asubuhi na na usiku kabla ya kulala,pamoja na kula kijiko cha asali baada ya kuweka machoni.
3. GESI TUMBONI.
Kitunguu thaumu.
maziwa.
kijiko cha asali.
Kunywa asubuhi kabla ya kula kwa mda wa siku tano.
4. KUTOPATA CHOO.
maziwa ya baridi.
kijiko cha asali.
Kunywa asubuhi na jioni
Huenda hujui asali mbichi na safi utaipata wapi.
Wasiliana nami ujipatie asali safi kwa bei nzuri.
Lita moja,au lita tano,au lita ishirini unapata.
......
SWAB NATURALS
0674916068
Au 0745134506
https://chat.whatsapp.com/HDSKpi9Mzcz0QFJfPiG7T9
08/11/2023
*DALILI ZA MTU ALIYEPATWA NA HUSDA AU KIJICHO.*
*👁️SWAB NATURALS 👀*
1. Kupiga miayo kwa wingi bila kuwa na usingizi.
2. Kupiga mbwewe sana na inazidi wakati wa kusikia Qur'an.
3. Kupata miwasho mwilini.
4. Uwingi wa kutema mate.
5. Kutokewa na vipele na mapunye.
6. Kutokewa na vitu mfano wa jicho.
7. Kupata joto au baridi bila sababu.
8. Kubana kifua.
9. Kiwa mzito na kupata uvivu na kukosa usingizi.
10. Kuwa na wasiwasi sana.
11. Mwili kunenepa pamoja na uchache wako wa kula.
12. Mtu anaweza patwa hata na aina flani ya saratani,au uchizi na uwendaazimu.
13. Kusahau sahau na kusinzia wakati wa kusoma au shuleni au kwenye mtihani au wakati Wa kusoma Qur'an au kupata maumivu ya kichwa.
14. Aleji ya pua.
15. Kupiga chafya sana bila kuwa na mafua
Kukatika kwa nywele.
16. Weusi chini ya macho na uso kupauka.
17. Maumivu ya kichwa ya kudumu.
18.Kiwango cha ufahamu na uelewa kushuka.
*ALAMA ANAZOZIONA AKIWA USINGIZINI*
Mtu aliyepatwa na husda au kijicho akiwa usingizini anaweza akaota anaona vitu vifuatavyo:
1. Kuona paka kwenye ndoto.
2. Kuona Wadudu kwenye ndoto.
3. Kuona nge ndotoni.
4. Kuona mbwa ndotoni.
5. Kuona Mijusi ndotoni.
6. Kuona Sisimizi ndotoni.
7. Kuona Michanga ndotoni.
8. Kuona jicho au wanawake waliojifunika.
9. Kuona watu wanakukodolea macho.
10. Kuona makaburi ndotoni.
*TIBA YA HUSDA NA KIJICHO*
Chukua chumvi ya mawe,shabu,na mkunazi.
Viwe uchazo sawa,weka kwenye maji na uogee mwili mzima baada ya jua kuzama kwa mda wa siku Saba.......
KWA DAWA AMBAZO ZIPO TAYARI WASILIANA NAMI:
SWAB NATURALS
0674916068
Au 0745134506
https://chat.whatsapp.com/HDSKpi9Mzcz0QFJfPiG7T9
07/11/2023
*🌱DALILI NA ISHARA ZA KUA UMEPATWA NA UCHAWI AU MASHETANI🌱*
Dawa bei ya offa ni TSH 60,000
SWAB NATURALS 0745134506.
1. Ukosefu wa usingizi; nako ni mtu kutoweza kupata usingizi ila baada ya muda mrefu baada ya kujipumzisha.
2. Hamaniko; Kuamka mara nyingi usingizini usiku.
3. Jinamizi; ni mtu kuona usingizini jambo linalomtia dhiki naye anataka kuomba usaidizi lakini hawezi kutoa sauti au kujisogeza.
4. Ndoto za kufadhaisha.
Kuona wanyama usingizini k**a vile paka , mbwa, nyoka, Simba, nk.
5. Kucheka au kulia au kupiga kelele usingizini .
6. Kusema Aww! Aww ! Usingizini.
7. Kusimama na kutembea ukiwa usingizini bila kutambua.
8. Kuona usingizini kana kwamba utaanguka kutoka mahala pa juu.
9. Kujiona usingizini uko makaburini au jalalani au katika njia ya kutisha.
10. Kuwaona watu usingizini katika maumbile yasiyo ya kawaida, k**a vile kuwaona ni warefu sanaa, au ni wafupi sanaa au uone watu ni weusi usio wa kawaida.
10. Kuona mazimwi/mapepo usingizini.
11. Kifua kua kizito na mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida.
12. Kutokwa na gesi mwilini kwa hali isiyo ya kawaida.
13. Kua na hofu kali bila sababu.
14. Uvivu na kufa ganzi viungo k**a vile mikono miguu vidole, na uchovu.
15. Kukosa raha usingizini.
16. Mienendo ya mtu aliyerogwa ni tofauti na watu wengine kwa ujumla.
17. Maumivu chini ya mgongo.
18. Maumivu ya kudumu ya tumbo, hasa chini ya tumbo, au upande mmoja.
19. maumivu katika maungio (joint).
20. Maumivu ya kichwa ya kudumu na yanakuwa kichwa chote au upande.
21. Kulia bila sababu za kweli za kulia.
22. Kujizuia na tendo la ndoa na mke au mume kukosa hamu ya kumkaribia mwenzake.
23. Kuhisi wasiwasi na dhiki wakati wa kuingia ndani ya nyumba.
24. Kuchukia kusikia Qorani na kuacha ibada.
25. Mtu aliyerogwa huhisi maumivu ya kichwa mara kwa mara na daima hua na wasiwasi na msongo wa mawazo.
*ALAMA ZA UWEPO WA UCHAWI NDANI YA NYUMBA*
1. Uwepo panya na wadudu kwa wingi ndani ya nyumba.
2. Kusikia sauti za ajabu ndani ya nyumba.
3. Ukosefu wa baraka ndani ya nyumba na migogoro mingi na mizozo kati ya mume na mke.
4. Kupotea kwa fedha na vitu vya thamani kimaajabu ajabu.
5. Uharibifu wa taa ndani ya nyumba bila kuwepo na tatizo.
6. Kuhisi giza ndani ya nyumba licha ya uwepo wa taa.
7. Kuona kivuli kikienda kwa haraka ndani ya nyumba.
8. Kusikia sauti zisizojulikana zinazoita majina ya wanafamilia.
9. Kusikia sauti za kugonga kuta na vyombo vya nyumbani bila kuwepo kwa mtu yeyote anayefanya hivyo.
10. Kuwepo kwa vilio vikubwa ndani ya nyumba.
11. Kutoweza kwa baadhi ya wanafamilia kuisikia Qurani Tukufu.
12. Matatizo ya mara kwa mara yasiyo ya kawaida, k**a vile mtoto kutukana wazazi wake au kupiga ndugu zake.
13. Kuhisi huzuni na kukasirika wakati unapoingia tu ndani ya nyumba.
Wasiliana nasi kwa tiba na ushauri:
SWAB NATURALS
WHATSAPP. 0745134506
+255674916068......
https://chat.whatsapp.com/HDSKpi9Mzcz0QFJfPiG7T9
05/11/2023
Mwanaume tumia asali vijiko viwili kila siku asubuhi kabla ya kula chochote.
Utakua vizuri hadi ujishangae
Ukihitaji asali safi kabisa kwa bei nafuu njoo WhatsApp 0745 134 506
05/11/2023
Je unasumbuliwa na mashetani,majini mahaba,uchawi,vifungo,mashetani.
Suluhisho ni dawa hii inayoitwa MALKIA
BEI TSH 70,000
WHATSAPP 0745 134 506
05/11/2023
Inawezekana kabisa Presha yako ikakaa Sawa
Nitafute KWA WhatsApp 0745 134 506
Au piga 0674916068
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam