Afya bora

Afya bora

Share

Tunatoa vipimo vya afya Mwili mzima na Matibabu kwa kutumia Tiba Akili

16/02/2024

He unasumbuliwa na Tatizo la miguu Mara kwa Mara..?
Wasiliana nasi kwa matibabi ya uhakika zaidi
0756747571

16/02/2024

Vidonda vya tumbo vinasabanishwa na nini.?
Ufanye nini ili usipate vidonda vya tumbo.?
Ni dawa gani inatibu vidonda vya tumbo suguu.?
0756747571

09/01/2024

Nini hasa
Kinasababisha Mimba
Kuharibika Na Kutoka
Kabla ya Wakati?
👇🏼
👇🏼
Mimba nyingi zinazoharibika ndani ya miezi mitatu ya kwanza ni kutokana na kiumbe kudumaa.

Dalili za mimba kuharibika
👇🏼
👇🏼

maumivu ya mgongo
• kuvuja damu ukeni
• kutoka kwa tishu za mabongemabonge katika uke
• misuli kukaza na
• maumivu makali ya tumbo

Nina suluhisho la Tatizo Hilo.
Kwa mawasiliano zaidi 📞0756747571

02/01/2024

JIPATIE HUDUMA YA VIPIMO MWILI MZIMA BURE
Kwa mawasiliano: 0756747571

13/12/2023

Wasiliana nasi kwa tiba za uhakika zaidi, Afya yako ni muhimu sana.
Piga Simu/Tuma ujumbe wako kwa No:0756747571

27/11/2023

JIPATIE HUDUMA YA VIPIMO MWILI MZIMA BURE
Kwa mawasiliano: 0782901551

27/11/2023

MADHARA YA NJIA ZA KISASA ZA UZAZI WA MPANGO.

✍🏻Masuala ya uzazi na malezi kwa wanawake ni jambo lililo wazi kabisa lakini kutokana na maadili baadhi wamekuwa na woga wa kujadili wazi wazi. Hata hivyo baadhi ya wanawake hawa hupenda kuzungumzia haya madhara hasa wanapo kutana ili kubadilisha mawazo na hata kujifunza zaidi.

✍🏻Tuangalie MADHARA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO kutokana na njia husika.

MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA

👉🏻Usumbufu hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizungu zungu
👉🏻Kichefu chefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)

MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA

👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha ma uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefu chefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu

K**a una athari zozote na umetumia
Basi wasiliana nami kwa what's app 0782901551

27/11/2023

UKITUMIA "AFYA BORA KIT" UTANASA UJAUZITO SIKU 9-7 TU BAADA YA HEDHI; KWASABABU INATATUA TATIZO LA:-

HOMONI KUVURUGIKA, UCHAFU, UVIMBE, P.I.D HARUFU,

UVIMBE, UGUMBA, MIMBA KUHARIBIKA, MIRIJA KUZIBA,

MIMBA KUTUNGA KWENYE MIRIJA, HEDHI KUVURUGIKA,

KUKOSA UTE WA MIMBA NA HAMU YA TENDO LA NDOA,

MUWASHO SUGU, MAUMIVU YA HEDHI N.K

TUPIGIE /0782901551 TUKUHUDUMIE

27/11/2023

UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITO.

Kwa kawaida mwanamke ambayo siyo Mjamzito ila mwenye uwezo wa kushika Ujauzito inatakiwa akipimwa Protini iliyomo ndani ya Chembechembe nyekundu za Damu iitwayo Himoglobini iwe katika kiwango cha kuanzia 12g/DL mpaka 16g/dL.

Mwanamke Mjamzito anatakiwa kuwa na kiwango cha kuanzia 11g/dL kwenda juu.

Upungufu wa Damu kwa Mjamzito ni pale ambapo endapo protini iliyomo ndani ya ChembeChembe nyekundu za Damu iitwayo Himoglobini ikipimwa kuwa chini ya 11.0g/dL hii ni kulindana na Maana ya Upungufu wa Damu kutoka na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Upungufu wa Damu umegawanyika katika makundi makuu matatu kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO) ambayo ni k**a ifuatavyo;-

1. Kupungukiwa na kiasi kidogo ambapo Protini iitwayo Himoglobini ikipimwa itaonesha kiwango kuanzia 9g/dL – 10.9g/dL.

2. Kupungukiwa Damu katika kiwango cha Kati ambapo Protini iitwayo Himoglobini ikipimwa itaonesha kiwango kuanzia 7g/dL – 8.9g/dL.

3. Kupungukiwa Damu katika kiwango hatari ambapo Protini iitwayo Himoglobini ikipimwa itaonesha kiwango chini ya 7g/dL.

MAMBO YANAYOPELEKEA UPUNGUFU WA DAMU KIPINDI CHA UJAUZITO.

1. Ujauzito au Mimba yenyewe.

2. Kuto kula Mlo wenye Madini Chuma ya kutosha.

3. Kula vyakula kwa kuambatanisha na Chai au Kahawa kipindi cha Ujauzito.

4. Kuwa na upungufu wa Madini Chuma /Damu kabla ya kuwa Mimba.

5. Kutokwa na Damu nyingi wakati wa Hedhi kabla ya kupata Ujauzito.

6. Kutokwa na Damu kipindi cha Ujauzito.

7. Kutoweka nafasi zaidi ya Miaka miwili kutoka Mimba Moja hadi nyingine.

8. Kutapika sana katika Miezi mitatu ya Mwanzoni mwa Ujauzito.

9. Mimba ya Mapacha au zaidi ya Mtoto Mmoja.

10. Kubeba Mimba au Mimba ya kwanza kutokana na kukosa uzoefu na kutohudhuria clinic mapema.

11. Mama aliyezaa zaidi ya Mara 5.

KUMBUKA: Hapa nimezungumzia zaidi, Upungufu wa Damu katika Ujauzito kutokana na Upungufu wa Madini Chuma!
Usikose maada ijayo kuhusu dalili na Mambo yapi iliufanye kuondokana na Athari zake!

Photos from Afya bora's post 27/11/2023

TIIBA YA BAWASIRI. JINSI YA KUTIBU BAWASIRI KWA ALOE VERA
K**a hujawahi kabisa kujitibu na unahisi una tatizo hili la bawasiri hebu tafuta majani ya aloe vera.

Chana katikati kisha toa ule utomvu uwe unajipaka sehemu yenye kinyama kutwa mara tatu (3) hadi tatizo liishe.
Wakati ukitumia hiyo aloe vera pia uwe pia unatengeneza chai ya mchaichai au uji mwepesi unachanganya na unga wa majani ya mlonge kijiko kimoja cha chai halafu unakunywa asubuhi na jioni kila.siku
Huu mlonge hakikisha unatumia ambao umeandaliwa bila kukaushwa juani
Ukifanya k**a nilivyokuelekeza utapona tu kwa uwezo wa MUNGU. Tumia hadi tatizo litakapoisha maana najua wengine wanaweza kuuliza watumie kwa muda gani. Yaani tumia tu iwe miezi 2, 3,6 nk mpaka upone
Endapo sasa umetumia na hujapona vizuri au unahitaji tiba rahisi na ambayo imeshaandaliwa na yenye matokeo ya haraka yaani siku 30-60 basi wasiliana nasi tukupatia tiba yetu yenye gharama ya 385,000 kwa siku 30
Simu/whatsapp: 0782901551

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam