fursa ya biashara

fursa ya biashara

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from fursa ya biashara, Health/Beauty, Dar es Salaam.

AFYA ya BABA 21/12/2023

WANAUME WENGI WAMETUMIA NJIA HII NA WAMETATUA CHANGAMOTO ZAO 👇Gusa link hii upate muongozo sahihi wa virutubisho lishe +mazoezi

AFYA ya BABA WhatsApp Group Invite

13/12/2023

JE WEWE PIA UMECHOKA KUSURVIVE NA UNATAKA KUFANIKIWA?

Ninapoandika ujumbe huu mwaka mwingine unaenda kukatika. Kwa mara nyingine tena. Na ujumbe wangu kwako siku ya leo ni USIKUBALI KUWA MTU WA "BEI RAHISI RAHISI".

Thamani yako inazidi dhahabu na almasi - k**a UNAJITAMBUA. K**a hujitambui hata CHANGARAWE kitakuwa na thamani mbele za watu kuliko wewe.

Nini kinafanya baadhi ya watu wasithaminike maishani? Ni kujiweka kuwa RAHISI SANA KUPATIKANA. Watu wakikuhitaji upo kila wakati. Watu wanakuona kila sehemu kila mara. The LAW OF SUPPLY AND DEMAND inakushusha thamani.

Vitu hupanda bei vinapokuwa adimu. Kwa nini wewe umekuwa TOO AVAILABLE?

HEBU NGOJA NIKIDOKEZE JAMBO MUHIMU KIDOGO.

Ni hivi kuna level 10 za pesa hapa duniani na ukizijua utaacha kuwa available kirahisi. Level za mafanikio kifedha. Nakudokeza 3 za mwanzo...

LEVEL ZERO:
Kipato chako ni chini ya $1000 kwa mwezi.
Yaani chini ya Tshs 2.4M kwa mwezi. Yaani wewe ni maskini. Usikasirike. Ndo hivyo. Na hapa ndo unakuwa too cheap. Ukiwa hapa acha kucheza na muda. Acha ku comment kushauri watu sijui mahusiano sijui biashara. Wewe ndo unahitaji msaada. Be HUMBLE ujifunze. Itakusaidia. Maana bado uko katika umaskini. Tatizo linaanza umezungukwa na watu ambao $1000 kwao ni big deal. Watu wanoishi kwa laki 5 kwa mwezi. Mshahara ukiwa laki 7 au 1M anajiona DON. Hiyo si ni k**a BOOM tu la Chuo? Katika ulimwengu wa kimafanikio hii inaitwa LEVEL ZERO. Siyo mimi nasema. Mimi mwenyewe nilipojifunza haya mambo enzi hizo nilishangaa sana.

Sasa unakuta mtu yupo level ZERO halafu anataka kujibishana na MO DEWJI mitandaoni. Eti uhuru wa kutoa maoni. Dah. My friend, mwenzako yuko LEVEL 10!!Atakujibu nini sasana wewe huna hela ya kula? Si ukuwe humble ujifunze vitu. LEVEL ONE ni SURVIVAL LEVEL. Hujaanza kuishi bado. Una survive tu. Ukifa ukiwa level hii kiukweli tija yako kijamii ni ndogo mno usijifariji. Please don't die here. Don't! Hata mchango wako kifamilia ni wa kutafuta kwa tochi. Anyways. Hii ni LEVEL ZERO.
Huchomoki level hii bila kukubali KUADIMIKA KWANZA KWA MUDA FULANI. So it's your choice.

LEVEL ONE:
Kipato chako walau $1000 kwa mwezi.
Tshs 2.5M per month. Hapa ni level ya UMEJITAFUTA UMEJIPATA. Kwa wewe ambaye uko level hii huu si wakati wa kuanza kusaidia kila ndugu na kuchangia kila mwenye sherehe. Utakufa maskini. Acha kuleta mambo ya hisia zako kwenye mambo ya mafanikio. Hapa umeshakoroga zege. Lazima ulimwage. Umeanza safari ya mafanikio kifedha. Maji umeyavulia nguo. Usiishie hapa. Huu ni wakati wa kujua sasa UMEJIPATA kwa hiyo unahitaji utulivu ili uone fursa za kukua zaidi. Hapa jijali WEWE KWANZA. Mungu alisema UMPENDE JIRAJI YAKO K**A NINI....? K**A NAFSI YAKO. Yaani K**A UNAVYOJIPENDA. It means huwezi kumpenda mwingine k**a hujipendi wewe. Sijui wewe unaelewaje Mungu anaposema K**A UNAVYOIPENDA NAFSI YAKO. Nini kinapaswa kutangulia hapo... kumpenda jirani au kujipenda wewe kwanza? Umeelewa?
Level ONE ni UMEJIPATA. Jipende. Jijenge. Usijionyeshe kwa kununua vitu expensive. Saa ya laki 3. Gari milioni 20. Jiimarishe wewe kwanza. Pia hapa usitishe watu. Huna hela. Ni kwamba umejipata tu. Safari ndo inapaswa ianze.

Ukitaka kujua k**a taifa tuko nyuma mno hii DOLA ELFU MOJA ndo pato la mtanzania kwa mwaka kwa sasa hivi 2023. Siyo kwa mwezi kwa mwaka. Sometimes wanasema Tshs 2.8M. Ni yale yale tu. Yani milioni 2 na laki 8 mwaka mzima? Umeelewa why inabidi UADIMIKE sasa ili ufike hii kuwa kipato chako cha MWEZI?

LEVEL TWO:
Kipato chako $3000 na kuendela kwa mwezi. Takribani Tshs 7M kwa mwezi.
Hapa ndipo unaweza kusadia ndugu na kuchangia watu na usibaki na masononeko moyoni. Hapa hata gari unanunua na unaweza kui-maintain. Kule level 1 kununua na kimaintain gari utakuwa mwizi mwizi kazini, au kwa wadada basi tuseme utakuwa na "mambo mengi".

Lakini LEVEL TWO Tshs 7M kwa mwezi na kuendelea una ka utulivu kiasi kifedha. Hata ukishauri mtu huonekani mnafiki. Unaweza kuhamia sehemu fulani za kishua ila kujenga utajenga kibishi sana. Ingawa unaweza. Maana hapa benki kukukopesha milioni 200 au hata 150 siyo issue. Lakini huwezi kujenga nyumba ya maana bila hiyo arrangement. Labda uwe na yale "MAMBO MENGI". Nazungumzia kujenga... siyo kuunganisha tu matofali na kufunika na mabati juu. LEVEL TWO ndo level ambayo utakuwa na furaha na pesa kuliko level nyingine yoyote KABLA wala BAADA. It means hii ndo level ukiweza kuenjoy enjoy. Responsibly lakini. Maana level zinazofuata furaha ya pesa inaanza kupungua. WHY? Kwa sababu pesa ikiongezeka inaanza kukudai usahihi na UHALALI wa kuimiliki na kuitumia. Any mistake unarudi LEVEL ZERO! So utimamu wa akili unahitajika sana after LEVEL 2.

Kila mtu mwenye bidii na utulivu kichwani anaweza kufika LEVEL TWO. Hawa ndo wanaitwa MIDDLE CLASS. Tabaka la kati. Yaani siyo maskini tena ila pia hakuna anayekuona tajiri. Hata maskini hawakuoni k**a tajiri bado. Ingawa unaweza kuwasaidia. Unakuwa na furaha sana na pesa kipindi hiki kuliko kabla wala baada.

Ukipambana na kujifunza hapa unafika ndani ya miaka miwili tu hadi mitatu hata k**a leo upo level ZERO. $3000 kwa mwezi unaweza kufika by 2025 mwishoni au 2026. Unahitaji MENTORSHIP kufika hapa. Mentorship ndo iliyotusaidia sisi.

Sasa kuna watu wanasoma hapa network ishagoma. Hajioni akifika hata level hii ya $3000 per month. Tatizo kubwa ni kuishi kwa muda mrefu kwenye level ZERO kule. Kwenye laki 5 kwa mwezi sawa na $200. Level ZERO inakufanya uishi kwa kulalamika tu na kuchukia wenye hela bila sababu.
Learn.

LEVEL THREE

Kutoka level 2 kwenda level 3 inakubidi uwe mtu tofauti sana maana kilichokufanya uingize $3000 kwa mwezi hakina undugu wala urafiki na kitakachokufanya uingize $10,000 (Tshs 24M) kwa mwezi ambayo ndo level inayofuata yaani LEVEL 3. Utimamu wa akili unahitajika. Ndo unaanza kuitwa BAHILI kuliko ulivyokuwa LEVEL 1. Kila pesa unataka mahesabu yake.

LEVEL 3 ni level ambayo maskini wote wanakuchukulia k**a tajiri ingawa matajiri wa kweli wanakuona wewe ni maskini bado. Tshs 25M+ kwa mwezi ni pesa hii si mchezo. Angalia tu kwenye UKOO WAKO watu wangapi wanaingiza $10,000 kwa mwezi. Na wapoje. Utajua nachosema.

Sasa tuishie hapo. Kumbuka level ziko 10. Nilitaka tu uone ni mambo ya aina gani tutajifunza darasani. Huwezi kujifunza vitu serious namna hii ukiwa unapatikana 24/7. Lazima ukubali KUADIMIKA kwanza kwa muda.

K**a upo LEVEL ZERO ji challenge. Mwambie Mungu hivi MUNGU UKINIPA UZIMA, WAKATI K**A HUU MWAKANI 2024 NITAKUWA WALAU LEVEL ONE, NA WAKATI K**A HUU 2025 NITAKUWA LEVEL THREE.

Ila itakulazimu uwe mtu adimu na uwe mwanafunzi mzuri darasani.

Usiwe kwenye kila group la WhatsApp. Kila MEME wewe ume comment. Kila mjadala cheap wewe pia upo. Kuna watu wa maana sana humu mitandaoni na wenye uwezo wa kukusaidia mambo makubwa ila wakikuona umeLIKE au kucomment mijadala cheap cheap na ya kijinga wanakushusha thamani na Mungu sasa akusaidieje?

Ili ufanikiwe kiuchumi inabidi uwe a RARE EDITION. Kitu ADIMU. Very LIMITED. Mimi kila mwaka unapoisha kuanzia November huwa naanza ku delete namba kwenye simu yangu ambazo nahisi sihitaji kuwa na ukaribu wowote hapo nilipo. Be a LIMITED EDITION. Upatikane kwa wachache tu.

What about you? Unapatikana 24/7. Utafanikiwaje my friend? Potea machoni pa watu walau MIEZI 6 tu ukirudi hawatoamini wanachokiona.

OKAY UNAANZIA WAPI?

Usijali. Ninatafuta watu k**a wewe wanaotaka kuwa adimu for 6 months tu tujichimbie darasani tujifunze mambo muhimu kimya kimya. After 6 months you'll never be the same. Muhimu kumbuka jifunze kuwa ADIMU.

Nitumie neno kwenda WhatsApp number 0788 366 511 tuongee wapi uanzie.

See you on your NEXT LEVEL.

AGM

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam