Afya check
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya check, Health/Beauty, Dar es Salaam.
05/12/2023
**TANGAZO: Vipimo vya Mwili Mzima ni bure..kufungua file ni Shilingi Elfu 20!**
Je, unataka kujua hali ya afya yako kwa undani? Hapa ndipo pa kuwa!
Tunatoa vipimo vya mwili mzima bure. Kufungua file ni shilingi elfu 20 tu! Huduma zetu ni za hali ya juu na zinajumuisha uchunguzi kamili wa afya yako.
**Huduma Zinazojumuishwa:**
- Uchunguzi wa maswala ya uzazi
- Vipimo vya shinikizo la damu
- Kipimo cha uzito na urefu
- Uchambuzi wa matokeo na ushauri wa kitaalam
Jitahidi kwa afya yako na ujue zaidi kuhusu mwili wako. Huduma hii ya kipekee ni kwa muda wa kikomo, hivyo tuchukue fursa sasa!
Kwa maelezo zaidi na kuweka miadi, wasiliana nasi kwa simu:
0713791161
05/12/2023
SABABU ZINAZOWEZA PELEKEA MWANAMKE KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI NA KUSABABIDHA UCHELEWE KUNASA UJAUZITO Sababu kuchelewa kunasa mimba kwa wakati 🌷Kuwa na Uvimbe ambao umeota kwenye mirija ya uzazi 🌷Kuwa na Ugonjwa wa maambukizi ya kizazi na Nyonga. 🌷 Kuwa na historia ya mimba kutunga nje ya kizazi. 🌷 Magonjwa ya zinaa na upasuaji wa tumbo au uvimbe kwenye ukuta wa uzazi. 🌷 Kuwa na maambukizi kwenye mirija yaliyo sababishwa na utoaji wa mimba, kupasuka kwa kidole tumbo. 🌷Uzazi wa mpango (Lupu/Kitanzi 🌱 Ajari iliyo husisha Tumbo. 🌱Mirija kujaa maji. Kwa ushauri na msaada zaidi wasiliana nami nipigie tuongee nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako Call me/whtsap ☎📞 255713791161
05/12/2023
UVIMBE KWENYE MAYAI YA MWANAMKE
✅Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (o***y) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana k**a ovarian cyst.
Aina za uvimbe kwenye mayai ya mwanamke(ovarian cyst)
✅Follicular cyst ambayo uvimbe hutokea wakati ovulation isipotokea au baada ya corpus luteum kuanza kusinyaa na kupotea yenyewe baada ya kutopachikwa kwa yai kwenye kuta
za mfuko wa kizazi.
✅ Corpus Luteum cyst- ambao ni uvimbe unaosababishwa na kutopachikwa kwa yai la uzazi lililorutubishwa na mbegu ya kiume kwenye mfuko wa kizazi. Kwa kawaida corpus luteum husinyaa na kupotea yenyewe, au wakati mwengine inaweza ikajaa maji na hivyo kusababisha uvimbe
✅Cystedenoma-Ni aina ya uvimbe unaotokana kwenye tishu za ovari na hujazwa na majimaji yenye kuvutika. Uvimbe wa aina hii huweza kuwa mkubwa sana hata kufikia inchi 12 au zaidi kwa upana
DALILI ZA OVARIAN CYST
✅Maumivu makali ya tumbo, ambayo hayana mwanzo maalum na yanayochoma, ambapo maumivu hayo yanaweza yakawa yanakuja na kupotea au yakawepo moja kwa Kuhisi tumbo kuwa zito, kujaa au kuvimba
✅Maumivu kwenye matiti na hedhi isiyokuwa na mpangilio maalum moja.
✅Maumivu ya muda mrefu kwenye nyonga wakati wa hedhi na ambayo huweza kuhisiwa sehemu ya chini mgongoni. Kuhisi kichefuchefu, kutapika na kutokwa na matone ya damu ukeni.
✅Dalili nyingine ni ugumba na kuhisi uchovu, mabadiliko ya haja ndogo yaani kukojoa mara kwa mara, kujikojolea au kushindwa kutoa mkojo wote kutoka kwenye kibofu cha mkojo wakati wa kupata haja ndogo.
INAWEZEKANA KABISA UVIMBE KUISHA BILA KUFANYA UPASUAJI/OPERATION
WASILIANA NASI
wa.me/255713791161
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam