Ifahamu afya yako leo
karibu upate ushauri na suluhisho changamoto ya uzazi mwanaume na mwanamke,Tezi dume kutanuka,u.t.i sugu +255627737046
SARATANI YA TEZI DUME
WhatsApp +255627737046
Uvimbe wa tezi dume (kwa Kiingereza Prostate Enlargement au Benign Prostatic Hyperplasia – BPH) ni hali ambapo tezi dume, ambayo ipo chini ya kibofu cha mkojo kwa wanaume, inaongezeka ukubwa kuliko kawaida.
Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea.
DALILI ZA UVIMBE WA TEZI DUME
↪️Kukojoa mara kwa mara hasa usiku.
↪️Mkojo kutoka kwa shida au kwa nguvu ndogo.
↪️Kuhisi kibofu hakijaisha hata baada ya kukojoa.
↪️Kuanza kukojoa kwa kuchelewa.
↪️Mkojo kukatika katikati.
↪️Wakati mwingine maumivu au hisia ya kuungua wakati wa kukojoa.
MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME(ukiachwa bila matibabu)
↗️Kuzuia kabisa mkojo (urinary retention).
↗️Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI).
↗️Kujeruhi kibofu cha mkojo kutokana na msukumo mkubwa wa mkojo.
↗️Madhara kwa figo – kutokana na shinikizo la mkojo kurudi juu.
↗️Maumivu na usumbufu wa kudumu wakati wa kukojoa.
⏹️Unapogundua dalili hizo, ni muhimu kumwona daktari wa mfumo wa mkojo (urologist) kwa uchunguzi na matibabu mapema ili kuepuka madhara makubwa.
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi
WhatsApp +255627737046
SARATANI YA TEZI DUME
WhatsApp +255627737046
Uvimbe wa tezi dume (kwa Kiingereza Prostate Enlargement au Benign Prostatic Hyperplasia – BPH) ni hali ambapo tezi dume, ambayo ipo chini ya kibofu cha mkojo kwa wanaume, inaongezeka ukubwa kuliko kawaida.
Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea.
DALILI ZA UVIMBE WA TEZI DUME
↪️Kukojoa mara kwa mara hasa usiku.
↪️Mkojo kutoka kwa shida au kwa nguvu ndogo.
↪️Kuhisi kibofu hakijaisha hata baada ya kukojoa.
↪️Kuanza kukojoa kwa kuchelewa.
↪️Mkojo kukatika katikati.
↪️Wakati mwingine maumivu au hisia ya kuungua wakati wa kukojoa.
MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME(ukiachwa bila matibabu)
↗️Kuzuia kabisa mkojo (urinary retention).
↗️Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI).
↗️Kujeruhi kibofu cha mkojo kutokana na msukumo mkubwa wa mkojo.
↗️Madhara kwa figo – kutokana na shinikizo la mkojo kurudi juu.
↗️Maumivu na usumbufu wa kudumu wakati wa kukojoa.
⏹️Unapogundua dalili hizo, ni muhimu kumwona daktari wa mfumo wa mkojo (urologist) kwa uchunguzi na matibabu mapema ili kuepuka madhara makubwa.
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi
WhatsApp +255627737046
Je umekuwa na changamoto kwenye tendo la ndoa
Uume unasimama legelege ?
WANAUME KUJALI AFYA MAPEMA NI MUHIMU
Wanaume wengi siku hizi wanachagua kujali afya zao mapema ili kuendelea kujisikia vizuri kila siku.
Mwili unapokuwa imara, kujiamini huongezeka na siku zinaenda vizuri zaidi.
Kuna virutubisho vya asili vinavyosaidia ustawi wa mwanaume kwa matumizi ya kila siku, rahisi kutumia na vinafaa kwa wanaojali afya zao.
Tunapatikana Tanzania nzima na tunatoa maelezo kwa wanaohitaji kujua zaidi.
Kwa mawasiliano zaidi
WhatsApp +255627737046
Call +255627737046
K**a unatafta mtoto wa kiume basi sikiliza hii video kwa makini
Hii ni namna gani unaweza kupata mtoto wa k**e
Sababu za kupata watoto wa k**e tu
1. Mchanganyiko wa mbegu za mwanaume (bahati ya kimaumbile)
Mbegu zenye kromosomu X zinaweza kuwa ndizo zimekuwa zikifika na kurutubisha yai mara nyingi zaidi kuliko za Y. Hii ni hali ya kawaida na hutokea kwa bahati tu.
2, Ubora au uimara wa mbegu za Y kuwa mdogo
Wakati mwingine mbegu zenye Y (za kuzaa mtoto wa kiume) huwa dhaifu au hufa mapema kuliko za X, hivyo za X ndizo zinazofanikiwa zaidi.
3,Mazingira ya mwili wa mwanamke
Mazingira ya uke/uzazi (k**a tindikali au muda wa ovulation) yanaweza kuwa rafiki zaidi kwa mbegu za X kuliko za Y, hivyo kuongeza uwezekano wa kupata mtoto wa k**e.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam