Natural AFYA ya Mwili

Natural AFYA ya Mwili

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Natural AFYA ya Mwili, Health/Beauty, Makumbusho, Dar es Salaam.

04/03/2021

KUTOBOKA KWA MENO NI NINI?
Kutoboka kwa meno ni ile hali ya jino au meno kutengeneza tundu ikiwa ni matokeo ya asidi (tindikali) izalishwayo na bakteria baada ya mtu kula vyakula vyenye sukari

Nini Kinasababisha Meno Kutoboka?
Meno kutoboka husababishwa na utando asidi (tindikali) izalishwayo na bakteria walioko kwenye utando mlaini ambayo taratibu huweza kutoboa jino husika kwa kuanzia kwenye enameli na kuzidi kuingia ndani zaidi. Kutoboka kwa jino huharibu jino husika ambalo lisipozibwa mapema huweza kuishia kung’olewa.

Enameli Ni Nini?
Enameli ni gamba gumu linalofunika jino na ndilo sehemu unayoiona kwenye meno ya mtu yeyote yasiyo na tobo gamba hili ndio kitu kigumu zaidi kuliko chochote katika mwili wa mwanadamu na halina mishipa ya fahamu,damu wala halina hisia za maumivu.

Dentini Ni Nini?
Dentini ni gamba la katikati kwenye jino lililoko baada ya enameli, hili ndilo huchukua sehemu kubwa ya jino na kwakua lina na mishipa ya fahamu lina hisia za maumivu. Dentini ndio gamba lililfunika moyo wa jino (pulp).

Je Moyo Wa Jino Ni Nini?(Pulp)
Moyo wa jino ni sehemu laini ya jino ambayo iko katikati kabisa mwa jino na ambyo ina mishipa ya fahamu na mishipa ya damu.
Kwanini Meno Yangu Yanatoboka?
Meno hutoboka wakati sukari iliyopo kwenye chakula inapotumiwa na bakteria walioko kwenye kinywa ambao kisha hutengeneza tindikali (asidi). Kila mara ulapo ama unywapo vitu vilivyo na sukari, tindikali hii hushambulia meno na taratibu huweza kuyatoboa. Mashambulizi haya huweza kuchukua hata saa moja baada ya kuwa umekula vitu vya sukari, kabla ya madini ya chumvi yaliyoko kwenye mate kupambana na hali hiyo. Ikumbukwe kuwa si sukari tu ambayo ni tishio kwa meno yako, hata vyakula vya wanga navyo ni hatari kwani vinaposagwa huweza kutoa sukari ambao nayo huchangia kuozesha meno.
Hivvo basi kutumia vyakula na vinywaji vya sukari kati ya mlo mmoja na mwingine huongeza uwezekano wa kutoboka meno kwani meno husika huwa yanashambaliwa muda wote na yanakosa muda wa kupumzika. Hivyo ni muhimu kujiepusha na matumizi ya vyakula na vinywaji vya sukari kwa siku nzima.

Tuma ujumbe neno AFYA MENO kwenda WhatsApp number 0659446803 au Piga Simu usaidiwe Mapema.

02/03/2021

AMOEBA/AMIBA NI UGONJWA WA TUMBO

▪️-Watu wengi wanaugua magonjwa ya tumbo lakini ni wachache wanaofahamu kuhusu ugonjwa wa amoeba.
▪️-Amoeba/Amiba ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Entamoeba Histolytica ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu.
▪️-Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na ubongo hivyo kupelekea mtu kupata matatizo ya akili pamoja na mgongo.
▪️-Vimelea vinavyoenezwa na bakteria huyu humsababishia mtu kuhara haja ambayo huonekana ina k**asi

NJIA ZA KUPATA
▪️-Kula matunda bila kuosha
▪️-kutokunawa mikono baada ya kutoka chooni
▪️-kula chakula bila kuosha mikono
▪️-kunywa maji yasiyochemshwa

WATU AMBAO WAPO HATARI KUPATA HAYA MARADHI NI
-Wasafiri
-Mashoga
-Wanafunzi
-Wafanya biashara sokoni
-Huanza kupata maradhi pale ambapo unakunywa au kula kitu ambambo -kimechanganyika na hawa bacteria kisha wanaenda katika utumbo mdogo wanazaliana -kuwa wengi baadaye wanashuka katika utumbo mkubwa na kuanza kushambulia -mwili. wakikua huishi katika kinyesi cha binadamu kisha hutolewa kwa njia ya haja kubwa na kuishi katika aridhi kwa muda wa wiki nne.

DALILI ZAKE
Dalili huanza kuonekana ndani ya week 1 hadi 4 tokea mtu amekula mayai ya wadudu hawa.Dalili za ugonjwa huu ni
▪️-Maumivu ya tumbo ambapo tumbo linakua k**a linanyonga na maumivu yanakua hasa sehemu ya kitovu.
▪️-Kuhara choo kilichochanganyikana na vitu vinateleza k**a k**asi na saa nyingine kimechanganyikana na damu

▪️Kuhisi haja na ukienda chooni unapata choo kidogo sana
▪️-Tumbo kujaa Gesi
▪️-kupungua uzito
▪️-homa

Endapo wadudu wameathiri Ini mtu hupata dalili k**a
©-Homa
©-Maumivu ya kichwa
©-Maumivu ya tumbo hasa sehemu ya kulia ya tumbo karibu na kifua.

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU
Usafi wa mazingira, maji na chakula ndio njia kubwa ya kukukinga na ugonjwa huu,
▪️-ikihusisha kunawa mikono kwa maji safi na sabuni unapotoka chooni.Vitu vingine vya kuzingatia ni pamoja na
▪️-Kuosha vizuri matunda na mboga mboga kabla ya kula

SULUHISHO: Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp number 0659446803 au Piga Simu usaidiwe Mapema

23/02/2021

Punguza uzito na kitambi kwa njia salama. Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp namba 0659446803 au piga Sim usaidiwe Mapema.

21/02/2021

Afya kwanza, zingatia afya yako ya Mfumo wa uzazi💥💥💥💥💥💥💥

16/02/2021

TATIZO LA KUVURUGIKA KWA HEDHI YA MWANAMKE NA SULUHISHO LAKE
(0659446803)

Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huanza ghafla au polepole ambapo mwanzo mwanamke alikuwa akipata siku zake katika utaratibu unaoeleweka lakini mara haelewi au hajielewi namna mzunguko wake unavyoenda.

Kuvurugika kwa hedhi ni kitendo cha mwanamke kuanza kuona siku zake bila tarehe au mzunguko maalumu na matokeo yake ni kuwa mwanamke atashindwa kutimiza malengo yake ya kwa kutumia mzunguko huo sababu ni haueleweki.

Unaweza kutokewa ghafla tu unapata hedhi mahali usipotarajia jambo linakufanya ubaki na woga na huelewi nini cha kufanya kwani hukuwa umejiandaa kwa tukio hilo k**a matokeo ya siku zako kutokuwa mzunguko maalumu.
Wakati mwingine unaweza kupitiliza mwezi hata miezi kadhaa bila kuona kabisa siku zako na hata ukipima ujauzito unakutwa huna ujauzito wala dalili huna.

SABABU ZINAZOPELELEA KUVURUGIKA KWA HEDHI
▪️Mabadiliko ya mazingira ambayo hupelekea mfumo wa mwili hubadilika pia hasa mwanamke akitoka sehemu ya joto kwenda mikoa ya baridi au toka mikoa ya baridi kwenda mikoa ya joto.

▪️Msongo wa mawazo (stress)HofuWoga
▪️Mabadiliko ya kisikolojia
▪️Uvimbe kwenye kizazi, kwenye O***y na katika mirija ya Uzazi.
▪️Matatizo kwenye mfumo wa homoni yaani homormone imballance

▪️Matatizo kwenye vifuko vya mayai
-Mimba kuharibika
▪️Maambukizi sugu ya kizazi pia ni mojawapo ya sababu.
Kwani hupekekea kuharibika kwa mbegu kabla hazijasafirishwa kwaajili ya urutubishaji.
▪️Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ya mara kwa mara
▪️Matatizo ya U.T.I na Fangasi ya mda mrefu ambayo hupelekea Kutokwa na uchafu ukeni mara kwa mara na Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

MADHARA YA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO NI PAMOJA NA;

▪️Kushindwa kupata ujauzito,

▪️Maambukizi katika kizazi na kuziba kwa mirija ya uzazi.

SULUHISHO;
Tuma ujumbe neno AFYA MWANAMKE kwenda WhatsApp namba 0659446803 au Piga Simu usaidiwe Mapema

16/02/2021
15/02/2021

JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?

Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress's
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo

Suluhisho sahihi la vidonda vya tumbo Ni virutubisho asilia vyenye uwezo wa kuboresha Mfumo mzima wa tumbo, kuongeza Kinga ya mwili na kuondoa mazingira ya kuzaliana bakteria wabaya.

Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp namba 0659446803 au piga sim usaidiwe Mapema.

15/02/2021

P I D
PELVIC INFLAMMATORY DISEASE
LIJUE TATIZO LA PID

PID:Ni maambukizi katika mfumo wa uzazi hasa katika via vya uzazi
-Ugonjwa huu huathiri zaid sehemu za nyonga

VISABABISHI VYA PID
-utoaji mimba
-Ngono zembe
-Wakati wa kujifungua
-Kutumia dawa za kuzuia mimba
-U.T.I sugu
-Magonjwa ya zinaa k**a kaswnde,gonorea n.k
-Kuweka vitu ukeni k**a va**na danches

DALILI ZA PID
-kutokwa damu katikati ya hedhi
-Maumivu makali chini ya kitovu
-Kupata maumivu makali wakat wa tendo
-Kutokwa damu wakati wa tendo
-Kutokwa na damu bila mpangilio maalum wakat wa hedhi
-Kupata homa mara kwa mara
-Maumivu makali wakati wa kukojoa
-Maumivu ya kiuno na mgongo
-Kichefu chefu cha mara kwa mara

MADHARA YA PID
-Kuziba kwa mirija ya uzazi
-Kuto shika mimba
-Mimba kutungwa nje ya mji wa uzazi(Ecto pregnancy)
-Uvimbe katka kizazi

JIBU LA TATIZO LAKO LIPO

Tuma ujumbe Neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0659446803 au Piga sim usaidiwe Mapema.

08/02/2021

Je! Ulikua unalijua hili??

29/01/2021

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda Whatsapp namba 0659446803 au piga Sim usaidiwe mapema

19/06/2020

Wanahitajika Mawakala kumi kutoka mikoa tofauti tofauti Tanzania, Ili upewe mafundisho ya biashara online, uweze kuendesha biashara kupitia mitandao ya kijamii Kwa mtaji mdogo sana.

13/02/2020

UJUE VIZURI MSULI UNAOINUA NA KUIMARISHA UUME

Pelvic muscle ni msuli unaoinua uume .Wakati uume unasimama ndiyo unashikilia ni k**a mzizi wa uume.Pia huwezesha kubana mkojo au kakata mkojo .Vile vile wakati wa kujamiana huwezesha mwanaume kujicontrol asitoe mbegu mapema .Huu msuli ukilegea mwanaume anashindwa kujitawala wakati wa kujamiana ,akijaribu kubana asimwage mbegu anajikuta anashindwa zinaponyoka sekunde chache tu!

Mambo Yanayolegeza msuli huu ni ;
1)Uzito mkubwa.
2)Punyeto yani kujichua Sana
3)Kivimbiwa tumbo/Tumbo kujaa gesi
4)Bawasili.
5)Matatizo Ya Mzunguko wa Damu .
6)Kukohoa Sana/kwa muda mrefu.

Suluhisho: Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0659446803 au piga simu usaidiwe mapema.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam