Extra Beauty Salon

Extra Beauty Salon

Share

TUNATOA HUDUMA ZOTE ZA SALON �KUTENGENEZA WIGS
TREATMENT WIGS
BUTTEFRY� LOCS
TUNAPAMBA MAHARUSI
EXTENSION STYLE
NATURAL HAIR
KNOTLESS

Photos from Extra Beauty Salon's post 04/06/2026

Umechoka Kuvaa wigs ,Kusuka na kuonekana rafu…

Na unahitaji kuwa msafi na class wakati wote wa majukumu ya kikazi na familia …

Reflesh kwa kusuka hii style ya Tiedknots itaondoa uchovu wote na kuku fanya uwe msafi muda wote bila kujichosha…

100,000 tsh tu ukiwa na nywele yako

2-3 Hrs utakuwa umemaliza kusuka

Call/ Whatssap 0656319365

04/06/2026

Muda wako ni thamani kuliko kitu kingine ….

Ukiwa na maisha yenye majukumu Mengi tumia masaa 2 upate huu muonekano wa baraka lakini utakao kupa ile Class & Smart ✨

Tunafanya extension kwa 70,000 tsh ukiwa na nywele yako

Photos from Extra Beauty Salon's post 02/06/2026

Kwa wanawake wenye ratiba ya kazı na biashara na maisha ya kıla sıku ……

Natural loc ni Nywele nzuri Laini ambayo haitakibugudhi na hata kubana kwake ni lahisi tazama pic 3,5,8 hii nywele inafaa wanawake wote waliochagua kuwa smart na wenye ratiba …..

Tunahakikisha unatoka ukiwa tayari kuendlea bila kuchelewa ..

450,000 tsh tu.

Miezi 6 inadumu na unaweza Repea na kufanya treatment

June bookings available
Call/ Whatssap 0656319365

01/06/2026

Hatufanyi Nywele tu …

Tunadhibiti standard… Ndio mana ipo kwa ajili ya

KIWANGO. KASI. KUDUMU .

Nafasi za mwezi huu zimefunguliwa …

Tunachukua bookings kıla sıki ili kudumisha standard….

25/05/2026

Una nywele Laini na chache , Nywele ambazo ni nyepesi na fupi yani zile nywele ambazo umezikatia tamaa kabisa…..

K**a jibu ni Ndio ✅ Basi Tatizo lako limeisha karibu ofisini kwetu kwa USHAURI zaidi na tukupe nywele ambayo itatatua Changamoto yako ….call/ Whatssap 0656319365

19/05/2026

Vipi kuhusu uzito na mzigo pale ambao utakuwa unakuchosha na kukuondolea Kujiamini …..

Basi style hii ya Caribbean itamaliza kabisa tatizo lako … hutosikia uzito kichwani wala kuwa na mzigo zaidi utakuwa k**a hujasuka…..

Ila buana 🤣hii Caribbean hata sisi huwa inatushtua yani hatuizoei 🤣🤣🤣🙌🙌

19/05/2026

Hakikisha unapaka mafuta sahihi kwenye hiyo nywele yako uliyosuka

Unaweza haribu nywele yako kwa kutokupaka mafuta sahihi kıla Nywele ina mafuta spesho ya kupaka na sio kıla mafuta yanfaa kwa nywele aina zote …..

Karibuni kwa USHAURI wa buree kabisa

Nywele gani usuke …

Nywele gani ya kukuza nywele zako …

Nywele ipi usuke kulingana na kazı yako…

Nywele ipi usuke inayofaa kwenye nywele zako ..

Urefu upi na size ipi inayokufaa kulingana na Vipimo vyako …

Rangi ipi itayokupendeza…

Mafuta yapı yatayokufaa kw ajili ya nywele zako asili na Hiyo extension uliyosuka….

Karibuni sana Ushauri huu ni buree kıla sıku ya ijumaa muda kuanzia Saa 3 asbh mpka 8:00 usiku fika ofisini uonane moja kwa moja na Director we njoo tu hata k**a hautasuka

Call/ Whatssap 0656319365

15/05/2026

Si unaona huo uchafu ulioganda kwenye hiyo extension…. Tazama hii video mpka mwisho 👆

Sasa Chukua hizo extension zako na wig zako ulizoziweka ndani zikiwa chafu zilete tuzipe mbolea uzihifadhi zikiwa safi usiharibu wigs / extension zako ulizonunua kwa gharama …

Na usitupe tena hizo extension ulizosuka na hizo wigs ulizozitelkeza huko ndani kabla hujanua wigs/ extension mpya toa kwanza za huko ndani tuletee tuzirudishe kwenye ulaya wake …..

50,000 tsh tu nywele yako inarudi mpya

Call/ Whatssap 0656319365

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Tabata Segerea
Dar Es Salaam