Dawa Lishe Mbadala
Dawa lishe mbadala ni dawa za vitimilifu matunda na mitishamba kwa kutibu magonjwa mbalimbali. DUKA ASILIA LA DAWA MANZESE
WASILIANA KWA no.0672277419
13/01/2019
Kushindwa kusimamisha uume/Kuendelea na tendo baada ya kufika kileleni ni tatizo kubwa/mapungufu!Soma hapa kujua zaidi;-
Asilimia kubwa sana kwa sasa Tanzania na nje ya Tanzania wanaume wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo hili la kushindwa kuendelea na tendo la ndoa mara baada ya kumaliza laundi ya kwanza ingawa hata wengine laundi ya kwanza hutumia sekunde chache tu. Kuludia tendo baada ya kufika kileleni mara ya kwanza kwa wanaume nitatizo kwa lika zote yaani vijana kwa wakubwa kutokana na sababu mbali mbali
Siyo lazima eti mwanaume unapomaliza laundi ya kwanza hapo hapo uendelee unaweza kutumia dakika 5 mpaka 15 baada ya hapo ukawa tiali kwa kuendelea lakini ukienda zaidi ya dakika 15 au nusu saa na bado ham ya tendo au uume haujasimama hapo kuna shida na unatakiwa uchukue tahadhari mwishoe utaharibu ndoa au mahusiano yako pindi utakapozidiwa kete na watu wengine kwani wanawake wengi hupenda kuendelea mara baada ya kumaliza laundi ya kwanza kabla hawajapo.
Asilimia kubwa ya vijana wengi wamekumbana na kadhia hii kutokana na sababu nyingi k**a kuangalia video za ngono mara kwa mara, kupiga punyeto (masterbration), kula vyakula ambavyo haviwasaidii kuimalisha mfumo wa uzazi na stress. Hata asilimia chache wanaofanikiwa kuendelea uume husimama kwa ulegevu ambapo hujikuta wakiweza style moja wakibadilishiwa hushindwa kuendelea na pia hutumia dakika chache kumaliza laundi nyingine na wengine kushindwa kumaliza uume unalala gafla. Wakat mwingine na maumbile hupungua ukubwa wake awali huwa na maumbile makubwa lakin kadri umri unavyoenda uume hupungua ukubwa.
Kwa wanaume wenye miaka kuanzia 40+ tatizo hili limekuwa likitokea gafla au kuanza kidogo kidogo na baadae kuwa tatizo kubwa sana na wakat mwingine kupelekea migogoro mingi kwenye ndoa baada ya mwanamke kuzan mwanaume wake anatembea na wanawake wengine. Mfano siku moja nilipokea sim kutoka kwa mama moja akiomba ushauri akiniambia hivi "mme wangu wakati tunaoana alikuwa na uwezo mkubwa aliweza kwenda hata mara 3 mpaka 4 ndan ya masaa 2 mpaka 3 lakin siku hizi simuelewe sijui kanichoka yaani laundi moja tu basi na hata hio ni sekunde nashindwa kufaham shida ni nini au anawanawake wengine nateseka kwenye ndoa hii sina amani" huyu alisubutu hata kumtafutia mwenza wake suluhisho, je ni wangapi wako kimya au wamechukua hatu zingine? Kwa umri huu unatakiwa kuchukua tahadhali kubwa sana kwani siyo dalili nzuri hata kidogo usishangae kupata matatizo ya tezi dume.
Wanaume wengine tatizo hili limefika mbali mno na kusababisha maumivu wakat wa tendo landoa sehem mbali mbali za mwili k**a mgongo, nyonga, korodani, uume na hata maumivu ya tumbo. Matatizo haya kwa asilimia kubwa ingawa siyo wote huwakumba ambao waliwahi wakijihusisha na punyeto, kuangalia video za ngono na hata kula vyakula ambavyo siyo salama (JANK FOOD)
Ingawa siyo hayo ambayo husababisha matatizo hayo tu kuna sababu nyingine k**a magonjwa mbali mbali k**a presha, kisukari na hata ngiri. Na kunatatizo limefumbiwa macho ambalo ndo chanzo kikubwa sana kwa sasa lehem kwenye mishipa ya damu (cholesterol) yaani kuganda kwa mafuta kwenye mishipa ya damu ambayo husababisha mzunguko wa damu kuwa hafifu na stress.
NINI CHA KUFANYA
K**a unachangamoto hii njo tuzungumze kiundani ili nikusaidie kulingana na shida ilivyo. Mm situmii dawa natumia lishe (virutubisho) ambavyo vinatumika ndani ya nchi zaidi ya 160 dunian na kudhibitishwa na maamlaka zote zinazohusika kila nchi na Tanzania zimedhibitishwa na TFDA na toka zimeanza kutumika dunian zinamiaka zaid ya 40 zikiwa zinatumika sehem mbali mbali dunian. Nina uzoefu wa hili kwa miaka 3 sasa nikiwasaidia watu kwenye eneo hili.
Baadhi ya lishe ni
+
plus
sea
pollen
Kwa mawasilianao
piga, sms, whatAssp
+255672277419
13/01/2019
UNA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NJOO Dawa Lishe Mbadala
MUUZA MATUNDA
Episode 01
Age 18+
Niasubui na mapema madenge akiingia sokon kilombero kwaajil yakuchukua mzigo wake (MATUNDA) madenge nimuuzaj wa matunda katika genge lake lililopo maeneo ya njiro PPF ,aliingia sokon moja kwa moja akaenda kwa mteja wake aliyezoea kuchukua mzigo kwake .
""Shikamoo maashaa"???
"" marahabaa mwananguu zatoka Jana""!!.
"" salama tu mama sijajua wewe"!!
"" nimzima waafyaa mwabangu""
"" sawa mama vip Leo kunamzigo mpya"??.
"" mwananguu Leo sijabaatika kupata mzigo mpyaa ngoja nikupeleke kwa rafik yangu pale ""
Waliongozana hadi kwa rafik yake maashaa aliyekuwa bizee kupanga mizigo yake iliyokuwa imeshushwa mda huo ,,.
"" shogaa nimekuletea mteja wangu naomba umchagulie matunda mazur na umuongezee.
"" shogaa naomba tu unisaidie kumuuzia mana nahii mizigo yakupangaa hapa,,
"" shikamoo Dada "??
"" marahabaa mwananguu karibu""
"" mmmh Dada unaweza kuwa namtoto mkubwa k**a Mimi"??
"" hahahaha we mtoto unaniona mi mtoto mwenzakoee.
Kiukwel rafik yake maashaa alikua namuonekano wakisichana sana huwez amin k**a anaweza kuwa hata kaolewa.
"" madenge huyu nisawa na mamako maisha to yamemnyookea ndomana anaonekana msichana""!!
"" hata siamin Mimi ,niuzie mzigo niwai wateja wangu,,,
"" utaamin tu ngoja siku utawakuta watoto wake hapa,,
Maashaa alianza kumchagulia Sam matunda (Ndizi,matikiti,mananasi,machungwa,maepo,nk)alimchagulia matunda yakutosha .
"" shingap wanidan "??
"" ni sh elfu 37,500 tu mwananguu ukiweka nalile den langu inakuwa Arubain,,,
"" sawa mamangu ,,.
Madenge alitoa pesa akamkabizi nakuyapanga matunda yake vizur kwenye tenga .
"" shogaa Leo umenifungulia biashara kwaela kubwa jion lazima nikuchomee nyama,,,
"" shukur to sijachukua mzigo Leo huyu nimteja wangu wakilasiku,,
"" kwel unawateja wazur hongera,,
"" usijal shogaa saiv atakuwa mteja wetu ilimrad to umuuzie vizur ,,,
"" shogaa sitokuangusha niamin ,,,
"" hayaa madenge huyu nirafik yangu ukinikosa uchukue mzigo kwake ,,
"" sawa mama nimekuelewa"
Itaendelea
MUUZA MATUNDA
Episode 02
Age 18+
Madenge aliwaita vijana wawili waliokuwa wakiuza Marlboro ili wamsaidie kubeba tenga lake la matunda hadi kwenye daladala .
"" wadogo zangu nataka mnisaidie kubeba huu mzigo wangu hadi kwenye daladala nishingap"???
"" kaka tutoe na buku mbili tu ""
"" weeee mnataka kutajirikia kwangu ama,,,
"" hapana kaka angalia mzigo wenyewe mzito huu ,,,
"" basi acheni niwaite wengine,,,.
"" kaka usikasirike we sema utatupa shingap,,
"" nawapa elfu namiatano ,,,
"" sawa tutapeleka vip uchukui Marlboro,,
"" yaah nachukua mnauzaje,,,
"" mimi ninayo kumi nipe to buku mbili,,
"" kaka namimi NAyo mitano nipe buku,,
"" sawa iwekeni ndan yailo tenga twendeni,,
Madege aliwaongoza hadi kwenye daladala wakaweka tenga chini,,madenge aliwapa elfu tano wakamshukuru sana.
"" kaka tunashukuru sana ,,,
"" msije mkazulumiana we umpe mwenzako elfu mbili sawa ,,,
"" sawa kaka hii hapa nampa mbele yako ,,
"" hapo sawa mpendane ivyoivyo ila hamjaniambia majina yenu ,,
"" mi naitwa Kevy nahuyu ni Alex ,,
"" haya kilasiku asubui huwa nakuja kuchukua mzigo sijui nitakuwa nawaoatajee,,
"" utatukuta pale getin tutakuwa tunakungoja hapo asubui,,,
"" sawa msinidanyanye,,,
Madenge alimwambia konda amuwekee mzigo wake kwenye siti atailipia ,,nae akaelekea kwenye duka moja linalouza bizaa mbalimbali .Alinunua Toothpick,vikontena vyakuwawekea wateja matunda na Tishu ,,alipomaliza manunuz alirud kwenye daladala nakukuta karibu ijae aliingia nakukaa karibu na mzigo wake ,,nusu saa tu madenge alikua kashafika kituon anaposhukia .alishuka na mfuko wake wa vikontena na Toothpick konda nae akamshushia tenga lake la matunda ,,alitanguliza vile vitu vyepes kwanza kwavile genge lake halikua mbali na barabara .alipofika alimkuta mteja wake anaechukuaga matunda kilasiku asubui ,
"" mambo madenge,,,,
"" pouwa to Justina Leo nimekucheleweshaa nisameehe,,,
"" yan nimekungoja kidogo tu ningerud ,,,
"" samahan nilipitia dukan kununua mifuko na vikontena,,
"" oooh nilijua umekutana na wifi yangu uko ,,
"" hahahahaa acha yako kwanza twende ukanisaidie mziko pale ,,,
Waliongozana had kwenye tenga wakalibeba hadi gengen ,
"" madenge naomba nihudumie matunda maramoja nimechelewa sana boss atakuwa kachukia,,,
"" OK nikupe nini Leo ,,,.
"" naomba Tango moja na machungwa ya elfu chapu,,
Madenge alimuhudumia justina akaondoka ,madenge alianza kuyaosha matunda nakuyapanga kwenye seflu za genge .alipomaliza kupanga vizur alichukua matunda mchanganyiko akayachoka maganda vizur nakuyapaki kwenye vikontena aliyapangilia vizur nakuyafanya yamvutie kila mpitanjia ,,alipomaliza alivifunika vikontena vyote nakuviweka kwenye kifriza kile chakuifazia barafu zisiyeyuke ,,alianza usafi kuzunguka genge lake lote aliporizishwa namazingira Yale kwausafi alifungulia mkulima wake aliokuwa kauunganishia umeme wa sola aliyokuwa kainunua mnadan ,,alianza kus**iliza mangoma ya Bongofleva .akiwa anaendelea kuburudika alishtushwa na milio ya honi iliyopigwa mfululizo ,,aliamka nakulielekea gari .kioo cha gari kilishushwa alikua akiendesha ndada mdogo kias waweza mlinganisha na madenge au mdogo kwake .
"" samahan sana mrembo mkulima wangu umenisahulisha kazi yangu ,,,
"" hahaha yan wewe umwepes kujishusha OK nimekusamehee naomba nikatie matunda uniwekee kwenye kimfuko naharaka,,
"" nikuchanganyie aina ngap ,,,
"" we ndo mzoefu wa hii kasi utajua ukichanganyajee yataoendeza kula ,,,
"" OK yashingap ,,,
"" kwan wauzajee ,,
"" kwanzia elfumoja miatano nakwendelea,,,
"" niwekee basi ya elfu moja miatano ,,
Madenge aliingia ndan ya genge nakutoka nakikontena kimoja kilichoambatana na tisho pamoja na Toothpick kwajuu akamkubizi yule Dada.
"" mrembo matunda yako haya hapaa ,,
"" haaaa umesha kata Mara hii,,
"" hapana huwa naandaa mapema ili wateja wangu wasipoteze mdaa hapa wawai makazin ,,
"" hongera kwaubunifuu wako nimeupendaa kakangu,,,
"" sante mrembo nami nimefrai sana kufunguliwa biashara yangu namrembo k**a wewe,,
"" usiniite mrembo bwana mi wajawaida to,,
"" usijifananishe nawanuka jasho k**a Mimi we nimrembo ,,
"" nashukuru chukua kata pesa yako .
Yule Dada alitoa noti ya elfu kumi nakumpa madenge ,,madenge aliingia ndan ya genge lake kumchukulia chenchi lakin kabla hajaingia yule Dada alikanyaga mafuta huuyooo akaondoka ,madenge alishangaa kwann yule Dada kaondoka nawakati hamjui wala hajawai kumuona wala kuliona gari lake likipita maeneo Yale ,,bilashaka huyu atakuwa mgeni sa iweje awache chenchi kubwa hivi ,,madenge alijiuliza bila majibu alijilaza kwenye kisofa alichoundaunda mwenyewe nakuendelea kula magoma yake ,,ilipofika join madenge alikua kauza matunda yoote nakubakiwa na vikontena viwili to akiwa anajiandaa kufunga genge lake aliingia gari yayule Dada waasubui nakupaki pale pembezon mwa kibanda ,,madenge aliifwata nakusimama dirishani ,,yuledada alishuha kioo .
"" mambo kaka,"!!!
"" poa mrembo zakunikimbia asubui,,,
"" hahahaa am sorry nilikua naharaka kakangu,,
"" haya bwana chukua chenchi yako mana kidogo niijumlishie kwenye hesabu zangu,,,
"" dooh wapenda pesa wewe ,,,
"" ndo kitu kimenitoa kijijin kwetu nakunileta hapa,,
"" haya bwana asante kwakuwa muaminifuu,,
"" usijal dadangu siwez kula pesa nisiyoigaramikia,,,
"" sawa vip mbona unafunga mapema hivi huon utawakosesha huduma wateja wanaochelewa kutoka makazin,,
""" huwa nafunga sa mbili ila Leo nimewai kumaliza mzigo ndomana nawai kufunga,,,
"" mamaaa inamana sipati matunda,,,
"" utapata kuna vikontena viwili tutagawana kimoja wewe na kimoja Mimi,,
"" waaooh nashukuru mana nilikua sina wazo lakupika Leo ,,
Madenge aliingia ndan ya genge nakutoka na vikontena viwili alifunga genge lake nakuelekea lilipo gari .
"" mrembo matunda yako haya ,,
"" sante chukua pesa yako ,,,
"" hapana nimekupa hayo k**a zawadi yakukukaribisha kwenye genge langu,,
"" nami nakupa hii pesa k**a hongera yakuwa mbuni mzur,,,
"" mmmh unaniigaae OK nashukuru,,
"" hivi waelekea wap nikusogeze,,
"" naushi nyuma ya PPF kule uswahilin,,
"" panda nikusogeze basi
Madenge alijiuliza apande gari au atwange mguu k**a kawaida yakee
Jee?? Madenge ataingia kwenye gari tukutane keshoo Leo nimewarefushia kidogo mana mnalalamiiika ,,nisaidien basi kusambazaa siyo kujilia wenyewe pia kwa mastory yakila
13/01/2019
Jee, Kisukari Kinasababisha Ganzi, Viungo Kuwaka Moto Na Kukatwa Vidole Au Mguu? Ujue Ugonjwa Wa Diabetic Neuropathy
Bila shaka umeshamwona mtu aliyekatwa vidole au mguu kwa sababu ya kisukari. Katika mada yetu ya leo tutalijadili tatizo linalotokana na kisukari ambalo husababisha watu kukatwa viungo na matatizo mengine mengi k**a viungo kufa ganzi au kuwaka moto. Tatizo hili kiutaalamu huitwa diabetic neuropathy.
Diabetic neuropathy ni namna ya uharibifu wa neva unaotokana na mtu kuwa na kisukari. Uwepo wa sukari (glucose) kwa wingi ndani ya damu unaweza kuharibu neva za sehemu mbalimbali za mwili wako. Lakini mara nyingi diabetic neuropathy huharibu neva za kwenye nyayo na miguu.
Kutokana na neva ambazo zimeharibiwa, dalili za diabetic neuropaty zinaweza kuwa ni maumivu na kufa ganzi kwenye miguu na nyayo, matatizo ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, mkondo wa mkojo (urinary tract,) mishipa ya damu na moyo. Watu wengine hupata dalili ndogo lakini kwa wengine huweza kuwaletea maumivu makali au kuwafanya washindwe kufanya kazi.
Diabetic neuropathy ni tatizo la kawaida linalojitokeza baada a mtu kuwa na kisukari. Unaweza kuzuia diabetic neuropathy au kupunguza makali yake kwa kudhibiti kiwango chako cha sukari na kufuata mtindo wa kimaisha unaoilinda afya yako.
Dalili Za Diabetic Neuropathy
Kuna aina kuu nne za diabetic neuropathy. Unaweza ukatatizwa na aina moja au na zaidi ya aina moja ya neuropathy. Dalili zitategemea aina ya neuropathy na ni neva zipi zilizoathirika. K**a kawaida dalili huanza taratibu na unawez usigundue lo lote hadi neva zinafikia kuharibika kwa kiwango kikubwa.
Peripheral Neuropathy
Hii ni aina ya diabetic neuropathy inayoonekana zaidi. Huanza kwa kuathiri nyayo na miguu, kisha mikono na viganja. Dalili zake huonekana zaidi usiku, nazo zinaweza kuwa:
Ganzi na kupungua kwa us**ivu wa maumivu au mabadiliko ya joto Kuhisi misisimko au viungo kuwaka moto Maumivu makali au kukak**aa misuli Kuzidi kwa us**ivu wa kugusa – kwa wengine hata uzito wa shuka huwaumiza Udhaifu wa misuli Kupoteza ushiriakiano wa viungo Matatizo makubwa ya miguu, vidonda, maumivu ya maungio ya mifupa na mifupa
Autonomic Neuropathy
Autonomic nervous system huongoza shughuli za moyo, kibofu cha mkojo, tumbo, utumbo, viungo vya uzazi na macho. Kisukari huweza kuathiri neva katika eneo lo lote katika haya, na kusababisha:
Hali ya kushindwa kutambua kuwa kiwango cha sukari kimeshuka (hypoglycemia unawareness)
Matatizo ya kibofu cha mkojo, pamoja na maambukizi kwenye njia ya mkojo au kushindwa kutoa au kuumaliza mkojo kutoka kwenye kibofu (urinary retention) au kushindwa kuuzuia mkojo (incontinence)
09/01/2019
Prannah42_Forever
wesday january 9 2019
HATUA ZA KUFUATA WAKATI WA KUFANYA MAPENZI !.
WAPENZI na wanandoa wengi hivi leo wanapoingia kitandani tayari kwa kuianza safari ya kupeana haki zao za msingi hushindwa kufurahia tendo na hasa hali hii hujitokezwa kwa wanawake kwani mwanaume huwa na haraka iliyopitiliza!
Mwanaume atamkumbatia na kumbusu mwanamke kwa muda mfupi na kabla hata hamasa ya mapenzi ya mwanamke ahaijashika hatama, atamwingilia na ndani ya dakika sekunde ama dakika zisizozidi 3, mwanamme hufika mshindo.
Katika hali ya kus**itisha baada ya mwanaume kujitosheleza hujongea pembeni bila kujali mwenza wake hajafika mwisho wa safari hali inayosababisha mwanamke kupoteza hamu ya tendo endapo endapo tabia hiyo ya mwanaume itaendelea.
Kunahatua nne muhimu ambazo wapendanao wakizishika na kuzitekeleza ipasavyo basi watafanikiwa kujitosheleza kila wanapokutana na kwa hakika watakuwa miongoni mwa watu wachache wanaofurahia faragha kila wakutanapo!
Hatua ya kwanza ni kusameheana:
Wanandoa wengi hushindwa kupata raha ya mlo wa usiku kutokana na kushindwa kumaliza tofauti zao kabla ya giza halijaingia, mgogoro wowote baina ya wapendanao ni lazima umalizwe kabla ya kukutana kwa ajili ya mlo wa usiku. Hii husaidia kuondoa kinyongo miongoni mwao na kuwafanya mioyo yao igubikwe na upendo ambao humfanya ahamasike kunako majambo!
Hivyo basi endapo unataka kufurahia mambo fulani hakikisha unamaliza tofauti, ombaneni msamaha na samehaneni kwa dhati kwani kwa kufanya hivyo kutawasaidia muwapo faragha kufurahia kile mnachokifanya kwa kuwa mtakuwa mmemalzia tofauti zenu.
Hatua ya pili ni mchezo ya mahaba:
Mashamsham hunoga na kupamba moto kiasi cha kumfanya yoyote aliye kwenye uwanya wa raha kusahau kwa muda shida na matatizo yanayomuandama pale anapokutana an mtu anayeweza kumpagawisha kwa michezo ya mahaba kabla ya kuianza safari yenyewe!
Michezo hii husaidia kuamzsha hamasa na muhemko baina ya wapendanao, hivyo ili wapendanao waweze kufika mwisho wa safari pamoja na kila mmoja alidhike na udereva wa mwenzake uliowafikisha safari yao lazima watumiye muda wakutosha katika michozo yakimahaba!
Hata hivyo kila mmoja wenu anapaswa kuujua mwili wa mwenza wake. Mwili wa mwanaume ni rahisi kuuelewa kwani una sehemu moja kuu ambayo ni k**a kiini cha muhemko na msisimko wa mapenzi. Sehemu hiyo ni uume. Hivyo endapo mwanamke yoyote atatumia muda wakutosha kuhangaika na sehemu hiyo basi mambo huwa safi kwa upande wa mwanaume.
Mwili wa mwanamke una shughuli pevu kubaini sehemu zenye ambazo huamsha hisia za mapenzi na ndiyo maana wanaume wengi hushindwa kuwafikisha mwisho wa safari wapenzi wao. Kiini cha hisia za mapenzi kwa mwanamke ziko kwenye kipegere G (namaanisha critoris wadu, haya ni mambo ya infenizimu tu). Kipegere G kipo nje ya uke ambapo wataalamu hudai kuwa kipo sentimita 4 kutioka ukeni.
Wanaume wengi wanaelewa hili lakini walio wengi wamegubikwa na imani potofu kuwa, kwa kuingiza kidole ukeni watafanikiwa kuinua hamasa ya za wenza wao kutaka kuanzisha safari jambo ambalo si kweli, kwani wanawake wengi hujis**ia vibaya kuingizwa vidole ukeni kutokana na ukweli kwamba kucha zinabeba uchafu na bakteria wengi ambao huwasababishia kupata fangasi!
Hivyo basi, endapo wewe ni miongoni mwa wanaume waliokuwa wakiaminin dhana hii nataka nikujulishe kuwa, ukitaka kumpa msisimko uliotukuka mwenza wako usiangaike kuingiza kidole chote ukeni badala yake hakikisha unatumia kidole chako (hakikisha si kikavu) kucheza na sehemu ya nje ya uke ambapo utakutana na kipegere G na lips za ndani. Hata hivyo usisahamu kuhangaika na uke pia lakini hasa shughulika na sehemu za nje!
MUHIMU KUJUA: Mwanaume huahamasika kwa sekunde kadhaa lakini mwanamke humchukua takriban dakika 20 kuweza kuamsha hisia zake na kumfanya awe tayari kwa kuianza safari! Hivyo, mwanaume mwenye busara yaani asiye mbinafsi huakikisha anatumia muda wakutosha kumuuanda mwenza wake kabla ya kuanza safari! Hivyo mwanaume anapaswa kunza michezo ya mahaba kwa kuzingatia hatua tatu muhimu ambazo ni:-
Sehemu ya juu:
Wanume wengi kutokana ana haraka zao hukimbilia sehemu ya chini ya mwili wa mwanamke yaani kunako na kuanza ama kupapasa kwa kidole chake ama ulimi na baada ya sekunde chache huanza kumwingilia mwanamke, lakini mwanaume mwenye kumjali ampendaye na mwenye nia hasa yakumfikisha kwenye kilele cha raha huwa hana papara huhakikisha anamhagi na kumpiga mabusu sehemu ya juu ya mwili wake yaani mdomoni, shingoni, kwenye matiti, chuchu etc.
Hata hivyo, si wanawake wote wako sawa, kuna amabo hufurahia kutomaswa maziwa yao huku wengine wakichukizwa kutokana na sababu mbalimbali kwa mfano k**a mwanaume ni mtu wamitungi ama mvuta sigara mara nyingi kinywa chake hutoa harufu mbaya hivyo huwa vigumu kwa mwanamke asiyependezewa na matumizi ya vitu hivyo kufurahia kupigwa denda!
Kimsingi mwanamke k**a kweli unampenda mpenzi wako na unataka ufurahie majambozi anayokupa hakikisha unakuwa muwazi kwa kuanza na kumuonyesha sehemu zinazokupa hamasa ya kufanya mapenzi, si lazima ushike mkono wake na kuupeleka kunako hiyo sehemu!
Hakikisha pindi mwanaume anapokugusa sehemu inayokusisimua unamwonyesha wazi kuwa hapo unas**ia utamu yaani k**a miguno ilikuwa haitoki hakikisha inaanza toka, k**a pumzi zilikuwa zatoka kawaida basi zianze toka isivyo kawaida, nachomaanisha hapa ni kuwa unapaswa kuonyesha umepagawa kwa raha unayopata basi kwa mwanaume aliye kamili hatasita kuishughulikia kikamilifu sehemu hiyo!
Sehemu ya chini:
Baada ya kumtomasa kiasi cha kutosha sehemu ya juu ya mwanamke, mwanamke huhitaji kutomaswa sehemu ya chini na hapa ndipo ambapo unaweza kuhisi anataka kuingilia mana huanza ama kujishikasiika sehemu za chini ama hukupeleka maeneo yake nyeti upate kumwingilia kwani huwa amehamasika na ilim kujua k**a amaehamasika basi uke wake huwa unamajimaji ambayo hutoka kwa ajili ya kulainisha nyia ya kupita bwanamkubwa yaani uume.
Hata hivyo, ili mchezo uwe mtamu mwanaume anapaswa kuhakikisha anatumia dakika kadhaa kuuchezea uke na kufuatia kinena. Hapa ieleweke kuwa kuna wanawake baada ya mizuka kuwapanda hutokwa na majimaji mengi sehemu zao za siri hivyo endapo mwanaume ukikutana na hali hiyo usishutuke jua mzuka imempanda mpenzi wako tu na si vinginevyo!
Katika kuchezea sehemu zake za siri mwanaume anapaswa kujua kuwa kuna wanake wanapenda chezewa kinena pekee na wengine hupenda mwanaume atumie ulimi ama akidole chake (kisiwe kikavu) kuingiza ukeni huku kidole kingine kikitomasa kinena hali inayomsisimua mwanamke. Hivyo mwanamke anapaswa kuwa muwazi nini anapenda kufanyiwa!
Katika kipindi hiki mwanamke naye anatakiwa kutoa ushirikianao wa miguno na viuno vya hapa na pale kuashiria anapata raha na asisahau mptomasa mwanaume, lakini ikumbukwe kuwa mwanaume ana sehemu kuu moja inayomtia wazimu ambayo ni uume wake hivyo ni rahisi kwa mwanaume kufika mshindo hata kabla ya tendon a hapo ndipo tatizo huibuka kwani wengine baada ya tendo moja huwa hawana uwezo wakurudia mzunguko wa pili!
Nini mwanaume anapashwa kufanya sasa ili kuhakikisha hamalizi mzungoko haraka? Anapaswa kuwa muwazi kwa mwenza wake endapo mwenza wake atakuwa anamshika sehemu ambayo inamnyegesha sana na kumfanya ajis**ie kumaliza biashara basi amueleze wazi kuwa aiache sehemu hiyo kwa muda ili uweze kudumu kunako majambozi!!
Hata siku moja msifanye mahaba kimya kimya! Simaanishi mpige mikelele hadi iwe kero kwa majirani na nk, elezenaneni kwa sauti za mahaba nini kila mmoja wenu anapenda mwenzi wake afanyiwe na mwenza wake.
Hatua ya tatu:
Kuingiliana kimwili
Mwanaume anapaswa kuahkikisha amasa za mapenzi za mwanamke zimeamka kabla ya kumwingilia. Wanaume wengi kutokana na papara hujikuta wanawaingilia wenza wao hata kabla hawajahamasika na hatimaye kumaliza tendo pasipo kuwafikisha kileleni na hili ni tatizo la kawaida kwa wapenzi wanaokutana kwa mara ya kwanza na has amwanamke akiwa na zile nataka sitaki yani atasumbuana na mwanaume weeeee na hatimaye hadi dume lifanikiwe kumwingilia kimwili inakuwa k**a mbakano tu!
Hivyo basi, mwanaume unapaswa kujua kweli mpenzi wako yuko tayari kwa tendo la ndoa na utajua kwa kungalia kwanza mashavu ya uke wake k**a yamekak**aa na kuongezeka ukubwa huku kinembe chake kikionyesha kukaza na mwanamke akifikia hali hii basi mwanaume huweza kuingiza uuume wake ambao umesimama kiurahisi kwani kuta za uke zitakuwa na ute unaoteleza huku uume nao ukiwa na ute unaotoka sehemu ya mbele kabisa hali inayowafanya wapendanao kufurahia tendo kwani hawataumizana !.
Una tatizo la nguvu za kiume au za k**e? Soma hapa
05/01/2019
DAWA ASILI 9 ZINAZOTIBU TATIZO LA UCHAFU NA HARUFU MBAYA UKENI
Kwa kawaida mwanamke hutokwa na majimaji mepesi (vaginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano.
Inapotokea anatokwa na majimaji yenye ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali na muwasho, hiyo huwa ni ishara ya ugonjwa uitwao wa kutokwa uchafu ukeni ujulikanao kwa kitaalamu k**a ‘Vaginosis’.
Mwanamke mwenye tatizo hili hujis**ia vibaya na anaweza akaacha kushiriki tendo la ndoa ama kwa kuhofia maumivu au kwa kuona aibu kwani mwanaume ni vigumu kuvumilia harufu hiyo au hata kuuona tu huo ute ute kwani humjengea hisia kwamba mwenza wake atakuwa na magonjwa ya zinaa au si mwaminifu kwa ujumla.
Kinachosababisha kutokwa na uchafu ukeni:
• Kuwa na wapenzi wengi
• Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango
• Kusafisha uke kwa kutumia dawa zenye kemikali
• Uchafu
• Uvutaji sigara
• Pombe
• Maambukizi ya Bakteria au bakteria wabaya wanapozidi ukeni
Dalili:
• Kutokwa na uchafu usio wa kawaida
• Kutokwa na uchafu wenye harufu kali k**a shombo ya samaki au kitu kilichooza
• Kuwashwa sehemu za siri na ndani ya uke
• Uke unaweza kubadilika na kuwa na rangi nyekundu
• Maumivu sehemu za siri wakati wa kukojoa
• Maumivu makali chini ya kitovu
• Kutokwa uchafu uliochanganyika na damu
Matibabu
Mara uonapo dalili hizo unashauriwa kwenda kumuona daktari haraka iwezekanavyo kwa vipimo zaidi na dawa zaweza kuwa ni za kunywa au za kupaka.
Pia unaweza kutumia dawa za asili zifuatazo:
1. Kitunguu Swaumu
Kitunguu swaumu ndiyo dawa ya asili nzuri kuliko zote kwa ajili ya maambukizi ya maambukizi ya bakteria kwa wanawake. Kitunguu swaumu ni antibiotiki ya asili na hufanya kazi ya kuua bakteria wasababishao huu uchafu ukeni bila shida yoyote.
Menye punje 6 za kitunguu swaumu na uzikate vipande vidogo vidogo (chop) na unywe na maji nusu lita asubuhi ukiamka au usiku unapoenda kulala kwa wiki mbili mpaka tatu.
2. Mtindi
Chukua mtindi ujazo wa kijiko kidogo cha chai na utumbukize ndani ya uke wako na uache huko usiku mzima. Mtindi una bakteria wazuri wanaohitajika ukeni kuweka sawa usawa wa PH (alikalini na asidi) na hivyo kuondoa maambukizi.
Pia unashauriwa kula tu huu mtindi kikombe kimoja (robo litaa) mara moja kwa siku kuongeza kinga ya mwili wako kwa ujumla dhidi ya magonjwa mbalimbali
3. S**i ya tufaa
Chovya pamba ndani ya s**i ya tufaa (apple cider vinegar) na uweke ndani ya uke kwa dakika 15 hadi 20 kila siku na bakteria wabaya wote watakufa.
4. Uwatu
Loweka kijiko kidogo cha mbegu za uwatu (fenugreek seeds) ndani ya maji glasi moja na uache kwa usiku mzima. Kesho yake asubuhi kunywa maji haya yaliyolowekwa mbegu za uwatu kabla ya kula au kunywa chochote.
Uwatu husaidia kuweka sawa homoni za mwili na kuweka sawa mzunguko wa hedhi.
5. Maziwa na binzari
Changanya kijiko kimoja cha chai cha binzari (manjano) ya unga na kikombe kimoja cha maziwa ya moto na unywe yote. Fanya hivi mara mbili kila siku mpaka tatizo litakapoisha.
6. Lemonade
Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limau na asali na mdalasini ya unga kidogo, nayo inaandaliwa hivi:
*Chukua asali mbichi nusu Lita
*Chukua limau kubwa 12 au zaidi, zikate katikati kila moja. Zikamuwe moja baada ya nyingine kupata maji maji ya limau mpaka umepata ujazo wa nusu lita.
*Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya mdalasini ya unga vijiko vikubwa 10 na maji lita 2 na nusu na uchemshe k**a chai kisha ipua na uchuje na usubiri ipowe iwe ya uvuguvugu kidogo.
*Sasa changanya pamoja asali nusu lita, juisi au maji maji ya limau nusu lita, maji ya uvuguvugu ya mdalasini lita 2 na nusu ongeza na ya maji ya kawaida lita 1 kupata lita 5, chuja vizuri. Ihifadhi katika friji isiharibike.
Kunywa robo lita (ml 250) kutwa mara 2.
Unaweza pia kuongeza majani kidogo ya mnanaa (mint) na mbegu za shamari (fennel seeds) ili kuongezea radha na harufu nzuri. Kunywa juisi hii kila unapokuwa umepata chakula cha nguvu cha mchana na cha jioni.
7. Jeli ya mshubiri (aloe vera jel)
Ingawa jeli fresh ya mshubiri haitibu moja kwa moja tatizo la kutokwa na uchafu ukeni inaweza kuwa msaada mkubwa katika kupunguza maumivu na muwasho ukeni.
Chana kipande kidogo cha jani la mmea huu na ukamue kidogo kupata maji maji yake na upake vizuri taratibu ndani ya uke mara mbili kwa siku kwa majuma kadhaa hadi muwasho utakapoisha.
8. Bamia
Bamia husaidia kuondoa maji maji na makohozi kwenye mfumo wako wa mwili.
*Chukua bamia gramu 100
*Zikatekate vipande vidogo vidogo
*Weka kwenye sufuria ongeza maji nusu lita na uchemshe mpaka maji yamebaki robo lita ndani ya sufuria
*Ipua na uchuje
*Gawanya hayo maji uliyochuja katika sehemu mbili na unywe sehemu moja asubuhi na nyingine jioni kila siku mpaka umepona
9. Komamanga
Komamanga ina sifa ya kuwa dawa na inaweza kutumika k**a dawa ya kutibu uchafu ukeni.
Vyote majani yake au mbegu zake vinaweza kutumika kwa ajili hii.
Kunywa glasi moja ya juisi ya komamanga kutwa mara moja kwa mwezi mmoja hivi mpaka umepona.
MAMBO MHIMU YA KUZINGATIA:
Zingatia dawa peke yake hazitofaa kitu bila kuzingatia ushauri au masharti mhimu yafuatayo:
1. Kunywa maji mengi kila siku kuanzia glasi 8 hadi 10
2. Tumia zaidi vyakula vyenye vitamini B, C, D na E
3. Tumia sana matunda hasa machungwa, limau, ndizi na vitunguu
4. Punguza vyakula vyenye wanga
5. Acha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango, hii ni kwa sababu vidonge hivi vinasemwa huwa vinasababisha kushuka kwa kinga ya mwili na kukufanya mrahisi kupata maambukizi ya fangasi.
6. Epuka mapenzi kinyume na maumbile
7. Acha kutumia sukari na badala yake tumia asali
8. Usitumie chokoleti na vitu vingine vya namna hiyo
9. Kuwa na mpenzi mmoja tu
10. Pendelea kujiweka msafi muda wote
11. Oga maji ya moto
12. Acha vinywaji baridi, acha pia chai ya rangi na kahawa
13. Acha vilevi
14. Acha matumizi ya pafyumu hasa maeneo ya huko
K**a unahitaji dawa za asili zilizoandaliwa tayari kwa ajili ya kutibu uchafu ukeni au fangasi ukeni niachie tu ujumbe WhatsApp +255672277419. Ofisi yangu inaitwa Dawa Lishe Mbadala Dar Es Salaam, NINAPATIKANA MANZESE MIDIZINI.
MHIMU: K**a unahitaji USHAURI TU niandikie hapo kwenye comment hapa hapa facebook nitakujibu, nitafute WhatsApp ikiwa tu unahitaji dawa toka kwangu moja kwa moja.
Je umewahi kuugua ugonjwa huu na ukapona? k**a ndiyo ulitumia dawa gani? nitashukuru ukiniambia dawa uliyotumia mpaka ukapona ili nisaidie na wenzako wengine.
Tafadhari SHARE post hii kwa ajili ya wengine uwapendao.
05/01/2019
PRANNAH42@FOREVER
MAUAJI YALIYOJAA UTATA
Sehemu ya Tatu.
Benjamin akaongozana na watu wale mpaka walipofika katika gari moja kubwa ambalo hakujua ndani kulikuwa na nini, akaambiwa aingie na mpenzi wake kisha kukaa katika kiti kimoja, ndani ya gari hilo, kulikuwa na televisheni nyingi zilizokuwa zinaonyesha matukio yaliyokuwa yakiendelea katika mkutano ule.
Hakukuwa na mtu aliyezungumza lolote lile, kila mmoja alikuwa bize akifanya mambo yake. Benjamin na mpenzi wake, Vivian walikuwa karibukaribu, msichana huyo alionekana kuwa na wasiwasi mno, hakuwa na amani wala furaha, kwake alichokiona mbele yake kilikuwa ni tatizo kubwa.
Huku wakiwa wametulia katika viti, mwanaume mmoja akafika mahali hapo, akawatupia macho, hakuonyesha tabasamu lolote lile, macho yake yalionyesha ni jinsi gani mtu huyo alikuwa siriazi.
“Unaitwa Benjamin Saunders, si ndiyo?” aliuliza mwanaume huyo.
Kabla ya kujibu swali hilo, Benjamin akashtuka, hakujua mtu huyo alikuwa nani sasa ilikuwaje alijue jina lake? Akajiuliza, labda alikwishawahi kuonana na mwanaume huyo sehemu fulani, hakupata jibu, alivuta kumbukumbu zake, zikamwambia kwamba mwanaume huyo alikuwa mgeni machoni mwake.
“Ndiyo!” alijibu baada ya ukimya wa sekunde kadhaa.
“Ulikuwa unawasiliana na nani kwenye simu?” aliuliza mwanaume huyo.
“Mimi?”
“Najua unajua nazungumza na nani!”
“Hata mimi sifahamu!”
“Hufahamu nini?”
“Niliyekuwa nazungumza naye, simfahamu!”
“Kwani hiyo simu ni ya nani?”
“Hata hilo pia sifahamu! Nilis**ia simu ikiita kwenye koti langu, nikaichukua na nilipotaka kuzungumza kuna watu wakaja kunichukua, ni watu wako bila shaka,” alijibu Benjamin.
Alichokifanya jamaa yule ni kuichukua simu hiyo na kuondoka nayo huku akiwaambia kwamba kunapokuwa na mkutano wa rais, hakutakiwi mtu yeyote yule kupokea simu hasa kwa namba ambayo haipo kwenye simu yake.
Benjamin akashindwa kufahamu ni kwa sababu gani lakini jibu ambalo alikuwa nalo, inawezekana kwa sababu ya masuala ya usalama ndiyo maana waliamua kumchukua na kuondoka naye.
Huko kwenye mkutano, hakuwa na raha hata kidogo, alibaki akikodoa macho yake huku nakule, hata rais alipokuja na kuanza kuhutubia taifa, hakuwa makini kums**iliza, macho yake yalikuwa yakiangalia huku na kule.
Baada ya rais kumaliza na kuondoka, yeye mwenyewe akamchukua Vivian na kuondoka naye mahali hapo huku akionekana kuwa na mawazo lukuki. Alipokwenda mpaka sehemu alipoliegesha gari lake, akalifungua mlango na kuingia ndani.
“Hii bahasha ya nani?” aliuliza Vivian mara baada ya kuingia ndani ya gari na kukuta bahasha kwenye dashibodi.
“Bahasha ipi?”
“Hii hapa!”
Benjamin akaichukua ile bahasha na kuifungua ili kujua humo ndani kulikuwa na nini. Alipoifungua, alikikuta kikaratasi kidogo kikiwa kimeandikwa ‘Crowne Plaza 1930’ huku kukiwa na noti ya dola, paundi, Yuan na Euro.
“Hii ni nini?” aliuliza Vivian huku akionekana kushangaa.
“Ni ujumbe...”
“Ujumbe gani?”
“Huyu mtu anataka kuonana na mimi!”
“Nani? Kuonana naye wapi?”
“Sijajua ni nani! Ila anataka nionane naye Crowne Plaza saa moja na nusu usiku,” alijibu Benjamin.
“Na vipi kuhusu hizo noti?”
“Sifahamu chochote kile. Huyu ni nani? Anataka nini kutoka kwangu?” aliuliza Benjamin pasipo kupata kitu chochote kile.
“Tukatoe taarifa polisi,” alishauri Vivian.
“Unahisi itasaidia?”
“Ndiyo!”
Hilo ndilo walilokubaliana kwamba ilikuwa ni lazima wakatoe taarifa polisi. Hakukuwa na cha kujiuliza tena, walichoshauriana ndicho walichokifanya. Benjamin akawasha gari na kuondoka mahali hapo, breki ya kwanza kabisa ilikuwa katika kituo cha polisi hapo New York na kuwaambia kile kilichokuwa kimetokea.
Walichomwambia polisi hao ni kwenda huko kwenye miadi k**a alivyoambiwa na wao wangekuwa nyuma wakifuatilia ili atakapokutana na huyo mtu wamk**ate kwani hali ilionyesha dhahiri kuwa mtu huyo hakuwa mzuri hata kidogo.
“Wewe nenda k**a alivyokwambia, ukifika hapo, subiri, akija, tutamk**ata, umes**ia?” aliuliza polisi.
“Sawa!”
Alitakiwa kufanya k**a alivyoambiwa, hivyo ilivyofika saa moja kamili usiku akaanza kuondoka alipokuwa akiishi kwenda kwenye hoteli kubwa ya Crowne Plaza ambapo kulikuwa na baa pia.
Polisi walikuwa pamoja naye, hawakuwa kwenye gari moja ila walianza kufuatilia tangu mchakato ulipoanza huku wengine wakiwa tayari wamekwishafika ndani ya baa iliyokuwa katika hoteli hiyo. Alipoegesha gari lake, akateremka na kuanza kuelekea ndani ya baa hiyo.
Macho yake hayakutulia, alikuwa akiangalia huku na kule k**a mtu aliyekuwa akimtafuta mtu fulani. Kila aliyekuwa humo alikuwa bize, wengine walikuwa wakinywa na marafiki zao, wapenzi wao na hakukuwa hata na mtu mmoja aliyeonekana kumjali.
Akaifuata meza moja na kutulia, hakuonekana kujiamini, bado alikuwa akiiangalia huku na kule. Muda ulizidi kukatika, saa moja na nusu ikaingia, hakukuwa na mtu aliyetokea, saa mbili ikaingia lakini bado hakukuwa na mtu yeyote kitu kilichoonekana kumshangaza.
“Yupo wapi?” alijiuliza huku akiangalia saa yake.
Mpaka inafika saa tatu na nusu usiku, hakukuwa na mtu aliyemsogelea, hakutaka kubaki mahali hapo, alichokifanya ni kuondoka huku akiwa na mawazo tele.
Polisi ambao aliongozana nao na wale waliokuwa ndani ya baa ile walipoona hakuna kitu chochote kilichoendelea, nao wakaondoka na kuhisi kwamba inawezekana mtu huyo aliwaona na ndiyo maana hakutaka kabisa kujitokeza.
“Imekuwaje huko?” aliuliza Vivian.
“Hakutokea mtu yeyote!”
“Kweli?”
“Nd...” alijibu Benjamin lakini hata kabla hajamaliza kutoa jibu lake, hapohapo simu yake ikaanza kuita, harakaharaka akaipokea.
“Halo!”
“Kwa nini umekuja na polisi?”
“Wewe nani?”
“Hujajibu swali langu! Kwa nini ulikuja na polisi?” ilis**ika sauti hiyo ikiuliza Sali.
“Wapi?”
“Nilipokwambia uje!”
“Sikuja na polisi!”
“Acha kunidanganya. Sasa s**iliza. Nataka tukutane kesho saa mbili asubuhi kwenye mgahawa wa KFC jirani yako, k**a utashindwa, nitakutumia mkanda wa msichana wako Vivian akiwa anauawa. Umes**ia?” alisema mtu huyo na kuuliza.
“Ila wewe ni nani?”
“Mimi ni Dola, Paundi, Yen na Euro.”
“Unamaanisha nini?”
“Fanya unachotakiwa kufanya. K**a unampenda mpenzi wako, njoo, tena ukiwa peke yako, vinginevyo, tutamuua,” alis**ika mwanaume huyo.
Simu ikakatika. Mazungumzo yale, hata msichana Vivian alikuwa akiyas**ia, wote wakaogopa, hawakujua mtu huyo aliikuwa nani na alihitaji nini kutoka kwa Benjamin.
Wote wawili wakakosa amani, hofu zikawajia mioyoni mwao, hawakujua ni kitu gani walitakiwa kufanya, kutoa taarifa polisi lilionekana kuwa tatizo jingine kabisa, alitakiwa kufanya kila kitu alichoambiwa pasipo kuwashirikisha polisi kwani vinginevyo mpenzi wake Vivian angeuawa k**a alivyoambiwa.
Je, nini kitaendelea?i
Click here to claim your Sponsored Listing.
Telephone
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 21:00 |
| Tuesday | 09:00 - 21:00 |
| Wednesday | 09:00 - 21:00 |
| Thursday | 09:00 - 21:00 |
| Friday | 09:00 - 21:00 |
| Saturday | 09:00 - 21:00 |
| Sunday | 09:00 - 18:00 |