Jiponye Afya
Tumejikita kuwasaidia wenye magonjwa yasioambukizwa k**a Sukari , Uzazi , Mifupa , Acid ,na Bawasiri na mengineyo mengi yanayomsibu mwanadamu
28/12/2023
MADHARA YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU
Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku mbili au tatu au zaidi bila kupata CHOO, ... Usipuuzie kwani hilo ni tatizo kubwa sana.
Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa k**a:-
Bawasili )Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.
Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.
Kuchungulia kwa Kinyama (Vimbe) sehemu ya haja kubwa.
Magonjwa ya tumbo, Tumbo kuuma bila sababu. Tumbo kunguruma. Tumbo kujaa Gesi. Kansa ya utumbo mpana
Hii Hutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria na pia hupelekea kupata kansa za utumbo, U.T.I, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k
K**a wewe ni mmoja ya watu wenye hii changamoto ???
USISITE KUWASILIANA NASI KWA SIMU 0676228283
28/12/2023
ACID/ TINDIKALI YA TUMBO - GERD – GastroEsophagael RefluxDesease
Hili ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo Inayosababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (umio) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa.Au Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN)
Ili kuelewa vizuri tatizo hili linavyotokea tunatakiwa kujua vizuri jinsi chakula kinavyofika tumboni.
Kawaida Mara baada ya mtu kutafuna chakula au kunywa maji,chakula husafirishwa kupitia mrija wa chakula (Esophagus) hadi tumboni lakini juu kidogo kati ya tumbo na mrija huu wa chakula kuna kizuizi kilicho na sura ya bangili ( lower esophageal spincher )
kibangili hiki hufanya kazi ya kuzuia chakula kisurudi mdomoni au kwenye koo baada ya kuwa kimeshamezwa pia kibangiri hiki ndicho kinacho mfanya mtu aweze kula chakula huku amening'iniza kichwa chini miguu juu na chakula kisirudi tumboni.
Baada ya chakula kuingia tumboni huchanganyikana na vimeng'enya pamoja na tindikali ambayo hufanya kazi ya kuua vimelea vyote vilivyoingia tumboni pamoja na chakula
mchanganyiko huu husababisha chakula kupata chachu(acids) ambayo matokeo yake huwa ni rahisi sana kuweza kurudi katika koo la chakula endapo kizuizi cha juu ya tumbo kitakua kimepata hitilafu au maambukizi.
KIUNGULIA (HEARTBURN)NI NIN I?
Ni hali ya kukera inayoweza kumtokea mtu yoyote na husababisha maumivu makali kwenye kifua na upande wa juu wa tumbo.
Hali hii inaendana kwa ukaribu wa kupanda kwa tindikali(acid reflux).
Lakini pia Kuna utofauti kati ya acid reflux na heartburn.
K**a nilivyoeleza hapo juu kuwa acid reflux ni kitendo cha kupanda kwa tindikali kutoka tumboni kurudi juu kwenye umio la chakula na kusababisha maumivu ya kifua ambayo tunaita ni kiungulia (Heartburn).
Kwa hiyo acid reflux ndio inayoweza kusababisha Kiungulia (HEARTBURN).
Hali ya kiungulia ni kitendo cha kawaida kutokea kwa watu wengi na inatokea kwa kila mtu, lakini k**a tu haiambatani na maumivu makali ya kifua, k**a maumivu yakizidi kuwa makali na yanatokea mara kwa mara hapo ndipo tatizo huanza.
K**a tatizo likiendelea zaidi basi hufikia hatua ya tatu na kuitwa gastroesophageal reflux disease (GERD), kwa hiyo kadiri kiungulia kinachukua muda mrefu mpaka kuathiri tishu za Utumbo au Umio GERD ni hatari zaidi kwa sababu inaweza kupelekea uwezekano wa kupata Madonda Tumboni au Saratani ya Koo.
CHANZO CHA MATATIZO
Uchunguzi unaonyesha kuna sababu nyingi zinazoweza kuambatanishwa na matatizo haya ambayo ni;
1. Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo (Lower esophageal sphincter)
• Kudhohofika kwa kizuizi hiki husababishwa na utumiaji wa madawa k**a nitrates , isphosphonates , Estrogen , Oral Contraceptives , Progesterone , Alpha adrenergic agents , Theophyline , Calcium channel , blockers , Benzodiazepines , Anticholinergics na tricyclic antidepressants n.k. Baadhi ya dawa zimeonekana kuharibu sana utendaji kazi wa kizuizi hiki.
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
• Mfumo wa mmeng'enyo huwa dhaifu kutokana na lishe kuwa mbovu
watu wanaokula zaidi vyakula vilivyosindikwa, sukari, chocolate, vyakula vyenye caffeine k**a kahawa wapo kweye hatari zaidi ya kupata matatizo haya
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium
5.Uzito mkubwa na kitambi na msongo wa mawazo kupita kiasi ni chanzo cha kupata matatizo haya.
6.Wamama wajawazito na wazee wenye umri mkubwa wako kwenye hatari zaidi ya kupata matatizo haya
7.Wenye historia ya kuwa na ugonjwa wa hernia(ngiri) pia wapo katika hatari zaidi ya kupata matatizo haya
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE
Dalili kuu ya matatizo haya ni kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
Kiungulia hiki huanza baada ya lisaa limoja na kuisha baada ya masaa mawili baada ya kula.
Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale mtoto anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.
Dalili zingine ni k**a;
• Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
• Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
• Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
• Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
• Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
• Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
• Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
• Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
• Mdomo kukauka.
• Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
• Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏
Call➖text&sms➖whatsapp👇
➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255676228283
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.
28/12/2023
SULUHISHO LA KUZIDI KWA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD
Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI?.
1.Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5 Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
3 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
12 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana na kujamba sana pia kukosa kabisa choo
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA – DARASA HILI NI BURE BONYEZA LINK KUJA DARASANI
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0676228283
28/12/2023
SULUHISHO LA KUZIDI KWA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD
Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI?.
1.Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5 Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
3 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
12 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana na kujamba sana pia kukosa kabisa choo
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA – DARASA HILI NI BURE BONYEZA LINK KUJA DARASANI
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0676228283
TUNAKUSAIDIAJE KUPONA VIDONDA VYA TUMBO NA TATIZO LA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO ?
JIBU: SUPER GASTRIC PACKAGE –
Hii ni package ambayo imeundwa na dawa 4 tofauti kwa kutumia kanuni ifuatayo
1 KUONDOA CHANZO CHA TATIZO
Hapa tunakupatia dozi maalumu zenye Citrus na Belladona ambazo hutumika kuondoa bacteria wote wabaya na maumivu kwenye mfumo wa chakula wanaoweza kusababisha changamoto na maradhi mbalimbali kwenye mfumo wa chakula hasa tumboni bacteria hao ni k**a Diarrhea , ammonia na hpyrolly wanaosababisha vidonda vya tumbo na wengine wote wabaya
2 KUSAFISHA NA KURUDISHA BACTERIA WAZURI
Katika hatua hii tunakupatia dozi maalumu yenye bifidobacteria longum na streptococcuss thermophilus ambazo faida yake ni kuzuia bacteria wabaya tumboni na kusafisha mfumo wa chakula na kusaidia bacteria wazuri k**a bifidobacteria na gut floras kuwepo kwenye utumbo na hivyo kukusaidia kumeny’enya chakula vizuri
3 KURUDISHA ASILI
Hapa tunakupatia dawa yenye streptococcus thermophilusis 2 yenye uwezo wa kuondoa sumu zote tumboni pamoja na FOS (fructo aligosacharides ) ambayo ni chakula cha bacteria wazuri k**a probiotics ambao ni muhimu sana tumboni na hivyo kulifanya tumbo lako kuwa salama bila kuwa na sumu gesi wala miungurumo yoyote na kupata choo kizuri na sio k**a cha mbuzi
NINI FAIDA ZA DOZI ZA SUPER GASTRIC PACKAGE ??
FAIDA ZA SUPER GASRIC PACKAGE
Kuondoa bacteria wabaya wanaoleta magonjwa kwenye mfumo wa chakula k**a ammonia , amoeba , H.pyrolly , na Diarrhea
Kuondoa maumivu ya tumbo kifua na kiungulia
Kusafisha utumbo na kuondoa kinyesi kilichoganda kwenye mfumo wa chakula na kuleta madhara mwilini ikiwemo mchafuko wa damu.
Kusaidia bacteria wazuri(probiotics au Gut flora kuzaliwa kwenye mfumo wa chakula na hivyo kulituliza tumbo kabisa kutokana na miungurumo na kujaa gesi.
Kurahisha mmeng’enyo wa chakula na kurudisha afya ya tumbo vizuri hivyo kupata choo vizuri
Kuondoa kabisa tatizo ka kukosa choo au kupata choo k**a cha mbuzi .
Kuimarisha koo la chakula na kuzuia Acid au tindikali ya tumbo kupanda na kuchoma kifua na tishu za kooni hivyo.
Kuondoa tatizo la hofu na kukosa usingizi kunasababishwa na acid kuzidi na kupanda kooni
Kuondoa tatizo la kubehua tindikali au vitu vichachu
Kubalansi kiwango cha acid na hivyo kumaliza kabisa tatizo la acid reflux.
Kuponesha kabisa majeraha ya vidonda vya tumbo au michubuko inayosababishwa na acid kuchoma kuta za tumbo na kifua
GHARAMA YAKE 287,000
Dozi inatumika kuanzia siku 35 hadi miezi piga simu leo kuongea na mtaalamu wetu bure na kupata dozi yako sasa.
0676228283
SULUHISHO LA KUZIDI KWA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD
Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI?.
1.Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5 Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
3 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
12 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana na kujamba sana pia kukosa kabisa choo
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA – DARASA HILI NI BURE BONYEZA LINK KUJA DARASANI
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0676 228 283
SULUHISHO LA KUZIDI KWA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD
Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI?
1.Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5 Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
3 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
12 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana na kujamba sana pia kukosa kabisa choo
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA – DARASA HILI NI BURE BONYEZA LINK KUJA DARASANI
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0676 228 283
SULUHISHO LA KUZIDI KWA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD
Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI?.
1.Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5 Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula
DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
1 kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
3 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
12 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana na kujamba sana pia kukosa kabisa choo
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA – DARASA HILI NI BURE BONYEZA LINK KUJA DARASANI
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
https://wa.me/message/GIAWB2NO747CI1
AU PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0676 228 283
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam