NIFO Beauty College

NIFO Beauty College

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from NIFO Beauty College, Health/Beauty, Alhassan Mwinyi road, Dar es Salaam.

28/01/2026

Nifo products
Karibu tukuhudumiee
Kwa Huduma za nywele chebe hair products ndio suluhisho la tatizo lako

28/01/2026

Chebe hair butter

10/12/2025

REJUVENATING

Kiboko ya makunyazi
Inapatikana
NIFO PRODUCT

17/11/2025

Slimming
Ndio suluhisho ya mwili wako
Kwa bei rafiki kabisaaaa.

11/11/2025

Karibu tupo kwa ajili yako bidhaa zetu ni ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

10/11/2025

NIFO PRODUCT

MIRACLE CHAI
Chai hii huongeza kumbukumbu pia husaidia sana matatizo ya Presha na sukari ya kupanda,saratan ya utumbo ,uvimbe wa kwenye kazazi,vidonda vya tumbo ges tumboni hupunguza mafuta,inalanisha Choo,huaimarisha Mishipa ya fahamu ,kurudisha nguvu za Asili ni nzuri kwa maumivu ya mifupa yote..

MCHANGANYIKO ARTIMISIAMAGONGE YA MLONGEILIKI
.MAJANI YA PARACHICHI

IMETENGENEZWA NA KUSAMBAZWA NA
NIFO HERBAL PRODUCTS
MWANZA-TANZANIA
DAR -ES-SALAAM-DAR FREE MARKET

MAWASILIANO
+255749665555
+255677555550
+255749500300

KARIBUN SANA

07/11/2025

NIFO PRODUCT
MCHANGANYIKO ASILIMIA 62

Husaidia kutibu zaidi ya magonjwa (50) ya mwili wa binadamu huinia kinga ya mwili.

MCHANGANYIKO
NUT'S NI VIRUTUBISHO
VILIVYOTENGENEZWA NA
KOROSHO, MWANI,MORINGA SEEDS,KARANGA,UBUYU,
ALMOND, SOYA,CHIA SEEDS,MTAMA,ANTIMISIA,NK

Imetengenezwa na kusambazwa
NIFO PRODUCT

MAWASILIANO ZAIDI
0677555550
0749500300
0759665555

LOCATION
MWANZA Uhuru opposite na deluxe hotel
DAR ES SALAAM Dar free market.

28/10/2025

๐ŸŒฟ FAIDA ZA TONER.

1. Kusafisha mabaki ya uchafu na mafuta

Baada ya kuosha uso, mara nyingi bado hubaki uchafu au mabaki ya sabuni. Toner husaidia kuondoa mabaki hayo kabisa.

2. Kurejesha uwiano wa pH wa ngozi

Sabuni nyingi huathiri pH ya ngozi. Toner husaidia kuirejesha kwenye kiwango cha kawaida (pH 5.5), hivyo kuzuia ukavu au mafuta mengi kupita kiasi.

3. Kukaza vinyweleo (pores)

Toner husaidia kupunguza muonekano wa vinyweleo vikubwa, na kufanya ngozi ionekane laini zaidi.

4. Kuandaa ngozi kwa ajili ya bidhaa nyingine

Baada ya kutumia toner, ngozi huwa tayari kupokea seramu, mafuta au cream kwa ufanisi zaidi.

5. Kurefresha na kupunguza jasho au mafuta wakati wa mchana

Unaweza kutumia toner k**a โ€œface mistโ€ ili kuipa ngozi ubaridi na kuondoa mafuta kidogo yanayojitokeza mchana.

6. Kuzuia chunusi na kuwasha

Toner zenye viambato k**a salicylic acid au witch hazel husaidia kudhibiti chunusi kwa kupunguza mafuta na kuua bakteria..

๐Ÿ’ง MATUMIZI SAHIHI YA TONER

1. Baada ya kuosha uso.

Safisha uso wako kwa cleanser kisha kausha kwa taulo laini.

2. Weka toner.

Tumia pamba (cotton pad) au viganja vyako:

Njia ya pamba: Mimina toner kwenye pamba, kisha panguza kwa upole uso wote.(POLEPOLE)

Njia ya mikono: Mimina toner kidogo viganjani, kisha ipake kwa kupiga โ€œpat patโ€ usoni.

3. Subiri kidogo (sekunde 30โ€“60).

Kisha endelea na serum, mafuta au moisturizer.

27/10/2025

KARIBU TUKUHUDIMIEE

Happy Monday..

27/10/2025

HAPPY MONDAY ๐Ÿ˜Š
WEEK YA HUDUMA KWA WATEJA.
WEEK YA OFFER ๐Ÿ™
KARIBU TUKUHUDIMIEE.

26/10/2025

DAWA YA SUKARI.

JEE UNASUMBILIWA NA SUKARI ???

TUONGEE KUHUSU AFYA YAKO KWA UJUMLA .

WASILIANA NASI LEO.

DDF herbal clinic
TUNAJALI AFYA YAKO .

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Alhassan Mwinyi Road
Dar Es Salaam
255 22