TIBA ASILI kutoka CHINA.
CHINESE TRADITION MEDICINE CLINIC.
Ni clinic ya madawa ya mitishamba ktk china,Tunatibu Magonjw SUGU.Tunapatikana Morogoro mjini soko la kingalu Ghorofani.Tunatuma Dawa Zetu sehemu mbalimbali Hadi nje ya TANZANIA ππ
https://Wa.me/255615829331
14/05/2026
MAGONJWA TUNAYO TIBU 100%
1.kisukari
2.vidonda vya tumbo
3.bacteria wa Hpylori
4.saratani aina zote
5.magonja ya hepatitis b,a na c
6.CD 4
7.uvimbe kwenye kizazi
8.magonjwa yote ya ngozi k**a psoriasis,eczema n.k.
9.matatizo ya gesi
10.kupooza(troke).
11.kifafa.
12.uteja
13.gono
14.bawasiri
15.matatizo ya uzazi
16.majeraha sugu.
17.matatizo ya FIGO.
18.matatizo ya bandama
19.matatizo ya moyo kupanuka.
20.maralia
21.U.T.I
22.matatizo ya joint.
23.homa ya manjano .
24.changamoto ya uzazi.
25.homoni kuvurugika .
26.TB.
27.pumu.
28.kikohozi sugu.
29.kuongeza kinga za mwili.
30.hernia
31.tezi dume.
32.kuongeza NGUVU ZA KIUME.
33.pingiri za mgongo
34 . ganzi.
35.kurejesha hedhi iliyo potea.
36.P.I.D
37.uric acid
38.goita.
39.seli mundu(sickle seli anemia
40.magonjwa SIKIO.
41.matatizo ya macho .
42.kurejesha kumbukumbu.
43.shida ya kukosa usingizi.
44.presha.N.K
Chinese herbal medicine
14/05/2026
Mwanaume | wakati mwingine muundo au muonekano wa korodani unaweza kuhusiana na ubora wa mbegu zako ikawa inakuletea ugumu kumpa mwanamke mimba , that's why huwa nawashauri ukiona ndoa imekaa muda bila kupata watoto basi na wewe mwanaume fanya mpango wa kupima manii yako (s***m analysis) na pia ipo ultrasound ya korodani (Scrotal / Testicular ultrasound) ambayo itasaidia kuchunguza umbile la ndani la korodani kuona k**a kuna shida
Unaweza kuwa rijali haswaa na unapiga shoo muda mrefu kwa round unazotaka tena kwa wake zako wote ila mimba huwapi, hapa nakuandikia baadhi ya hali zinazoweza kuathiri mbegu zako
01: Korodani moja kuwa ndogo sana kuliko nyingine
02: Kuvimba mishipa ya korodani (varicocele)
03: Korodani kushuka vibaya tangu utotoni
04: Uvimbe au maumivu ya muda mrefu
05: Korodani kuwa ngumu sana au laini kupita kawaida, hizo ni baadhi ya issues ambazo iwapo hupati mtoto na una hizo dalili basi jitahidi kufanya uchunguzi hospital ili upate ufumbuzi
Nikukumbushe kuwa baadhi ya tabia (lifestyle) ambazo huua mbegu na kupunguza wingi na ubora wa mbegu ni pamoja na matumizi ya vilevi, sigara, kuvaa nguo za kubana sana au kakaa mazingira yenye joto, matumizi ya energy drinks mara kwa mara, uzito kupitiliza, stress za maisha na kukosa usingizi wa kutosha.
07/05/2026
DAWA YA KICHINA YA UZAZI WA MPANGO (FAMILY PLANNING)
Dawa ya uzazi wa mpango vidonge vya asili visivyo na madhara.Kwa muda mrefu sasa dawa hizi zimekuwa zikitumika kwa miaka mingi na zimekuwa na msaada mkubwa kwa wa mama wengi na wa dada bila kuleta madhala yeyote.Ni dawa ambayo hazikuletei madhara yeyote na unapata siku zako k**a kawaida, kumbuka kutokupata siku zako kabla ya kukoma kwa hedhi ni tatizo la kiafya.
--Mtumiaji atahitaji kutumia kidonge kimoja tu kwa mwezi mzima bila masharti yeyote.Hii pia ni (fomula) kanuni ambayo kwa muda mrefu china imekuwa ikitumika kwa miaka mingi na kumsaidia mtumiaji kupangilia uzazi wake.mtumiaji hujikuta yuko huru na afya yake huendelea kuwa nzuri k**a kawaida.
--Mtumiaji anaweza kuahirisha matumizi iwapo mume atasafiri kwa muda wa mwezi mzima au rikizo ya tendo ya mwezi nakuendelea.
--Mtumiaji akifanya uzembe kutokutumia na akishiriki tendo atapata mimba k**a kawaida.
Zimeanza kutumika kwa muda mrefu sana hazija wahi kuleta madhara yeyote.
--Inasaidia piakuepusha vimbe mbalimbali na magonjwa madogo madogo ya uke. Bila shaka sasa shida imepatiwa majibu .Wasiliana nami kwa mahitaji yako sasa namba ni hizo hapo 0615829331
Zipo chache
24/03/2026
03/03/2026
*WANAWAKE _MSIACHE_KUSOMA_MTANISHUKURU* πππππ
Kuna mda k**a mwanamke unatamani kushiriki tendo la ndoa na unakubali kulishiriki na mwanaume wako
Lakini ukifika mda wa kitendo chenyewe, hata uandaliwe kwa namna gani
Uchi wako hautoi ushirikiano kabisa yaani unabaki kua mkavu
Mwanaume wako uvumilivu unamshinda kwa sababu amekuandaa mda mrefu lakini haoni ukilowa
Anajaribu kukuingilia labda utalowa mbele ya safari
Unaanza kujuta maana unapata maumivu na karaha tele sio raha tena kwako na hisia zako zinapotea kabisa
Unaamua kuvumilia kufanya ili kumridhisha mwanaume wako tu huku ukiumia wakati mwingine unapatwa na michubuko
Kadri siku zinavyokwenda, Mwanaume wako anashangaa yeye ndie wa kuomba mchezo kila wakati wewe humwombi kwa sababu unajua taabu unayoipata
Baadae unaamua kutumia vilainishi ukeni, mara wakati wa tendo unapakaa mate mara mafuta ili mradi utelezi upatikane upunguze maumivu labda utahisi raha hata kwa mbali
Unakuja kushtuka umeanza kutokwa na uchafu ukeni unaotoa harufu mbaya na kali mithili ya kitu kilichooza
Usijue ulikua unajiangamiza kwa kutumia vilainishi mara mate mara mafuta ukeni kumbe unakaribisha maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D) kwa kasi zoteβ¦..
Hujakaa sawa mara kiuno na nyonga vinauma kuliko kawaida, hedhi yako haieleweki mara upate mara ukose mzunguko haueleweki kabisa
Ukiingia hedhi maumivu ya hedhi yanazidi kipimo ulichozoea, chini ya kitovu unahisi maumivu panauma utadhani pananyofolewa hutamani kuingia hedhi tena ila basi tu
Maji yanakufika shingoni unaamua kufika hospitali. Vipimo vinaonesha una P.I.D, Mvurugiko wa homoni na U.T.I sugu
Unarudi na rundo la madawa kutoka duka la dawa. Unatumia lakini huoni mabadiliko yoyote maana tatizo linajirudia vilevile
Unahisi kuchoka, unakosa amani na unahisi kukata tamaa kabisa maana safari hii hutaki mwanaume wako akuguse kwa sababu harufu unayotoa haivumiliki na maumivu unayopata hayaelezeki
Binafsi nikwambie tu usikate tamaa, usivunjike moyo wala usipoteze amani yako kwa sababu nipo hapa kukusaidia kwa kutumia njia mbadala
Ndio!
Ndio njia yako pekee na sahihi uliyobakiwa nayo ambayo itakusaidia kumaliza changamoto zote unazopitia kwa pamoja.
Hakika utakua umeua ndege wawili kwa jiwe moja maana utaanza kupata hisia za tendo k**a wanawake wengine
Hutohisi maumivu tena wakati wa tendo maana utalowa na kua na utelezi wa kutosha, utarifurahia tendo sasa na safari hii mwanaume wako atashangaa maana utaanza kumwomba mchezo wewe mwenyewe kila mara
Ukiingia hedhi hutahisi maumivu makali tena. Hutohofia kuingia hedhi tena wala tumbo la chini ya kitovu halitauma wala hutohisi k**a linanyofolewa
Hedhi yako itaeleweka, uteute wa uzazi unapokua siku za hatari utauona na itakua rahisi kwako kuweza kunasa ujauzito
Utajihisi mwanamke aliekamilika sasa maana kila kitu kwako k**a mwanamke kitakua ni safi tu
Yaani uchi msafi, hedhi safi, tendo safi kazi itakua kwako kua tayari kuchangia kazi ya kuijaza duniaπ
Cha kufanya sasahivi ni hiki: Andika namba yangu nipigie nieleze shida yako nami nikusaidie k**a navyowasaidia wanawake wengine wenye changamoto k**a yako
Mawasiliano ni 0615829331
Asian herbals clinic
Karibuni Kwa Tiba Asili kutoka china
23/02/2026
π¬ Unavuta sigara na unahisi kifua chako kimejaa mchafu? Uchovu na kukohoa kila siku?
π΅ Chai kwa Wavuta Sigara
β
Inatoa mchafu ya zamani iliyokusanywa kutokana na uvutaji sigara
β
Inafanya pumzi kuwa ya kina na kifua kuwa kidogo
β
Inarudisha nguvu zako haraka, hata kupanda ngazi hakutakuwa shida
β
Asili 100% na rahisi kutumia: kikombe kimoja tu kwa siku
π Jaribu leo na linda moyo wako π
π― Matokeo yanaanza kuonekana ndani ya siku chache
π¦ Usafirishaji BURE, π΅ Lipa ukipokea
π Agiza sasa
15/02/2026
Angalia chuchu yako ..Ikoje... k**a chuchu yako imevutwa ndani na zamani haikuwa hivyo na ngozi ya juu ya ziwa inafanana na ganda la chungwa hiyo ndio wataalam wanaita 'Peau d'Orange' inawezekana una kansa ya ziwa. K**a una mabadiliko yoyote kwenye matiti yako nenda hospital wakuchunguze... Wanaume pia wanapataga kansa ya matiti...!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Bomaroad
Dar Es Salaam