TIBA ASILI kutoka CHINA.

TIBA ASILI kutoka CHINA.

Share

CHINESE TRADITION MEDICINE CLINIC.

Ni clinic ya madawa ya mitishamba ktk china,Tunatibu Magonjw SUGU.Tunapatikana Morogoro mjini soko la kingalu Ghorofani.Tunatuma Dawa Zetu sehemu mbalimbali Hadi nje ya TANZANIA πŸ’ŠπŸ™
https://Wa.me/255615829331

14/05/2026

MAGONJWA TUNAYO TIBU 100%

1.kisukari
2.vidonda vya tumbo
3.bacteria wa Hpylori
4.saratani aina zote
5.magonja ya hepatitis b,a na c
6.CD 4
7.uvimbe kwenye kizazi
8.magonjwa yote ya ngozi k**a psoriasis,eczema n.k.
9.matatizo ya gesi
10.kupooza(troke).
11.kifafa.
12.uteja
13.gono
14.bawasiri
15.matatizo ya uzazi
16.majeraha sugu.
17.matatizo ya FIGO.
18.matatizo ya bandama
19.matatizo ya moyo kupanuka.
20.maralia
21.U.T.I
22.matatizo ya joint.
23.homa ya manjano .
24.changamoto ya uzazi.
25.homoni kuvurugika .
26.TB.
27.pumu.
28.kikohozi sugu.
29.kuongeza kinga za mwili.
30.hernia
31.tezi dume.
32.kuongeza NGUVU ZA KIUME.
33.pingiri za mgongo
34 . ganzi.
35.kurejesha hedhi iliyo potea.
36.P.I.D
37.uric acid
38.goita.
39.seli mundu(sickle seli anemia
40.magonjwa SIKIO.
41.matatizo ya macho .
42.kurejesha kumbukumbu.
43.shida ya kukosa usingizi.
44.presha.N.K
Chinese herbal medicine

14/05/2026

Mwanaume | wakati mwingine muundo au muonekano wa korodani unaweza kuhusiana na ubora wa mbegu zako ikawa inakuletea ugumu kumpa mwanamke mimba , that's why huwa nawashauri ukiona ndoa imekaa muda bila kupata watoto basi na wewe mwanaume fanya mpango wa kupima manii yako (s***m analysis) na pia ipo ultrasound ya korodani (Scrotal / Testicular ultrasound) ambayo itasaidia kuchunguza umbile la ndani la korodani kuona k**a kuna shida

Unaweza kuwa rijali haswaa na unapiga shoo muda mrefu kwa round unazotaka tena kwa wake zako wote ila mimba huwapi, hapa nakuandikia baadhi ya hali zinazoweza kuathiri mbegu zako

01: Korodani moja kuwa ndogo sana kuliko nyingine

02: Kuvimba mishipa ya korodani (varicocele)

03: Korodani kushuka vibaya tangu utotoni

04: Uvimbe au maumivu ya muda mrefu

05: Korodani kuwa ngumu sana au laini kupita kawaida, hizo ni baadhi ya issues ambazo iwapo hupati mtoto na una hizo dalili basi jitahidi kufanya uchunguzi hospital ili upate ufumbuzi

Nikukumbushe kuwa baadhi ya tabia (lifestyle) ambazo huua mbegu na kupunguza wingi na ubora wa mbegu ni pamoja na matumizi ya vilevi, sigara, kuvaa nguo za kubana sana au kakaa mazingira yenye joto, matumizi ya energy drinks mara kwa mara, uzito kupitiliza, stress za maisha na kukosa usingizi wa kutosha.

07/05/2026

DAWA YA KICHINA YA UZAZI WA MPANGO (FAMILY PLANNING)
Dawa ya uzazi wa mpango vidonge vya asili visivyo na madhara.Kwa muda mrefu sasa dawa hizi zimekuwa zikitumika kwa miaka mingi na zimekuwa na msaada mkubwa kwa wa mama wengi na wa dada bila kuleta madhala yeyote.Ni dawa ambayo hazikuletei madhara yeyote na unapata siku zako k**a kawaida, kumbuka kutokupata siku zako kabla ya kukoma kwa hedhi ni tatizo la kiafya.
--Mtumiaji atahitaji kutumia kidonge kimoja tu kwa mwezi mzima bila masharti yeyote.Hii pia ni (fomula) kanuni ambayo kwa muda mrefu china imekuwa ikitumika kwa miaka mingi na kumsaidia mtumiaji kupangilia uzazi wake.mtumiaji hujikuta yuko huru na afya yake huendelea kuwa nzuri k**a kawaida.
--Mtumiaji anaweza kuahirisha matumizi iwapo mume atasafiri kwa muda wa mwezi mzima au rikizo ya tendo ya mwezi nakuendelea.
--Mtumiaji akifanya uzembe kutokutumia na akishiriki tendo atapata mimba k**a kawaida.
Zimeanza kutumika kwa muda mrefu sana hazija wahi kuleta madhara yeyote.
--Inasaidia piakuepusha vimbe mbalimbali na magonjwa madogo madogo ya uke. Bila shaka sasa shida imepatiwa majibu .Wasiliana nami kwa mahitaji yako sasa namba ni hizo hapo 0615829331

10/04/2026

Zipo chache

24/03/2026
03/03/2026

*WANAWAKE _MSIACHE_KUSOMA_MTANISHUKURU* πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Kuna mda k**a mwanamke unatamani kushiriki tendo la ndoa na unakubali kulishiriki na mwanaume wako

Lakini ukifika mda wa kitendo chenyewe, hata uandaliwe kwa namna gani

Uchi wako hautoi ushirikiano kabisa yaani unabaki kua mkavu

Mwanaume wako uvumilivu unamshinda kwa sababu amekuandaa mda mrefu lakini haoni ukilowa

Anajaribu kukuingilia labda utalowa mbele ya safari

Unaanza kujuta maana unapata maumivu na karaha tele sio raha tena kwako na hisia zako zinapotea kabisa

Unaamua kuvumilia kufanya ili kumridhisha mwanaume wako tu huku ukiumia wakati mwingine unapatwa na michubuko

Kadri siku zinavyokwenda, Mwanaume wako anashangaa yeye ndie wa kuomba mchezo kila wakati wewe humwombi kwa sababu unajua taabu unayoipata

Baadae unaamua kutumia vilainishi ukeni, mara wakati wa tendo unapakaa mate mara mafuta ili mradi utelezi upatikane upunguze maumivu labda utahisi raha hata kwa mbali

Unakuja kushtuka umeanza kutokwa na uchafu ukeni unaotoa harufu mbaya na kali mithili ya kitu kilichooza

Usijue ulikua unajiangamiza kwa kutumia vilainishi mara mate mara mafuta ukeni kumbe unakaribisha maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D) kwa kasi zote…..

Hujakaa sawa mara kiuno na nyonga vinauma kuliko kawaida, hedhi yako haieleweki mara upate mara ukose mzunguko haueleweki kabisa

Ukiingia hedhi maumivu ya hedhi yanazidi kipimo ulichozoea, chini ya kitovu unahisi maumivu panauma utadhani pananyofolewa hutamani kuingia hedhi tena ila basi tu

Maji yanakufika shingoni unaamua kufika hospitali. Vipimo vinaonesha una P.I.D, Mvurugiko wa homoni na U.T.I sugu

Unarudi na rundo la madawa kutoka duka la dawa. Unatumia lakini huoni mabadiliko yoyote maana tatizo linajirudia vilevile

Unahisi kuchoka, unakosa amani na unahisi kukata tamaa kabisa maana safari hii hutaki mwanaume wako akuguse kwa sababu harufu unayotoa haivumiliki na maumivu unayopata hayaelezeki

Binafsi nikwambie tu usikate tamaa, usivunjike moyo wala usipoteze amani yako kwa sababu nipo hapa kukusaidia kwa kutumia njia mbadala

Ndio!

Ndio njia yako pekee na sahihi uliyobakiwa nayo ambayo itakusaidia kumaliza changamoto zote unazopitia kwa pamoja.

Hakika utakua umeua ndege wawili kwa jiwe moja maana utaanza kupata hisia za tendo k**a wanawake wengine

Hutohisi maumivu tena wakati wa tendo maana utalowa na kua na utelezi wa kutosha, utarifurahia tendo sasa na safari hii mwanaume wako atashangaa maana utaanza kumwomba mchezo wewe mwenyewe kila mara

Ukiingia hedhi hutahisi maumivu makali tena. Hutohofia kuingia hedhi tena wala tumbo la chini ya kitovu halitauma wala hutohisi k**a linanyofolewa

Hedhi yako itaeleweka, uteute wa uzazi unapokua siku za hatari utauona na itakua rahisi kwako kuweza kunasa ujauzito

Utajihisi mwanamke aliekamilika sasa maana kila kitu kwako k**a mwanamke kitakua ni safi tu

Yaani uchi msafi, hedhi safi, tendo safi kazi itakua kwako kua tayari kuchangia kazi ya kuijaza dunia😜

Cha kufanya sasahivi ni hiki: Andika namba yangu nipigie nieleze shida yako nami nikusaidie k**a navyowasaidia wanawake wengine wenye changamoto k**a yako

Mawasiliano ni 0615829331

Asian herbals clinic

01/03/2026

Karibuni Kwa Tiba Asili kutoka china

23/02/2026

🚬 Unavuta sigara na unahisi kifua chako kimejaa mchafu? Uchovu na kukohoa kila siku?
🍡 Chai kwa Wavuta Sigara
βœ… Inatoa mchafu ya zamani iliyokusanywa kutokana na uvutaji sigara
βœ… Inafanya pumzi kuwa ya kina na kifua kuwa kidogo
βœ… Inarudisha nguvu zako haraka, hata kupanda ngazi hakutakuwa shida
βœ… Asili 100% na rahisi kutumia: kikombe kimoja tu kwa siku

πŸ‘‰ Jaribu leo na linda moyo wako πŸ‘‡
πŸ’― Matokeo yanaanza kuonekana ndani ya siku chache
πŸ“¦ Usafirishaji BURE, πŸ’΅ Lipa ukipokea

πŸ‘‰ Agiza sasa

15/02/2026

Angalia chuchu yako ..Ikoje... k**a chuchu yako imevutwa ndani na zamani haikuwa hivyo na ngozi ya juu ya ziwa inafanana na ganda la chungwa hiyo ndio wataalam wanaita 'Peau d'Orange' inawezekana una kansa ya ziwa. K**a una mabadiliko yoyote kwenye matiti yako nenda hospital wakuchunguze... Wanaume pia wanapataga kansa ya matiti...!

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Bomaroad
Dar Es Salaam